< Mathayo 1 >
1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Imbuka ya luzuvo lwa Jesu Kereste mwana wa Daafita mwana wa Abrahama.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
Abrahama a vali nji si wa Isaka, ni Isaka isi wa Jakobo, ni Jakobo isi wa Juda ni vance.
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
Juda a vali njisi wa Perezi ni Zera cha Tama, Perezi isi wa Hezironi, ni Hezironi isi wa Ramu.
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
Ramu a vali njisi wa Amminadab, Amminadab isi wa Nahshoni, ni Nahshoni isi wa Salumoni.
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
Salumoni ivali nji si wa Boazi cha Rahaba, Boazi isi wa Obedi cha Ruti, Obedi isi wa Jesse,
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
Jesse a vali nji si wa Daafita simwine. Daafita a vali njisi Solomoni cha mwihyavwe wa Uriya.
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Solomoni a vali nji si wa Rehoboamu, Rehoboamu isi wa Abijah, Abijah isi wa Asa.
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
Asa a vali njisi wa Josafati, Josafati isi wa Joramu, ni Joramu isi wa Uzziah.
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
Uzziya avali njisi wa Jotamu, Jotamu isi wa Ahazi, Ahazi isi wa Hezekiya.
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
Hezekiya a vali njisi wa Manasseh, Mannasseh isi wa Amoni, ni Amoni isi wa Josiyah.
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Josiya avali njisi wa Jekoniya ni vanche he nako i vavaka luwitwe kwa Bavilona.
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Mi kuzwa ha kuka luwiwa kwa Babilona, Jekoniya a vali njisi wa Salatiele, Salatiele a vali muzimu wa Zerubabele.
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
Zerubabele a vali njisi wa Abiudi, Abiudi isi wa Eliyakimu, ni Eliyakimu isi wa Azoro.
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
Azoro a vali njisi wa Zadoki, Zadoki isi wa Akimu, ni Akimu isi wa Eliudu.
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
Eliudi avali nji si wa Eliyazere, Eliyazere isi wa Matani, ni Matani isi wa Jakobo.
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
Jokobo avali nji si wa Josefa mwihyabwe wa Maria, kakwe Jesu na zalwa, yo sumpwa Keresite.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
Mahasi onse ku zwa kwa Abrahama ku ya kwa Daafita a vali mahasi ena ikumi lyonke ni one, kuzwa kwa Daafita kuya ha vaka luwiwa kwa Babilona ku leta kwa Keresite avali masika ena ikumi lyonke ni one.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Ku zalwa kwa Jesu Keresite kuva chitahali mu nzila i chilila. Inyina, Maria, ava veelezwe kuti a seswe kwa Josefa, kono pili ni vaseni kwiza hamwina, ava waniki ha menzi mahya cha Luhuho lu Jolola.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
Mwihyavwe, Josefa, avali mukwane yo shiyeme, kono kana a vali kusaka ku shuvulisa mwihyabve iñandaleza. Cwale cha nahana ku manisa che nkunutu ku li veereza kwaakwe naye.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Havali kusi nahana cezi zintu, Iñeloi lya Ireza ni lya livonisa kwali mu chiloto, liti, “Josefa, mwana wa Daafita, kanji u tiyi to hinda Maria kuva muhwenu, kakuli yo lihinditwe kwali avali ku lihindwa cha Luhuho lu Jolola.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
Mwa zale mwana' mushisu, mi momu ulike izina lya Jesu, mukuti ka puluse vantu vakwe ku zivi zavo.”
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Izo zonse zi va pangahali kwi zuziliza chiva wambiwa kwa Simwine cha muporofita, nati,
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
“Mu vone, mwalyango mwave ha menzi mahya, mi mwa zale mwana' shwisu, mi mu va mu sumpe izina lyakwe Imanuere”- i talusa, “Ireza wina neswe.”
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Josefa ha vuka ku ñonzi zakwe ni ku chita ka kuya ke Iñeloi lya Simwine muli va mu laeli mi ca mu hinda kuva mwihyavwe.
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
Kono kana aba lali naye konji ha zala mwana' mushisu. Mi ava mu sumpisi izina lya Jesu.