< Mathayo 13 >

1 Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.
Nivi kima Yesu a rju ni koha hi ka son ni nyu kiekle nne'a.
2 Umati mkubwa mno wa watu ukakusanyika kumzunguka, hata ikabidi aingie katika chombo na kuketi humo, nao watu wote wakawa wamesimama ukingoni mwa bahari.
Kpontren ndi baka hu kagon ma wa ka wlu ri ni mi ghu nda kuson nimi ma u j'bu ndi ba wawu mba wu baka kli ni korah nju kiekle nne'a.
3 Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
Ni nton Yesu a hla kpi gbugbu wu ni bawu ni (misali) {lan bininkon} A tre Indi ri u ron (cu) ahi nda ka cu.
4 Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.
A cu'a u ibii bari ba kuhle ni nkon u cincen baka ye vurli.
5 Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba.
Ibii bari baka kuhle ni meme wahe ni tslatsa tita (dancon?) Bati gbla rju ni tuwa meme a he bran na.
6 Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.
U irji a rjunda whu' u baka quu ngblanme.
7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.
Ibii bari ba kuhle ni mi kunkron bi ncon u kunkron ncon ba gbron na nyi ba.
8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, nyingine mara sitini, na nyingine mara thelathini.
Ibii bari ba kuhle ni meme dindi ma na rju bi nda tie bii, bari ibii darli ni tu wa a cu'a bari ibii ise ton u bari ibii ise tra hamma ni tane.
9 Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
Iwa ahe ni ton u wo'a kawo”
10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
U bi hua baye nda tre ni Yesu “Ani tu ngye mba u tre ni j'bu ndi ni (lan bi ninkon?) “misali?”
11 Akawajibu, “Ninyi mmepewa kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini wao hawajapewa.
Yesu a saa' bawu nda tre, “Ba nnoyi nkon u toh kpye u mulki shulu wa ba rli ni bawu a.
12 Kwa maana yule aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.
E wa ahe niwu'a ba nno nhatia, u ani he wu babran. U indi wa ana hewu na' ikpye wa ahe wu'a ba kpawu.
13 Hii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano: “Ingawa wanatazama, hawaoni; wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.
Ngye kpye wa ani ndu me tre ni ba ni lan bi ninkon a yi: ko wa ba' yah bano toh na u ko wa wa'a bana wo na nda name' toh tuma zuna.
14 Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema: “‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama lakini hamtaona.
Ni' bawuyi itre Isheya a ye tsra, wa a tre din, Ni wo biwo ndi tie bre toh njima uni' yah bi toh indi na toh tuma zuna.
15 Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
E isron ndi mbayi aka tie bwu' nda sen gbirhi rhi me nda na wo na nda gru shishi mba ni ndu ba - ba na toh ni shishi mba na, ka ndu ba na woni ton mba na, ka nda toh njima ni sron mba ni ndu ba kmaye ndu me den ba.
16 Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.
U shishi mbi ba'bi lulu niwa ba toh a, u ton mbi ngame wa ba wo a.
17 Amin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.
Njinyimu mi hla yiwu anabawa ni ba ndi bi tie ngyrengre gbugbu wu ba yo suron u toh ikpye wa biki toh a u bana tsh na. ba wa ba wo ikpye wa biki yoha nda na wo bana.
18 “Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:
Sren ton ndi wo misali u ndi u ron wa a cu bii a.
19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme naye asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake. Hii ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia.
U ndi wa awo lan u mulki a nda na toh njima na, ibrji meme ani ye sranwu kpa ikpye wa ba cu ni mi sron ma. Iwayi ahi bii wa ba cuwu ni nyu nkon a.
20 Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na mara hulipokea kwa furaha.
Wawu ma wa ba cuwu ni meme u tslatsa tita a, ahi ndi wa a wo' lan'a nda kpawu gblame ni briku.
21 Lakini kwa kuwa hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno hudumu kwa muda mfupi tu. Kisha dhiki au mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, yeye mara huchukizwa.
Wa ana sen ngble wa ani klri bran ton nan. To iya ye ka meme tie ye ni tie lan'a, ani gbla joku
22 Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn g165)
U wa ba cuwu ni mi kukron bi ncona, ahi ndi wa awo lan'a u hu ngbungbungblu ni gyru u kpji ngbungblu ba mha tre a wa kana klo na. (aiōn g165)
23 Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na kulielewa. Naye hakika huzaa matunda, akizaa mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya mbegu iliyopandwa.”
Wawuma wa ba cuwu ni meme ndindi ma kimaa' ahi iwa awo lan nda toh njimaa ani klo nda nno bii wa bari mla dari u bari ise ton u ri uma ni se tra hama ni tanne zan wa ba cu'a
24 Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema: “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
Yesu ala nno ba misali ri. A tre, “mulki u shulu he na indi ri wa acu bii ndindi ma ni rju ma.
25 Lakini wakati kila mtu alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
U wa ndi basi kruna, u kranwu ri ka ye nda ka cu meme bii ni mi bii ndindi a nda hi kpama.
26 Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.
Niwa ingban alkama a tubo nda tie tu'o ni nton kima meme giga ngame ka tsro.
27 “Watumishi wa yule mwenye shamba wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu yametoka wapi?’
Igran bi ndi u rju'a baka ye hla niwu tiekoh mbu ana bii ndindi ma ba ucu ni mi rju me ana? Nihe mu aka tie meme giga?
28 “Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’ “Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayangʼoe?’
A hla ni bawu, ahi wa ayame ni ko shishia mba tie ndu mba. Igram ma ba ba ka tre kie hi gbi ba hle rju
29 “Lakini akasema, ‘Hapana, msiyangʼoe, kwa maana wakati mkingʼoa magugu mnaweza mkangʼoa na ngano pamoja nayo.
Indi u rju katre, A'an Bita ni to kima, biye gbi bii ndindi nha ni meme giga a.
30 Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’”
Ndu mba gbron bi me gbyen fyi u han ma. Ninton kimayi mi hla ni bi han ba, guci gbi meme giga ba ndi lo ba ni nkpi ma zi wa baka gon ba; u alkama mba bi vu hi sru nimi wron mu.
31 Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua, akaipanda shambani mwake.
U Yesu ala tre ni mba ni misali garti, nda hla “Ba ban mulki shulu na wlo bii mustad wa indi ka cu ni rjuma.
32 Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, hadi ndege wa angani wanakuja na kutengeneza viota katika matawi yake.”
Iwlo yi ahi fyime yi ni mi bii a wawuu. u aye gbron nda tie vuvu zan imbru bari ma ni rjua. A katie kukron wa cicen bakaye tie koh mba ni ba lan ma.
33 Akawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
Yesu ala hla misali ri ni bawu, mulki shulu ahe to yist wa iwa ni ban wu tsi ni mwu mwu kango tra waka kpawu whu
34 Yesu alinena mambo haya yote kwa makutano kwa mifano. Wala hakuwaambia lolote pasipo mfano.
Ikpyi biyi wawu mbawu Yesu a tre ba ni misali ana tre kpye ri hama ni misali na.
35 Hii ilikuwa ili kutimiza lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii aliposema: “Nitafungua kinywa changu niseme nao kwa mifano; nitahubiri mambo yaliyofichika tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.”
Ahe towa ni ndu ikpye wa ba tre ni nyu anebi a ndu njanji, wa'a hla, “mi bwuu nyumu ni misali. Mi hla ikpyi wa ba he rii'rii' rji ni tie ngbungbu'a”.
36 Kisha Yesu akaagana na makutano, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”
U Yesu ka' ka j'bu ndi ba don nda rihi ni mi koh. Mrli koh ma baka ye niwu nda tre, Hla ni tawu misali ni tu meme gigah u rjua”
37 Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Yesu a saa' nda tre wawu wa a cu bii ndindia ahi vren ndi.
38 Shamba ni ulimwengu na mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu.
Irju'a mba hi ngbungblu; u bii ndindia bahi mrli bi mulki. Gigah ba ba mrli u meme a.
39 Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
U ni tie shishi wa a chu ba ahi shetan. Iham ahi ikle ngbungblu u bi han bahi malaiku (aiōn g165)
40 “Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Nawa ba vu gigah ba ka gon ni lu'a ani he tokime ni kle ngbungblu. (aiōn g165)
41 Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka Ufalme wake kila kitu kinachosababisha dhambi na watenda maovu wote.
Ivren ndi ni ton malaika ma, uba hivu kpi biwa ba nji latre mba tie meme rju ni mulki ma.
42 Nao watawatupa katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Ba' ta' ba sru nimi kpentren lu, ni kima bayi nda tan nyiyren.
43 Ndipo wenye haki watangʼaa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio, na asikie.
Nikiyi me ndi bi tie njanyi ba kpan to rji ni mulki tie mba. Ndu wa ahe ton u wo a, ndu wo.
44 “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
Mulki shulu ahe to (arziki) wa ba rii wu ni mi rju. Indi ri ka toh nda rii'u. Ahi ni ngri nda ka vu ikpyi wa ahe ba le'nda hi ka le rjua.
45 “Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
Ngarli mulki shulu he to ndi u woh waa ani wa shishan tita.
46 Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
Wa aye fe shishan u nkpon bi ri, a vu kpyi u wo'ma le'rju nda le wu.
47 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina.
Ngarli mulki shulu ahe na rjirji u vu lambe wa ba ka ta yo ni mi kie kleme nda vu kpyi gbugbu wu ni san mba.
48 Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa.
Wa rjirji'a shu'a bi vu lambe ba baka gbi wu rju ye ni rah. Ba kuson nda hla bi ndindia sru nimi gbokrju mba u bi meme ba' ba vu ba ta'hlega.
49 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn g165)
Ani he towayi ni kle u ngbongblu'a. (aiōn g165)
50 Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
Malaika baye nda ga bi meme rju ru bi tie zizi ba sruni kpentren lu nikiyi bayi nda tan nyiyren
51 Yesu akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
Bi toh tu kpyi mba yi wawu wu? Mrli koh ma baka tre “E”
52 Akawaambia, “Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
Yesu a hla bawo, Ahe to kima na wa u riha ri wa ani ta katie vren koh u mulki shulu'a ani he to ndi wa ahe ni koh'a wa a ju kpyi bi ciceme ni bi sisama rju nimi kpyi ma wa ahe ba.
53 Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.
Niwayi, wa Yesu a tre ni misali ni bawu kle'a a wluhi don bubu kima.
54 Alipofika mji wa kwao, akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao wakastaajabu, wakauliza, “Mtu huyu amepata wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya miujiza?”
Yesu ahi ni ko nklan u gbu ma nda kari ni tra Rji nda tsro indi mba. Ba wo tsro ma nda manji ma wakran (lie sisri) nda tre ndi “Iguyi afe toh tsro yi ni ngbengble u tie kpyi bi sisri yi rji mame?
55 “Huyu si yule mwana wa seremala? Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu zake si Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
Indiyi ana vren guh u han kunkron a na? Wa ana yima yi ba yowu ndi Maryamu na? u' ana ba Yakubu ni Isuwu mba sima u Yahuza ba mrli vayi ma na?
56 Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”
Ana mrli vayi ba mrli mba wa ba he nita na? Wa afe kpyi biyi wawu rji mame”
57 Wakachukizwa naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani kwake.”
Baka tie nfu ni wu. Yesu a tre din “E ba tsri anabi ni urji ri na anigbu ma ni koh mayi ba kpau tsri.
58 Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Ana tie kpyi bi manji ma gbugbu wu ni kima na ni tu ka kpayme mba ni tre Rji.

< Mathayo 13 >