< Mathayo 16 >
1 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu na kumjaribu kwa kumwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
Kayi Bafalisi ne Basaduki nabambi balesa kuli Yesu kwisa kumwelekesha pakumwipusheti, abaleshe cishibisho ceshikufuma kwilu.
2 Yesu akawajibu, “Ifikapo jioni, mnasema, ‘Hali ya hewa itakuwa nzuri, kwa kuwa anga ni nyekundu.’
Nomba nendi Yesu walabambileti, “Mansailo mwaboneti kwilu kwafubela pyuu, mukute kwambeti lilo nibukace cena,
3 Nanyi wakati wa asubuhi mnasema, ‘Leo kutakuwa na dhoruba, kwa sababu anga ni nyekundu na mawingu yametanda.’ Mnajua jinsi ya kupambanua kule kuonekana kwa anga, lakini hamwezi kupambanua dalili za nyakati.
kayi bwaca mukute mwambeti, ‘Lelo niloke mfula yamabwe, pakwinga kwilu kwafubela ciyosha, kayi kuli makumbi ashipa mbii.’ Mukute kucikonsha kupandulula mbuli ncokulabonekenga kwilu ku makumbi, nomba cilalanga kupandulula bishibisho byapacindi cino.
4 Kizazi kiovu na cha uzinzi kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya Yona.” Yesu akawaacha, akaenda zake.
Musemano wa bantu baipa, kayi babula lushomo, balayandanga cishibisho cishikukankamanisha? Paliyawa cishibisho ncoti bakapewe capita cisa ca Yona.” Yesu mpwalambeco walafumapo nekuya kumbi.
5 Wanafunzi wake walipofika ngʼambo ya bahari, walikuwa wamesahau kuchukua mikate.
Mpobalikutampuka kuya kutala kwa lwenje, beshikwiya balalubako kumanta shinkwa.
6 Yesu akawaambia, “Jihadharini. Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya Masadukayo.”
Yesu walabambileti, “Mucenjele ne cishikufufumusha ca Bafalisi neca Basaduki.”
7 Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
Beshikwiya bakendi balatatika kwamba pa lwabo beneti, lambangeco pakwinga tuliya kumanta shinkwa.
8 Yesu, akifahamu majadiliano yao, akauliza, “Enyi wa imani haba! Mbona mnajadiliana miongoni mwenu kuhusu kutokuwa na mikate?
Yesu walenshiba ncobalikwamba, neco walabepusheti, “Inga nipacebo cini ncomulambilingeti muliya shinkwa? Kucepa lushomo ndomukute mobantu amwe.
9 Je, bado hamwelewi? Je, hamkumbuki ile mikate mitano iliyolisha watu 5,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
Mpaka pacino cindi mobantu amwe mucili mungubi? Sena nkamulanukunga kwambeti, ne shinkwa usanu, ndalalyesha bantu myanda makumi asanu? Inga mwalesusha mitanga ingaye ya byashalapo?
10 Au ile mikate saba iliyolisha watu 4,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
Pacindi nacimo cisa ne shinkwa usanu ne ubili ndalalyesha bantu myanda makumi ana, inga mwalesusha mitanga ingaye ya byashalapo?
11 Inakuwaje mnashindwa kuelewa kwamba nilikuwa sisemi nanyi habari za mikate? Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
Cilamwalilingeconi kwinshibeti, nkandambanga sha shinkwa? Kamucenjelani ne cishikufufumusha ca Bafalisi ne Basaduki.”
12 Ndipo wakaelewa kwamba alikuwa hasemi juu ya chachu ya kutengeneza mikate, bali juu ya mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
Apa lino empobaleshibeti, Yesu nkalikwambeti bacenjele ne cishikufufumusha shinkwa, nsombi kwambeti bacenjele ne biyisho bya Bafalisi ne Ba saduki.
13 Basi Yesu alipofika katika eneo la Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake, “Watu husema kwamba mimi Mwana wa Adamu ni nani?”
Yesu mpwalashika ku bibela bya Kaisaleya waku Filipi, walabepusha beshikwiya bakendi, “Inga bantu balambangeti Mwana Muntu niyani?”
14 Wakamjibu, “Baadhi husema ni Yohana Mbatizaji; wengine husema ni Eliya; na bado wengine husema ni Yeremia au mmojawapo wa manabii.”
Balo balambeti, “Nabambi balambangeti Mwana Muntu ni Yohane mubatishi, nabambi eti Mwana Muntu ni Eliya nabambi, eti Mwana Muntu ni Yelemiya, nambi umo wa bashinshimi.”
15 Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”
Yesu walabepusha beshikwiya bakendi, “Inga amwe, mukute kwambeti ame njame bani?”
16 Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
Nendi Shimoni Petulo walakumbuleti, “Amwe njamwe Klistu, Mwanendi Lesa muyumi”
17 Naye Yesu akamwambia, “Heri wewe, Simoni Bar-Yona, kwa maana hili halikufunuliwa kwako na mwanadamu, bali na Baba yangu aliye mbinguni.
Nendi Yesu walamwambileti, “Walelekwa njobe, Shimoni mwanendi Yona, pakwinga lakuyubulwili ici nte muntu sobwe, nsombi ni Bata balikwilu.
18 Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs )
Ame ndambangeti, lino obe njobe Petulo, nomba palibwe lyacandanshi ili ninkebakepo mubungano. Kayi lufu nteti lukakomepo mubungano. (Hadēs )
19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa Mbinguni, nalo lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Ninkakupe makiyi akucalwisha Bwami bwakwilu, neco ncoti mukasungenga panshi pano, nicikasungwenga ne kwilu, kayi ibyo mbyoti mukasungululenga panshi pano, nibikasungululwenga ne kwilu.”
20 Kisha akawakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.
Yesu mpwalambeco walabambila beshikwiya eti, kabatambilanga bantu kwambeti endiye Klistu.
21 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuwaeleza wanafunzi wake kwamba hana budi kwenda Yerusalemu na kupata mateso mengi mikononi mwa wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini siku ya tatu kufufuliwa.
Kufuma cindico, Yesu walatatika kubeshibishila limo beshikwiya bakendi kwambeti, “Ndelela kuya ku Yelusalemu, uko bamakulene Baciyuda, ne bamakulene ba beshimilumbo, ne beshikwiyisha milawo ya Mose, nkoti bakampenshe cikamba. Nibakanshine, nsombi pabusuba bwa butatu kayi ninkapundushiwe kubuyumi.”
22 Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea akisema, “Haiwezekani, Bwana! Jambo hili kamwe halitakupata!”
Petulo mpwalanyumfweco, walamumanta Yesu pambali ne kumukansa, walambeti, “Sobwe Nkambo, ici kacitenshika, Lesa katacisuminisha kwambeti cinshike,”
23 Lakini Yesu akageuka na kumwambia Petro, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
Nendi Yesu walacebuka ne kumukalalila Petulo mwangofu, walambeti, “Fumapa, Satana obe! Ulayandanga kuncimwisha! Kuyeya kwakobe nteko kwa Lesa sobwe, nsombi ni kwabuntu.”
24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
Yesu mpwalambeco, beshikwiya bakendi walabambileti, “Muntu layandanga kukonka ame, alikane mwine, kayi alimantile mwine lusanda ankonke.
25 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
Pakwinga layandanga kupulusha buyumi bwakendi nakabutaye. Nomba uyo latayanga buyumi bwakendi pacebo cakame, nakabucane.
26 Kwa maana, je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
Inga nicani ncenga ucanapo, na muntu uba ne bintu byonse byapano pacishi, nomba nendi usomekapo kabeshi ne kutaya buyumi bwakendi? Anu muntu ngaubenga cani kwambeti alubule buyumi bwakendi?”
27 Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Neco nditu Mwana Muntu lakesanga pamo ne bangelo bakendi mubulemu bwa Baishi. Popelapo nakabweshele muntu uliyense kwelana ne ncito shakendi.
28 Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hawataonja mauti kabla ya kumwona Mwana wa Adamu akija katika Ufalme wake.”
Cakubinga ndamwambilishingeti, popele pano mpobali nabambi beti bakabule kufwa, kabatana bamubona Mwana Muntu kesa mubulemu bwa Bwami.