< Mathayo 13 >

1 Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.
Mani sûn nanâk han Jisua hah in mâkin dîl rakham tieng a sea, mahan minchu rangin ânsunga.
2 Umati mkubwa mno wa watu ukakusanyika kumzunguka, hata ikabidi aingie katika chombo na kuketi humo, nao watu wote wakawa wamesimama ukingoni mwa bahari.
Loko ahong intûp hah an tamrai sikin rukuonga ânsunga, loko ngei chu dîl rakhama an indinga.
3 Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
Chongmintêkngei mangin neinun tamtak a misîr pe ngei. “Rangai ta u, voikhat chu mi inkhatin burît rangin a sea.
4 Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.
Loilâia sachi a rethea, senkhat lampui kôla achula, vâ ngei an honga an sâkripa.
5 Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba.
Senkhat lungpherpha chunga pil inphânna achula, pil abitloi sikin a hongkei kelena.
6 Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.
Aniatachu nisa ahôn sânga, alumin bukung innoinarte hah a em minthêma, aruzung mathâk hah ânthûkpe loi sikin achârrip zoi.
7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.
Sachi senkhatngei chu riling râng kâra achula, riling hah ahong insôna, adîp min mang riei zoi.
8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, nyingine mara sitini, na nyingine mara thelathini.
Aniatachu, senkhat chu pil sana achula, senkhat razan, senkhat sômrukin, senkhat sômthumin ahong inra zoi.”
9 Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
Male Jisua'n chongkhârnan an kôm, “Kuor nin dônin chu rangâi roi!” a tia.
10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Hanchu ruoisingei hah Jisua kôm an honga, mipui ngei kôm thurchi ni misîrin “Ithomo chongmintêk na mang ngâia?” tiin an rekela.
11 Akawajibu, “Ninyi mmepewa kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini wao hawajapewa.
Jisua'n an kôm, “Invân Rêngram chonginthup roia rietna chu nin kôm pêk ani zoia, midang ngei kôm chu pêk nimak.
12 Kwa maana yule aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.
Tukhom neinun imini a dônsai kai chu pêk sa nîng ata, masikin ahundôr nêka tam dôn a tih; hannirese tukhom neinun ite dônloi chu a dônsai te hah khom lâk pe rip nîng a tih.
13 Hii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano: “Ingawa wanatazama, hawaoni; wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.
An kôm chongmintêk manga ko chongpui ngei ngâina abitak chu an ena an mu loina rang, le an rangâia, aniatachu an rietthei loina ranga ani.
14 Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema: “‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama lakini hamtaona.
Masikin dêipu Isaiah lei ril hah an chunga ahong tung ani: ‘Hi mingei hin rangâi an ta aniatachu rietthei noni ngei; en, en an ta aniatachu mu thei noni ngeia,
15 Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
an mulungngei alên môl zoia, an kuorngei an lei min sêt zoia, male an mitngei khom an lei sîng zoi sikin. Ninosenla, chu an mitin mûng an ta, an kuorin riet an ta, an mulungbôk ngeiin rietthei an ta, Pathien'n, ko kôm an hon heia, ke lei mindam ngei duoi mo tâk,’ a tia.
16 Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.
“Nangni rangin, idôra satvur mo nin ni zoi! Nin mitin a mua, nin kuorin a riet ani.
17 Amin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.
Adiktakin nangni ki ril, nin mu hih dêipu tamtakngei le Pathien mi tam takngei mu rang an nuom sabaka, aniatachu mu thei mak ngei, nin riet khom hih a riet an nuom sabaka, hannirese riet thei mak ngei ani.”
18 “Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:
“Hanchu, rangâi ungla, sachirethepa chongmintêk omtie hih inchu roi.
19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme naye asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake. Hii ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia.
Tutu khom Rêngram thurchi rieta, aniatachu rietminthârna dônloi chu sachi lampui kôla chul angin an ni. Misie hah a honga, an mulungrîla rethea om hah a lâkpai pe ngei ngâi.
20 Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na mara hulipokea kwa furaha.
Sachi lungpherpha chunga pil inphânna chul chu thurchi hah a riet lehan râisântaka pom kelen ngei hih an ni.
21 Lakini kwa kuwa hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno hudumu kwa muda mfupi tu. Kisha dhiki au mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, yeye mara huchukizwa.
Aniatachu ruzung inthûk amathâk loi sikin om sôt ngâi maka; ma thurchi sikin imokhat intakna mini nuomlona mini ahong om tena chu an mâk nôk kelen ngâi.
22 Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn g165)
Sachi, riling râng kâra chul chu thurchi lei rietsai ngei an ni; hannirese hi taksa ringnuna hoina le nei rang nuomna roia kangdôina ngeiin chongtak hah adîpa, mara dôn ngâi mak ngei. (aiōn g165)
23 Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na kulielewa. Naye hakika huzaa matunda, akizaa mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya mbegu iliyopandwa.”
Hanchu sachi pil sana chul chu thurchi hah an rieta, male a rietthei ngei hah an ni. An mara ngei senkhat razan, senkhat sômrukin, senkhat sômthumin an hong pung ngâi,” a tia.
24 Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema: “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
Jisua'n chongmintêk dang a rilngei nôka: “Invân Rêngram chu ma ang hin ani. Mi inkhatin a loia sachi sa rethepa leh mintêk ani.
25 Lakini wakati kila mtu alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
Jân khat chu mi an inriei suole, a râl ahonga, bu lâia han bu rothol arthea, a rotpat nôka.
26 Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.
Hanchu bu hah a hong mônga, ahong vuiin chu bu rothol khom ahong inlang sa zoi.
27 “Watumishi wa yule mwenye shamba wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu yametoka wapi?’
Loi pumapa tîrlâmngei hah an honga, a kôm, ‘Pu, no loia sachi sa nerthe hah; bu rothol so kho renga hong om mini?’ an tia.
28 “Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’ “Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayangʼoe?’
Ama'n an kôm, ‘mahah chu râlngei lei tho kêng,’ tiin a thuona. Anni han, ‘bu rotholngei so va chuon unglang nu nuom mo?’ tiin an rekela.
29 “Lakini akasema, ‘Hapana, msiyangʼoe, kwa maana wakati mkingʼoa magugu mnaweza mkangʼoa na ngano pamoja nayo.
‘Nâng mak,’ bu rothol nin chuonin chu butak khom nin phôidelsa rang kêng tiin a thuon ngeia.
30 Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’”
Bu ât zora dên mâka chu butak le arothol anruonin munkhatin insôn rese ngei. Hanchu bu ât ngâingei kôm bu arothol hah phoipaia, khita, hâl baka masuole butak hah ka sasiera thun rangin chong la be ta rong a tia.”
31 Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua, akaipanda shambani mwake.
Jisua'n chongmintêk dang a misîr pe ngei nôka, “Invân Rêngram chu min ancham ru a chôia, a loia a rethe ang hi ani.
32 Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, hadi ndege wa angani wanakuja na kutengeneza viota katika matawi yake.”
Mahi chimuru murdi lâia a chîntak ani, aniatachu, ahong lien tikin chu chimu dang ngei nêka alientak ani ngâi. Thingkung ahong changa, masikin vâ ngei an honga, amachanga han rubu an phan ngâi,” a tia.
33 Akawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
Jisua'n chongmintêk dang a misîr nôka: “Invân Rêngram chu nuvengte inkhatin chol a lâka vâipôl her sômminli leh athoi mâka tâidôna a minpola a bil angin ani,” a tia.
34 Yesu alinena mambo haya yote kwa makutano kwa mifano. Wala hakuwaambia lolote pasipo mfano.
Ha ngei murdi hah Jisua'n lokongei kôm chongmintêkin a ril ngeia; chongmintêk mang loiin chu an kôm han ite misîr mak.
35 Hii ilikuwa ili kutimiza lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii aliposema: “Nitafungua kinywa changu niseme nao kwa mifano; nitahubiri mambo yaliyofichika tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.”
Mahi a thona bi chu dêipu'n alei misîr: “An kôm chong ki rillin chongmintêk mang ka ta; Khuonsieng renga neinun inthupngei hah misîr pe ngei ki tih,” ti hah ahong tung adikna ranga ani.
36 Kisha Yesu akaagana na makutano, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”
Jisua'n lokongei hah mâkin insûnga a lûtin chu a ruoisingei an honga, a kôm, “Loia bu rothol chongmintêk roi hah khoi tina mo mi ril roh,” an tia.
37 Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Jisua'n an kôm, “Mi sachi sa rethepu hah Miriem Nâipasal ania;
38 Shamba ni ulimwengu na mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu.
loi chu rammuol hih ani; Sachi sa chu Rêngram nâingei hih an ni, bu rothol chu Misie nâingei an ni;
39 Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
male râl, bu rothol rethepu hah chu Diabol ani. Bu ât zora chu rammuol mongna rang nikhuo ania, bu âtpu ngei hah vântîrtonngei an ni. (aiōn g165)
40 “Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Bu rotholngei hah an mintûpa, meia an hâl angdên han rammuol mong tika chu ala tung rang ani: (aiōn g165)
41 Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka Ufalme wake kila kitu kinachosababisha dhambi na watenda maovu wote.
Miriem Nâipasal'n a vântîrtonngei hah tîr a ta, a Rêngram renga mi sietna sin ngâi ngei le saloi sin ngâi ngei chu minchun an ta,
42 Nao watawatupa katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
mei thithei ngâiloia han pai ngei an ta, mahan chap an ta, an rakam riel an tih.
43 Ndipo wenye haki watangʼaa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio, na asikie.
Hanchu Pathien mingei chu an Pa Rêngrama nisa angin vâr an tih zoi. Rangâi roi, kuor nin dônnin chu!
44 “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
“Invân Rêngram chu mi inkhatin loilâia rochon phûm inrûkten amu suoka; a phûm nôka, a râisân rai sikin a sea, a dônngei murdi ava juor leta, a kîr nôka male ma loi hah a rochôk angin ani.
45 “Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
“Invân Rêngram chu mi inkhatin lungmantam satak a roka,
46 Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
lungmantam satak hah a mûn chu, a sea, a dônngei murdi ava juor leta, male ma lungmantam hah a rochôk angin ani.
47 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina.
“Invân Rêngram chu ngasûrpu senkhat ngeiin an lên dîla an vôra, nga jât da-dang an sûr angin ani nôk.
48 Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa.
Lên hah asipmat tena chu dîl rakhama an kaisuoa, mahan nga insem rangin an insunga: asa murdi chu koka an thuna asaloi kai chu an paia.
49 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn g165)
Rammuol mong tika chu ma anghan la nîng atih: vântîrtonngei juong suok an ta, misangei lâi renga misaloingei hah mintûp an ta (aiōn g165)
50 Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
mei thithei ngâiloia han pai an ta, mahan chap an ta, an hâ riel an tih,” a tia.
51 Yesu akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
Jisua'n an kôm, “Ma neinungei murdi hah nin rietthei mo?” tiin a rekel ngeia. “O, kin rietthei,” tiin an thuona.
52 Akawaambia, “Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
Ama'n an kôm, “Ma omtie chu, Balam minchupungei murdi invân Rêngrama ruoisi changngei kai chu, in pumapa a rochondarna khâltan renga neinun thar le neinun muruo a kaisuo angin ani,” a tia.
53 Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.
Jisua'n ma chongmintêkngei hah a misîr suolechu ma mun hah a mâka,
54 Alipofika mji wa kwao, akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao wakastaajabu, wakauliza, “Mtu huyu amepata wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya miujiza?”
a omna ngâi khopui tieng a kîr nôka. synagog ina a minchua, a thurchi misîr ariet murdi'n chu an kamâm sabaka, “Hima anga vârna hih kho renga a man mo?” male “Sininkhêl sintheina hih kho renga a man mo?” tiin an rekela.
55 “Huyu si yule mwana wa seremala? Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu zake si Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
“Hi mi hih thing kutthiempu nâipasal hah nimak mo? Mary hah a nu nimak mo? A lâibungngei khom, Jacob, Joseph, Simon le Judas ngei nimak mo?
56 Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”
A sarnungei khom hitaka om nimak ngei mo? Kho renga mo hi ngei murdi hih a man?”
57 Wakachukizwa naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani kwake.”
Male ama hah an heng zoi. Jisua'n an kôm, “Dêipu chu a khopui sûnga le a insûngmingei lâia tiloiin chu muntina an mirit ngâi,” a tipe ngeia.
58 Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Taksônna an dônloi sikin ma mun han chu sininkhêl sin mintam ok mak ani.

< Mathayo 13 >