< Mathayo 13 >

1 Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.
in/on/among (then *k*) the/this/who day that to go out the/this/who Jesus (away from *k*) the/this/who home to sit from/with/beside the/this/who sea
2 Umati mkubwa mno wa watu ukakusanyika kumzunguka, hata ikabidi aingie katika chombo na kuketi humo, nao watu wote wakawa wamesimama ukingoni mwa bahari.
and to assemble to/with it/s/he crowd much so it/s/he toward (the/this/who *k*) boat to climb to sit and all the/this/who crowd upon/to/against the/this/who shore to stand
3 Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
and to speak it/s/he much in/on/among parable to say look! to go out the/this/who to sow the/this/who to sow
4 Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.
and in/on/among the/this/who to sow it/s/he which on the other hand to collapse from/with/beside the/this/who road and (to come/go *N(k)(o)*) the/this/who bird (and *ko*) to devour it/s/he
5 Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba.
another then to collapse upon/to/against the/this/who rocky where(-ever) no to have/be earth: soil much and immediately to sprout up through/because of the/this/who not to have/be depth earth: soil
6 Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.
sun then to rise to scorch and through/because of the/this/who not to have/be root to dry
7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.
another then to collapse upon/to/against the/this/who a thorn and to ascend the/this/who a thorn and (to choke *N(k)O*) it/s/he
8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, nyingine mara sitini, na nyingine mara thelathini.
another then to collapse upon/to/against the/this/who earth: soil the/this/who good and to give fruit which on the other hand hundred which then sixty which then thirty
9 Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
the/this/who to have/be ear (to hear *ko*) to hear
10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
and to come near/agree the/this/who disciple to say it/s/he through/because of which? in/on/among parable to speak it/s/he
11 Akawajibu, “Ninyi mmepewa kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini wao hawajapewa.
the/this/who then to answer to say it/s/he that/since: since you to give to know the/this/who mystery the/this/who kingdom the/this/who heaven that then no to give
12 Kwa maana yule aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.
who/which for to have/be to give it/s/he and to exceed who/which then no to have/be and which to have/be to take up away from it/s/he
13 Hii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano: “Ingawa wanatazama, hawaoni; wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.
through/because of this/he/she/it in/on/among parable it/s/he to speak that/since: since to see no to see and to hear no to hear nor to understand
14 Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema: “‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama lakini hamtaona.
and to fulfil (upon/to/against *k*) it/s/he the/this/who prophecy Isaiah the/this/who to say hearing to hear and no not to understand and to see to see and no not to perceive: understand
15 Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
to thicken for the/this/who heart the/this/who a people this/he/she/it and the/this/who ear difficultly to hear and the/this/who eye it/s/he to close not once/when to perceive: see the/this/who eye and the/this/who ear to hear and the/this/who heart to understand and to turn and (to heal *N(k)O*) it/s/he
16 Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.
you then blessed the/this/who eye that/since: since to see and the/this/who ear you that/since: since (to hear *N(k)O*)
17 Amin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.
amen for to say you that/since: that much prophet and just to long for to perceive: see which to see and no to perceive: see and to hear which to hear and no to hear
18 “Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:
you therefore/then to hear the/this/who parable the/this/who (to sow *N(k)O*)
19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme naye asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake. Hii ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia.
all to hear the/this/who word the/this/who kingdom and not to understand to come/go the/this/who evil/bad and to seize the/this/who to sow in/on/among the/this/who heart it/s/he this/he/she/it to be the/this/who from/with/beside the/this/who road to sow
20 Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na mara hulipokea kwa furaha.
the/this/who then upon/to/against the/this/who rocky to sow this/he/she/it to be the/this/who the/this/who word to hear and immediately with/after joy to take it/s/he
21 Lakini kwa kuwa hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno hudumu kwa muda mfupi tu. Kisha dhiki au mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, yeye mara huchukizwa.
no to have/be then root in/on/among themself but temporary to be to be then pressure or persecution through/because of the/this/who word immediately to cause to stumble
22 Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn g165)
the/this/who then toward the/this/who a thorn to sow this/he/she/it to be the/this/who the/this/who word to hear and the/this/who concern the/this/who an age: age (this/he/she/it *ko*) and the/this/who deceit the/this/who riches to choke the/this/who word and unfruitful to be (aiōn g165)
23 Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na kulielewa. Naye hakika huzaa matunda, akizaa mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya mbegu iliyopandwa.”
the/this/who then upon/to/against the/this/who good (the/this/who *k*) earth: soil to sow this/he/she/it to be the/this/who the/this/who word to hear and to understand which so to bear fruit and to do/make: do which on the other hand hundred which then sixty which then thirty
24 Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema: “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
another parable to set before it/s/he to say to liken the/this/who kingdom the/this/who heaven a human (to sow *N(k)O*) good seed(s) in/on/among the/this/who field it/s/he
25 Lakini wakati kila mtu alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
in/on/among then the/this/who to sleep the/this/who a human to come/go it/s/he the/this/who enemy and (to sow above *N(k)O*) weed each midst the/this/who grain and to go away
26 Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.
when then to sprout the/this/who grass and fruit to do/make: do then to shine/appear and the/this/who weed
27 “Watumishi wa yule mwenye shamba wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu yametoka wapi?’
to come near/agree then the/this/who slave the/this/who householder to say it/s/he lord: master not! good seed(s) to sow in/on/among the/this/who you field whence therefore/then to have/be (the/this/who *k*) weed
28 “Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’ “Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayangʼoe?’
the/this/who then to assert it/s/he enemy a human this/he/she/it to do/make: do the/this/who then slave (to say *N(k)O*) it/s/he to will/desire therefore/then to go away (to collect *NK(o)*) it/s/he
29 “Lakini akasema, ‘Hapana, msiyangʼoe, kwa maana wakati mkingʼoa magugu mnaweza mkangʼoa na ngano pamoja nayo.
the/this/who then (to assert *N(k)O*) no not once/when to collect the/this/who weed to uproot together it/s/he the/this/who grain
30 Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’”
to release: permit to grow together both (until *N(k)O*) the/this/who harvest and in/on/among (the/this/who *k*) time/right time the/this/who harvest to say the/this/who reaper to collect first the/this/who weed and to bind it/s/he toward bundle to/with the/this/who to burn it/s/he the/this/who then grain (to assemble *NK(o)*) toward the/this/who storehouse me
31 Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua, akaipanda shambani mwake.
another parable to set before it/s/he to say like to be the/this/who kingdom the/this/who heaven seed mustard which to take a human to sow in/on/among the/this/who field it/s/he
32 Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, hadi ndege wa angani wanakuja na kutengeneza viota katika matawi yake.”
which small on the other hand to be all the/this/who seed(s) when(-ever) then to grow great the/this/who plant to be and to be tree so to come/go the/this/who bird the/this/who heaven and to dwell in/on/among the/this/who branch it/s/he
33 Akawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
another parable to speak it/s/he like to be the/this/who kingdom the/this/who heaven leaven which to take woman (to mix *NK(o)*) toward flour seah Three until which to leaven all
34 Yesu alinena mambo haya yote kwa makutano kwa mifano. Wala hakuwaambia lolote pasipo mfano.
this/he/she/it all to speak the/this/who Jesus in/on/among parable the/this/who crowd and without parable (none *N(k)O*) to speak it/s/he
35 Hii ilikuwa ili kutimiza lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii aliposema: “Nitafungua kinywa changu niseme nao kwa mifano; nitahubiri mambo yaliyofichika tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.”
that to fulfill the/this/who to say through/because of the/this/who prophet to say to open in/on/among parable the/this/who mouth me to utter/proclaim to hide away from beginning world
36 Kisha Yesu akaagana na makutano, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”
then to release: leave the/this/who crowd to come/go toward the/this/who home (the/this/who Jesus *k*) and to come near/agree it/s/he the/this/who disciple it/s/he to say (to explain *N(k)O*) me the/this/who parable the/this/who weed the/this/who field
37 Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
the/this/who then to answer to say (it/s/he *k*) the/this/who to sow the/this/who good seed(s) to be the/this/who son the/this/who a human
38 Shamba ni ulimwengu na mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu.
the/this/who then field to be the/this/who world the/this/who then good seed(s) this/he/she/it to be the/this/who son the/this/who kingdom the/this/who then weed to be the/this/who son the/this/who evil/bad
39 Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
the/this/who then enemy the/this/who to sow it/s/he to be the/this/who devilish/the Devil the/this/who then harvest consummation (the/this/who *k*) an age: age to be the/this/who then reaper angel to be (aiōn g165)
40 “Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn g165)
just as therefore/then to collect the/this/who weed and fire (to burn *NK(o)*) thus(-ly) to be in/on/among the/this/who consummation the/this/who an age: age (this/he/she/it *k*) (aiōn g165)
41 Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka Ufalme wake kila kitu kinachosababisha dhambi na watenda maovu wote.
to send the/this/who son the/this/who a human the/this/who angel it/s/he and to collect out from the/this/who kingdom it/s/he all the/this/who stumbling block and the/this/who to do/make: do the/this/who lawlessness
42 Nao watawatupa katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
and to throw: throw it/s/he toward the/this/who furnace/oven the/this/who fire there to be the/this/who weeping and the/this/who gnashing the/this/who tooth
43 Ndipo wenye haki watangʼaa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio, na asikie.
then the/this/who just to shine out as/when the/this/who sun in/on/among the/this/who kingdom the/this/who father it/s/he the/this/who to have/be ear (to hear *ko*) to hear
44 “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
(again *k*) like to be the/this/who kingdom the/this/who heaven treasure to hide in/on/among the/this/who field which to find/meet a human to hide and away from the/this/who joy it/s/he to go and to sell all just as/how much to have/be and to buy the/this/who field that
45 “Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
again like to be the/this/who kingdom the/this/who heaven a human trader/merchant to seek good pearl
46 Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
(which *k*) to find/meet (then *no*) one valuable pearl to go away to sell all just as/how much to have/be and to buy it/s/he
47 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina.
again like to be the/this/who kingdom the/this/who heaven dragnet to throw: throw toward the/this/who sea and out from all family: kind to assemble
48 Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa.
which when to fulfill to pull up upon/to/against the/this/who shore and to seat to collect the/this/who good toward (vessel *N(k)O*) the/this/who then rotten out/outside(r) to throw: throw
49 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn g165)
thus(-ly) to be in/on/among the/this/who consummation the/this/who an age: age to go out the/this/who angel and to separate the/this/who evil/bad out from midst the/this/who just (aiōn g165)
50 Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
and to throw: throw it/s/he toward the/this/who furnace/oven the/this/who fire there to be the/this/who weeping and the/this/who gnashing the/this/who tooth
51 Yesu akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
(to say it/s/he the/this/who Jesus *k*) to understand this/he/she/it all to say it/s/he yes (lord: God *k*)
52 Akawaambia, “Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
the/this/who then to say it/s/he through/because of this/he/she/it all scribe to disciple (toward *k*) (the/this/who kingdom *N(k)O*) the/this/who heaven like to be a human householder who/which to expel out from the/this/who treasure it/s/he new and old
53 Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.
and to be when to finish the/this/who Jesus the/this/who parable this/he/she/it to leave from there
54 Alipofika mji wa kwao, akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao wakastaajabu, wakauliza, “Mtu huyu amepata wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya miujiza?”
and to come/go toward the/this/who fatherland it/s/he to teach it/s/he in/on/among the/this/who synagogue it/s/he so be astonished it/s/he and to say whence this/he/she/it the/this/who wisdom this/he/she/it and the/this/who power
55 “Huyu si yule mwana wa seremala? Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu zake si Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
no this/he/she/it to be the/this/who the/this/who craftsman son (no *N(k)O*) the/this/who mother it/s/he to say: call Mary and the/this/who brother it/s/he James and (Joseph *N(k)O*) and Simon and Jude
56 Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”
and the/this/who sister it/s/he not! all to/with me to be whence therefore/then this/he/she/it this/he/she/it all
57 Wakachukizwa naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani kwake.”
and to cause to stumble in/on/among it/s/he the/this/who then Jesus to say it/s/he no to be prophet dishonored if: not not in/on/among the/this/who fatherland (it/s/he *k*) and in/on/among the/this/who home: household it/s/he
58 Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
and no to do/make: do there power much through/because of the/this/who unbelief it/s/he

< Mathayo 13 >