< Mathayo 1 >

1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Ishitabu ishashikholo isha Yesu Klisiti umwana wa Daudi, umwana wa Ibrahimu.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
U Ibrahimu ahali yise wa Isaka, Uisaka ahali yise wa Yakobo, u Yakobo ahali yise wa Yuda na bhaholo bhakwe.
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
U Yuda ahali yise wa Peresi nu Sera hwa Tamari, Peresi yise wa Hezeroni, u Hezeroni yise wa Ramu.
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
U Ramu ahali yise wa Aminadabu, u Aminadabu ahali yise wa Nshoni, u Nashoni yise wa Salimoni.
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
U Salimoni ahali yise wa Boazi hwa Rahabu, u Boazi yise wa Obedi hwa Ruth, U Obedi yise wa Yese,
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
u Yese ahali yise wa mfalume u Daudi. U Daudi ahali yise wa Sulemani hwa nshi wa Uria.
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Usulemani ahali yise wa Rehoboamu, u Rehoboamu yise wa Abiya, u Abiya yise wa Asa.
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
U Asa ahali yise wa Yehoshafati, u Yehoshafati yise wa Yoramu, u Yoramu yise wa Uzia.
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
U Uzia ahali yise wa Yothamu, u Yothamu yise wa Ahazi, u Ahazi yise wa Hezekia.
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
U Hezekia ahali yise wa Manase, u Manase yise wa Amoni u Amoni yise wa Yosia.
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
U Yosia ahali yise wa Yekonia na kaka bhakwe lwebhahegwaga abhale hu Babeli.
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Baada ya hwegwe abhale hu Babeli, u Yekonia ahali yise wa Shatieli, u Shatieli ahali mwizukulu wa Zerubabeli.
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
u Zerubabeli ahali yise wa Abiudi, u Abiudi yise wa Eliakimu, u Eliakimu yise wa Azori.
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
U Azori ahali yise wa Zadoki, u Zadoki yise wa Akimu u Akimu yise wa Eliudi.
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
U Eliudi ahali yise wa Elieza, u Elieza yise wa Matani u Matani yise wa Yakobo.
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
U Yakobo ahali yise wa Yusufu unume wa Mariamu, yehwamwene u Yesu ahapapwilwe, yahwitwa Klisiti.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
Impapo zyonti afume hwa Ibrahimu hadi hwa Daudi zyahali impapo kumi na nne, afume hwa Daudi hadi hwegwe abhale hwa Babeli impapo kumi na nne, na afume ahwegwe afume hu Babeli hadi hwa Klisiti impapo kumi na nne.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Apapwe hwa Yesu Klisiti hwahali ishi. Unyina wakwe u Mariamu, ahazinjiwilwe nu Yusufu, ishi shebhasili alolane ahaloleshe aje alinivyanda hwa mpepo umfinjile.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
Unume wakwe u Yusufu, ahali muntu wi lyoli zaga ahauzaga hukenyesye hubhantu. Ahamuye ahwimilisye husili.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Nahasibhaga ahusu amamba iga, uwantumi uwa ngumbhi ahamfumiiye hunjozi, ahaga, “Yusufu mwana wa Daudi, usahogope humweje u Mariamu unshi waho pipo ulwanda lwali nalwo lufumiline nu Mepo umfinjile.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Abhapape umwana unsahala ubhalunkwize itawa lyakwe yu Yesu, papo anzahubhokole abhantu bhakwe ni dhambi zyabho.”
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Gonti gahafumiye aje nkezibhombeshe zyezyayangwile nu gosi hwidala lya kuwa aje,
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
“Enya, u bikira ahayibha ni vyanda ahayipapa umwana uwishilume itawa lyakwe abhahukwizye yu Imanueli” — imaana yakwe, “Ungulubhi ali natwi.”
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
U Yusufu ahadamushe mutulo na bhombe ndeshe abhantumi ngosi she bhahamuzizye na ahamwejile unshi wakwe.
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
Hata shinisho, sagahagonile nawo mpaka lwahapapa umwana uwishilume ahankwizya itawa lyakwe yu Yesu.

< Mathayo 1 >