< Mathayo 15 >

1 Ndipo baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamjia Yesu kutoka Yerusalemu na kumuuliza,
Ndipo Mafarisayo ni bhaandishi bhakahida kwa Yesu kuh'omela Yerusalemu. Ni kujobha,
2 “Mbona wanafunzi wako wanakiuka mapokeo ya wazee? Kwa maana wao hawanawi mikono yao kabla ya kula!”
“kwandabha j'ha kiki bhanafunzi bhikaghaharifu mapokelelu gha bhaseya? Kwa kuj'ha bhisamba lepi mabhokho gha bhene pa bhilya kyakulya.”
3 Yesu akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu?
Yesu akabhajibu ni kubhajobhela, “Namu kwa ndabha j'hakiki mukajhiharifu sheria j'ha Bwana kwa ndabha j'ha mapokelelu ghinu?
4 Kwa maana Mungu alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’
Kwa kuj'ha K'yara ajobhili, 'Uniheshimuaghe dadij'hu ni ndebhuaku; na 'J'haijobha bhuovu kwa dadij'he ni ndebhuakhe, hakika ifwa.'
5 Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia kimewekwa wakfu kwa Mungu,’
Lakini muenga mwijobha, 'Khila j'haikombola dadij'he ni nyina, “'Kila msaada ambabho j'ha alondeghe kukabha kwa nene henu j'hibetakujha kuh'oma kwa K'yara,”'
6 basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.
“Munu oj'ho aj'helepi ni haja j'ha kun'heshimu dadij'he. Mu namna ej'he mulitenguili lilobhi lya K'yara kwa ndabha j'ha mapokelelu ghinu.
7 Ninyi wanafiki! Isaya alikuwa sawa alipotabiri juu yenu kwamba:
Enyi bhanafiki, ni vyema kama Isaya kyaatabiri juu j'ha muenga bho ajobhili,
8 “‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
'Bhanu abha bhakaniheshimu nene kwa milomo ghiabhu, lakini mioyo ghiabhu ghij'hele patali nani.
9 Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’”
Bhaakaniabudu bure, kwa ndabha bhifundisya mafundisu ghaghaj'hele malaghisu gha bhanadamu.”'
10 Yesu akaita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:
Ndipo akabhakuta makutano ni kubhajobhela, “Mup'elekisiaghe ni kumanya
11 kinachomfanya mtu kuwa najisi mbele za Mungu si kile kiingiacho kinywani mwake, bali ni kile kitokacho kinywani mwake.”
Kij'helepi khenu kyakij'hingila mundomo mwa munu ni kumbomba najisi. Bali khela kyakih'oma mundomo, akebhai ndo najisi kwa munu.”
12 Kisha wanafunzi wake wakamjia na kumuuliza, “Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa sana waliposikia yale uliyosema?”
Ndipo bhanafunzi bhakandotela ni kujobha ni Yesu, “Je!, Umanyili Mafarisayo bho bhalipheliki lilobhi lela bha dadili?”
13 Akawajibu, “Kila pando ambalo Baba yangu wa mbinguni hakulipanda, litangʼolewa.
Yesu akabhajibu ni kujobha, “Khila mmea ambabho dadij'hangu ghwa mbinguni abhubhiele lepi bhwibeta kubhosibhwa.
14 Waacheni; wao ni viongozi vipofu, wanaoongoza vipofu. Kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili watatumbukia shimoni.”
Bhalekayi bhene, bhene bhalongosi fipofu. Kama munu kipofu akandongosya kipofu nyinu, bhoha bhabhele bhibetakudumbukila mu lilende.”
15 Petro akasema, “Tueleze maana ya huu mfano.”
Petro akajibu ni kun'jobhela Yesu,” Tuj'helesiaghe mfano obho kwa tete,
16 Yesu akawauliza, “Je, bado ninyi hamfahamu?
Yesu akajibu, “Namu pia bado mwij'helebhwa lepi?
17 Je, hamwelewi kwamba chochote kiingiacho kinywani huenda tumboni, na hatimaye hutolewa nje kikiwa uchafu?
Muenga mumanyi lepi khila kyakhilota mundomo kup'etela mulileme ni kulota kuchoro?
18 Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi.
Lakini fenu fyoha fyafihomela mundomo fihomela mugati mumuoyo. Ndivyo fenu fyafikampela munu bhunajisi.
19 Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio.
Kwa kuj'ha mu muoyo ghihoma mabhwasu mabhibhi, bhukomaji, bhuzinzi, bhuasherati, bhuheji, bhushuhuda bhwa bhudesi, ni malighu.
20 Haya ndiyo yamtiayo mtu unajisi; lakini kula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.”
Agha ndo mambo gha ghakamp'ela munu bhunajisi. Lakini kulya bila kusamba mabhokho kukambomba lepi munu kuj'ha najisi.”
21 Yesu aliondoka mahali pale, akaenda sehemu za Tiro na Sidoni.
Ndipo Yesu ibhoka mahala pala ni kwitenga kulotela pande sya miji ghya Tiro ni Sidoni.
22 Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu jirani na hizo akaja kwake akilia, akasema, “Nihurumie, Ee Bwana, Mwana wa Daudi! Binti yangu amepagawa na pepo mchafu, na anateseka sana.”
Langai akahida n'dala Mkanani kuhomela lubhafu o'lu. Akakwesya sauti akajobha, “Unihurumilayi, Bwana, Mwana ghwa Daudi; binti j'hangu itesibhwa sana ni pepo.”
23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Hivyo wanafunzi wake wakamwendea na kumsihi sana, wakisema, “Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele.”
Lakini Yesu an'jibilepi lilobhi. Bhanafunzi bha muene bhakahida bhakan'sihi, bhakaj'ha bhijobha, “M'mbosiaghe alotaghe o'khu, mana akatuj'hweghela tu apa.”
24 Yesu akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”
Yesu akabhajibu ni kujobha, Nalaghisibhulepi kwa munu j'hej'hioha isipokuj'ha kwa kondoo bhabhaj'hangili mu nyumba j'ha Israeli.”
25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu, akasema, “Bwana, nisaidie!”
Lakini akahida ni kuj'hinama mbele j'ha muene, akajobha, “Bwana nisaidilayi.”
26 Yesu akajibu, “Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
Akan'jibu ni kujobha, “Khinofu lepi kulota kyakulya kwa bhana ni kus'opela mabwa,”
27 Yule mwanamke akajibu, “Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka kwenye meza za bwana zao.”
Akajobha, “Ena, Bwana, hata mabwa madebe ghilya kyakulya kyakibina pameza mwa Bwana ghwabhi.”
28 Ndipo Yesu akamwambia, “Mwanamke, imani yako ni kubwa! Iwe kwako kama unavyotaka.” Naye binti yake akapona tangu saa ile.
Ndipo Yesu akajibu ni kujobha “N'dala, imani j'ha bhebhe m'baha. Na j'hibhombekaghe kwa bhebhe kama kyaghwilonda.” Ni binti ghwa muene amalikupontisibhwa bhwakati bhobhuobhu.
29 Yesu akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.
Yesu akabhoka mahala pala ni kulota karibu ni bahari j'ha Galilaya. Kisha akalota panani pa kid'onda ni kutama okhu.
30 Umati mkubwa wa watu ukamjia, wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; naye akawaponya.
Likundi libhaha kwa muene. Ni kundetela fiwete, fipofu, bubu, filema ni bhangi bhingi, bhabhaj'hele bhatamu. Bhabhakhili mu magholo gha Yesu na akabhaponya.
31 Hao watu wakashangaa walipoona bubu wakisema, vilema wakipona, viwete wakitembea na vipofu wakiona, wakamtukuza Mungu wa Israeli.
Nao bhumati bhukasyangala bho bhabhabhuene mabubu bhilongela, ni vilema bhakaj'ha bhasima, fiwete bhigenda, ni fipofu bhilola. Bhan'sifuili K'yara ghwa Israeli.
32 Kisha Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, “Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa pamoja nami kwa muda wa siku tatu, na hawana chakula chochote. Nami sipendi kuwaaga wakiwa na njaa, wasije wakazimia njiani.”
Yesu akabhakuta bhanafunzi bha muene ni kujobha, “'Nibhabhonili huruma bhumati, kwandabha bhaj'hele nani kwa magono madatu bila kilya khenu kyokioha khela. Nikabhalagha lepi bhalotayi kwa bhene bila kulya bhasije bhakazimila mu nj'hela.”
33 Wanafunzi wake wakasema, “Tutapata wapi mikate ya kutosha kuwalisha umati huu wa watu mkubwa namna hii, nasi tuko nyikani?”
Bhanafunzi bha muene bhakan'jobhela, “Ndaku twibhwesya kukabha mikate ghya kutosya apa pa nyika ghya kushibisha umati m'baha obho?”
34 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Tunayo mikate saba na visamaki vichache.”
Yesu akabhajobhela, “Muj'he ni mikate mil'enga?” Bhakajobha, “Saba, ni somba sidusu sudebe.”
35 Yesu akawaambia ule umati wa watu waketi chini.
Yesu akabhaamuru bhumati bhutamaghe pasi.
36 Kisha akachukua ile mikate saba na wale samaki, naye akiisha kumshukuru Mungu, akavimega na kuwapa wanafunzi wake, nao wakawapa ule umati wa watu.
Akaghileta mikate j'hela saba ni somba, ni baada j'ha kushukuru, akaj'himetula ni kubhapela bhanafunzi.
37 Wote wakala na kushiba. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.
Bhanafunzi bhakabhap'hela bhumati. Bhanu bhoha bhakalya ni kutosheka. Na bhakabhonganya mabaki gha vipandi fya fyakulya fyafibakili fipandifipandi, fyamemili fikapu saba.
38 Idadi ya watu walikuwa wanaume 4,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Bhoha bhabhalili bhaj'hele bhagosi elfu nne bila bhadala ni bhana.
39 Baada ya kuaga ule umati wa watu, Yesu aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.
Kisha Yesu akabhulagha bhumati bhakilotilayi na akaj'hingila mu mashua ni kulota sehemu sya Magadani.

< Mathayo 15 >