< Mathayo 2 >
1 Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa utawala wa Mfalme Herode, wataalamu wa mambo ya nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu
Baada ya Yesu apapwe Mubethelehem iya Huuyahudi hu nsiku izya mwene u Herode, abhantu bhebhazizye afume humashariki iya patali bhahafishile hu Yerusalemu bhahaga,
2 wakiuliza, “Yuko wapi huyo aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tumeona nyota yake ikitokea mashariki, nasi tumekuja kumwabudu.”
“Ali hwoshi yapapilwe umwene wabhayahudi? Tahayilolile inzota ya humashariki nati tinzile humpute.”
3 Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu.
Umwene u Herode la ahumvwa iga ahalalamushe ni Yerusalemu youti peka nu mwene.
4 Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo angezaliwa.
Uherode ahabhabhunginye agosi bhaadimi bhonti na asimbi bha bhantu, ahabhabhuzya, “Klisiti abhapapwe hwi?”
5 Nao wakamwambia, “Katika Bethlehemu ya Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa na nabii:
Bhamuzya, “Hu Bethelehemu iya Huyahudi, ishi sheyahasimbilwe na akuwa,
6 “‘Nawe, Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, wewe si mdogo miongoni mwa watawala wa Yuda; kwa maana kutoka kwako atakuja mtawala atakayekuwa mchungaji wa watu wangu Israeli.’”
Naawe Bethelehemu, munsi iya Yuda, siga ndodo peka na alongozi abha hu Yuda, pipo afume huliwe abhahwinze umwene yahayibhadima abhantu bhani abha Israeli.”
7 Ndipo Herode akawaita wale wataalamu wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao uhakika kamili wa wakati ile nyota ilionekana.
Isho u Herode ahabhakwizizye bhala abhazyi hu siri na hubhabhuzye aje habhalilizyo bhuli inzota iloleshe.
8 Kisha akawatuma waende Bethlehemu akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii huyo mtoto. Nanyi mara mtakapomwona, mniletee habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.”
Ahabhatuma hu Bethelehemu, ahaga, “Bhalaji na hwenyelezye mumwanze umwana ya papilwe. Nkemwanola mundetele ihabari aje nani nkininze humpute.”
9 Baada ya kumsikia mfalme, wale wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale alipokuwa mtoto.
Baada ya manye aje bhamwimvwizye umwene bhahendeliye ashule, ni mota ila yebhahayilolile humashariki yahabhalongoleye mpa lweyahimilila pala pa mwanya umwana ahapapilwe pansi yakwe.
10 Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.
Lwe bhahayilola inzota bhahashiye hani.
11 Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Maria mama yake, wakamsujudu na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.
Bhahinjiye munyumba nahunole umwana yapapilwe nu Mariamu unyina wakwe. Bhamwinamiye na humpute. Bhahiguye ivintu vyabho nahumfumizye izawadi zyabho izahabu nu uvumba ni manemane.
12 Nao wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa njia nyingine.
U Ngulubhi ahabhasoshile mndoto aje bhasahawele hwa Herode, kwa hiyo bhahasoguye abhale hunsi yabho hwidala ilyinji.
13 Walipokwisha kwenda zao, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kumtafuta huyu mtoto ili amuue.”
Baada ya sogole abhantumi bha Ngulubhi bhahamfumiye u Yusufu hunjozi ahadamushe, “Ua, humweje umwana nu nyina wakwe nu mwana na ahashimbiliye hu Misri. Mukhale hunuhwo mpaka lwe nahayibha bhuzya pipo u Herode ahumwana ili agoje.
14 Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri
Nunsiku u Yusufu ahadamusha na humweje umwana nu nyina wakwe ashimbilile Humisri.
15 ambako walikaa mpaka Herode alipofariki. Hili lilifanyika ili litimie lile lililonenwa na Bwana kwa kinywa cha nabii kusema: “Nilimwita mwanangu kutoka Misri.”
Ahakhiye uhwo mpa u Herode nahafwa. Izi zyahafishiye shila Ungulubhi shahayinje ashilile hwa nkuwa, “Afume humisri inkwizizye mwana wani.”
16 Herode alipongʼamua kwamba wale wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili, alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
U Herode, laahalola bhansufizye na bhantu abhazya, ahavitilwe hani. Ahalajizizye agoje abhana na bhonti abhishilume bhebhahali hu Bethelehemu na bhonti bhebhali pala ahwaudile amaha gabhili ahwishe pansi afume shebha yinje abhazyi.
17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
Pe twalibhombile izwi lila lyelyaha yangwilwe nukuwa u Yeremia,
18 “Sauti ilisikika huko Rama, maombolezo na kilio kikubwa, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe, akikataa kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
“Izi lyahimvwiha hu Ramah, impungo na zonde hani, u Raheli ahabhalililaga abhana bhakwe, na ahakhanile apumilizwe pipo abhana nabhamo.”
19 Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
U Herode lwa hafwa abhantumi bha Ngulubhi bhahamwinziye u Yusufu mutulo uhwo hu Misri na yanje.
20 na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
“Bhuha umweje umwa nu nyina wakwe mubhale hunsi iya hu Israeli pipo bhahanzaga uwumi wa mwana aje bhasahagoje.”
21 Basi Yosefu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
U Yusufu ahimiliye, amwega umwana nu mayi wakwe, ahinza munsi iyamu Israeli.
22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa Herode baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda zake sehemu za Galilaya,
Ishi la ahwumvwa aje u Arikelau ahali mwini wa hu Yuda pala pa yise wakwe u Herode, ahogope abhale uhwo. Baada ya Ngulubhi hunsoshe mutulo, ahasogoye abhale humukoa ugwa hu Galilaya,
23 akaenda akaishi katika mji ulioitwa Nazareti. Hivyo likawa limetimia neno lililonenwa na manabii, “Ataitwa Mnazarayo.”
ahabhalile akhale munsi yihwitwa Nazareti. Ili lyahatimiye hu zila zyezyahayangwilwe hwi dala lya kuwa aje bhasiakwizye Mnazareti.