< Mathayo 2 >

1 Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa utawala wa Mfalme Herode, wataalamu wa mambo ya nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu
Jitia Herod raja thakise, etu somoite Judea desh laga Bethlehem town te Jisu jonom hoise. Aru gyaan thaka manu khan purab phale thaka desh pora jonom laga kotha huni kene Jerusalem te ahise,
2 wakiuliza, “Yuko wapi huyo aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tumeona nyota yake ikitokea mashariki, nasi tumekuja kumwabudu.”
aru eneka hudise, “Yehudi khan laga Raja hobole jonom huwa to kot te ase? Kilekoile amikhan Tai laga tara purab te dikhise, aru amikhan Taike aradhana kori bole ahise.”
3 Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu.
Kintu jitia Herod raja etu hunise, tai aru tai logote Jerusalem te thaka khan sob laga mon chinta hoise.
4 Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo angezaliwa.
Etu pichete Herod raja pora mukhyo purohit aru niyom likha manu khan ke eke logote mati kene hudise, “Khrista to kun jagate jonom hobo?”
5 Nao wakamwambia, “Katika Bethlehemu ya Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa na nabii:
Taikhan taike koise, “Judea laga Bethlehem te, kele koile etu he bhabobadi khan pora Isor kotha te likhise,
6 “‘Nawe, Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, wewe si mdogo miongoni mwa watawala wa Yuda; kwa maana kutoka kwako atakuja mtawala atakayekuwa mchungaji wa watu wangu Israeli.’”
‘Kintu tumi Bethlehem, Judah desh te thaka, Apnikhan Judah desh laga cholawta khan pora komti nohoi, Kilekoile apnikhan majot pora ekjon raja ulabo, Jun Ami laga Israel manu khan ke Rokhiya kori cholai loijabo.’”
7 Ndipo Herode akawaita wale wataalamu wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao uhakika kamili wa wakati ile nyota ilionekana.
Etu pichete, Herod pora lukaikene gyaani manu khan ke kotha korise aru tara ki homoi te ulaise etu bhal pora jani loise.
8 Kisha akawatuma waende Bethlehemu akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii huyo mtoto. Nanyi mara mtakapomwona, mniletee habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.”
Etu pichete tai gyaani manu khan ke Bethlehem te eneka koi kene pathaise, “Jabi aru bhal pora etu bacha ke bisari bhi. Kitia apnikhan taike pabo, amike kobi, kele koile Moi bhi ta te jai kene Taike aradhana koribo.”
9 Baada ya kumsikia mfalme, wale wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale alipokuwa mtoto.
Raja laga kotha khan huna pichete, taikhan jai jaise, aru sabi, taikhan juntu tara purab te dikhise etu eke tara aru dikhise aru taikhan etu tara laga piche jaise. Etu tara taikhan age-age jai kene bacha thaka jaga uporte rukhi jaise.
10 Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.
Jitia taikhan tara ke dikhise, taikhan bisi khushi hoi kene rukhibo.
11 Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Maria mama yake, wakamsujudu na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.
Titia taikhan ghor bhitor te ghusi se chutu bacha ke Tai laga ama Mary pora dhuri thaka dikhise. Taikhan athukari kene Taike aradhana korise. Taikhan khushi pora taikhan laga khajana khan khuli kene suna, aru dhona, aru bhal gundh laga tel khan daan korise.
12 Nao wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa njia nyingine.
Kintu Isor pora taikhan laga sapna te Herod logote wapas najabi koi kene hoshiar kori dise, etu nimite dusra rasta pora taikhan nijor desh te wapas jai jaise.
13 Walipokwisha kwenda zao, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kumtafuta huyu mtoto ili amuue.”
Kintu taikhan jai ja-a pichete, Isor laga sorgodoth sapna te ahikena Joseph ke koise, “Uthibi, bacha aru ama ke loi kene Egypt te polai jabi aru ami nokuwa tak ta te thakibi, kele koile Herod Raja pora etu bacha ke mora bole bisari bole ase.”
14 Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri
Titia utu rati te, Joseph uthikena bacha aru ama ke loi kene Egypt desh te polai jaise.
15 ambako walikaa mpaka Herode alipofariki. Hili lilifanyika ili litimie lile lililonenwa na Bwana kwa kinywa cha nabii kusema: “Nilimwita mwanangu kutoka Misri.”
Tai Herod namora tak ta te he thakise. Juntu kotha Isor laga bhabobadi pora koi disele, etu pura hoi jaise, “Egypt pora Ami laga chokra ke mati loise.”
16 Herode alipongʼamua kwamba wale wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili, alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
Jitia Herod gyaani manu khan pora taike thogaise koi kene janise, tai bisi khong uthise. Etu nimite tai laga sipahi khan ke pathaikena jiman dui saal pora niche mota bacha Bethlehem te ase, sobke morai dibole hukum dise. Kilekoile utu somoite Jisu jonom koi kene dui saal ase koi kene Herod khobor paikena thakise.
17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
Bhabobadi Jeremiah pora ki kotha koi dise eitu khan sob pura hoi jaise, juntu eneka likha asele,
18 “Sauti ilisikika huko Rama, maombolezo na kilio kikubwa, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe, akikataa kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
“Ramah town te ekta awaj hunise, Bisi mon dukh koi kene kandi thakise, Rachel tai laga bacha nimite kandi thakise, Aru kunke bhi tai laga mon shanti koribo diya nai kele koile taikhan nathaka hoi jaise.”
19 Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
Aru jitia raja Herod mori jaise, sabi, Isor laga ekjon sorgodoth, Joseph to Egypt te thaka somoite tai laga sapna te ahise,
20 na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
aru eneka koise, “Uthikena bacha aru tai laga ama ke loi kene Israel desh te jabi, kele koile jun manu bacha ke mora bole thakise taikhan morise.”
21 Basi Yosefu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
Etu pichete Joseph uthikena, bacha aru ama ke loi jaise, aru Israel laga desh te jaise.
22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa Herode baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda zake sehemu za Galilaya,
Kintu jitia tai hunise Herod laga chokra Archelaus he Judea laga raja ase, titia, tai ta te jabole bhoi hoi jaise. Hoilebi Isor pora tai laga sapna te hoshiar kori dise, aru etu jaga chari kene, tai Galilee jagate jaise.
23 akaenda akaishi katika mji ulioitwa Nazareti. Hivyo likawa limetimia neno lililonenwa na manabii, “Ataitwa Mnazarayo.”
Aru Nazareth laga sheher te jaise aru ta te thaki jaise. Eneka pora, juntu bhabobadi khan pora Isor laga kotha koi dise etu pura hoi jaise, juntu asele, Taike Nazareth laga manu koi kene matibo.

< Mathayo 2 >