< Mathayo 16 >

1 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu na kumjaribu kwa kumwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
Amafalisayo na Masadukayo bhamwenzeye na hunenje u Yesu abhalolesye iishara yifuma humwanya.
2 Yesu akawajibu, “Ifikapo jioni, mnasema, ‘Hali ya hewa itakuwa nzuri, kwa kuwa anga ni nyekundu.’
Ila u Yesu abhajibule na hubhawozye aje “Nkayabha lyabhela muyanga aje ihali yihewa nyinza, afwatanaje ianga lishamamu.
3 Nanyi wakati wa asubuhi mnasema, ‘Leo kutakuwa na dhoruba, kwa sababu anga ni nyekundu na mawingu yametanda.’ Mnajua jinsi ya kupambanua kule kuonekana kwa anga, lakini hamwezi kupambanua dalili za nyakati.
Ni shapwi muyanga ihali yihewa yilelo saganyinza afwatanaje ianga lishamamu na mabhengo galigubishe ianga lyonti, mumenye afasiri uloleho wianga, ila sagamuwezya afasiri iishara zimusala.
4 Kizazi kiovu na cha uzinzi kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya Yona.” Yesu akawaacha, akaenda zake.
Ishizazi ishibhibhi nishi umalaya shiwhanza iishara ila nemo ishara yoyonti shashaipewa, ila ela ya Yona. Na tena u Yesu abhaleha nasogole ulwakwe.
5 Wanafunzi wake walipofika ngʼambo ya bahari, walikuwa wamesahau kuchukua mikate.
Abhanafunzi bhenza uwupande wabhele, ila bhahewelwe aheje amabumunda.
6 Yesu akawaambia, “Jihadharini. Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya Masadukayo.”
U Yesu abhawozya “Shebhaji na mubhanje shinza nusafwe Wimafarisayo na Masadukayo.”
7 Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
Abhanafunzi bhayangana mwikundi lyawo na yanje. “Afwatanaje saga tahejile amabumunda.”
8 Yesu, akifahamu majadiliano yao, akauliza, “Enyi wa imani haba! Mbona mnajadiliana miongoni mwenu kuhusu kutokuwa na mikate?
U Yesu alimanya elyo nayanje, “Amwe mwelweteho udodo, yenu msebhele nayangane mkati yenyu nayanje aje kwasababu sagatahejile amabumunda?
9 Je, bado hamwelewi? Je, hamkumbuki ile mikate mitano iliyolisha watu 5,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
Eshi bado sagamutambula wala saga mukomboha gala amabumunda gasanu hubhantu elfu zisanu nivitondo vilenga vyamwa wonganyenye?
10 Au ile mikate saba iliyolisha watu 4,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
Au amabumunda saba huabhantu elfu zene ni vitondo vielenga mwawonganyenye?
11 Inakuwaje mnashindwa kuelewa kwamba nilikuwa sisemi nanyi habari za mikate? Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
Iliwele hata sagamuhelewa yabhe nalisigiyanganamwe pamwanya yimabumunda? Jitunzaji na shebhaji nu safwe Wimafarisayo na Masadukayo.”
12 Ndipo wakaelewa kwamba alikuwa hasemi juu ya chachu ya kutengeneza mikate, bali juu ya mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
Tena bhamanya aje alisagayanga pamwanya yashebhe na mabumunda gagali nu safu ila ashebhe amamanyizyo gi Mafarisayo na Masadukayo.
13 Basi Yesu alipofika katika eneo la Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake, “Watu husema kwamba mimi Mwana wa Adamu ni nani?”
Isala u Yesu lwafishile sehemu zi Kaisaria yi Filipi, abhawozelezya abhanafunzi bhakwe, ayanga, “Abhantu bhayanga umwana wa muntu yu nanu?”
14 Wakamjibu, “Baadhi husema ni Yohana Mbatizaji; wengine husema ni Eliya; na bado wengine husema ni Yeremia au mmojawapo wa manabii.”
Bhayanga, “bhamo bhayanga aje yu Yohana Umozi; bhamo, yu Eliya; na bhamo, yu Yeremia, au wiweka na kuwa.
15 Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”
Abhawozya, amwe muyiga ane ni nanu?
16 Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
Ajibu, Usimoni Petro ayanga, “Awe wa Klisiti wamwana wa Ngulubhi wali momi.”
17 Naye Yesu akamwambia, “Heri wewe, Simoni Bar-Yona, kwa maana hili halikufunuliwa kwako na mwanadamu, bali na Baba yangu aliye mbinguni.
U Yesu ajibu na humozye, “Usayiwilwe awe, Simoni Bar Yona, afwatanaji idanda ni nyama sagavyafunuliye eli, ila Ubaba wane wali humwanya.
18 Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs g86)
Nane tena ihuwozya aje awe wa Petro, na pamwanya yikhome ogu nayihulizenga ishi bhanza shane. Amalyango gawhilongo sagagayi hulishinda. (Hadēs g86)
19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa Mbinguni, nalo lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Nayihupela awe infwungulo zi umwene wahumwanya. Shoshonti shawayishigalila panse shayibhashi galililwe humwanya, na shoshonti shawayihungula panse shayibha shuguliwilwe humwanya.”
20 Kisha akawakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.
Tena u Yesu abhawozya abhanafunzi bhasamozye umuntu wowonti aje umwene ali yu Klisiti.
21 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuwaeleza wanafunzi wake kwamba hana budi kwenda Yerusalemu na kupata mateso mengi mikononi mwa wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini siku ya tatu kufufuliwa.
Afume isala ezyo u Yesu ahandile hubhawozye abhanafunzi aje lazima abhale Huyerusalemu, ayembe humambo aminji hunyobhe zya zehe na abhagosi bhadimi na simbizi, agoywe na zyoshe isiku lya tatu.
22 Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea akisema, “Haiwezekani, Bwana! Jambo hili kamwe halitakupata!”
Tena u Petro amwega u Yesu hunshenje, nahukhalipile whayanje, “Ijambo eli nalibhe hutali nawe, ugosi, eli lisatokele huliwe.
23 Lakini Yesu akageuka na kumwambia Petro, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
Ila u Yesu agewushe na humozye u Petro, “Wela whisalo lgane setano! awe ulishipingimizi huline, kwasabu sugusaga amambo ga Ngolobhi, ila amambo gabhanadamu.”
24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
Tena u Yesu abhawozya abhanafunzi bhakwe, “Nkesho umuntu wowonti nkawanza hufwate ane, lazima ajikhane umene mwene, ayeje ikhobhehanyo lyakwe, na afwate.
25 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
Afwatanaje wawhanza agokole amakhalo gakwe ayihugatezya, na whawowonti wahugatezya amakhalo gakwe kwa ajili yane ayihugokola.
26 Kwa maana, je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
Eshi! Faida wele yayi huyipata umuntu nkapata ense yonti ila atezya amakhalo gakwe? Je! Ni kitu gani atakachotoa mtu katika kubadilishana na maisha yake?
27 Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Alenganaje umwana wa Adamu ayinza katika utuntumu wa Baba wakwe. Nape ayihunipa kila mutnu alengane ni mbombo yakwe.
28 Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hawataonja mauti kabla ya kumwona Mwana wa Adamu akija katika Ufalme wake.”
Lyoli imbawozya huli baadhi yenyu mu mweleye epa ambao sagabhayilenga ufwe hadi lwabhayihunola umwana wa Adamu lwayihenza katika umwene wakwe.

< Mathayo 16 >