< Mathayo 12 >
1 Wakati huo Yesu alipitia kwenye mashamba ya nafaka siku ya Sabato. Wanafunzi wake walikuwa na njaa, nao wakaanza kuvunja masuke ya nafaka na kuyala.
Hatnae tueng nah, Jisuh teh Sabbath hnin vah, catun lawnaw dawk a cei navah, a hnukkâbangnaw teh a vonhlam awh dawkvah, catun vuinaw hah a pahroe awh teh a bap awh.
2 Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato.”
Farasinaw ni a hmu toteh, sabbath hnin sak hoeh hane kawi hah na hnukkâbangnaw ni a sak awh, telah atipouh awh.
3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?
Jisuh ni, Devit teh a huinaw hoi a vonhlam awh navah,
4 Aliingia katika nyumba ya Mungu, akala mikate iliyowekwa wakfu, yeye na wenzake, jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya, isipokuwa makuhani peke yao.
Cathut e im dawk a kâen teh, a ma ni a cakawi hoeh e, a huinaw ni hai a cakawi hoeh e, vaihmanaw ni dueng a cakawi e vaiyei a ca e hah na touk a boihoeh maw.
5 Au hamjasoma katika Sheria kwamba siku ya Sabato makuhani huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia?
Vaihmanaw nihaiyah, bawkim dawk sabbath hnin a hnan awh ei, tounhoehe lah ao tie hah kâlawknaw dawk na touk a boihoeh maw.
6 Nawaambia wazi kwamba, yeye aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa.
Kai ni ka dei e teh, hie hmuen koe bawkim hlak hoe kalen e ao.
7 Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia,
Thuengnae hlak pahrennae hah ka ngai tie Cakathoung dawk kaawm e na thai panuek awh pawiteh, yon ka tawn hoeh e naw hah yonpen awh mahoeh ei.
8 kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Tami Capa teh sabbath hnin kaukkung lah ao, atipouh.
9 Yesu akaondoka mahali hapo, akaingia ndani ya sinagogi lao,
Hote hmuen koehoi a cei teh sinakok thung a kâen. A kutvang ka khem e tami buet touh ao.
10 na huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono. Wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu, wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?”
Tami tangawn ni Jisuh a yon tawngnae lah, sabbath hnin vah patawnae roum sak kawi maw, titeh a pacei awh.
11 Yesu akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato hatamtoa?
Jisuh ni, tu buet touh na tawn e ca hah sabbath hnin vah, tangkom thung bawt pawiteh rasat laipalah kaawm hane tami buet touh banghai nangmouh thung dawk na o awh maw.
12 Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”
Tami teh tu hlak aphu ao nahoehmaw. Hatdawkvah, sabbath hnin hnokahawi sak kawi lah ao, atipouh.
13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine.
Hote a kutvang kadout e koevah, na kut hah dâw haw, atipouh navah ahni ni a kut a dâw teh, avanglae kut patetlah ao.
14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Yesu jinsi watakavyoweza kumuua.
Hattoteh Farasinaw a tâco awh teh, Jisuh bangtelah hoi maw thei han telah a kapan awh.
15 Lakini Yesu alipoyatambua mawazo yao, akaondoka mahali hapo. Watu wengi wakamfuata, naye akawaponya wagonjwa wao wote,
Jisuh ni a panue dawkvah, hote hmuen koehoi alouklah a cei teh, moikapap e taminaw ni a kâbang awh teh, ahnimae patawpanatnae kaawm e pueng hah a dam sak pouh.
16 akiwakataza wasiseme yeye ni nani.
Ahnimouh ni pung a pathang awh hoeh nahan kâhruetcuetnae a poe.
17 Hii ilikuwa ili litimie lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kusema:
Hot teh, profet Isaiah e lawk a kuep nahane doeh.
18 “Tazama mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu, ninayependezwa naye. Nitaweka Roho wangu juu yake, naye atatangaza haki kwa mataifa.
Isaiah ni a dei e lawk teh, thai awh haw, ka rawi e ka san, ka pahren poung e ahni dawkvah ka lung ahawi tangngak. Ahni dawk ka muitha ka caksak han. Jentelnaw hah lawkcengnae kâ ka poe han.
19 Hatagombana wala hatapiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.
Oun hoeh, hram hoeh. Hatdawkvah ahnie lawk apinihai lam dawk thai mahoeh.
20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, na utambi unaofuka moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya haki ishinde.
Coungroe e lungpumkung khoe hoeh, hmaikhu kapap e hmaipalai dout hoeh, A lawk teh tânae koe a pha nahanlah a sak han.
21 Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”
A min haiyah Jentelnaw ni a kâuep awh han, telah a pâpho.
22 Kisha wakamletea mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, na alikuwa kipofu na bubu. Yesu akamponya, hata akaweza kusema na kuona.
Hatnavah, kahrai ni a man teh, mit ka dawn, lawk ka a e tami buet touh a ma koe a thokhai awh. A mit bout a ang teh, lawk bout a dei thai nahanlah Jisuh ni ahawi sak.
23 Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”
Hawvah ka kamkhuengnaw pueng ni a kângairu awh teh, ahni heh Devit e capa han na maw telah ati awh.
24 Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”
Farasinaw ni a thai awh navah, ahni teh kahraituilinaw e bawi Beelzebub a kâuep laihoi doeh kahraituilinaw hah a pâlei thai, ati awh.
25 Yesu alijua walichokuwa wakiwaza, hivyo akawaambia, “Kila ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe huangamia. Hali kadhalika kila mji au watu wa nyumba moja waliogawanyika dhidi yao wenyewe hawawezi kusimama.
Jisuh ni hotnaw e pouknae a panue pouh dawkvah, bangpatet e uknaeram haiyah amamouh hoi mamouh kâpo awh hoehpawiteh, rawknae koe a pha awh han. Bangpatet e khoram hoi imthung haiyah amamouh hoi mamouh kâpo awh hoehpawiteh kangdout thai mahoeh.
26 Kama Shetani akimtoa Shetani, atakuwa amegawanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme wake utawezaje kusimama?
Setan ni Setan hah pâlei pawiteh, amamouh hoi mamouh kâkapek vaiteh a uknaeram bangtelamaw a kangdue thai han vaw.
27 Nami kama natoa pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli, watu wenu je, wao hutoa pepo wachafu kwa uwezo wa nani? Hivyo basi, wao ndio watakaowahukumu.
Kai ni Beelzebub kâuep laihoi kahraituilinaw ka pâlei pawiteh, nangmae canaw niteh, apimaw a kâuepkhai vaiteh a pâlei awh han. Hatdawkvah ahnimouh teh nangmouh lawkcengkung lah ao awh han.
28 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa Roho wa Mungu, basi Ufalme wa Mungu umekuja juu yenu.
Kai ni Cathut e Muitha hah kâuep laihoi kahraituilinaw ka pâlei pawiteh, atangcalah nangmouh koe Cathut uknaeram kangdue nahane tueng teh a pha toe.
29 “Au tena, mtu awezaje kuingia katika nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuteka nyara mali zake asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Akishamfunga, ndipo hakika anaweza kuteka nyara mali zake.
A thakaawmpounge tami, a ma hah hmaloe katek hoehpawiteh, apinimaw ahni imthung a cei vaiteh hnopainaw hah a lawp thai han. A ma hah hmaloe katek pawiteh doeh a hnopainaw hah lawp thai lah awm tih.
30 “Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume nami, na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami, hutawanya.
Kai koe lah kambawng hoeh e teh ka taran doeh. Kai hoi cungtalah kaawm hoeh e teh kampek e lah ao.
31 Kwa hiyo nawaambia, kila dhambi na kufuru watu watasamehewa, lakini mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
Hatdawkvah, ka dei e teh, yonnae puenghoi Cathut dudamnae yon pueng hai taminaw ni ngaithoumnae a hmu thai awh. Hatei, Kathoung Muitha dudamnae yon teh taminaw ni ngaithoumnae hmawt thai awh hoeh.
32 Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn )
Tami Capa hah a pahni hoi ka yon e yon ngaithoum thai. Kathoung Muitha hah a pahni hoi ka yon e yon teh atu a hring na hai, due hnukkhu hring nah hai ngaithoum thai mahoeh. (aiōn )
33 “Ufanye mti kuwa mzuri, nayo matunda yake yatakuwa mazuri. Au ufanye mti kuwa mbaya, na matunda yake yatakuwa mabaya. Kwa maana mti hutambulika kwa matunda yake.
A paw dawk hoi akung e coungnae a kamnue dawkvah, a paw hawi pawiteh akung hai ahawi. A paw hawihoeh pawiteh a kung hai hawi hoeh.
34 Enyi uzao wa nyoka! Mnawezaje kunena mambo mema, wakati ninyi ni waovu? Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale yaliyoujaza moyo wake.
Hrunthoe catounnaw, laplap na thoe awh nahlangva kahawi e lawk hah bangtelamaw na dei thai awh han. Lungthung kakawi e patetlah doeh pahni ni hai a dei.
35 Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka hazina ya mambo mema yaliyohifadhiwa ndani yake, naye mtu mwovu hutoa yaliyo maovu kutoka hazina ya mambo maovu yaliyohifadhiwa ndani yake.
Tami kahawi ni teh a lungthung e kahawi e hno hah a rasa.
36 Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo maana walilonena.
Ka dei e teh, taminaw ni aphu kaawm hoeh e lawk na dei e pueng hah, lawkcengnae hnin dawkvah nama ni na deicai han. Na lawknaw lahoi yah, yon hlout lah na o han.
37 Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”
Hoehpawiteh, na lawk dei e naw lahoi yah. yon lawkceng lah na o han, atipouh.
38 Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”
Hat torei teh, cakathutkungnaw hoi Farasinaw niyah, Bawipa kaimouh ni mitnoutnae buetbuet touh hmu han ka ngai, atipouh awh.
39 Lakini yeye akawajibu, “Kizazi kiovu na cha uzinzi kinaomba ishara! Lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ishara ya nabii Yona.
Jisuh ni, tami kahawihoehnaw e catounnaw ni mitnoutnae na hei awh nah, profet Jonah laipateh alouke bang buet touh boehai kamnuek sak mahoeh.
40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa ndani ya tumbo la nyangumikwa siku tatu, usiku na mchana, vivyo hivyo Mwana wa Adamu atakuwa katika moyo wa nchi siku tatu, usiku na mchana.
Jonah teh tanga von dawk hnin thum touh ao patetlah tami Capa teh talai thungvah hnin thum touh ao van han.
41 Siku ya hukumu watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu waliposikia mahubiri ya Yona. Na tazama, hapa yupo yeye aliye mkuu kuliko Yona.
Lawkcengnae hnin navah, Nineveh kho e taminaw teh hete miphunnaw e a vang lah thaw awh vaiteh ahnimanaw a sung sak awh han. Bangkongtetpawiteh, ahnimouh teh Jawnah ni a pâpho e lawk kecu dawk pan a kângai awh. Hie hmuen koe Jawnah hlak hoe kalen e teh ao.
42 Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu kizazi hiki. Kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni. Na hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.”
Lawkcengnae hnin navah, akalah e siangpahrangnu teh hete miphunnaw e avanglah thaw vaiteh ahnimanaw hah a sung sak han. Bangkongtetpawiteh, hote siangpahrangnu teh Solomon siangpahrang e lungangnae lawk hah thai hanelah talai poutnae koehoi a tho toe. Khenhaw! hie hmuen koevah Solomon hlak ka talue e teh ao.
43 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati.
Kakhine muitha teh tami thung hoi a tâco teh duem ao nahane hmuen hah yuengyoe a tawng.
44 Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu nilikotoka.’ Naye arudipo huikuta ile nyumba ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri.
A hmu hoeh toteh ka tâconae, ouk ka onae im koe lah bout ka ban han ati teh bout a tho navah hote im teh sut ka houng e lah ao tie a hmu.
45 Kisha huenda na kuwaleta pepo wachafu wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu.”
Hahoi, ama hlak hoe kathoute alouke sari touh a kaw teh, hote tami thungvah bout a kâen awh teh ao awh. Hote tami teh ahmaloe e hlak a mathoe. Kathout e hete miphunnaw koevah hot patetlah ao van han telah a dei pouh.
46 Wakati alikuwa angali anazungumza na makutano, mama yake na ndugu zake wakasimama nje wakitaka kuongea naye.
Hottelah taminaw koevah a pâpho lahun nah a manu hoi a nawnghanaw ni pato han a ngai awh dawkvah alawilah sut a kangdue awh.
47 Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”
Tami buet touh ni na manu hoi na nawnghanaw ni na pato hane a ngai awh dawkvah alawilah sut a kangdue telah a dei pouh.
48 Lakini yeye akamjibu na kumwambia yule mtu, “Mama yangu ni nani, nao ndugu zangu ni nani?”
Ka manu ka nawnghanaw teh api nama telah a pacei.
49 Akawanyooshea mkono wanafunzi wake, akasema, “Hawa hapa ndio mama yangu na ndugu zangu!
A hnukkâbangnaw koe lah a kut a dâw teh, hetnaw teh ka manu, ka nawnghanaw doeh.
50 Kwa maana yeyote afanyaye mapenzi ya Baba yangu wa mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, na dada yangu na mama yangu.”
Kalvan kho kaawm, a Pa e ngainae ka sak e pueng teh ka nawngha, ka tawncanu, ka manu lah doeh ao, telah atipouh.