< Mathayo 12 >

1 Wakati huo Yesu alipitia kwenye mashamba ya nafaka siku ya Sabato. Wanafunzi wake walikuwa na njaa, nao wakaanza kuvunja masuke ya nafaka na kuyala.
Hesappe guye Yesusay sambata galas kaththa gidora adhi bidess. Iza kalizaytikka gafida gish tiya duthidi shigechi muus oykidda.
2 Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato.”
Parisaweti hessa beyidi Yesusa “hekko nena kalizayti sambata galas oothistanas besontaysa oothetess gidda.”
3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?
Izikka istas zaridi “Dawiteyinne izara diza asati gafida wode izi ay othidakkone nababibeyketi?
4 Aliingia katika nyumba ya Mungu, akala mikate iliyowekwa wakfu, yeye na wenzake, jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya, isipokuwa makuhani peke yao.
Xoossa keth gelidi qesistappe attin Dawiteyne izara dizayti bochanas besonta dumma uketh midess.
5 Au hamjasoma katika Sheria kwamba siku ya Sabato makuhani huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia?
Woykko qeseti sambata sharidi meqidess gidon otho othikko moro gidontaysa ooritte wogappe nababibeyketi?
6 Nawaambia wazi kwamba, yeye aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa.
Gidikkokka ta intess gizay meqdeseppe adhizadey han dess.
7 Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia,
“Yarsho gidonta ta maroteth dosays” giza qaalay ay gusukunne inte erizakko xillota bolla pirdekistakkoshin
8 kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
asa nay sanbatas godda” gidees.
9 Yesu akaondoka mahali hapo, akaingia ndani ya sinagogi lao,
Heppe izi gede adhishe ista mukurabe gelidess.
10 na huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono. Wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu, wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?”
Henikka issi kushe silidadey dess. Yesuusa kasasanas gasso koyidi “sambata galas pathanas besize?” gidi iza oychidess.
11 Yesu akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato hatamtoa?
Izikka ista “inteppe isadde dorsi sambata galas olan gilikko ba dorssa izi gelidi ollafe gochi kessi erene?
12 Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”
Histikko assi dorssappe kehi adhene? hessa gish sambata galas lo7o oothoy digetena” gidess.
13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine.
Addeza “ne kushe pidisa” gidess, addezikka ba kushe pidisin hinkko kusheza mala paxa gididees.
14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Yesu jinsi watakavyoweza kumuua.
Giddo atin parsaweti heppe kezidine Yesuusa wosti oyki wodhanakone ba garsan zoretidda.
15 Lakini Yesu alipoyatambua mawazo yao, akaondoka mahali hapo. Watu wengi wakamfuata, naye akawaponya wagonjwa wao wote,
Yesusay ista qohaaththaa eridi heppe haraso deesh gidess. Daro derey iza kalidess harganchatakka wursi pathidess.
16 akiwakataza wasiseme yeye ni nani.
Izi onakone asas yotonta mala ista azazidess.
17 Hii ilikuwa ili litimie lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kusema:
Hesikka haniday nabe Isayasan “Ta doridayne ta izan ufa7etiza ta nay haysich; ta ayanappe ta iza bolla wothana, izikka amanonta deretas tumu pirda awajana, oyetena, woykko wassena. Izas qalaykka karen siyetena, Tuma pirda xonos gathana gakanas tinceti utida shomboqokka menthenane cuwatiza muqadakka toysena, amanonta dereti iza ufaysan nagana” getetidi yotetida tinbite qalay polistana.
18 “Tazama mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu, ninayependezwa naye. Nitaweka Roho wangu juu yake, naye atatangaza haki kwa mataifa.
19 Hatagombana wala hatapiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.
20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, na utambi unaofuka moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya haki ishinde.
21 Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”
22 Kisha wakamletea mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, na alikuwa kipofu na bubu. Yesu akamponya, hata akaweza kusema na kuona.
Hessappe guye daydanthi oykin xelanasine hasa7anas dayda7onta issi ura Yesusakko ekki yida. Yesusaykka iza pathin addezi xelanassine hasa7anas dandaydess.
23 Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”
Assay wurikka malaletidi “haysi addezi Dawite nasha?” gidess.
24 Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”
Giddo atin parsaweti hessa siyda wode “Haysi addezi daydanth kesizay daydantha halaqa bi7el zebula wolqan xala gidanas besses” gida.
25 Yesu alijua walichokuwa wakiwaza, hivyo akawaambia, “Kila ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe huangamia. Hali kadhalika kila mji au watu wa nyumba moja waliogawanyika dhidi yao wenyewe hawawezi kusimama.
Yesusay ista qofa eridi “ba garsan isay issappe shaketiza kawotethi wurikka kundana, ba garsan shaketiza katamay woykko ketha assi minena.
26 Kama Shetani akimtoa Shetani, atakuwa amegawanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme wake utawezaje kusimama?
Xala7ey Xala7e kesiza gidkko Xala7ey ba garasan shaketidess gusa. Hessatho hanikko iza kawotethi wani minana danda7ize?
27 Nami kama natoa pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli, watu wenu je, wao hutoa pepo wachafu kwa uwezo wa nani? Hivyo basi, wao ndio watakaowahukumu.
Tani bi7el zebula wolqan kesiza gidikko inte nayti aza woliqan kesane? Hessa gish inte nayti inte bolla pirdana.
28 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa Roho wa Mungu, basi Ufalme wa Mungu umekuja juu yenu.
Gido atin tani daydanth kesizay Xoossa ayanan gidikko Xoossa kawotethi intekko yidess gussa.
29 “Au tena, mtu awezaje kuingia katika nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuteka nyara mali zake asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Akishamfunga, ndipo hakika anaweza kuteka nyara mali zake.
Woykko issi uray wolqara dizade keth gelidi mishe bonqana koyikko kasetidi he wolqara dizadeza oyki qashonta wosti bonqane? Qachidappe guye bonqana dandayes.
30 “Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume nami, na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami, hutawanya.
Tanara gidontadey tanara eqetes, tanara issippe shishonta uray wurikka lales.
31 Kwa hiyo nawaambia, kila dhambi na kufuru watu watasamehewa, lakini mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
Hessa gish ta intess tumu gays nagara othoyne cashi wuri asas ato getistana shin Xillo ayana cayida uray maretena.
32 Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn g165)
Ay assikka asa na bolla hasa7iza iitta qaalay maristana shin Xillo Ayana bolla hasa7iza iita qaalay gidikko hayssa ha woden gidin woykko buro yana woden gidin maroy deena. (aiōn g165)
33 “Ufanye mti kuwa mzuri, nayo matunda yake yatakuwa mazuri. Au ufanye mti kuwa mbaya, na matunda yake yatakuwa mabaya. Kwa maana mti hutambulika kwa matunda yake.
Mithi wuri ayfen eretizaysa mala inte lo7o ayfe demana mala intes lo7o mithi deyo, intes iita mithi diza gidikko inte ita ayfe ekkana.
34 Enyi uzao wa nyoka! Mnawezaje kunena mambo mema, wakati ninyi ni waovu? Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale yaliyoujaza moyo wake.
Inteno marzera diza shoshato inteni iitata gidi utidi wosti lo7o hasa7anas dandayeti? Ulo garsan kumidazi dunara hasa7etess.
35 Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka hazina ya mambo mema yaliyohifadhiwa ndani yake, naye mtu mwovu hutoa yaliyo maovu kutoka hazina ya mambo maovu yaliyohifadhiwa ndani yake.
Lo7o assi ba wozinan kunthi wothida lo7o yooppe lo7o hasa7es, iitta assikka ba wozinan kunthi wothidda itatethappe iitta yo kesses.
36 Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo maana walilonena.
Gido atin ta intess gizay asay ba hasa7ida hada qaala wurso gish pirda galas wurikka oychistana.
37 Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”
Gassoykka ne qalappe dendidaysan ne xilada atanane ne qalappe dendidaysan ne bolla pirdistana
38 Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”
Hessappe guye issi issi Musse woga tamarsizaytine parsaweti Yesusa “astamare, nu neppe malalsiza malata beyanas koyos” gida.
39 Lakini yeye akawajibu, “Kizazi kiovu na cha uzinzi kinaomba ishara! Lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ishara ya nabii Yona.
Izi istass zaridi “ha iitane layma yeletay malata oyches gido attin nabbe Yoonasa malatappe atin hara malatay imetena” gidess.
40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa ndani ya tumbo la nyangumikwa siku tatu, usiku na mchana, vivyo hivyo Mwana wa Adamu atakuwa katika moyo wa nchi siku tatu, usiku na mchana.
Yoonasay gita mole ulo giidon heedzdzu qamane hezu galas gami7ida mala asa nay hezu galasine hezu qamma bitta ulon gam7ana.
41 Siku ya hukumu watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu waliposikia mahubiri ya Yona. Na tazama, hapa yupo yeye aliye mkuu kuliko Yona.
Nanawe asay pirda galas hayssa ha yeletara dendidi ha yeleta bolla pirdana; gasoykka Nanawe asay Yoonaasa markatethan maroteth gelida gishasa. Hekko Yoonaasappe adhizadey han dees.
42 Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu kizazi hiki. Kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni. Na hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.”
Dugge baga dere kawoya Solomoone erateth siyanas bitta gaxappe dendada yidda gish pirda galas iza hayssa yeletethara dendada ha yeletetha bolla pirdana. Hekko Solomooneppe adhizadey hayssan dess.
43 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati.
Tuna ayanay asappe kezidi sheemppo demanas hathi baynda mela bitan dabures, gido attin ba koyiza shemppo demena.
44 Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu nilikotoka.’ Naye arudipo huikuta ile nyumba ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri.
Hessappe qasse kasse ta dizaso siimma bana gidi beniso izi simishin kasse izi dizasoy aykoyne baynda mela keth gididi geyidine gigeti dizaysa deemess.
45 Kisha huenda na kuwaleta pepo wachafu wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu.”
Hessafe bidi hara beppe itiza lapun iitta ayanata benara ekidi yeess. Istika he uran gelidi deyana. He uras kasse dusafe guye dusay iita gidana. Haysa iitta yeletethaskka hessa mala hanana.
46 Wakati alikuwa angali anazungumza na makutano, mama yake na ndugu zake wakasimama nje wakitaka kuongea naye.
Yesusay asas yotishin iza ayiyane ishati iza yochana koyidi karen eeqidashe;
47 Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”
Issi uray hekko ne ayane ne ishati nena hasa7isanas karen eeqidi nena koyetes gidess.
48 Lakini yeye akamjibu na kumwambia yule mtu, “Mama yangu ni nani, nao ndugu zangu ni nani?”
Yesusaykka ta aya oone? ta ishatich isti oonante? gidess.
49 Akawanyooshea mkono wanafunzi wake, akasema, “Hawa hapa ndio mama yangu na ndugu zangu!
Be kushera bena kalizaytakko malatidi, ta ayane ta ishati haytanta.
50 Kwa maana yeyote afanyaye mapenzi ya Baba yangu wa mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, na dada yangu na mama yangu.”
Salon diza ta aawa shene othizayti wurikka tass isha michchonne ayo gidess.

< Mathayo 12 >