< Mathayo 17 >
1 Siku sita baada ya jambo hili, Yesu akawachukua Petro, Yakobo na Yohana ndugu yake Yakobo, akawapeleka juu ya mlima mrefu peke yao.
Eso gafeyale aligili, Yesu da Bida, Ya: mese amola Yone, ili oule asili, ilisu goumiba: le heda: le, esalu.
2 Wakiwa huko, Yesu alibadilika sura mbele yao. Uso wake ukangʼaa kama jua na nguo zake zikawa na weupe wa kuumiza macho.
Ilia ba: loba, Yesu Ea da: i da afadenene, Ea odagi da eso ea hadigi agoai ba: i. Ea abula amola da ahea: ia: i hadigi bagade agoane hamobe ba: i.
3 Ghafula wakawatokea mbele yao Mose na Eliya, wakizungumza na Yesu.
Ilia ba: loba, Mousese amola Elaidia, Yesu ili sia: dalebe ba: i.
4 Ndipo Petro akamwambia Yesu, “Bwana, ni vyema sisi tukae hapa. Ukitaka, nitafanya vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose na kingine cha Eliya.”
Bida da Yesuma amane sia: i, “Hina! Ninia guiguda: esalebeba: le hahawane bagade. Di da nama sia: sea, na da diasu udiana gagumu, Di, Mousese amola Elaidia golama: ne, na da diligili hiougimu.”
5 Petro alipokuwa angali ananena, ghafula wingu lililongʼaa likawafunika, na sauti ikatoka kwenye hilo wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana. Msikieni yeye.”
Ea amane sia: nanoba, mumobi hadigiwane sa: ili, ili huluane uligi dagoi. Mumobi ganodini, sia: bagade nabi amo, “Go da Na dogolegei Manodafa. Ea sia: nabima!”
6 Wanafunzi waliposikia haya, wakaanguka chini kifudifudi, wakajawa na hofu.
Amo sia: nabaloba, Yesu Ea ado ba: su dunu da beda: iba: le, osoboga gala: la sa: i
7 Lakini Yesu akaja na kuwagusa, akawaambia, “Inukeni na wala msiogope.”
Be Yesu da misini, ilia da: i digili ba: i. E da ilima amane sia: i, “Dilia wa: legadoma! Mae beda: ma!”
8 Walipoinua macho yao, hawakumwona mtu mwingine yeyote isipokuwa Yesu.
Ilia da si ba: le gadoloba, Yesu fawane ba: i.
9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawaagiza, “Msimwambie mtu yeyote mambo mliyoyaona hapa, mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.”
Ilia da goumiba: le bu daloba, Yesu da ilima amane sia: i, “Dilia waha ba: i liligi eno dunu ilima mae adoma! Dunu Egefe da bogole, bu wa: legadolesi ba: sea, amo esoga fawane olelema.”
10 Wale wanafunzi wakamuuliza, “Kwa nini basi walimu wa sheria husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?”
Yesu Ea ado ba: su dunu da Ema amane adole ba: i, “Sema sia: olelesu dunu da abuliba: le, Elaidia da hidadea misunu, amo olelesala: ?”
11 Yesu akawajibu, “Ni kweli, Eliya lazima aje kwanza, naye atatengeneza mambo yote.
Yesu E bu adole i, “Dafawane! Elaidia da hidadea logo fodomusa: misunu.
12 Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao hawakumtambua, bali walimtendea kila kitu walichotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu pia atateswa mikononi mwao.”
Be Na da dilima sia: sa. Elaidia da bu misi dagoi. Be osobo bagade dunu da ea misi hame dawa: i galu. Ilia da ili hanai asigi dawa: su hou amoga ema hamoi dagoi. Amo hou defele ilia da Dunu Egefe Ema hamomuba: le, E da se nabimu.”
13 Ndipo wale wanafunzi wakaelewa kuwa alikuwa anazungumza nao habari za Yohana Mbatizaji.
Amalalu, Ea ado ba: su dunu da E da Yone Ba: bodaise ea hou ilima olelei, amo ilia da dawa: i galu.
14 Walipofika penye umati wa watu, mtu mmoja akamjia Yesu na kupiga magoti mbele yake, akasema,
Yesu amola Ea ado ba: su dunu da eno dunu gilisibi amoga doaga: i. Dunu afadafa da Yesuma misini, muguni bugili,
15 “Bwana, mhurumie mwanangu. Yeye ana kifafa na anateseka sana. Mara kwa mara huanguka kwenye moto au kwenye maji.
Yesuma amane sia: i, “Hina! Di da nagofema asigima! E da sidisu hamobeba: le, e da eso enoga nasuba dafasa, enoga hanoa sidina daha.
16 Nilimleta kwa wanafunzi wako, lakini hawakuweza kumponya.”
Na mano amo Dia ado ba: su dunuma uhima: ne oule misi. Be ilia sia: ne ba: loba hamedei galu.”
17 Yesu akajibu, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka! Nitakaa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni mvulana hapa kwangu.”
Yesu E amane sia: i, “Dilia da dafawaneyale hame dawa: su amola giadofasu fi dunu! Na da eso habodayane dili amola guiguda: esaloma: bela: ? Na da eso habodayane dilia giadofasu hou ba: ma: bela: ? Amo mano Nama oule misa!”
18 Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona saa ile ile.
Yesu E da Fio liligi amo mano ea dogo ganodini esalu, amoma gasawane sia: i. Amalalu, Fio liligi da fadegale fasi dagoi. Goi da bu uhinisi dagoi ba: i.
19 Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu wakiwa peke yao, wakamuuliza, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”
Fa: no, Yesu Ea ado ba: su dunu da wamowane Ema misini, amane sia: i, “Ninia da wadela: i liligi fadegale fasimu da abuli hamedebela: ?”
20 Akawajibu, “Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Ninawaambia kweli, mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mtauambia mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale,’ nao utaondoka. Wala hakutakuwa na jambo lisilowezekana kwenu. [
E amane sia: i, “Dilia dafawaneyale dawa: su hou da fonobahadiba: le, dilia fadegamu da hamedei ba: i. Na da dafawane sia: sa! Dilia dafawaneyale dawa: su hou da masada ea hawa: defele ba: sea, dilia da amo goumi ea dialebe sogebi yolesili eno sogega masa: ne sia: sea, goumi da dilia sia: i nabawane hamomu. Dilia da liligi huludafa hamomu defele ba: mu.
21 Lakini hali kama hii haitoki ila kwa kuomba na kufunga.]”
Be ha: i mae nawane bagade sia: ne gadosea fawane da gasa bagade Fio waha ba: i da mugulumu.
22 Siku moja walipokuwa pamoja huko Galilaya, Yesu akawaambia, “Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu.
Yesu amola Ea ado ba: su dunu da gilisili Ga: lili sogega ahoana, E da ilima amane sia: i, “Dunu afae da Dunu Egefe amo hohonone, eno osobo bagade dunu ilima imunu.
23 Nao watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika sana.
Amasea, ilia da Dunu Egefe medole legemu. E da eso udiana aligili bu uhini wa: legadomu.” Amo sia: nabaloba, ilia da da: i dioi bagade nabi.
24 Baada ya Yesu na wanafunzi wake kufika Kapernaumu, wakusanya kodi ya Hekalu wakamjia Petro na kumuuliza, “Je, Mwalimu wenu halipi kodi ya Hekalu?”
Yesu amola Ea ado ba: su dunu da Gabena: ia: me moilaiga doaga: loba, Debolo Diasu su lidisu dunu ilia da Bidama misini, ema amane sia: i, “Dia olelesu dunu da Debolo Diasu su iahala: ?”
25 Petro akajibu, “Ndiyo, yeye hulipa.” Petro aliporudi nyumbani, Yesu akawa wa kwanza kulizungumzia, akamuuliza, “Unaonaje Simoni? Wafalme wa dunia hupokea ushuru na kodi kutoka kwa nani? Je, ni kutoka kwa watoto wao au kutoka kwa watu wengine?”
Bida da bu adole i, “Ma!” E da bu diasu ganodini ahoanoba, Yesu da hidadea ema sia: i, “Saimone! Di adi dawa: bela: ? Osobo bagade hina bagade dunu ilia da nowama su (da: gisi) labala? Ilia da ilia mano ilima labala? O eno dunuma labala?”
26 Petro akamjibu, “Kutoka kwa watu wengine.” Yesu akamwambia, “Kwa hiyo watoto wao wamesamehewa.
Bida da bu adole i, “Ilia da eno dunuma laha.” Yesu E amane sia: i, “Amaiba: le, ilia mano da su hame imunu.
27 Lakini ili tusije tukawaudhi, nenda baharini ukatupe ndoana. Mchukue samaki wa kwanza utakayemvua. Fungua kinywa chake nawe utakuta humo fedha, ichukue ukalipe kodi yako na yangu.”
Be su lidisu dunu da udigili fofogadigisa: besa: le, di hanoga sa: ili, dimani adoma. Menabo hiougisia, ea lafi dagale, ganodini muni fage ba: mu. Amo fage lale, su lidisu dunuma dia su iasu amola Na su iasu defele ima.”