< Mathayo 18 >
1 Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
Lukumbi lwenulo vawuliwa vamhambili Yesu, vakamkota, “Yani mweavimvaha Muunkosi wa kunani kwa Chapanga?”
2 Yesu akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
Yesu amkemili mwana mmonga na akamyimika pagati yavi,
3 Naye akasema: “Amin, nawaambia, msipookoka na kuwa kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.
Kangi akajova, “Nikuvajovela chakaka, ngati mwing'anamuka lepi na kuvya ngati vana vadebe, katu nakuyingila muunkosi wa kunani kwa Chapanga.
4 Kwa hiyo mtu yeyote anyenyekeaye kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
Mundu yeyoha mweakujihelesa pahi ngati mwana, mwenuyo ndi mvaha munkosi wa kunani kwa Chapanga.
5 “Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.
Mundu yeyoha mweakumpokela mwana mmonga ngati uyu paliina langu, akunipokela nene.”
6 Lakini kama mtu yeyote akimsababisha mmojawapo wa hawa wadogo wanaoniamini kutenda dhambi, ingekuwa bora kwake afungiwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa katika kilindi cha bahari.
“Mundu yeyoha mweakumbudisa mmonga pagati ya vadebe vevisadika vabudayi, ngayivii mbanga akungiwa liganga livaha la kuyagila muhingu na kujwigiswa pagati ya nyanja yivaha.
7 “Ole kwa ulimwengu kwa sababu ya yale mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi! Mambo hayo lazima yawepo, lakini ole wake mtu yule ambaye huyasababisha.
Valachikolela vandu va mulima ndava ya kuyokisa vangi vagwai. Mabudisa genago yikugagana gahumila, nambu alachikolela mundu yula mweakugabudisa.”
8 Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios )
“Ngati chiwoko chaku amala chigendelu chaku chikubudisa, chidumulai na kutaga kutali, Mbanga veve kuyingila kuwumi changali chiwoko chimonga amala chigendelu chimonga kuliku veve kuyingila kumotu wa magono goha wangajimika kuni uvi na mawoko gavili amala magendelu gavili. (aiōnios )
9 Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna )
Lihu laku lakakubudisa, ulitupula na ulitaga kutali. Mbanga veve kuyingila muwumi wa magono goha gangali mwishu kuni uvi na lihu limonga kuliku kuvya na mihu gavili na kutagwa kumotu wa magono goha wangali mwishu wangajimika kuni uvi na mihu gaku gavili.” (Geenna )
10 “Angalia ili usimdharau mmojawapo wa hawa wadogo, kwa maana nawaambia, malaika wao mbinguni daima wanauona uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [
“Mjiyangalila mkoto kuvavevesa mmonga wa vadebe ava. Nikuvajovela vamitumu vavi kunani kwa Chapanga magono goha vavi palongolo ya Dadi wangu.
11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
Ndava muni Mwana wa Mundu abwelili kusangula chechiyagili.”
12 “Mwaonaje? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je, hatawaacha wale tisini na tisa vilimani na kwenda kumtafuta huyo mmoja aliyepotea?
“Mwihololela wuli? Ngati mundu avi na mambelele miya yimonga, limbele limonga lakayagai. Wu, nakugaleka mambelele tisini na tisa pachitumbi, kuhamba kulonda limonga lelikayagili?
13 Naye akishampata, amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea.
Ngati aliwene, nikuvajovela chakaka yati akulihekelela neju lenilo kuliku gala tisini na tisa gangayaga.
14 Vivyo hivyo, Baba yenu wa mbinguni hapendi hata mmojawapo wa hawa wadogo apotee.
Mewawa, Dadi winu mweavi kunani, nakugana mmonga wa vadebe ava ayaga.”
15 “Kama ndugu yako akikukosea, nenda ukamwonyeshe kosa lake, kati yenu ninyi wawili peke yenu. Kama akikusikiliza, utakuwa umempata tena ndugu yako.
“Mlongo waku akakuhokela umhambila ukamlangisa cheakuhokili muvi mwavene. Akakuyuwana ndi umpati kavili mlongo waku.
16 Lakini kama hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja au wawili ili kila neno lithibitishwe kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.
Ngati nakukuyuwanila, hamba na mundu yungi mmonga amala vavili muni kwa malovi ga vandu vavili amala vadatu lijambu loloha limaliswa ngati Mayandiku Gamsopi chegijova.
17 Kama akikataa kuwasikiliza hao, liambie kanisa. Naye kama akikataa hata kulisikiliza kanisa, basi awe kwenu kama mtu asiyeamini au mtoza ushuru.
Ngati akabela kuvayuwana venavo, uwujovela msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu, ngati akuvayuwanila lepi avo, kwa veve ndi avya ngati vandu vangammanya Chapanga na vevitola kodi.”
18 “Amin, nawaambia, lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.
“Nikujovela chakaka, chemwibesa pamulima, yati chibesewa kunani kwa Chapanga, mewawa chechiyidakiliwa pamulima yati chiyidakiliwa kunani kwa Chapanga.
19 “Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu watakubaliana duniani kuhusu jambo lolote watakaloomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.
Nijova kangi, vavili pagati yinu vakayidakilana pamulima ndava ya lijambu loloha la kumuyupa Chapanga, Dadi wangu wa kunani yati akuvahengela lijambu lenilo.
20 Kwa kuwa wanapokusanyika pamoja watu wawili au watatu kwa Jina langu, mimi niko papo hapo pamoja nao.”
Ndava muni popoha pamuvi vavili amala vadatu kwa liina langu, nene nivii penapo pagati yavi.”
21 Ndipo Petro akamjia Yesu na kumuuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Je, hata mara saba?”
Kangi Petili akamhambila Yesu, akamkota “Bambu, wu, mlongo wangu akanibudilayi, nimulekekesa mala yilinga? Amala mala saba?”
22 Yesu akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
Yesu akayangula, “Nijova lepi nga mala saba, nambu sabini mala saba.”
23 “Kwa hiyo Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme aliyetaka kufanya hesabu zake za fedha na watumishi wake.
Ndava yeniyi ndi Unkosi wa kunani kwa Chapanga uwanangana na mkulu mmonga mweaganili kuhenga mvalangu wa madeni na vatumisi vaki.
24 Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja aliyekuwa anadaiwa talanta10,000, aliletwa kwake.
Peatumbwili kuvalanga, vamletili mundu mweadaiwayi mashonga elufu kumi.
25 Kwa kuwa alikuwa hawezi kulipa deni hilo, bwana wake akaamuru kwamba auzwe, yeye, mkewe, watoto wake na vyote alivyokuwa navyo, ili lile deni lipate kulipwa.
Mundu mwenuyo avi lepi na chindu cha kulipa, mkulu waki akahamula, aguliswai ngati mvanda mwene na mdala waki na vana vaki na vindu vyeavili navyu muni valipa lideni.
26 “Yule mtumishi akampigia magoti, akamsihi yule bwana akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
Hinu, mtumisi yula. Akagwa pahi, akafugama, akajova, unilindila nene yati nikukulipa lideni loha!
27 Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.
Mkulu yula akamhengela lipyana akamlekekesa lideni lila akamleka ahamba.
28 “Lakini yule mtumishi alipokuwa anatoka nje, akakutana na mtumishi mwenzake aliyekuwa amemkopesha dinarimia moja. Akamkamata, akamkaba koo akimwambia, ‘Nilipe kile ninachokudai!’
“Nambu mundu yula pawukili, akakonganeka na mtumisi muyaki mweamdayayi mashonga gadebe. Akamkamula akamdodoyola hingu, akumjovela ‘Nilipa lideni laku!’
29 “Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
Mtumisi muyaki akafugama, akajova, niyupa, ‘Unilindila nene yati nikukulipa lideni laku loha!’
30 “Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.
Nambu mwene angayidakila, ndi akamusopa muchifungu mbaka peilipa lideni lila.
31 Watumishi wenzake walipoona haya yaliyotukia wakaudhika sana, nao wakaenda na kumwambia bwana wao kila kitu kilichokuwa kimetukia.
Hinu, vatumisi vayaki pavawene lijambu lelahumalili vakaviniswa mtima, vakahamba kumjovela mkulu wavi kulivala lijambu lelahengiki.
32 “Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu! Mimi nilikusamehe deni lako lote uliponisihi.
Kangi mkulu yula akamkemela mtumisi mwenuyo, akamjovela, ‘Veve ndi mtumisi mhakau neju! Nikulekekisi lideni laku loha pewaniyupili.
33 Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’
Wu, yakuganili lepi veve kumlekekesa mtumisi muyaku ngati chenikulekekisi nene?’
34 Kwa hasira, yule bwana wake akamtia yule mtumishi mikononi mwa askari wa gereza ili ateswe mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa.
Hinu mkulu yula akamema ligoga, akamgotola kwa vang'aisa muchifungu mbaka peilipa lideni laki loha.”
35 “Hivi ndivyo Baba yangu wa mbinguni atakavyomfanyia kila mmoja wenu ikiwa hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”
“Na dadi wangu mweavi kunani yati akuvahengela mewawa ngati kila mmonga winu akumlekekesa lepi mlongo waki kwa mtima waki woha.”