< Mathayo 12 >
1 Wakati huo Yesu alipitia kwenye mashamba ya nafaka siku ya Sabato. Wanafunzi wake walikuwa na njaa, nao wakaanza kuvunja masuke ya nafaka na kuyala.
Bhwakati obhu Yesu alotili ligono lya sabato kup'hetela mumigonda. Bhanafunzi bha muene bha j'hele ni njala na bhakayanda kughadumula masuke ni kulya.
2 Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato.”
Lakini Mafarisayo bho bhabhuene aghu, bhakan'jobhela Yesu “Langai bhanafunzi bha j'hobhi bhifunja sheria bhibhomba ligono lyaliruhusibhu lepi ligono lya Sabato”
3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?
Lakini Yesu akabhajobhela, “Msomilepi jinsi Daudi kya abhombili, bhwakati aj'hele ni njala, pamonga ni bhana bha aj'he nabhu?
4 Aliingia katika nyumba ya Mungu, akala mikate iliyowekwa wakfu, yeye na wenzake, jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya, isipokuwa makuhani peke yao.
Namna kyaaj'hingili mgati mu nyumba j'ha K'yara ni mikate ghya bhonyesho, ambaghyo ghyaj'hele lepi halali kwa muene kulya ni bhala bhaaj'hele nabhu, ila halali kwa Makuhani?
5 Au hamjasoma katika Sheria kwamba siku ya Sabato makuhani huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia?
Bado musomilepi mu sheria, kuj'ha ligono lya Sabato Makuhani mugati mu lihekalu j'hikainajisi Sabato, lakini bhaj'helepi ni hatia?
6 Nawaambia wazi kwamba, yeye aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa.
Lakini nijobha kwa muenga kuj'ha j'ha aj'he mmbaha kuliko hekalu aj'he apa.
7 Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia,
Kama ngamumanyi ej'he j'himaanisha kiki; nilonda rehema na sio dhabihu ngamubhahukumuili lepi bhabhaduli hatia,
8 kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Kwa kuj'ha Mwana ghwa Adamu ndij'je Bwana ghwa Sabato.”
9 Yesu akaondoka mahali hapo, akaingia ndani ya sinagogi lao,
Kisha Yesu akabhoka pala akalota mu lisinagogi lyabhu.
10 na huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono. Wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu, wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?”
Langaghe twaj'hele ni munu j'haapozili kibhoko. Mafarisayo bhakankota Yesu, bhakajobha. “'Je, ndo halali kuponesya ligono lya Sabato?” ili bhabhwesiaghe kumshtaki kwa kubhomba dhambi.
11 Yesu akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato hatamtoa?
Yesu akabhajobhela, “Niani kati j'ha muenga, ambaj'he ikaj'hiaghe ni likondoo limonga, ligono e'lu likabina mu lil'ende ligono lya sabato, ibetalepi kun'kamula ni kumbosya kwa ngofu ligono lya sabato mulil'ende?
12 Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”
Je, k'heleku kyakij'hele ni thamani, zaidi hoti, si zaidi j'ha likondoo! Henu ni halali kubhomba manofu ligono lya Sabato.”
13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine.
Kisha Yesu akabhajobhela munu y'ola, “Nyoosyaghe kibhoko” Akanyosya, na ukakabha afya, kama bhongi bhola.
14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Yesu jinsi watakavyoweza kumuua.
Lakini Mafarisayo bhakap'hita kwibhala ni kupanga jinsi j'ha kunjangamisya bhakalota kwibhala kupanga kinyume kyake. Bhaj'hele bhilonda jinsi j'ha kun'koma.
15 Lakini Yesu alipoyatambua mawazo yao, akaondoka mahali hapo. Watu wengi wakamfuata, naye akawaponya wagonjwa wao wote,
Yesu bho aj'helibhu e'le akabhoka apu. Bhanu bhingi bhakan'kesya na akabhaponya bhoha.
16 akiwakataza wasiseme yeye ni nani.
Akabhalaghisya bhasihidi bhakambomba amanyikanai kwa bhangi,
17 Hii ilikuwa ili litimie lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kusema:
kwamba j'hitimilayi j'hela kweli, j'haj'hikajobhibhu ni nabii Isaya, akajobha,
18 “Tazama mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu, ninayependezwa naye. Nitaweka Roho wangu juu yake, naye atatangaza haki kwa mataifa.
Langai, mtumishi bhwangu j'hanin'salili n'ganwa ghwangu, kwa muene nafsi j'ha nene j'hihobhwiki. Nibetakubheka Roho j'hangu panani pa muene, na ibetakutangasya hukumu kwa Mataifa.
19 Hatagombana wala hatapiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.
Ibetalepi kuhangaika bhwala kulela kwa ngofu; bhwala j'hoj'hioha j'hola kup'heleka sauti j'ha muene mitaani. Ibetalepi kulidumula lidete lyalichubulibhu;
20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, na utambi unaofuka moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya haki ishinde.
ibetalepi kusimisya bhutambi bhobhuoha bhwabhwihomesya liosi, mpaka pa mwibeta kuleta hukumu na j'hitolaghe.
21 Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”
Ni Mataifa bhibetakuj'ha ni bhujasiri mu lihina lyake.
22 Kisha wakamletea mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, na alikuwa kipofu na bubu. Yesu akamponya, hata akaweza kusema na kuona.
Munu fulani kipofu ni bubu, j'haapagawa ni pepo aletibhu mbele j'ha Yesu. Amponyisi, pamonga ni matokeo gha munu bubu ajobhili ni kulola.
23 Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”
Makutano bhoha bhashangale ni kujobha, “J'hibhwesekana munu oj'ho muana ghwa Daudi?”
24 Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”
Lakini pindi Mafarisayo bho bhap'heliki muujiza obho bhakajobha, “Munu oj'ho ibhosya lepi pepo kwa ngofu sya muene isipokuj'ha kwa ngofu sya Belzebuli, m'baha ghwa pepo.
25 Yesu alijua walichokuwa wakiwaza, hivyo akawaambia, “Kila ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe huangamia. Hali kadhalika kila mji au watu wa nyumba moja waliogawanyika dhidi yao wenyewe hawawezi kusimama.
“Lakini Yesu amanyili fikra sya bhene na akabhajobhela, “Kila bhufalme bhwa bhugawanyiki bhuene bhwiharibika, ni khila mji au nyumba j'haj'higawanyika j'hiene j'hij'hema lepi.
26 Kama Shetani akimtoa Shetani, atakuwa amegawanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme wake utawezaje kusimama?
Ikaj'hiaghe Syetani, ibetakumbosya Syetani, basi ikipinga mu nafsi j'ha muene.
27 Nami kama natoa pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli, watu wenu je, wao hutoa pepo wachafu kwa uwezo wa nani? Hivyo basi, wao ndio watakaowahukumu.
Ni namna gani bhufalme bhwake bhwibeta kuj'hema? Na kama nibhosya pepo kwa ngofu sya Belizabuli, bhafuasi bhinu bhibetakubhosya kwa nj'hela j'ha niani? Kwa ndabha j'ha e'le bhibetakuj'ha mahakimu bhinu.
28 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa Roho wa Mungu, basi Ufalme wa Mungu umekuja juu yenu.
Na kama nibhosya pepo kwa ng'hofu sya Roho ghwa K'yara, basi bhufalme bhwa K'yara bhuhidili kwa muenga.
29 “Au tena, mtu awezaje kuingia katika nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuteka nyara mali zake asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Akishamfunga, ndipo hakika anaweza kuteka nyara mali zake.
Na munu ibetakubhwesya bhuli kuj'hingila mu nyumba j'ha munu mwenye nghofu ni kuh'eja, bila kun'konga mwenye nghofu hosi? Ndipo ibetakuh'eja mali ghakhe kuhoma mugati mu nyumba.
30 “Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume nami, na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami, hutawanya.
J'hej'hoiha j'hola j'haabeli kuj'ha pamonga nani aj'he kinyume ni nene, ni j'haibetalepi kubhongan'ya pamonga nani oj'hu itabhwanya.
31 Kwa hiyo nawaambia, kila dhambi na kufuru watu watasamehewa, lakini mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
Kwa hiyo nijobha kwa muenga, kila dhambi ni kufuru bhana bhibetakusamehebhwa, ila kun'kufuru Roho Mtakatifu bhibetakusamehebhwalepi
32 Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn )
. Na j'hej'hioha j'haijobha lilobhi kinyume kya Mwana ghwa Adamu, e'lu libetakusamehebhwa. Lakini j'hej'hioha j'hola j'haijobha kinyume ni Roho Mtakatifu, oj'hu ibetalepi kusamehebhwa mu bhulimwengu obho, na bhwala bhola bhwa bhwihida. (aiōn )
33 “Ufanye mti kuwa mzuri, nayo matunda yake yatakuwa mazuri. Au ufanye mti kuwa mbaya, na matunda yake yatakuwa mabaya. Kwa maana mti hutambulika kwa matunda yake.
Ama ubhombaghe libehe kuj'ha linofu ni litunda lyake kuj'ha linofu, au uharibuaj'hi litunda ni libehe lyake, kwa kuj'ha libehe litambulisibhwa kwa litunda lyakhe.
34 Enyi uzao wa nyoka! Mnawezaje kunena mambo mema, wakati ninyi ni waovu? Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale yaliyoujaza moyo wake.
Muenga kizazi kya liyoka, muenga bhaovu, mwebhwesya bhuli kujobha mambo manofu? Kwa kuj'ha kinywa kijobha kuhoma mu akiba j'ha ghaghaj'hele mu muoyo.
35 Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka hazina ya mambo mema yaliyohifadhiwa ndani yake, naye mtu mwovu hutoa yaliyo maovu kutoka hazina ya mambo maovu yaliyohifadhiwa ndani yake.
Munu nnofu mu akiba j'hinofu j'ha muoyo bhwake ghihoma manofu, na munu muovu mu akiba ovu j'ha muoyo bhwake ghwih'omesya kyakyaj'hele kiovu.
36 Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo maana walilonena.
Nikabhajobhela kuj'ha mu ligono lya hukumu bhanu bhibetakuh'omesya hesabu j'ha khila lilobhi lyalij'helepi ni maana lyabhalijobhili.
37 Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”
Kwa kuj'ha malobhi gha j'hobhi ghwibetakubhalangibhwa haki ni kwa malobhi gha j'hobhi ghwibetahukumibhwa.”
38 Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”
Kisha baadhi j'ha bhaandishi ni Mafarisayo bhan'jibili Yesu bhakajobha” Mwalimu, tulondeghe kubhona ishara kuhoma kwa bhebhe.” Lakini Yesu akajibu ni kubhajobhela, “Kizazi kiovu na lya zinaa kilonda ishara.
39 Lakini yeye akawajibu, “Kizazi kiovu na cha uzinzi kinaomba ishara! Lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ishara ya nabii Yona.
Lakini j'hij'helepi ishara j'haj'hibetakupisibhwa kwa bhene isipokuj'ha j'hela ishara j'ha Yona nabii.
40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa ndani ya tumbo la nyangumikwa siku tatu, usiku na mchana, vivyo hivyo Mwana wa Adamu atakuwa katika moyo wa nchi siku tatu, usiku na mchana.
Kama vile nabii Yona kyaaj'hele mugati mu lileme lya somba m'baha kwa magono madatu pamusi ni pakilu, hivyo ndivyo Mwana ghwa Adamu kyaibetakuj'ha mugati mu mioyo ghya nchi kwa magono madatu pamusi ni pakilu.
41 Siku ya hukumu watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu waliposikia mahubiri ya Yona. Na tazama, hapa yupo yeye aliye mkuu kuliko Yona.
Bhanu bha ninawi bhibetakuj'hema mbele j'ha hukumu pamonga ni kizazi kya bhanu abha ni bhibetakukihukumu. Kwa kuj'ha bhatubuili kwa mahubiri gha Yona, na langai, munu fulani m'baha kuliko Yona apa.
42 Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu kizazi hiki. Kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni. Na hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.”
Malkia ghwa kusini ibetakujhinuka mu hukumu pamonga ni bhanu bha kizazi e'khe ni kukihukumu. Ahidili kuhoma miisho ghya dunia kuhida kup'heleka hekima j'ha Selemani, na langai, munu fulani m'baha kuliko Selemani aj'hele apa.
43 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati.
Bhwakati pepo bhachafu bhakamboka munu ghip'heta mahali papaj'helepi ni masi ilonda kup'homoseka, lakini akapabhona lepi.
44 Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu nilikotoka.’ Naye arudipo huikuta ile nyumba ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri.
Kisha ijobha, “Nibetakherebhuka mu nyumba j'hangu j'hanihomili.' Paikherebhuka akajhikholela nyumba j'hisafishibhu na ij'hele tayari.
45 Kisha huenda na kuwaleta pepo wachafu wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu.”
Kisha huenda ni kubhaleta bhangi roho bhachafu saba bhabhaj'hele bhabhibhi zaidi kuliko muene, ghihida kutama ghoha pala. Ni hali j'hiakhe j'ha mwisho huwa j'hibhibhi kuliko j'ha kubhwandelu. Efe ndo kyaj'hibeta kuj'ha kwa kizazi ekhe kiovu.
46 Wakati alikuwa angali anazungumza na makutano, mama yake na ndugu zake wakasimama nje wakitaka kuongea naye.
Bhwakati Yesu ilongela ni bhumati langai, nyinamunu ni bhalongomunu bhakhaj'hema kwibhala, bhakaj'ha bhilonda kulongela nakhu.
47 Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”
Munu mmonga akan'jobhela, “Langai nyinuaku ni bhalongobhu bhaj'hemili kwibhala bhilonda kulongela ni bhebhe”.
48 Lakini yeye akamjibu na kumwambia yule mtu, “Mama yangu ni nani, nao ndugu zangu ni nani?”
Lakini Yesu ni kun'jobhela j'haan'jobheleghe, “Mabhu ndo niani? Ni bhalongobhangu ndo bha niani?”
49 Akawanyooshea mkono wanafunzi wake, akasema, “Hawa hapa ndio mama yangu na ndugu zangu!
Nu muene akanyosya kibhokho kya muene kwa bhanafunzi ni kujobha, “Langai abha ndo mabhu ni bhalongobhangu!
50 Kwa maana yeyote afanyaye mapenzi ya Baba yangu wa mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, na dada yangu na mama yangu.”
Kwa kuj'ha j'hej'hioha j'hola j'haibhomba mapenzi gha Tata ghwangu j'haaj'hele kumbinguni, munu oj'hu ndo ndongobhangu, n'dombo bhangu ni mabhu ghwa nene”.