< Mathayo 16 >
1 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu na kumjaribu kwa kumwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
Mafarisayo ni Masadukayo bhakahida ni kunjera Yesu abhalasiaghe ishara j'haj'hihomela kunani.
2 Yesu akawajibu, “Ifikapo jioni, mnasema, ‘Hali ya hewa itakuwa nzuri, kwa kuwa anga ni nyekundu.’
Lakini Yesu akabhajibu ni kubhajobhela kuj'ha “Ikaj'hiaghe kimihi mwijobha kuj'ha hali j'ha hewa j'hinofu, kwa kuj'ha anga lidung'u.
3 Nanyi wakati wa asubuhi mnasema, ‘Leo kutakuwa na dhoruba, kwa sababu anga ni nyekundu na mawingu yametanda.’ Mnajua jinsi ya kupambanua kule kuonekana kwa anga, lakini hamwezi kupambanua dalili za nyakati.
Ni lukhela mwijobha 'Hali j'ha hewa lelu j'hinofu lepi kwa kuj'ha anga lidung'u ni mabhengu ghaj'hifuniki anga lioha.' Mmanyiri kufasiri mwonekanu ghwa anga, lakini j'hij'helepi kufasiri ishara sya bhwakati.
4 Kizazi kiovu na cha uzinzi kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ishara ya Yona.” Yesu akawaacha, akaenda zake.
Kizazi kiovu ni kya bhuzinzi kilonda ishara, lakini j'hij'helepi ishara j'hej'hioha j'haj'hibetakupelibhwa, isipokughwa j'hala Yona. Kisha Yesu akabhaleka ni kubhoka.
5 Wanafunzi wake walipofika ngʼambo ya bahari, walikuwa wamesahau kuchukua mikate.
Bhanafunzi bhakahida lubhafu lwa bhubhele, lakini bhaj'hele bhaj'habhilu kutola mikate.
6 Yesu akawaambia, “Jihadharini. Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya Masadukayo.”
Yesu akabhajobhela “Mwikitahadharishiayi na muj'helayi makini ni chachu j'ha Mafarisayo ni Masadukayo.”
7 Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.”
Bhanafunzi bhakahojiana miongoni mwa bhene ni kujobha. “Kwa ndabha tukalotili lepi mikate.”
8 Yesu, akifahamu majadiliano yao, akauliza, “Enyi wa imani haba! Mbona mnajadiliana miongoni mwenu kuhusu kutokuwa na mikate?
Yesu akalitambula e'lu ni kujobha, “Enyi j'ha muj'hele ni imani j'hidusu, kwa ndabha j'ha kiki mwibhuasya ni kujobhesana miongoni mwa j'humu ni kujobha kuj'ha kwa ndabha mkatolili ni kujobha kuj'ha kwa ndabha mkatolili lepi mikate?
9 Je, bado hamwelewi? Je, hamkumbuki ile mikate mitano iliyolisha watu 5,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
Je bado mmanyili lepi bhwala mwikhomboka lepi j'hela mikate mihanu kwa bhanu elfu tano, ni fikapu filenga fyamwabhongene?
10 Au ile mikate saba iliyolisha watu 4,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?
Au mikate saba kwa bhanu elfu nne, na fikapu lilenga mwafitolili?
11 Inakuwaje mnashindwa kuelewa kwamba nilikuwa sisemi nanyi habari za mikate? Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
J'hij'hebhuli hata mwej'helebhwa lepi kuja nizungumzileghe lepi kuhusiana ni mikate? Mukitunzaj'hi na mkitahadhariaj'hi ni chachu j'ha Mafarisayo ni Masadukayo.”
12 Ndipo wakaelewa kwamba alikuwa hasemi juu ya chachu ya kutengeneza mikate, bali juu ya mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
Kisha bhakamanya kuj'ha abhajobhilaghe lepi juu j'ha kujihadhari ni mikate j'haij'hele ni chachu, bali kujihadhari ni mafundisyo gha Mafarisayo ni Masadukayo.
13 Basi Yesu alipofika katika eneo la Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake, “Watu husema kwamba mimi Mwana wa Adamu ni nani?”
Bhwakati Yesu afikiri sehemu sya Kaisaria j'ha Filipi, akabhakhota bhanafunzi bha muene, akajobha, “Bhanu bhijobha kuj'ha Mwana ghwa Munu niani?”
14 Wakamjibu, “Baadhi husema ni Yohana Mbatizaji; wengine husema ni Eliya; na bado wengine husema ni Yeremia au mmojawapo wa manabii.”
Bhaakajobha,” Bhangi bhijobha kuj'ha ni Yohana Mbatizaji; bhangi, Eliya; na bhangi Yeremia, au mmonga kati j'ha manabii.
15 Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”
Akabhajobhela, muenga mwijobha nene na niani?
16 Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
Akajibu Simoni Petro akajobha, “Bhebhe ndo Kristu Mwana ghwa K'yara j'ha aj'he hai”
17 Naye Yesu akamwambia, “Heri wewe, Simoni Bar-Yona, kwa maana hili halikufunuliwa kwako na mwanadamu, bali na Baba yangu aliye mbinguni.
Yesu akan'jibu ni kun'jobhela, “Ubarikibhu bhebhe, Simoni Bar Yona, kwa kuj'ha muasi ni nyama fikakufunulili lepi e'le, bali Dadi j'hangu j'ha aj'he kumbinguni.
18 Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs )
Nani pia nikabhajobhela kuj'ha bhebhe Petro, na panani pa muamba obhu nibetakulijenga likanisa lya nene. Miliangu ghya kuzimi ghib'hetalepi kulilenda. (Hadēs )
19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni, na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa Mbinguni, nalo lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Nibetakupela bhebhe fungulu sya bhufalme bhwa mbinguni. Kyokyoha kyaghwibetakukifunga pa duniani kibetakuj'ha kifungibhu kumbinguni, na kyokyoha kyakibetakufungulibhwa pa duniani basi kibeta kifungulibhu kumbinguni.”
20 Kisha akawakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.
Kisha Yesu akabhaamuru bhanafunzi bhasin'jobhela munu j'hej'hioha kuj'ha muene aj'hele Kristu.
21 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuwaeleza wanafunzi wake kwamba hana budi kwenda Yerusalemu na kupata mateso mengi mikononi mwa wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini siku ya tatu kufufuliwa.
Kuhomela bhwakati obhu Yesu akayanda kubhajobhela bhanafunzi kuj'ha ni lazima alotayi Yerusalemu, kutesibhwa kwa mambo mingi mu mabhoko gha bhaseya ni bhakholo bha makuhani ni bhaandishi, kukhomibhwa ni kufufuka ligono lya tatu.
22 Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea akisema, “Haiwezekani, Bwana! Jambo hili kamwe halitakupata!”
Kisha Petro akan'tola Yesu palubhafu ni kum'besya kwa kujobha, “Jambo e'le na lij'helayi patali nabhi, Bwana, ej'he j'hikatakuh'omela kwa bhebhe.
23 Lakini Yesu akageuka na kumwambia Petro, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
Lakini Yesu akasanuka ni kun'jobhela Petro, “Kherukayi kunyuma j'ha nene syetani! Bhebhe ndo kizuizi kwa nene, kwa ndabha ghwijali lepi mambo gha K'yara, bali mambo gha bhanadamu.”
24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
Kisha Yesu akabhajobhela bhanafunzi bha muene, “Kama munu j'hej'hioha j'hailonda kunikesya nene ni lazima akibelai muene, atolai nsalaba ghwa muene na anifatayi.
25 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.
Kwa kuj'ha j'hailonda kughaokola maisha gha muene akaghayasya na kwa yeyioha j'haibetakuyasya maisha gha muene kwa ndabha j'ha nene ibeta kughaokola.
26 Kwa maana, je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
Je! Khenu gani kyaibetakubhosya munu katika kusanusiana ni maisha gha muene?
27 Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Kwa kuj'ha Mwana ghwa Adamu ibetakuhida mu bhutukufu bhwa Dadi munu ni malaika ghwake. Nu muene ibetakundepa khila munu kul'engana ni matendo gha muene.
28 Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hawataonja mauti kabla ya kumwona Mwana wa Adamu akija katika Ufalme wake.”
Kweli nikabhajobhela kuna baadhi j'ha muenga mwamuj'hemili apa ambabho bhibetalepi kubhonja mauti mpaka pabhibetakumbona Mwana ghwa Adamu kya ihida mu bhufalme bhwa muene.