< Mathayo 19 >
1 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Uyahudi, ngʼambo ya Mto Yordani.
Sa yeso mara tize tiginome vat, macekki manyanga mu galili, maribe uyahudiya sa uraa in nuhuru umacanga mu urdu.
2 Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akawaponya huko.
Ni orinanu gwardang ni tarsime, ma humuzan we abirko me.
3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili kumjaribu, wakamuuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”
Are anu bezirusa wa e ahira me wabatime, wagu, “yawuna ari unu ma cekki unee ahira kadiya imum?”
4 Akawajibu, “Je, hamkusoma kwamba hapo mwanzo Muumba aliwaumba mwanaume na mwanamke,
Ma kabirka magu, “ani daa yamu ira uguna desa mabarwe daat, utubame mabarwe unee nan vanuu mar?”
5 naye akasema, ‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?
Makuri magun we, unu madi cekki a inoo nan ka coo ume, mapattina nan unee ume ware wageno wacukuno nipum ni inde.
6 Hivyo si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Uhana je dakki apum are ba, ni inde ni ni, imumbe sa Asere apatta katti unu ma hari ini.
7 Wakamuuliza, “Kwa nini basi Mose aliagiza mtu kumpa mkewe hati ya talaka na kumwacha?”
Ba wa gun me, “Nyaa ni yawu musa magu kini anyettiki ahu anya, nani a cekki unee ma dussa?”
8 Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. Lakini tangu mwanzo haikuwa hivyo.
Magun we, “Barki ugbas ushi uni wawu musa mahem shi anime, daa ti utuba idazome aniba.
9 Mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa sababu ya uasherati naye akaoa mke mwingine, anazini. Naye amwoaye yule mwanamke aliyeachwa pia anazini.”
In kurin bushi, dee sa ma cekki unee ume, inki daki ma wuza imumu zenzen in ba, maka zika uru nee sas mawuza imum izenzen ini, debe sa ma zika unee me sa agido cangi ma wuza imum izenzen.”
10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hali ndiyo hii kati ya mume na mke, ni afadhali mtu asioe!”
Banu tarasa wagun me, “Inki ane ani izi a tii nunan nu ne ume, uzatu wuza nyame uteki.”
11 Yesu akawaambia, “Si watu wote wanaoweza kupokea neno hili, isipokuwa wale tu waliojaliwa na Mungu.
Magun we, “Daki koya nu mani madakee maziki ani me ba, senke da sa ahem imme anime.
12 Kwa maana wengine ni matowashi kwa sababu wamezaliwa hivyo; wengine wamefanywa matowashi na wanadamu; na wengine wamejifanya matowashi kwa ajili ya Ufalme wa Mbinguni. Yeye awezaye kulipokea neno hili na alipokee.”
Aye wa rani ayozowe ane ani, aye warani anu wani wuna we ani me. A ye wewani inna ce u we barki unyara utigomo ta zesere. Vat unu kunna utize tigeme ma ziki, ama ziki.”
13 Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na awaombee. Lakini wanafunzi wake wakawakemea wale waliowaleta.
U ganiya uginome a e men ina hana acincin barki matarwe tari, ma wuwe biringara, ba anu tarsa umeme wa kuburka we.
14 Yesu akasema, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mbinguni ni wa wale walio kama hawa.”
Ba yeso magu, “Kini ahana a cincin wa e ahira am barki tigomo ta sesere me tu saa sana uwee uni.
15 Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.
“Bama tarwe tari madusa.
16 Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios )
Ba uye ma'e'e' mamu nan me magu, unu dungara nyani indi wuzi in kem u vengize uzatu marsa?” (aiōnios )
17 Yesu akamjibu, “Mbona unaniuliza habari ya mema? Aliye mwema ni Mmoja tu. Lakini ukitaka kuingia uzimani, zitii amri.”
Bama gunme, “Nyaa u'ige zom ahira imum e' gebe sa izi i huna? unu huma unu inde mani, inki unyara u kem ivei uzatu marsa, tarsa in u buka ugeme”
18 Yule mtu akamuuliza, “Amri zipi?” Yesu akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
Bama gunme, “Uyayya?” Yeso magu, “Katti uhunu ba. Katti u wuzi zenzen ba. Katti uwuzi nikariba. Katti ubuki imun mu igebe su tawe inni ba.
19 waheshimu baba yako na mama yako, na umpende jirani yako kama nafsi yako.”
Nya acoo nan ka ino uwe tima nu, u hem innu hoo kasi ni ce nuwe.
20 Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”
Ba manyani me magunme, “Vat mamu tarsan anime, nyani ya dem?”
21 Yesu akamwambia, “Kama ukitaka kuwa mkamilifu, nenda, ukauze vitu vyote ulivyo navyo, na hizo fedha uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.”
Yeso magunme, “Imum inde ini ya de we, hana uka ziize vat imumbe sa uzini, unya ande sa akara amara, udikim gwardang a zesere. U' e, utarsum?”
22 Yule kijana aliposikia hayo, akaenda zake kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali nyingi.
Sa ma nyani ma kunna anime, ma dusa, inna puru abit barki me unu imum manikam.
23 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Amin, nawaambia, itakuwa vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mbinguni.
Ba yeso magun innanu tarsa umeme, kadundure inboshi idi cukkuno in ni jas si uni mum maribe atigomo ta zesere.
24 Tena nawaambia, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
Akkanime inboshi, idi teki innu seke uronkomi uribe ani hara na lira, innu guna unu kem maribe ati gomo ta zesere.
25 Wanafunzi wake waliposikia haya, walishangaa sana na kuuliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”
Anu tarsa umeme biyau bimek we sa wa kunna anime, wagu inka anime ani avee ni madi kem u bura.
26 Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”
Ba yeso ma iriwe, magun we, “ahira anu, daa imimu wuna uniba, ahiraa sere kodi nyani idake wu.
27 Ndipo Petro akamjibu, “Tazama, sisi tumeacha kila kitu na kukufuata! Tutapata nini basi?”
Ba bitrus makabirka magu, “iye ta cekki adodu aru vat tatar sawe, nyaani tidikem?”
28 Yesu akawaambia, “Amin, nawaambia, wakati wa kufanywa upya vitu vyote, Mwana wa Adamu atakapoketi kwenye kiti chake kitukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
Yeso magunwe, inboshi kadundure, uganiya uso sa vana madi cukkuno ukwanku uti gomo tume, shi saya tarsam, shi wani idi cukkuno u kwanku alem ukirau in kare usarila.
29 Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios )
Vattu shi ya censi ti kura, nan nanu henu a'e, anu henu aruma, nan ka ino, nani acoo nan na hana, atiru, barki nizanum madi kem gwardang, makuri makem ivai zatu marsa. (aiōnios )
30 Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
Anu tuba gwardang wadi cukuno ana dumo ana dumo wa cukuno anje.