< Mathayo 18 >

1 Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
ตทานีํ ศิษฺยา ยีโศ: สมีปมาคตฺย ปฺฤษฺฏวนฺต: สฺวรฺคราเชฺย ก: เศฺรษฺฐ: ?
2 Yesu akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
ตโต ยีศุ: กฺษุทฺรเมกํ พาลกํ สฺวสมีปมานีย เตษำ มเธฺย นิธาย ชคาท,
3 Naye akasema: “Amin, nawaambia, msipookoka na kuwa kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.
ยุษฺมานหํ สตฺยํ พฺรวีมิ, ยูยํ มโนวินิมเยน กฺษุทฺรพาลวตฺ น สนฺต: สฺวรฺคราชฺยํ ปฺรเวษฺฏุํ น ศกฺนุถฯ
4 Kwa hiyo mtu yeyote anyenyekeaye kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
ย: กศฺจิทฺ เอตสฺย กฺษุทฺรพาลกสฺย สมมาตฺมานํ นมฺรีกโรติ, เสอว สฺวรฺคราชเย เศฺรษฺฐ: ฯ
5 “Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.
ย: กศฺจิทฺ เอตาทฺฤศํ กฺษุทฺรพาลกเมกํ มม นามฺนิ คฺฤหฺลาติ, ส มาเมว คฺฤหฺลาติฯ
6 Lakini kama mtu yeyote akimsababisha mmojawapo wa hawa wadogo wanaoniamini kutenda dhambi, ingekuwa bora kwake afungiwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa katika kilindi cha bahari.
กินฺตุ โย ชโน มยิ กฺฤตวิศฺวาสานาเมเตษำ กฺษุทฺรปฺราณินามฺ เอกสฺยาปิ วิธฺนึ ชนยติ, กณฺฐพทฺธเปษณีกสฺย ตสฺย สาคราคาธชเล มชฺชนํ เศฺรย: ฯ
7 “Ole kwa ulimwengu kwa sababu ya yale mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi! Mambo hayo lazima yawepo, lakini ole wake mtu yule ambaye huyasababisha.
วิฆฺนาตฺ ชคต: สนฺตาโป ภวิษฺยติ, วิคฺโหฺน'วศฺยํ ชนยิษฺยเต, กินฺตุ เยน มนุเชน วิคฺโหฺน ชนิษฺยเต ตไสฺยว สนฺตาโป ภวิษฺยติฯ
8 Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
ตสฺมาตฺ ตว กรศฺจรโณ วา ยทิ ตฺวำ พาธเต, ตรฺหิ ตํ ฉิตฺตฺวา นิกฺษิป, ทฺวิกรสฺย ทฺวิปทสฺย วา ตวานปฺตวเหฺนา นิกฺเษปาตฺ, ขญฺชสฺย วา ฉินฺนหสฺตสฺย ตว ชีวเน ปฺรเวโศ วรํฯ (aiōnios g166)
9 Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
อปรํ ตว เนตฺรํ ยทิ ตฺวำ พาธเต, ตรฺหิ ตทปฺยุตฺปาวฺย นิกฺษิป, ทฺวิเนตฺรสฺย นรกาคฺเนา นิกฺเษปาตฺ กาณสฺย ตว ชีวเน ปฺรเวโศ วรํฯ (Geenna g1067)
10 “Angalia ili usimdharau mmojawapo wa hawa wadogo, kwa maana nawaambia, malaika wao mbinguni daima wanauona uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [
ตสฺมาทวธทฺธํ, เอเตษำ กฺษุทฺรปฺราณินามฺ เอกมปิ มา ตุจฺฉีกุรุต,
11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
ยโต ยุษฺมานหํ ตถฺยํ พฺรวีมิ, สฺวรฺเค เตษำ ทูตา มม สฺวรฺคสฺถสฺย ปิตุราสฺยํ นิตฺยํ ปศฺยนฺติฯ เอวํ เย เย หาริตาสฺตานฺ รกฺษิตุํ มนุชปุตฺร อาคจฺฉตฺฯ
12 “Mwaonaje? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je, hatawaacha wale tisini na tisa vilimani na kwenda kumtafuta huyo mmoja aliyepotea?
ยูยมตฺร กึ วิวึคฺเฆฺว? กสฺยจิทฺ ยทิ ศตํ เมษา: สนฺติ, เตษาเมโก หารฺยฺยเต จ, ตรฺหิ ส เอโกนศตํ เมษานฺ วิหาย ปรฺวฺวตํ คตฺวา ตํ หาริตเมกํ กึ น มฺฤคยเต?
13 Naye akishampata, amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea.
ยทิ จ กทาจิตฺ ตนฺเมโษทฺเทศํ ลมเต, ตรฺหิ ยุษฺมานหํ สตฺยํ กถยามิ, โส'วิปถคามิภฺย เอโกนศตเมเษโภฺยปิ ตเทกเหโตรธิกมฺ อาหฺลาทเตฯ
14 Vivyo hivyo, Baba yenu wa mbinguni hapendi hata mmojawapo wa hawa wadogo apotee.
ตทฺวทฺ เอเตษำ กฺษุทฺรปฺราเอนามฺ เอโกปิ นศฺยตีติ ยุษฺมากํ สฺวรฺคสฺถปิตุ รฺนาภิมตมฺฯ
15 “Kama ndugu yako akikukosea, nenda ukamwonyeshe kosa lake, kati yenu ninyi wawili peke yenu. Kama akikusikiliza, utakuwa umempata tena ndugu yako.
ยทฺยปิ ตว ภฺราตา ตฺวยิ กิมปฺยปราธฺยติ, ตรฺหิ คตฺวา ยุวโยรฺทฺวโย: สฺถิตโยสฺตสฺยาปราธํ ตํ ชฺญาปยฯ ตตฺร ส ยทิ ตว วากฺยํ ศฺฤโณติ, ตรฺหิ ตฺวํ สฺวภฺราตรํ ปฺราปฺตวานฺ,
16 Lakini kama hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja au wawili ili kila neno lithibitishwe kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.
กินฺตุ ยทิ น ศฺฤโณติ, ตรฺหิ ทฺวาภฺยำ ตฺริภิ รฺวา สากฺษีภิ: สรฺวฺวํ วากฺยํ ยถา นิศฺจิตํ ชายเต, ตทรฺถมฺ เอกํ เทฺวา วา สากฺษิเณา คฺฤหีตฺวา ยาหิฯ
17 Kama akikataa kuwasikiliza hao, liambie kanisa. Naye kama akikataa hata kulisikiliza kanisa, basi awe kwenu kama mtu asiyeamini au mtoza ushuru.
เตน ส ยทิ ตโย รฺวากฺยํ น มานฺยเต, ตรฺหิ สมาชํ ตชฺชฺญาปย, กินฺตุ ยทิ สมาชสฺยาปิ วากฺยํ น มานฺยเต, ตรฺหิ ส ตว สมีเป เทวปูชกอิว จณฺฑาลอิว จ ภวิษฺยติฯ
18 “Amin, nawaambia, lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.
อหํ ยุษฺมานฺ สตฺยํ วทามิ, ยุษฺมาภิ: ปฺฤถิวฺยำ ยทฺ พธฺยเต ตตฺ สฺวรฺเค ภํตฺสฺยเต; เมทินฺยำ ยตฺ โภจฺยเต, สฺวรฺเค'ปิ ตตฺ โมกฺษฺยเตฯ
19 “Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu watakubaliana duniani kuhusu jambo lolote watakaloomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.
ปุนรหํ ยุษฺมานฺ วทามิ, เมทินฺยำ ยุษฺมากํ ยทิ ทฺวาเวกวากฺยีภูย กิญฺจิตฺ ปฺรารฺถเยเต, ตรฺหิ มม สฺวรฺคสฺถปิตฺรา ตตฺ ตโย: กฺฤเต สมฺปนฺนํ ภวิษฺยติฯ
20 Kwa kuwa wanapokusanyika pamoja watu wawili au watatu kwa Jina langu, mimi niko papo hapo pamoja nao.”
ยโต ยตฺร เทฺวา ตฺรโย วา มม นานฺนิ มิลนฺติ, ตไตฺรวาหํ เตษำ มเธฺย'สฺมิฯ
21 Ndipo Petro akamjia Yesu na kumuuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Je, hata mara saba?”
ตทานีํ ปิตรสฺตตฺสมีปมาคตฺย กถิตวานฺ เห ปฺรโภ, มม ภฺราตา มม ยทฺยปราธฺยติ, ตรฺหิ ตํ กติกฺฤตฺว: กฺษมิเษฺย?
22 Yesu akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
กึ สปฺตกฺฤตฺว: ? ยีศุสฺตํ ชคาท, ตฺวำ เกวลํ สปฺตกฺฤโตฺว ยาวตฺ น วทามิ, กินฺตุ สปฺตตฺยา คุณิตํ สปฺตกฺฤโตฺว ยาวตฺฯ
23 “Kwa hiyo Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme aliyetaka kufanya hesabu zake za fedha na watumishi wake.
อปรํ นิชทาไส: สห ชิคณยิษุ: กศฺจิทฺ ราเชว สฺวรฺคราชยํฯ
24 Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja aliyekuwa anadaiwa talanta10,000, aliletwa kwake.
อารพฺเธ ตสฺมินฺ คณเน สารฺทฺธสหสฺรมุทฺราปูริตานำ ทศสหสฺรปุฏกานามฺ เอโก'ฆมรฺณสฺตตฺสมกฺษมานายิฯ
25 Kwa kuwa alikuwa hawezi kulipa deni hilo, bwana wake akaamuru kwamba auzwe, yeye, mkewe, watoto wake na vyote alivyokuwa navyo, ili lile deni lipate kulipwa.
ตสฺย ปริโศธนาย ทฺรวฺยาภาวาตฺ ปริโศธนารฺถํ ส ตทียภารฺยฺยาปุตฺราทิสรฺวฺวสฺวญฺจ วิกฺรียตามิติ ตตฺปฺรภุราทิเทศฯ
26 “Yule mtumishi akampigia magoti, akamsihi yule bwana akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
เตน ส ทาสสฺตสฺย ปาทโย: ปตนฺ ปฺรณมฺย กถิตวานฺ, เห ปฺรโภ ภวตา ไฆรฺเยฺย กฺฤเต มยา สรฺวฺวํ ปริโศธิษฺยเตฯ
27 Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.
ตทานีํ ทาสสฺย ปฺรภุ: สกรุณ: สนฺ สกลรฺณํ กฺษมิตฺวา ตํ ตตฺยาชฯ
28 “Lakini yule mtumishi alipokuwa anatoka nje, akakutana na mtumishi mwenzake aliyekuwa amemkopesha dinarimia moja. Akamkamata, akamkaba koo akimwambia, ‘Nilipe kile ninachokudai!’
กินฺตุ ตสฺมินฺ ทาเส พหิ รฺยาเต, ตสฺย ศตํ มุทฺราจตุรฺถำศานฺ โย ธารยติ, ตํ สหทาสํ ทฺฤษฺทฺวา ตสฺย กณฺฐํ นิษฺปีฑฺย คทิตวานฺ, มม ยตฺ ปฺราปฺยํ ตตฺ ปริโศธยฯ
29 “Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
ตทา ตสฺย สหทาสสฺตตฺปาทโย: ปติตฺวา วินีย พภาเษ, ตฺวยา ไธรฺเยฺย กฺฤเต มยา สรฺวฺวํ ปริโศธิษฺยเตฯ
30 “Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.
ตถาปิ ส ตตฺ นางคีกฺฤตฺย ยาวตฺ สรฺวฺวมฺฤณํ น ปริโศธิตวานฺ ตาวตฺ ตํ การายำ สฺถาปยามาสฯ
31 Watumishi wenzake walipoona haya yaliyotukia wakaudhika sana, nao wakaenda na kumwambia bwana wao kila kitu kilichokuwa kimetukia.
ตทา ตสฺย สหทาสาสฺตไสฺยตาทฺฤคฺ อาจรณํ วิโลกฺย ปฺรโภ: สมีปํ คตฺวา สรฺวฺวํ วฺฤตฺตานฺตํ นิเวทยามาสุ: ฯ
32 “Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu! Mimi nilikusamehe deni lako lote uliponisihi.
ตทา ตสฺย ปฺรภุสฺตมาหูย ชคาท, เร ทุษฺฏ ทาส, ตฺวยา มตฺสนฺนิเธา ปฺรารฺถิเต มยา ตว สรฺวฺวมฺฤณํ ตฺยกฺตํ;
33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’
ยถา จาหํ ตฺวยิ กรุณำ กฺฤตวานฺ, ตไถว ตฺวตฺสหทาเส กรุณากรณํ กึ ตว โนจิตํ?
34 Kwa hasira, yule bwana wake akamtia yule mtumishi mikononi mwa askari wa gereza ili ateswe mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa.
อิติ กถยิตฺวา ตสฺย ปฺรภุ: กฺรุทฺธฺยนฺ นิชปฺราปฺยํ ยาวตฺ ส น ปริโศธิตวานฺ, ตาวตฺ ปฺรหารกานำ กเรษุ ตํ สมรฺปิตวานฺฯ
35 “Hivi ndivyo Baba yangu wa mbinguni atakavyomfanyia kila mmoja wenu ikiwa hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”
ยทิ ยูยํ สฺวานฺต: กรไณ: สฺวสฺวสหชานามฺ อปราธานฺ น กฺษมเธฺว, ตรฺหิ มม สฺวรฺคสฺย: ปิตาปิ ยุษฺมานฺ ปฺรตีตฺถํ กริษฺยติฯ

< Mathayo 18 >