< Mathayo 19 >

1 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Uyahudi, ngʼambo ya Mto Yordani.
Jisuh ni, hete lawknaw be a dei hnukkhu, Galilee ram a ceitakhai teh Jordan tui namran, Judea ram lah a cei.
2 Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akawaponya huko.
Taminaw ni a hnuk a kâbang awh, hote hmuen koe kapatawnaw a dam sak.
3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili kumjaribu, wakamuuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”
Farasinaw ni atengvah a tho awh teh, sak payonnae pueng dawk hoi tami ni amae yu hah ama kawi maw titeh a tanouk awh.
4 Akawajibu, “Je, hamkusoma kwamba hapo mwanzo Muumba aliwaumba mwanaume na mwanamke,
Bawipa ni apuengcue vah sak lah kaawm e teh tongpa hoi napui kahni touh dueng doeh sak lah kaawm.
5 naye akasema, ‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?
Hote dawkvah tongpa ni a na pa hoi a manu a ceitakhai teh, a yu hoi a kâpahlawm dawkvah hote kahni touh roi teh buet touh lah ao han telah Cakathoung dawk a dei e hah na touk awh boihoeh maw.
6 Hivyo si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Hatdawkvah yuvâ roi teh kahni touh nahoeh, buet touh doeh. Cathut ni buet touh lah a pahlawm tangcoung e hno hateh tami ni kapek hanh naseh atipouh.
7 Wakamuuliza, “Kwa nini basi Mose aliagiza mtu kumpa mkewe hati ya talaka na kumwacha?”
Farasinaw ni hottelah pawiteh manae ca poe hoi ma hanlah bangkong Mosi ni kâ a poe atipouh awh.
8 Yesu akawajibu, “Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. Lakini tangu mwanzo haikuwa hivyo.
Nangmae lungthin a pata dawkvah yu hoi kama hanlah Mosi ni a dei. Apuengcue teh hottelah na hoeh.
9 Mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa sababu ya uasherati naye akaoa mke mwingine, anazini. Naye amwoaye yule mwanamke aliyeachwa pia anazini.”
Na dei pouh awh, uicuknae laipalah a yu heh a ma teh alouke napui ka lat e tami teh amae a yu koe a yon. Ma lah kaawm e napui hah ka lat e tami haiyah ayâ yu koe a yon atipouh.
10 Wanafunzi wake wakamwambia, “Kama hali ndiyo hii kati ya mume na mke, ni afadhali mtu asioe!”
A hnukkâbangnaw ni yuvâ dawk hettelah awm pawiteh yu lat laipalah o e heh ahawi atipouh.
11 Yesu akawaambia, “Si watu wote wanaoweza kupokea neno hili, isipokuwa wale tu waliojaliwa na Mungu.
Bawipa ni hote lawk hah tami pueng ni koung dâw a mahoeh. Dâw thainae kâ kahmawt e ni dueng doeh a dâw thai.
12 Kwa maana wengine ni matowashi kwa sababu wamezaliwa hivyo; wengine wamefanywa matowashi na wanadamu; na wengine wamejifanya matowashi kwa ajili ya Ufalme wa Mbinguni. Yeye awezaye kulipokea neno hili na alipokee.”
Tami tangawn teh a manu von thung hoi a bokhai e lah a tho. A tangawn teh yu la hoeh hanelah ayâ ni cingthui e lah ao. Atangawn teh kalvan uknaeram kecu dawk yu lat laipalah ao. Hete lawk heh ka dâw thai e teh dâw naseh atipouh.
13 Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na awaombee. Lakini wanafunzi wake wakawakemea wale waliowaleta.
Hatnavah camonaw lathueng vah kut toung sin hoi ratoum pouh hanlah atengvah camonaw hah a thokhai awh e hah a hnukkâbangnaw ni a yue awh.
14 Yesu akasema, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mbinguni ni wa wale walio kama hawa.”
Jisuh ni, hote camonaw hah thokhai a ngoun seh kai koe a tho awh hoeh nahanlah ngang awh hanh. Kalvan uknaeram teh hot patet e camonaw e ram doeh atipouh teh,
15 Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.
Camonaw e van vah kut a toung hnukkhu alouklah a cei.
16 Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Hathnukkhu, tami buet touh a tho teh, Bawi kahawi, yungyoe hringnae coe thai nahanlah bangpatet e hnokahawi maw ka sak han telah a pacei. (aiōnios g166)
17 Yesu akamjibu, “Mbona unaniuliza habari ya mema? Aliye mwema ni Mmoja tu. Lakini ukitaka kuingia uzimani, zitii amri.”
Jisuh ni Bangkong, kai hah Bawi kahawi na tipouh. Cathut buet touh dueng doeh kahawi. Hringnae dawk kâen na ngai pawiteh kâpoelawknaw hah tarawi atipouh.
18 Yule mtu akamuuliza, “Amri zipi?” Yesu akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
Bangpatet e, kâlawknaw maw ka tarawi han kawi telah bout a pacei toteh, tami thet hanh, uicuk hanh, ayâ e hno parawt hanh, laithoe kampangkhai hanh,
19 waheshimu baba yako na mama yako, na umpende jirani yako kama nafsi yako.”
manu na pa barih, ma hoi kâkuen e tami hah nama patetlah lungpataw telah atipouh.
20 Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”
Hote tami ni, hote kâlawknaw pueng teh kanawca hoi koung ka tarawi toe. Bangmaw sak hane a panki rah atipouh.
21 Yesu akamwambia, “Kama ukitaka kuwa mkamilifu, nenda, ukauze vitu vyote ulivyo navyo, na hizo fedha uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.”
Kuepnae koe pha na ngai pawiteh cet nateh na hnopai pueng hah yawt nateh mathoemara pueng hah kabawm. Hottelah na sak pawiteh kalvan kho vah hno na tawn han. Hathnukkhu ka hnukkâbang haw, telah atipouh.
22 Yule kijana aliposikia hayo, akaenda zake kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali nyingi.
Hote tami teh hnopai moi ka tawn e lah ao dawkvah, hote lawk hah a thai navah lungmathoe laihoi a ban.
23 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Amin, nawaambia, itakuwa vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mbinguni.
Bawi Jisuh ni atangcalah na dei pouh awh, tangka moi ka tawn e ni teh kalvan uknaeram thung a kâen han a ru.
24 Tena nawaambia, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
Bout na dei pouh awh. Bawi tangreng ni Cathut uknaeram thung dawk a kâen hlak teh Kalauk ni phuengvang khu dawk a kâen heh bet a yawi. Telah a hnukkâbangnaw koe atipouh.
25 Wanafunzi wake waliposikia haya, walishangaa sana na kuuliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”
Ahnimouh ni a thai awh nah a kângairu awh dawkvah, hat pawiteh apimaw hloutnae dawk ka phat thai han atipouh awh.
26 Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”
Jisuh ni ahnimanaw hah a khet teh, het heh tami hanlah teh coung thai hoeh, hatei, Cathut hanelah teh, a cawngca e hnopueng a coung thai atipouh.
27 Ndipo Petro akamjibu, “Tazama, sisi tumeacha kila kitu na kukufuata! Tutapata nini basi?”
Hattoteh Piter ni, kaimouh ni teh ka tawn awh e pueng ceitakhai hoi na hnuk ka kâbang awh toe. Bangpatet e tawkphu maw ka coe awh han atipouh.
28 Yesu akawaambia, “Amin, nawaambia, wakati wa kufanywa upya vitu vyote, Mwana wa Adamu atakapoketi kwenye kiti chake kitukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
Jisuh ni atangcalah na dei pouh awh. A cawngca e hnopueng a katha lah pathoupnae tueng dawkvah tami Capa ni a bawilennae bawitungkhung dawkvah a tahung toteh, ka hnukkâbang e nangmouh teh tungkhung hlaikahni touh dawk tahung laihoi Isarel miphun hlaikahni touh hah lawk na ceng awh han.
29 Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
Apipatethai ka min kecu dawk imlaw, hmaunawngha, manu napa, yucanaw buetbuet touh ka cettakhai e teh a let cum touh a coe vaiteh a yungyoe hringnae râw hah a pang han. (aiōnios g166)
30 Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
Hnukkatengnaw ni hma ahman vaiteh hmakahmannaw ni hnuk a teng awh han.

< Mathayo 19 >