< Mathayo 2 >

1 Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa utawala wa Mfalme Herode, wataalamu wa mambo ya nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu
the/this/who then Jesus to beget in/on/among Bethlehem the/this/who Judea in/on/among day Herod the/this/who king look! sage away from east to come toward Jerusalem
2 wakiuliza, “Yuko wapi huyo aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tumeona nyota yake ikitokea mashariki, nasi tumekuja kumwabudu.”
to say where? to be the/this/who to give birth to king the/this/who Jew to perceive: see for it/s/he the/this/who star in/on/among the/this/who east and to come/go to worship it/s/he
3 Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu.
to hear then the/this/who king Herod to trouble and all Jerusalem with/after it/s/he
4 Herode akawaita pamoja viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo angezaliwa.
and to assemble all the/this/who high-priest and scribe the/this/who a people to inquire from/with/beside it/s/he where? the/this/who Christ to beget
5 Nao wakamwambia, “Katika Bethlehemu ya Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa na nabii:
the/this/who then to say it/s/he in/on/among Bethlehem the/this/who Judea thus(-ly) for to write through/because of the/this/who prophet
6 “‘Nawe, Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, wewe si mdogo miongoni mwa watawala wa Yuda; kwa maana kutoka kwako atakuja mtawala atakayekuwa mchungaji wa watu wangu Israeli.’”
and you Bethlehem earth: country Judah by no means least to be in/on/among the/this/who ruler Judah out from you for to go out to govern who/which to shepherd the/this/who a people me the/this/who Israel
7 Ndipo Herode akawaita wale wataalamu wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao uhakika kamili wa wakati ile nyota ilionekana.
then Herod quietly to call: call the/this/who sage be exactly from/with/beside it/s/he the/this/who time the/this/who to shine/appear star
8 Kisha akawatuma waende Bethlehemu akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii huyo mtoto. Nanyi mara mtakapomwona, mniletee habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.”
and to send it/s/he toward Bethlehem to say to travel to find out exactly about the/this/who child when/as soon as then to find/meet to announce me that I/we and to come/go to worship it/s/he
9 Baada ya kumsikia mfalme, wale wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale alipokuwa mtoto.
the/this/who then to hear the/this/who king to travel and look! the/this/who star which to perceive: see in/on/among the/this/who east to go/bring before it/s/he until to come/go (to stand *N(k)O*) above whither to be the/this/who child
10 Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.
to perceive: see then the/this/who star to rejoice joy great very
11 Walipoingia ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja na Maria mama yake, wakamsujudu na kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za dhahabu, uvumba na manemane.
and to come/go toward the/this/who home (to perceive: see *NK(o)*) the/this/who child with/after Mary the/this/who mother it/s/he and to collapse to worship it/s/he and to open the/this/who treasure it/s/he to bring to it/s/he gift gold and frankincense and myrrh
12 Nao wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa njia nyingine.
and to announce according to dream not to return to/with Herod through/because of another road to leave toward the/this/who country it/s/he
13 Walipokwisha kwenda zao, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kumtafuta huyu mtoto ili amuue.”
to leave then it/s/he look! angel lord: God to shine/appear according to dream the/this/who Joseph to say to arise to take the/this/who child and the/this/who mother it/s/he and to flee toward Egypt and to be there until if to say you to ensue for Herod to seek the/this/who child the/this/who to destroy it/s/he
14 Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake wakati wa usiku, nao wakaenda Misri
the/this/who then to arise to take the/this/who child and the/this/who mother it/s/he night and to leave toward Egypt
15 ambako walikaa mpaka Herode alipofariki. Hili lilifanyika ili litimie lile lililonenwa na Bwana kwa kinywa cha nabii kusema: “Nilimwita mwanangu kutoka Misri.”
and to be there until the/this/who death Herod in order that/to to fulfill the/this/who to say by/under: by (the/this/who *k*) lord: God through/because of the/this/who prophet to say out from Egypt to call: call the/this/who son me
16 Herode alipongʼamua kwamba wale wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili, alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
then Herod to perceive: see that/since: that to mock by/under: by the/this/who sage to anger greatly and to send to kill all the/this/who child the/this/who in/on/among Bethlehem and in/on/among all the/this/who region it/s/he away from two years old and lower according to the/this/who time which be exactly from/with/beside the/this/who sage
17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
then to fulfill the/this/who to say (through/because of *N(k)O*) Jeremiah the/this/who prophet to say
18 “Sauti ilisikika huko Rama, maombolezo na kilio kikubwa, Raheli akilia kwa ajili ya wanawe, akikataa kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
voice/sound: voice in/on/among Ramah to hear (lamentation and *K*) weeping and mourning much Rachel to weep the/this/who child it/s/he and no to will/desire to plead/comfort that/since: since no to be
19 Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
to decease then the/this/who Herod look! angel lord: God to shine/appear according to dream the/this/who Joseph in/on/among Egypt
20 na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
to say to arise to take the/this/who child and the/this/who mother it/s/he and to travel toward earth: country Israel to die/be dead for the/this/who to seek the/this/who soul: life the/this/who child
21 Basi Yosefu, akaondoka akamchukua mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya Israeli.
the/this/who then to arise to take the/this/who child and the/this/who mother it/s/he and (to enter *N(k)O*) toward earth: country Israel
22 Lakini aliposikia kwamba Arkelao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa Herode baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda zake sehemu za Galilaya,
to hear then that/since: that Archelaus to reign (upon/to/against *ko*) the/this/who Judea for the/this/who father it/s/he Herod to fear there to go away to announce then according to dream to leave toward the/this/who part the/this/who Galilee
23 akaenda akaishi katika mji ulioitwa Nazareti. Hivyo likawa limetimia neno lililonenwa na manabii, “Ataitwa Mnazarayo.”
and to come/go to dwell toward city to say: call Nazareth that to fulfill the/this/who to say through/because of the/this/who prophet that/since: that Nazareth to call: call

< Mathayo 2 >