< Mathayo 20 >
1 “Kwa maana Ufalme wa Mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba aliyetoka alfajiri ili kwenda kuajiri vibarua kufanya kazi katika shamba lake la mizabibu.
“Invân Rêngram chu mi inkhatin a grapebila mi senkhat inloa sintho rang rokin jîng renga ajôkpai angin ani.
2 Baada ya kukubaliana na hao vibarua kuwalipa ujira wa dinarimoja kwa siku, akawapeleka kwenye shamba lake la mizabibu.
Ama'n a sinthopungei hah asûna duli pêk ngei rangin a jôta, male a grapebila sintho rangin a tîr ngei zoi.
3 “Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.
Jîng dâr kuo ânringin chu bazar muna a se nôka, mahan mi senkhat ite tho loia an inding ava mua,
4 Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’
masikin an kôm, ‘Nangni khom se ungla, grapebila va sin ungla, rathaman asadên nangni pêk ki tih,’ a tipe ngeia.
5 Kwa hiyo wakaenda. “Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa tisa akafanya vivyo hivyo.
Masikin an se zoi. Hanchu sûn dâr sômleinik le chonûk dâr thuma khom ma angdênin a thoa.
6 Mnamo saa kumi na moja akatoka tena akawakuta wengine bado wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya kazi?’
Kholoi dâr rangnga ânring rangtôn bazar muna ava se nôka, mi senkhat ite sin loia ânding chien ava mu ngei nôka. An kôm, ‘Ithomo ite sin loiin mahin sûn nin min hek?’ tiin a rekel ngeia.
7 “Wakamjibu, ‘Ni kwa sababu hakuna yeyote aliyetuajiri.’ “Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu.’
Anni han a kôm, ‘tutên mi min lo mak ngei,’ tiin an thuona. Asa, hanchu, nangni khom se ungla grapebila sin va tho roi,” a tipe ngeia.
8 “Ilipofika jioni, yule mwenye shamba la mizabibu akamwambia msimamizi, ‘Waite hao vibarua na uwalipe ujira wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho na kuishia na wale walioajiriwa kwanza.’
Kholoi ahong nîn chu, a pumapa han a sum vongpu kôm han, “Sinthopu ngei hah koi inla, anûktaka hong inlopu ngei renga phutin amasataka hong inlopu ngei dênin an rathaman pêk ngei roh,” a tia.
9 “Wale vibarua walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea dinari moja.
Kholoi dâr rangnga sintho koppu ngei ha chu duli chit pêk an nia.
10 Hivyo wale walioajiriwa kwanza walipofika, walidhani watalipwa zaidi. Lakini kila mmoja wao pia alipokea dinari moja.
Masikin motontaka sintho koppu ngei hah an hongin chu atam uol man rangin an mindona; hannirese anni khom duli chit kêng pêk an ni.
11 Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,
An sum hah an lâka, a pumapa chunga an chier phut zoi.
12 wakisema, ‘Hawa watu walioajiriwa mwisho wamefanya kazi kwa muda wa saa moja tu, nawe umewafanya sawa na sisi ambao tumestahimili taabu na joto lote la mchana kutwa?’
“Hi mi nûktaka hôn lo ngei hi chu dâr khat vai an sinna ania, keini chu nisa luma sûntuonin kin sina, hannoma, keini mi ni pêk dôr nanâk anni khom ne pêka!” an tia.
13 “Yule mwenye shamba akamjibu mmoja wao, ‘Rafiki, sijakudhulumu. Je, hukukubaliana nami kwa ujira wa kawaida wa dinari moja?
A pumapa han, an lâia inkhat kôm han, “‘Rangâi ta, mal,’ nang huong mu-ung. Ikhomnirse asûna duli loa sintho ranga no jôt ani.
14 Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama nilivyokupa wewe.
Atûn na rathaman lâk inla, ni ina se roh. Nangma nang ke pêk dôr hih hi anûktaka a hon lopu khom hih pêk ku nuom ani.
15 Je, sina haki yangu kufanya kile nitakacho na mali yangu mwenyewe? Au unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’
Ka sum chu ki ti lamtaka mang rangin rachamneina dôn mu-ung mo? Aninônchu ka mannarloi sikin na narsa mini?” a tipea.
16 “Vivyo hivyo, wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.”
Hanchu Jisua'n, “Masikin anûktak ngei hah amotontak la nîng an ta, amotontak ngei hah anûktak la nîng an tih,” tiin chongkhârnân a tia.
17 Basi Yesu alipokuwa anapanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua kando wale wanafunzi wake kumi na wawili na kuwaambia,
Jisua Jerusalem tena se lâihan, ruoisingei sômleinik hah an theiin a tuong ngeia, lampuia an lôn pumin inrûkten an kôm,
18 “Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa viongozi wa makuhani na walimu wa sheria. Nao watamhukumu kifo
“Rangâi ta u, Jerusalema ei se rang ania, mahan Miriem Nâipasal hi Ochaisingei le Balam minchupungei kuta minsûrin om a tih. Thi rangin theiloimintum an ta,
19 na kumtia mikononi mwa watu wa Mataifa ili wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumsulubisha msalabani. Naye atafufuliwa siku ya tatu!”
hanchu Jentailngei kuta pêk an ta, anni han munui inzanân mang an ta, vîk an ta, khrosa jêmdel an tih; hannirese sûnthum suole chu aringin kaithoiin om a tih,” a tia.
20 Kisha mama yao wana wa Zebedayo akamjia Yesu pamoja na wanawe, naye akapiga magoti mbele yake, akamwomba Yesu amfanyie jambo fulani.
Hanchu Jebedee lômnu hah a nâipasal inik ngei leh Jisua kôm an honga, amakunga khûkinbilin, a lungkhamna a zonga.
21 Yesu akamuuliza, “Unataka nini?” Akajibu, “Tafadhali, wajalie wanangu hawa ili mmoja aketi upande wako wa kuume, na mwingine upande wako wa kushoto katika Ufalme wako.”
Jisua'n a kôm, “Imo nu nuom?” tiin amanu hah a rekela. Amanu han, “Hi ka nâipasal inik ngei hih Rêng nini tika na chang tieng inkhat no voitieng inkhat min sung rangin chong mênkhâm pe roh,” tiin a thuona.
22 Yesu akawaambia, “Ninyi hamjui mnaloliomba. Je, mnaweza kukinywea kikombe nitakachonywea mimi?” Wakajibu, “Tunaweza.”
Jisua'n, nâipasalngei kôm han, “Nin zong hih nin riet loi ani, Tuongna kilât ki nêk rang hih nin nêk thei rang mo?” a tia. “Thei kin tih,” tiin an thuona.
23 Yesu akawaambia, “Kwa kweli kikombe changu mtakinywea, lakini kuketi upande wangu wa kuume au wa kushoto si langu mimi kuwapa. Nafasi hizo ni za wale ambao wameandaliwa na Baba yangu.”
Jisua'n an kôm, “Ki kilât chu nêk tatak nan ta,” hannirese, “tumo ka chang tieng le ko voi tienga ânsung rang chu keiman zen rangin racham dôn mu-ung. Hi munngei hih chu ka Pa'n a mintuo pe ngei ta rang kêng ani,” a tia.
24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, waliwakasirikia hao ndugu wawili.
Ruoisi dang sômngei han ma chong hah an rietin chu, lâibung inik ngei chunga an ningathik zoia.
25 Lakini Yesu akawaita wote pamoja na kuwaambia, “Mnafahamu kuwa watawala wa watu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, nao wenye vyeo huonyesha mamlaka yao.
Masikin Jisua'n an rêngin a koitûp ngeia, an kôm, “Jentailngei chunga roijêkpua an phunngei chu an chunga an inlaltatak ngâia, an ruoipungei khom an chunga rachamneina an dôn ok ngâi iti nin riet.
26 Isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote anayetaka kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa mtumishi wenu,
Nikhomrese, nin lâia chu ma anghin ani rang nimak. Tukhomin alien a nuomin chu, nin tîrlâm ani bak ngêt rang ani;
27 naye anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu hana budi kuwa mtumwa wenu:
Mapêna, nin lâia tukhomin amotontak ani nuomin chu nin tîrlâm a chang bak ngêt rang ani.
28 kama vile ambavyo Mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya wengi.”
Miriem Nâipasal luo mana min a sin an tho pe rangin juong maka, mi sin tho pe rang le mi tamtak rattan ranga a ringna pêk rangin kêng a juong ani,” a tia.
29 Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakiondoka Yeriko, umati mkubwa wa watu ulimfuata.
Jisua le a ruoisingei Jericho hah an mâkin chu, mipui tamtakin an jûia.
30 Vipofu wawili walikuwa wameketi kando ya barabara. Waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapita, wakapiga kelele wakisema, “Bwana, Mwana wa Daudi, tuhurumie!”
Mitcho inik lampui kôla insungin Jisua a hongvun iti an rietin chu, “David Nâipasal! Kin chunga inrieng mi mu roh, Pu!” tiin an in-ieka.
31 Ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze, lakini wao wakazidi kupaza sauti, wakisema, “Bwana, Mwana wa Daudi, tuhurumie.”
Mipui ngei han dâirek rangin an ngo ngeia. Aniatachu anni han, “David Nâipasal! Kin chunga inrieng mimu roh, Pu!” tiin an iniek minring uola.
32 Yesu akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Jisua ânngama a koi ngeia, “Imo nangni rangin ni min tho nin nuom?” tiin a rekel ngeia.
33 Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”
“Pu, mitvârna mi ni pêk rang hih kin nuom ani!” tiin an thuona.
34 Yesu akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.
Jisua'n an chunga inriengmuna a dôna, an mitngei hah a tôn pe ngeia, voikhatrengin an hong mu thei kelena, a nûk an jûi zoi ani.