< Mathayo 1 >

1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
Matiyu Jesu Kilisiti yaajanba yela togida ye ne. Jesu Kilisiti den tie Dafidi bijua, leni Abalahama bijua.
2 Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
Abalahama den mali isaaka, Isaaka n maa Jakoabo, Jokoabo n maa Juda len o cianba leni o waamu.
3 Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,
Juda den taa Tamala ki mali Peletisa leni Sela, Peletisa n maa Etilona, Etilona n maa Alama,
4 Aramu akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,
Alama n maa Abinadabi, Abinadabi n maa Nasona, Nasona n maa Salimono,
5 Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,
Salimono den taa Lahaba ki mali Boasa. Boasa den taa Luta ki mali Obedi,
6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.
Obedi n maa Isayi, Isayi n maa o bado Dafidi. Dafidi den taa Uli pua ki mali Salomono,
7 Solomoni akamzaa Rehoboamu, Rehoboamu akamzaa Abiya, Abiya akamzaa Asa,
Salomono n maa Loboami, Loboami n maa Abia, Abia n maa Asa,
8 Asa akamzaa Yehoshafati, Yehoshafati akamzaa Yoramu, Yoramu akamzaa Uzia,
Asa n maa Josafati, Josafati n maa Yolami, Yolami n maa Osiasi,
9 Uzia akamzaa Yothamu, Yothamu akamzaa Ahazi, Ahazi akamzaa Hezekia,
Osiasi n maa Yotami, Yotami n maa Akasi, Akasi n maa Esekiasi,
10 Hezekia akamzaa Manase, Manase akamzaa Amoni, Amoni akamzaa Yosia,
Esekiasi n maa Manase, Manase n maa Amoni, Amoni n maa Josiasi,
11 wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Josiasi n maa Jekonia leni o waamu, Babilona yaaba n den paadi Isalele yaaba ya yogunu, ki cuo ba ki gedini ti yonbidi bi diema nni
12 Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Isalele yaaba yonbidi Babilona diema nni n pendi, Jekonia den mali Salitieli, Salitieli n maa Solobabeli,
13 Zerubabeli akamzaa Abiudi, Abiudi akamzaa Eliakimu, Eliakimu akamzaa Azori,
Solobabeli n maa Abiyudi, Abiyudi n maa Eliakimi, Eliakimi n maa Asolo,
14 Azori akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Akimu, Akimu akamzaa Eliudi,
Asolo n maa Sodaka, Sodaka n maa Akimi, Akimi n maa Eliyudi,
15 Eliudi akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Matani, Matani akamzaa Yakobo,
Eliyudi n maa Eleyasala, Eleyasala n maa Matana, Matana n maa Jakobo,
16 naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
Jakobo n maa Josefi, Maliyama calo, yua n den mali Jesu ke bi yini o Kilisiti.
17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.
A ya coadi ki cili Abalahama ki ya caa hali Dafidi, li pia piiga n nifiima naa. Ki cili Dafidi ki ya caa hali Babilona cuonu mo, piiga n nifiima naa. Ki cili Isalele yaaba yonbidi Babilina diema nni ki ya caa hali U Tienu n Gandi cuama mo tie piiga n nifiima naa.
18 Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Diidi Jesu Kilisiti madi n den tua maama. o naa Maliyama n da den tie Josefi toginaa hali ke bi daa den taani leni biyaba, Maliyama den ti sua ke o punba kelima U Tienu Fuoma Yua paalu po.
19 Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.
O togiba Josefi yua n den tie niteginkoa naa den bua ki fiagi o a sala nni. Lani yaa po o den jagi ke o baa paadi leni o hasiili nni.
20 Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Wan den kpaagi yeni ya yogunu, o Diedo maleki den doagidi o kani ti dangidi nni ki yedi o: Josefi, Dafidi bijua, han da jie ki taa Maliyama wan tua o pua. Kelima wan punbi ya biga, o punbi ga kelima U Tienu Fuoma Yua yaa paali po.
21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
O baa maa bonjaga, han yini o Jesu, kelima wani n baa faabi o niba leni bi tuonbiadi.
22 Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema:
Lankuli den tieni ke o Diedo n den tuodi ki teni ke o sawalipualo pua yaa sawalo n tieni:
23 “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
Diidi, li ppowondiali baa punbi ki maa bonjaga. Bi baa yini o Emanuweli. Laa yeli bundima n tie U Tienu ye leni ti.
24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Josefi n den fundi, o den tieni o Diedo maleki n waani o yaala. O den taa o pua.
25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.
Ama waa den taani leni o hali wan ban mali o biga. Josefi den yini o Jesu.

< Mathayo 1 >