< Mathayo 20 >

1 “Kwa maana Ufalme wa Mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba aliyetoka alfajiri ili kwenda kuajiri vibarua kufanya kazi katika shamba lake la mizabibu.
like for to be the/this/who kingdom the/this/who heaven a human householder who/which to go out together early to hire worker toward the/this/who vineyard it/s/he
2 Baada ya kukubaliana na hao vibarua kuwalipa ujira wa dinarimoja kwa siku, akawapeleka kwenye shamba lake la mizabibu.
(and *o*) to agree with then with/after the/this/who worker out from denarius the/this/who day to send it/s/he toward the/this/who vineyard it/s/he
3 “Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.
and to go out about (the/this/who *k*) third hour to perceive: see another to stand in/on/among the/this/who marketplace idle
4 Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’
and that to say to go and you toward the/this/who vineyard and which if to be just to give you the/this/who then to go away
5 Kwa hiyo wakaenda. “Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa tisa akafanya vivyo hivyo.
again (then *no*) to go out about sixth and ninth (hour) hour to do/make: do likewise
6 Mnamo saa kumi na moja akatoka tena akawakuta wengine bado wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya kazi?’
about then the/this/who eleventh (hour *k*) to go out to find/meet another to stand (idle *K*) and to say it/s/he which? here to stand all the/this/who day idle
7 “Wakamjibu, ‘Ni kwa sababu hakuna yeyote aliyetuajiri.’ “Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu.’
to say it/s/he that/since: since none me to hire to say it/s/he to go and you toward the/this/who vineyard (and which if to be just to take *K*)
8 “Ilipofika jioni, yule mwenye shamba la mizabibu akamwambia msimamizi, ‘Waite hao vibarua na uwalipe ujira wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho na kuishia na wale walioajiriwa kwanza.’
evening then to be to say the/this/who lord: master the/this/who vineyard the/this/who manager it/s/he to call: call the/this/who worker and to pay it/s/he the/this/who wage be first away from the/this/who last/least until the/this/who first
9 “Wale vibarua walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea dinari moja.
and to come/go (then *o*) the/this/who about the/this/who eleventh hour to take each denarius
10 Hivyo wale walioajiriwa kwanza walipofika, walidhani watalipwa zaidi. Lakini kila mmoja wao pia alipokea dinari moja.
(and *no*) to come/go (then *k*) the/this/who first to think that/since: that (greater *N(k)O*) to take and to take (the/this/who *no*) each denarius and it/s/he
11 Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,
to take then to murmur according to the/this/who householder
12 wakisema, ‘Hawa watu walioajiriwa mwisho wamefanya kazi kwa muda wa saa moja tu, nawe umewafanya sawa na sisi ambao tumestahimili taabu na joto lote la mchana kutwa?’
to say (that/since: that *k*) this/he/she/it the/this/who last/least one hour to do/make: do and equal me it/s/he to do/make: do the/this/who to carry the/this/who burden the/this/who day and the/this/who heat
13 “Yule mwenye shamba akamjibu mmoja wao, ‘Rafiki, sijakudhulumu. Je, hukukubaliana nami kwa ujira wa kawaida wa dinari moja?
the/this/who then to answer one it/s/he to say friend no to harm you not! denarius to agree with me
14 Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama nilivyokupa wewe.
to take up the/this/who you and to go to will/desire then this/he/she/it the/this/who last/least to give as/when and you
15 Je, sina haki yangu kufanya kile nitakacho na mali yangu mwenyewe? Au unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’
or no be permitted me which to will/desire to do/make: do in/on/among the/this/who I/we (or *N(K)O*) the/this/who eye you evil/bad to be that/since: since I/we good to be
16 “Vivyo hivyo, wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.”
thus(-ly) to be the/this/who last/least first and the/this/who first last/least (much for to be called little/few then select *KO*)
17 Basi Yesu alipokuwa anapanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua kando wale wanafunzi wake kumi na wawili na kuwaambia,
and (to ensue *O*) (then *o*) (to ascend *NK(o)*) the/this/who Jesus toward Jerusalem to take the/this/who twelve disciple according to one's own/private and in/on/among the/this/who road to say it/s/he
18 “Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa viongozi wa makuhani na walimu wa sheria. Nao watamhukumu kifo
look! to ascend toward Jerusalem and the/this/who son the/this/who a human to deliver the/this/who high-priest and scribe and to condemn it/s/he death
19 na kumtia mikononi mwa watu wa Mataifa ili wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumsulubisha msalabani. Naye atafufuliwa siku ya tatu!”
and to deliver it/s/he the/this/who Gentiles toward the/this/who to mock and to whip and to crucify and the/this/who third day (to arise *N(k)O*)
20 Kisha mama yao wana wa Zebedayo akamjia Yesu pamoja na wanawe, naye akapiga magoti mbele yake, akamwomba Yesu amfanyie jambo fulani.
then to come near/agree it/s/he the/this/who mother the/this/who son Zebedee with/after the/this/who son it/s/he to worship and to ask one (away from *N(k)O*) it/s/he
21 Yesu akamuuliza, “Unataka nini?” Akajibu, “Tafadhali, wajalie wanangu hawa ili mmoja aketi upande wako wa kuume, na mwingine upande wako wa kushoto katika Ufalme wako.”
the/this/who then to say it/s/he which? to will/desire to say it/s/he to say in order that/to to seat this/he/she/it the/this/who two son me one out from right you and one out from left/south (you *no*) in/on/among the/this/who kingdom you
22 Yesu akawaambia, “Ninyi hamjui mnaloliomba. Je, mnaweza kukinywea kikombe nitakachonywea mimi?” Wakajibu, “Tunaweza.”
to answer then the/this/who Jesus to say no to know which? to ask be able to drink the/this/who cup which I/we to ensue to drink (and *K(o)*) (the/this/who baptism which I/we to baptize to baptize *K*) to say it/s/he be able
23 Yesu akawaambia, “Kwa kweli kikombe changu mtakinywea, lakini kuketi upande wangu wa kuume au wa kushoto si langu mimi kuwapa. Nafasi hizo ni za wale ambao wameandaliwa na Baba yangu.”
(and *k*) to say it/s/he the/this/who on the other hand cup me to drink (and the/this/who baptism which I/we to baptize to baptize *K*) the/this/who then to seat out from right me and out from left/south (me *k*) no to be I/we (this/he/she/it *n*) to give but which to make ready by/under: by the/this/who father me
24 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, waliwakasirikia hao ndugu wawili.
and to hear the/this/who ten be indignant about the/this/who two brother
25 Lakini Yesu akawaita wote pamoja na kuwaambia, “Mnafahamu kuwa watawala wa watu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, nao wenye vyeo huonyesha mamlaka yao.
the/this/who then Jesus to call to/summon it/s/he to say to know that/since: that the/this/who ruler the/this/who Gentiles to master it/s/he and the/this/who great to rule it/s/he
26 Isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote anayetaka kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa mtumishi wenu,
no thus(-ly) (then *k*) (to be *NK(o)*) in/on/among you but which (if *NK(o)*) to will/desire in/on/among you great to be (to be *N(k)O*) you servant
27 naye anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu hana budi kuwa mtumwa wenu:
and which (if *N(k)O*) to will/desire in/on/among you to exist first (to be *N(k)O*) you slave
28 kama vile ambavyo Mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya wengi.”
just as the/this/who son the/this/who a human no to come/go to serve but to serve and to give the/this/who soul: life it/s/he ransom for much
29 Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakiondoka Yeriko, umati mkubwa wa watu ulimfuata.
and to depart it/s/he away from Jericho to follow it/s/he crowd much
30 Vipofu wawili walikuwa wameketi kando ya barabara. Waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapita, wakapiga kelele wakisema, “Bwana, Mwana wa Daudi, tuhurumie!”
and look! two blind to sit from/with/beside the/this/who road to hear that/since: that Jesus to pass to cry to say to have mercy me lord: God (Jesus *O*) (son *NK(O)*) David
31 Ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze, lakini wao wakazidi kupaza sauti, wakisema, “Bwana, Mwana wa Daudi, tuhurumie.”
the/this/who then crowd to rebuke it/s/he in order that/to be quiet the/this/who then great (to cry *N(k)O*) to say to have mercy me lord: God (son *NK(O)*) David
32 Yesu akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
and to stand the/this/who Jesus to call it/s/he and to say which? to will/desire to do/make: do you
33 Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”
to say it/s/he lord: God in order that/to (to open *N(k)O*) the/this/who eye me
34 Yesu akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.
to pity then the/this/who Jesus to touch the/this/who (eye *N(k)O*) it/s/he and immediately to look up/again (it/s/he the/this/who eye *k*) and to follow it/s/he

< Mathayo 20 >