< Mathayo 19 >
1 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Uyahudi, ngʼambo ya Mto Yordani.
Yapiti wakati Yesu payomwi makowe go, ayei Galilaya na ayei kupaka wa Yudea nnonge ya libende lya Jordani.
2 Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akawaponya huko.
Kipenga kikolo chatimkengama, na atikwaponiya kwo.
3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili kumjaribu, wakamuuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”
Mafarisayo gabauyendelya, kabampaya, kabammakiya, “Je halali mundu kunneka nyumbowe kwa sababu yoyoti?
4 Akawajibu, “Je, hamkusoma kwamba hapo mwanzo Muumba aliwaumba mwanaume na mwanamke,
Yesu kayangwa ni kwaabakiya, “Musomite kwaa, panga ywembe ywaumbite hapo pakwanza aumbite nnalome ni nwawa?
5 naye akasema, ‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?
Na kae kabaya,'Kwasababu ya nnalome alowa kunneka Tate bake ni mao bake no longela na nyumbowe, ni abele balowa ba mundu yumo?'
6 Hivyo si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Kwahi abele kwaa kae, Ba chalumbine Nnongo, mundu yoyoti kana atenganishe.”
7 Wakamuuliza, “Kwa nini basi Mose aliagiza mtu kumpa mkewe hati ya talaka na kumwacha?”
Ngabamakiya, “Tubwe mwanza mani Musa atubakiye tupiye hati ya talaka na kunneka?”
8 Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. Lakini tangu mwanzo haikuwa hivyo.
Ngabakiya, kwa sababu ya nonopa kwinu kwa mwoyo Musa atikuarusu kwaleka akina yumbo binu, lakini boka zamani yabinyo kwa.
9 Mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa sababu ya uasherati naye akaoa mke mwingine, anazini. Naye amwoaye yule mwanamke aliyeachwa pia anazini.”
Nenda kumakiya, jwalowa kunneka nyumbowe, ila kwa mwanza amalaya na katola ywenge, enda zini. Nalome ywalowa kutola nwawa ywalekilwe endazini.”
10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hali ndiyo hii kati ya mume na mke, ni afadhali mtu asioe!”
Anapunzi kabammakiya Yesu, “manaibile nyoo kwanalome ni nyumbowe, bora kutoka tolakwe”.
11 Yesu akawaambia, “Si watu wote wanaoweza kupokea neno hili, isipokuwa wale tu waliojaliwa na Mungu.
Lakini Yesu kaabakiya, “Mundu kwaa ywaweza tama kichake, ila kwa balo babapeyilwe.
12 Kwa maana wengine ni matowashi kwa sababu wamezaliwa hivyo; wengine wamefanywa matowashi na wanadamu; na wengine wamejifanya matowashi kwa ajili ya Ufalme wa Mbinguni. Yeye awezaye kulipokea neno hili na alipokee.”
Kwasababu babile benembende bababelekwile buka ya mao babe. Ni kae kwi na bene mbende babaipangile kwa sababu ya utawala wa kumaunde ywaweza pokwa mapundisho ga na agapoki.”
13 Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na awaombee. Lakini wanafunzi wake wakawakemea wale waliowaleta.
Alafu baneti baadhi ya bana achene linga abeki maboko kunani yabe na kwalolya, lakini anapunzi bake bende kwakerebuya.
14 Yesu akasema, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mbinguni ni wa wale walio kama hawa.”
Ila Yesu atikwabakiya, “Mwaleke bana achene, wala kana mwakanikiye icha kachango, kwamana utawala wa kumaunde ni wa bandu kati baa.
15 Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.
Ni ywembe nga abekya maboko gake kunani yabe, na mwisho ngaboka palo.
16 Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios )
Linga mundu yumo kaisa kwa Yesu na kumakiya, mwalimu kikowe gani kinanoga champalikwa panga linga nipate jingya kukoto wa wange yomoka? (aiōnios )
17 Yesu akamjibu, “Mbona unaniuliza habari ya mema? Aliye mwema ni Mmoja tu. Lakini ukitaka kuingia uzimani, zitii amri.”
Yesu ngamakiya, mwanja namani unilaluya kila begani kinanoga? kwi na yumo bai ywabile mwema lakini mana upendi kupata ukoto, mwikamwe saliya ya Nnongo.”
18 Yule mtu akamuuliza, “Amri zipi?” Yesu akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
Yolo mundu nganaluya, saliya yako? Yesu ngabaya, kana usalau, kana wabe malaya, kana wabe mwii, kana walongela ubocho.
19 waheshimu baba yako na mama yako, na umpende jirani yako kama nafsi yako.”
Uwaeshimu Tate bako na mao bako, na upende jilani wako kati mwawipendi wa mwene.”
20 Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”
Mundu yolo ngammakiya,'Makowe goti nigakamwile. Bado nipalikwa kinamani?
21 Yesu akamwambia, “Kama ukitaka kuwa mkamilifu, nenda, ukauze vitu vyote ulivyo navyo, na hizo fedha uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.”
Yesu ngamakiya, mana kupala ube wa mkamilifu, yenda, ukapemeye yobile nayo, nawapei maskini, na walowa baa na akiba ya kumaunde. Alafu wiche unikengame.”
22 Yule kijana aliposikia hayo, akaenda zake kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali nyingi.
Lakini kijana yolo payowe galo gamakiye, atiboka kwo uzunika, kwa mwanja abi na mali yanansima.
23 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Amin, nawaambia, itakuwa vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mbinguni.
Kae nenda kaamakiya anapunzi bake, “Kweli nenda kuamakiya, ngumu kwa mundu tajiri jingya, mu'utawala wa kumaunde.
24 Tena nawaambia, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
Kae nenda kuamakiya, rahisi ngamiya petta palembwa lya sindano kuliko tajiri jingya mu utawala wa Nnongo.”
25 Wanafunzi wake waliposikia haya, walishangaa sana na kuuliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”
Anapunzi pabayowine ago, batisangala muno no baya, “Nyai le ywapala okoka?”
26 Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”
Yesu atikwalinga no baya, kwa alyo liwezekanika kwaa, lakini kwa Nnongo goti gendawezekana.”
27 Ndipo Petro akamjibu, “Tazama, sisi tumeacha kila kitu na kukufuata! Tutapata nini basi?”
Petro nganyangwana kumakiya, linga twilei yoti na kukukengama wenga, kilebe gani chatulowa kukipata?”
28 Yesu akawaambia, “Amin, nawaambia, wakati wa kufanywa upya vitu vyote, Mwana wa Adamu atakapoketi kwenye kiti chake kitukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
Yesu kayangwa, “Kweli nenda kuwamakiyanga, ywembe ywanikengama nenga, mubelei wayambe wakati mwana wa Adamu palowa tama pakitengo cha utawala cha utukufu wake, na mwenga mwabembe mwalowa tama paitengo kumi na ibele ya enzi, kwahukumu makabila komi ni ibele ya Israeli.
29 Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios )
Kila mundu yumo ywailei nyumba, kaka, mnombowe Tate bake mao bake, bana na mingunda kwa ajili ya lina lyango, alowa wapokiya mara mia na kurithi ukoto wangeyomoka. (aiōnios )
30 Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
Lakini baingi bababile bakwanza balowa bamwisho, na bababile bamwisho baba ba kwanza.