< Mathayo 13 >
1 Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.
Ki kume cuwo Yecu cerum luwe nen, yan yiken kong caji.
2 Umati mkubwa mno wa watu ukakusanyika kumzunguka, hata ikabidi aingie katika chombo na kuketi humo, nao watu wote wakawa wamesimama ukingoni mwa bahari.
Nubo kila, kila mwerkani cinen la con doken mor na bire mwenge con yiken more ce tangne nubo ducce tiranken konge.
3 Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
La Yecu yici dikero kila-kila or dangke. Con yi ci “Nii fike kange yaken fik dumek.
4 Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia, nao ndege wakaja na kuzila.
Kambo co fi tiye ri, kangum dumembo yarangken nure, bilibatine bou cibangum cuwo.
5 Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye mwamba isiyo na udongo wa kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo ulikuwa haba.
Kangumbo yaranken fiye terentiyeu bitine mani yorau tabbo bwi cin kim wori bitine cuwabo.
6 Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.
La kakuko kwiuri cin comam wori ci manki niyeten cin kucom.
7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea.
Kangum dumembo yaranken tiber cuiyaktini, la cuiyakko dwiyangum di cakkangum ci.
8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, nyingine mara sitini, na nyingine mara thelathini.
Kangum dumembo yarangken bitine ken, ma nuni kangumbo kwini kwob, kangumbo kwini nukkun, angumbo kwini taar.
9 Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
Niwo ki tuweri ca nuwa”
10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Bibei tomange bou yi Yecu “Ye bwi mo yi nubowo keroti mor dangke?”
11 Akawajibu, “Ninyi mmepewa kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini wao hawajapewa.
Yecu yii ci “Kom wi ki nure wo ka nyimom yurke liyare loh kwama, la ciye ci nencibo.
12 Kwa maana yule aliye na kitu atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangʼanywa.
Niwo cike an neten co naci fiya ducce, La nii wo mancike, bi dure cinneu an yumom cinnen.
13 Hii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano: “Ingawa wanatazama, hawaoni; wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.
wori co dike bwi mi yici keroti ki dangke. To na ci ti toi ri mani ciya toti, tano citi nuwei ri ma ciya nuwati kaka nyimom.
14 Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema: “‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama lakini hamtaona.
Cine neu dike Icaya to tokeu dim. Wo tokki, no mo nuwatiri, mwan nuwa la mani mo nyomti, toka kan to mani ka nyomti.
15 Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
Wori ner nubo wori wi ki kumtacile bwai na ci nuwa, cin kumom nuwe ciye naci tore ki nuwe ciye kaka ci nuwa ki tui ci kaka ci nyimom ki ner cir, la naci yilau nan twam ci.
16 Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.
Nuwe kime iker bibwiyer wori cin to, tu kime wori cin nua.
17 Amin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.
Bilenke mi yi komti nob dukumeb kange nubo wucake ducce cin cui naci to dike ka towe, ci tobo, cui naci nuwa diker ka nuwa ci nuwa bo.
18 “Sikilizeni basi maana ya ule mfano wa mpanzi:
Kom nuwa dangke niwo ya fi fikeu.
19 Mtu yeyote anaposikia neno la Ufalme naye asilielewe, yule mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake. Hii ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia.
No kangumbo fulen liyar kwamar nyombe ri, nii bi cirene an bou bo yuwom dike ci finer cereu. won co dumbo ci fi nureu.
20 Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na mara hulipokea kwa furaha.
W ci fi fiye bitine ki terentiye, co niwo nuwa kero ri yuwa wulom-wulom ki for neret.
21 Lakini kwa kuwa hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno hudumu kwa muda mfupi tu. Kisha dhiki au mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, yeye mara huchukizwa.
La wori ci man ki niye bwici can ti biduwar la no co fiya kalaka kange dotange ri, wulom-wulom co yarum.
22 Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn )
Wori ci fi mor cuiyakeu co niwo nuw kereu la cuikko kalek kange kiyemer cakacangum kero la co mabo. (aiōn )
23 Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na kulielewa. Naye hakika huzaa matunda, akizaa mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya mbegu iliyopandwa.”
Dumbo wo ci fi bitine keneu, co nii wo nuwa kero ri, nyimome ma ken kange kwini kwob, kange kwini nukkun, kange kwini taar no wo ci fi ciyeu.
24 Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema: “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
Yecu bo cinenten ki kang dangke. con toki, “Liyar kwamaro ki no na nii wo fi dumbo kem takeceu.
25 Lakini wakati kila mtu alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
La nubo da dumtiri, nii kiye ce bou fiti yerako wi mor bikate ce, la cu ce.
26 Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.
Kambo Cuiko duyom meri, la ma ce bitwiti ceu ken
27 “Watumishi wa yule mwenye shamba wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu yametoka wapi?’
Cangam nii take bou yi co, nii dur, mwe fi bo dumbo ken take mwe ka? Man nyi yerako wiye?
28 “Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’ “Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayangʼoe?’
Con yi ci “nii kiye ma we” cangam cebo yi co, la muki cui nyo ya nyo kubangum ka?
29 “Lakini akasema, ‘Hapana, msiyangʼoe, kwa maana wakati mkingʼoa magugu mnaweza mkangʼoa na ngano pamoja nayo.
Nii take kii, O-ong, no com kubang yerako tiri kang kubangum ten kange bi kateu.
30 Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’”
Kom dobci gwam ciya dwi nyo gwam ya cinko bika. La no lam bito ri man yi nob bitobbo, “Kom kwon yerako ki kaba, kom bwam ki blak na kom twim, kom mwer bikateu mor bini mi.
31 Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua, akaipanda shambani mwake.
La Yecu bo cinen ten ki kange dangke. con toki kii, Liyar kwamaro nan nun bikate (Musta) wo nii kange tu ya fi ta kece.
32 Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, hadi ndege wa angani wanakuja na kutengeneza viota katika matawi yake.”
Nuni wo co bi duware gwam tannen nunim bo nin. La no dui ri la tannem nunim bo gwam, yilam ti wo bilibe dii kwama an yulng loni ciye kani ce nin.
33 Akawaambia mfano mwingine, “Ufalme wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
Yecu yi ci kange danke tak, co tur duwo mim taca taare na fuu ci gwam.
34 Yesu alinena mambo haya yote kwa makutano kwa mifano. Wala hakuwaambia lolote pasipo mfano.
Gwam dike boro Yecu yi nubo mwerume kin dangke, co cibo kange diker wo kebo dangke.
35 Hii ilikuwa ili kutimiza lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii aliposema: “Nitafungua kinywa changu niseme nao kwa mifano; nitahubiri mambo yaliyofichika tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.”
Wuro na yilam dike ci toke nyii nob tomangeb, ba na dim, wo co yi ki, “man wumon Nyii mi mor dangke. Man tok dikero wo yurangum. yurange nawo a yom fer-kur kalereu.
36 Kisha Yesu akaagana na makutano, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamjia wakamwambia, “Tueleze maana ya ule mfano wa magugu shambani.”
Yecu dobom nubo mwerumeu. doken mor luwe. Bibei tomage ceu cinen cin yi co, Fwetan nyinen dangke yere wo takeu”.
37 Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
Yesu ciya la yici “wo fi dumbo keneu, so bi bwe nii fireu.
38 Shamba ni ulimwengu na mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu.
Takeu so dor bitinero, la dumbo ken ko ci bi bei liyar kwamaro. yerako co bi bei nii kiyeu.
39 Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn )
Ni kiyeu fi fikkeu so bwekelkeleu. Bitou so cuile kaleu, nob bitobbo ci nob tomangeeb kwama wusake. (aiōn )
40 “Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn )
Nyori yerako ci macangum ci tuimeu co cuile kaleu. (aiōn )
41 Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka Ufalme wake kila kitu kinachosababisha dhambi na watenda maovu wote.
Bi bwe nifir an tom nob tomangeb kwama wusakeu ci an bwabangum naci cokum liyar kwamar gwam dike buro dok bwiran ketiye kange buro wo mani bwanten werfun tiye.
42 Nao watawatupa katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Ci an merken ci mor kra cillen, fiye ciya ci wiyeti kange kironka nunnek.
43 Ndipo wenye haki watangʼaa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio, na asikie.
La ubo wusakeu ci an buwa na kakuk mor liyar kwama teciye. wo ki tuweri, can nuwa.
44 “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
Liyar kwama nan cweka yurangum yurange takeu. Nii kange fiyari yurangum cu ki bilangtum, yan miyem dike co cikeu gwam. La tiyenum take wo.
45 “Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanyabiashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
Takeu, liyar kwamaro na nii kyeme do yoryore tiye.
46 Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
No co fiya kange wo yoryore ri, co ya ci miyem dike co cike gwam co tiyenum.
47 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina.
Nyo tak liyar kwama nan bi liyar ci mer wima, la mweru dikero ducce.
48 Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa.
La dim ri nii taka jinge ko kwou konge, La con yiken con mwerum kenko mor kole, Bwirtinim bo ci miranwi firen.
49 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn )
An yila nawo fiya co kaleu a bou ti cwileu. nob tomangeb kwama wasake an bou chokum nubo bwirko mor nubo wussake nen. (aiōn )
50 Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
Ciyan merkeng ci mor kira cilong-cilonge fiye ciya ci ti ka wiye kange kironka nunek.
51 Yesu akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”
Ka Nyimom dike wuro gwam ka? Bibei tomange ceu ciya co, “Ong”
52 Akawaambia, “Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
La Yesu yici “Nyori nob merankar werunero, wo yilam bibei tomange liyr kwamareu, ci nan nii ki luwe wo yeu dikero sarko kange fwirko mor kwene ceu.
53 Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.
i fo nyori Yesu dim dangke brori, dubom fiye curo.
54 Alipofika mji wa kwao, akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao wakastaajabu, wakauliza, “Mtu huyu amepata wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya miujiza?”
La Yesu doken biten ce, meran nobo nen mor bi kur wabero Ursalimau. Nyori cin nyimange ciki “Nii wo fiya nyomka kange yileng do wo fe?
55 “Huyu si yule mwana wa seremala? Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu zake si Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
Nii wo kebo bi bwe nii kwaka luwe ka? kebo nece ci cuwo ti ki Maryamu? Ale yakubu kange Yusufu kange Saminu, kange Yahuza kebo yitub ceb ka?
56 Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”
Ale yitub ceb natubo kebo wo kange be ka? ca dikero wo fe?
57 Wakachukizwa naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani kwake.”
Cin kangum ner ducce dor cer. La Yesu yi ci “Nii tomange kwama mani fiya dur loco kange mor nubo loce.
58 Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Ca mabo nyimanke ducce wori ci nebo bilinke.