< Mathayo 15 >
1 Ndipo baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamjia Yesu kutoka Yerusalemu na kumuuliza,
A ra anime anu bezi urusa nan anu nyerte udungara u musa wa eh ahira a yeso usuro urushalima wa gu,
2 “Mbona wanafunzi wako wanakiuka mapokeo ya wazee? Kwa maana wao hawanawi mikono yao kabla ya kula!”
“Nyanini ya wuna anu tarsa uwe me wapattilka utanda wa nanu? bark sa waka ri imu yere sarki ukpico utari.”
3 Yesu akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu?
Yeso ma kabirka we ma gun, “Nyanini ya wuna shi i pattala tize ta Asere barki utanda ushiq?
4 Kwa maana Mungu alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’
A gino me Asere ma gu, 'Nya aco uwe me,' nan 'Ka ino uwe me ti nanu, vat de sa ma zogo aco umeme nan a ino umeme a hume.'
5 Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia kimewekwa wakfu kwa Mungu,’
Shi be ya guna, vat de sa ma gunna in ka co umeme nan a ino umeme, “Imumme sa izi idi kem a hira am ma nyanki Asere.'”
6 basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.
Dakki ya cukunu gbass unu me ma nya aco me tinanu ba, barki utanda u shi me ya zika tize ta Azere tizo me anyo imum ba.
7 Ninyi wanafiki! Isaya alikuwa sawa alipotabiri juu yenu kwamba:
A nu abur ine ini Ishaya ma buuki ace ashime unu guna,
8 “‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
'Inozon me in tinyo tini cass mu ruba mu shi me mu zi pitt nan mi.
9 Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’”
Heem ini i nonzo ni mi, i bezizi utanda wanu anyo atize ta Asere.'”
10 Yesu akaita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:
Yeso ma titi anu ma gun we, “Kunnani i rusi.”
11 kinachomfanya mtu kuwa najisi mbele za Mungu si kile kiingiacho kinywani mwake, bali ni kile kitokacho kinywani mwake.”
I mum me sa idi suri anyo unu ine ini idi cari unun inzo imum me sa unu madi ri ba.”
12 Kisha wanafunzi wake wakamjia na kumuuliza, “Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa sana waliposikia yale uliyosema?”
Anu tarsa ume me wa eh wa gun me, “U rusa anu bezi urusa wa kunna muruba in tize tigino me?”
13 Akawajibu, “Kila pando ambalo Baba yangu wa mbinguni hakulipanda, litangʼolewa.
Yeso ma kabirka ma gu, “Vat tibira sa tizome ta co um tini Aseseri ba ca a ruti tini.”
14 Waacheni; wao ni viongozi vipofu, wanaoongoza vipofu. Kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili watatumbukia shimoni.”
Cekini we a rubo wani zi unu hungo arubo, i ngi urubo ma hunguko urubo vatti uwe wadi rizi anyumo uwaa.
15 Petro akasema, “Tueleze maana ya huu mfano.”
Bitrus ma gun me, “Pokon duru tige tize me.”
16 Yesu akawauliza, “Je, bado ninyi hamfahamu?
Yes ma gu, “Ana me daki ya rusa ba?
17 Je, hamwelewi kwamba chochote kiingiacho kinywani huenda tumboni, na hatimaye hutolewa nje kikiwa uchafu?
Daki ya ira imum sa aka ri, iki tarsa, apuru ika suro ati tere?
18 Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi.
I mum sa idi suri anyo ine ini iki cari unun barki sa ya suro iruba ini.
19 Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio.
Ti mum ti bur ti suso iruba ini, u huna unu, a mura nan une nan uruma sa ma, ome uwe, iruba utarsa ahana aruma nan a ee, nikari, moco nan ti zogo.
20 Haya ndiyo yamtiayo mtu unajisi; lakini kula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.”
Ti mum sa ti car sa unun ta zigene inzo imum sa unu ma diri sarki ukpico utari ba.”
21 Yesu aliondoka mahali pale, akaenda sehemu za Tiro na Sidoni.
Yeso ma dusa uhana amanyanga mati pinpin tu taya nan usidon.
22 Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu jirani na hizo akaja kwake akilia, akasema, “Nihurumie, Ee Bwana, Mwana wa Daudi! Binti yangu amepagawa na pepo mchafu, na anateseka sana.”
A bini me uru nee wanu kanana ma eh inu hunu unu gusa” buramugomo Asere, usan u Dauda, ugbergene ma mekim uca uni.”
23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Hivyo wanafunzi wake wakamwendea na kumsihi sana, wakisema, “Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele.”
Yeso ma ciki tik, unu tarsa u yeso ma gun me gido me mazi unu wuza uru sisip nan nugbejere.
24 Yesu akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”
Yeso ma kabirka ma gun we, “A tummam barki itam isaraila sa ya hunna me inzo barki uye ba.”
25 Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu, akasema, “Bwana, nisaidie!”
Ma eh ma tungunu ma gu, “Ugomo Asere buram.”
26 Yesu akajibu, “Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
Ma kabirka ma gu, “I da rizi me a ziki imumyare ya hana anya ahana i woci ba.”
27 Yule mwanamke akajibu, “Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka kwenye meza za bwana zao.”
Ma gu, Ee ugomo Asere, a hana iwoci me wa ka ri imumyare sa irizizo a dizi yana tikura tuwe me.”
28 Ndipo Yesu akamwambia, “Mwanamke, imani yako ni kubwa! Iwe kwako kama unavyotaka.” Naye binti yake akapona tangu saa ile.
Yeso ma kabirka ma gun me, “Une u hem uweme uzin ni kara, ca imumme sa unyara kukunu.”
29 Yesu akaondoka na kwenda kando ya Bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani, akaketi huko.
A bini me yeso ma tarsi urabi uraba udandand ugalili. Ma nyene ahira azallan ma cukunun.
30 Umati mkubwa wa watu ukamjia, wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; naye akawaponya.
Anu bardang wa eh ahira ameme nigome nan zati uti buna nan tari, arubo, anu nyungurzuno nan aturi wan anu koni gbardang wa inki we ati buna ti yeso ma humman we.
31 Hao watu wakashangaa walipoona bubu wakisema, vilema wakipona, viwete wakitembea na vipofu wakiona, wakamtukuza Mungu wa Israeli.
I cukuno anu imum ugamara, aturi in tize, anu nyungurzuno wa witino, anu zati uti buna in tanu, arubo uru bira. Abini me wa nonzo Asere u isaraila.
32 Kisha Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, “Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa pamoja nami kwa muda wa siku tatu, na hawana chakula chochote. Nami sipendi kuwaaga wakiwa na njaa, wasije wakazimia njiani.”
Yeso ma titi anu tarsa umeme ma gun, “In kunna ugogoni wanuageme, kani tiye ti taru nan mi, sarki imumyare. In da nyaram in ceki we wa dusa ani me ba kati wa akki wa zitti una.
33 Wanafunzi wake wakasema, “Tutapata wapi mikate ya kutosha kuwalisha umati huu wa watu mkubwa namna hii, nasi tuko nyikani?”
Anu tarsa umeme wa gun me.” Abani tidi kem imumyare sa idi bari anu wa gene gbardang ana me, ani jaa nige me?
34 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakamjibu, “Tunayo mikate saba na visamaki vichache.”
Yeso ma ikki ma gun we” ubiridi uhunnu uni izin? Wa gum” unu sunare nan mu cere mu cinci cingili.
35 Yesu akawaambia ule umati wa watu waketi chini.
Ma wu nigura nanu me wa cukuno adizi.
36 Kisha akachukua ile mikate saba na wale samaki, naye akiisha kumshukuru Mungu, akavimega na kuwapa wanafunzi wake, nao wakawapa ule umati wa watu.
Ma ziki ubiredi u u sunare me nan icere ma ringiga ma pussi, ma nyanu tarsa umeme, wa hari anu me.
37 Wote wakala na kushiba. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.
Anu me vat wa ri wa ti, wa ori ukasu me u myinca mu gira usunare.
38 Idadi ya watu walikuwa wanaume 4,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.
Anu me waa ri waa biki aru anazi, sarki ane nan ahana.
39 Baada ya kuaga ule umati wa watu, Yesu aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.
Sa yeso ma gunan ina nu me wa dusa, ma nyene uzirgi umei ma dusa uhana umagadan.