< Mathayo 11 >
1 Baada ya Yesu kumaliza kutoa maagizo kwa wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka hapo akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.
Ikabhwa baada j'ha Yesu kumala kubhaj'helekesya bhanafunzi bha muene kumi na bhabhele abhokhili pala kulota kumanyisya ni kuhubiri mu miji ghiabhu,
2 Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake
ni Yohana bho aj'he kuligereza bho ap'heliki aj'hele panani pa matendo gha Kristu, alaghisye bhujumbe kup'etela bhanafunzi bha muene,
3 ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
na bhakankota, “Bhebhe ndo j'hola j'ha ihida, au aj'hele j'hongi twilondeka kundendela?”
4 Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona:
Yesu ajibili nikujobha kwa bhene “'Mulotayi mukan'jobhilayi Yohana ghala gha mukaghabhona ni kughap'heleka.
5 Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.
Bhanu bhabhilolalepi bhibeta kulola, viwete bhibeta kutakasibhwa, bhana bhabhipeleke lepi bhib'eta kup'eleka kabhele, bhana bhabhafuili bhibetakufufulibhwa kukabha bhuhai, na bhanu bhabhilonda bhihubiriwa habari jhinofu.
6 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
Na abarikibhu jhola jhaibhonalepi shaka juu jha nene.
7 Wale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo?
Pindi bhanu abha bhobhabhokili, Yesu akaj'handa kujobha ni bhumati kuhusu Yohana, “Kiki mwalotili kulola kulijangwa lidete lihugunisibhwa ni mp'ongo?
8 Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme.
Lakini kiki mwalotili kubhona munu j'haafuele mavazi mololo? Hakika, bhala bhabhifuala mavazi mololo bhitama mu nyumba sya bhafalme.
9 Basi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.
Lakini mwabhokhili kulola kiki-Nabii? Ena, nikabhajobhela, na zaidi j'ha Nabii.
10 Huyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa: “‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako, atakayetengeneza njia mbele yako.’
Oj'ho ndo aj'handikibhu, 'Langai, nikandaghisya mjumbe ghwangu mbele j'ha uso bhuakhu, ambaj'he ibetakuandala nj'hela j'ha bhebhe mbele j'ha bhebhe.
11 Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana.
Nene nikabhajobhela bhukweli, kati j'ha bhabhahogoliki ni bhadala aj'helepi j'haaj'he m'mbaha kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aj'hele n'debe mu bhufalme bhwa mbinguni ndo mmbaha kuliko muene.
12 Tangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka.
Kuhoma magono gha Yohana Mbatizaji mpaka henu, bhufalme bhwa mbinguni ni bhwa ngofu, na bhanu bhenye ngofu, bhikautola kwa ngofu.
13 Kwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana.
Kwa kuj'ja manabii ni sheria, imekuwa bhakitabiri mpaka kwa Yohana.
14 Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja.
Na kama muj'hela tayari kuj'hetekela, oj'ho ndo Eliya, j'hoola j'haihida.
15 Yeye aliye na masikio, na asikie.
J'haaj'hele ni mbolokhoto sya kup'heleka na ap'helekai.
16 “Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,
Nikil'eng'enesiayi ni kiki kizazi e'khe? ni mfwanu ghwa bhana bhabhikhina maeneo gha pa soko, babhitama ni kukutana
17 “‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkuomboleza.’
ni kujobha, 'Twabhakhobhili zamori na mwakinilepi. Twaombolizi, na mwal'elililepi.'
18 Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja, alikuwa hali wala hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’
Kwa kuj'ha Yohana ahidili bila kulya nkate au kunywa mvinyo, na bhakaj'ha bhijobha, 'Aj'he ni pepo.'
19 Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, nao wanasema, ‘Tazameni huyu mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na “wenye dhambi.”’ Lakini hekima huthibitishwa kuwa kweli kwa matendo yake.”
Mwana ghwa Adamu ahidili akaj'ha ilya ni kunywa na bhajobhili 'Langai, munu mlyaji ni n'defi, nkamu ghwa bhatoza ushuru na bhenye dhambi!' Lakini heshima j'hidhihirishibhwa kwa matendo ghakhe.”
20 Ndipo Yesu akaanza kushutumu miji ambamo alifanya miujiza yake mingi kuliko kwingine, kwa maana watu wake hawakutubu.
Yesu aj'handili kuj'hikhemela miji ambamo baadhi j'ha matendo ghakhe gha ajabu ghabhombiki, kwa ndabha bhabeli kutubu,
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa maana kama miujiza iliyofanyika kwenu, ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
Ole bhwakhu, Kolazini, Ole bhwakhu Bethsaida! Kama matendo mabhaha ngaghabhombiki Tiro ni Sidoni ghala ghaghabhombiki apa, ngabhaj'hele bhamali kutubu muandi kwa kufuala magunila ni kubakala malyenge.
22 Lakini nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi.
Lakini j'hibetakuj'ha bhuvumilivu kwa Tiro ni Sidoni ligono lya hukumu kuliko kwa bhene.
23 Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs )
Bhebhe, Kapernaum, ghwidhanila ghwibetakuj'hinulibhwa hadi kumbinguni? Lepi ghwibeta kuselesibhwa hadi pasi kuzimu. Kama kwa Sodoma ni kubhombibhwa matendo mabhaha, kama kyaghabhombiki kwa bhebhe, ngaj'hij'hele hadi lelu. (Hadēs )
24 Lakini nakuambia kwamba, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ya hukumu kuliko wewe.”
Bali nijobha kwa bhebhe kuj'ha j'hibetakuj'ha rahisi kwa nchi j'ha Sodoma kuj'hema ligono lya hukumu kuliko bhebhe.
25 Wakati huo Yesu alisema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo.
Katika muda obho Yesu ajobhili, “Nikusifu bhebhe, Tata, Bwana ghwa Mbingu ni Nchi, kwa ndabha ghwabhafighili mambo agha bhenye hekima ni bhufalme, ni kiughafunula kwa bhasio ni elimu, kama bhana bhadebe.
26 Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
Tata kwa kuj'ha j'hakupendisi naha pamihu pa bhebhe.
27 “Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu: Hakuna mtu amjuaye Mwana ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.
Mambo agha ghakabidhibhu kwa nene kuhoma kwa Tata. Na aj'helepi j'ha ammanyili mwana isipokuj'ha Tata, na aj'helepi j'haammanyili Mwana, na j'hej'hioha j'hola ambaj'he Mwana aj'he ni hamu j'ha kumfunulila.
28 “Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Muhidai kwa nene, muenga mwebhobha mwamisumbulibhwa ni kuelemebhwa ni misighu misitu, nani nibetakukup'omosesya.
29 Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
Mwikipelai nira j'hangu ni mwikifundisiaghe kuhoma kwa nene, kwa kuj'ha nene ne nyenyekevu na mololo ghwa muoyo na mwikabha kuj'homosekelu ka nafsi syenu.
30 Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”
Kwa kuj'ha nira j'hangu j'hilaini ni misighu ghiangu mipepe.