< Marko 1 >

1 Mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.
Aa nji matangilo e Ivangeli ya Jesu Kresite, mwana wa Ireeza,
2 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Tazama, nitamtuma mjumbe wangu mbele yako, atakayetengeneza njia mbele yako”:
Ubu muiñolelwe mwa Isaya muporofita, “mubone, nitumine mutumiwa wangu habusu vwenu, iye yeti navakanye inzila yenu.
3 “sauti ya mtu aliaye nyikani. ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.’”
Inzwi lya umwina litabeleza mwihalaupa, 'Mubakanye inzila ya Simwine; mutende mwahita kuoloke.”'
4 Yohana alikuja, akibatiza huko nyikani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
Johani abakezi, nakolobeza mwihalaupa ni kukutaza inkolobezo yo kubaka kuti zive ziwondelwe.
5 Watu kutoka Uyahudi wote na sehemu zote za Yerusalemu walikuwa wakimwendea. Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.
Inkanda yonse ya Judeya ni bantu bonse ba mwa Jerusalema babayendi kwali. Babakakolobezwa kwali mulwizi lwa Jorudani, ni baliwamba zive zabo.
6 Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa kwa singa za ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu.
Johani a balikuzwete ijansi lyabooza bwe Kamele ni lutunga lwedalo mumunda yakwe, mi abali kulyanga impaanse ni buchi bwamumuzuka.
7 Naye alihubiri akisema, “Baada yangu atakuja yeye aliye na uwezo kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kuinama na kulegeza kamba za viatu vyake.
Abaaruti, “Zumwi ukezite mumasule angu yokolete kunizamba, imi kaniyelele nanga kukotama kusumununa tukwele twensangu zakwe.
8 Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
Nibamikolobezi chamenzi, kono iye kamikolobeze cha Luhuho lujolola.”
9 Wakati huo Yesu akaja kutoka Nazareti ya Galilaya, naye akabatizwa na Yohana katika Mto Yordani.
Chibatendahali mwao mazuva kuti Jesu abakezi kuzwa Nazareta mwaGalileya, imi abakolobezwa kwa Johani mulwizi lwa Jorodani.
10 Yesu alipokuwa akitoka ndani ya maji, aliona mbingu zikifunguka na Roho akishuka juu yake kama hua.
Jesu hazubuka bulyo mumenzi, a baboni iwulu niliyaluka ni Luhuho nilusuukila hali ubu inkuba.
11 Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
Imi liinzwi nilyazwa kwiwulu, “Umwanangu, inisaka kuhitiliza, nikondetwe chako.”
12 Wakati huo huo, Roho akamwongoza Yesu kwenda nyikani,
Linu luhuho chilumutumina kuyenda mwihalaupa.
13 naye akawa huko nyikani kwa muda wa siku arobaini, akijaribiwa na Shetani. Alikaa na wanyama wa mwituni, nao malaika wakamhudumia.
Abena mwihalaupa mazuva ena makumi one, nakwete kulikwa kwaSatani. Abena ni zinyolozi zamunkanda, imi mangiloi abamuhazi.
14 Baada ya Yohana kukamatwa na kutiwa gerezani, Yesu aliingia Galilaya akaanza kuhubiri habari njema ya Mungu,
Linu kuzwa hakusuminwa kwa Johani, Jesu nakeza mwaGalileya kukabuwamba Evangeli ya Ireeza,
15 akisema, “Wakati umewadia, Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema.”
nati, “Inako chiyelizuzilikizwa, imi mubuso wa Ireeza chiwina hafuhi. mubake ni kuzumina mwi Evangeli.”
16 Yesu alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona Simoni na Andrea nduguye wakizitupa nyavu zao baharini, kwa kuwa wao walikuwa wavuvi.
Mukukabuyenda kumbali ye Wate lya Galileya, nabona Simoni ni Andulu mukulwe wa Simoni nibalaleka tunyandi twabo mwiwate, mukuti babali bayambi.
17 Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”
Jesu nawamba kubali, “Mwize, munichilile, mi kanimitende bayambi babantu.”
18 Mara wakaacha nyavu zao, wakamfuata.
Mi haho bulyo nibasiya tunyandi ni kumwichilila.
19 Alipokwenda mbele kidogo, akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa kwenye mashua yao wakizitengeneza nyavu zao.
Jesu habali kwabuyenda habusuzana, nabona Jakobo mwana Zebediya ni Johani mwanche; babena mubwato ni bawonga tunyandi twabo.
20 Papo hapo akawaita, nao wakamwacha Zebedayo baba yao kwenye mashua pamoja na watumishi wa kuajiriwa, nao wakamfuata Yesu.
Naba sumpa mi babasiyi ishabo Zebediya mubwato ni bahikana babahilitwe, mi babamwichilili.
21 Wakaenda mpaka Kapernaumu. Ilipofika siku ya Sabato, mara Yesu akaingia sinagogi, akaanza kufundisha.
Mi habeza mwaKapenauma, mi Lensabata, Jesu nenjila mwi Sinangonge ni kuruta,
22 Watu wakashangaa sana kwa mafundisho yake, kwa maana aliwafundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wa sheria.
Babakomokiswa chamurutilo wakwe, mukuti abali kubaruta ubu njizumwi wina maata isiñi mubekalile bañoli.
23 Wakati huo huo katika sinagogi lao palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu,
Hohwaho mukwame yabena luhuho lusanjololi abahuwelezi,
24 naye akapiga kelele akisema, “Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakujua wewe ni nani. Wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu!”
naati, “Chinzi chituswanela kuchita nawe, Jesu wa Nazareta? Kana ubezi kukutusinya? Nizi kuti nguweni. “Nguwe yochena wa Ireeza!”
25 Lakini Yesu akamkemea, akamwambia, “Nyamaza kimya! Nawe umtoke!”
Jesu nakalimela idimona nati, “Tontole ni kuzwa mwali!”
26 Yule pepo mchafu akamtikisatikisa huyo mtu kwa nguvu, kisha akamtoka akipiga kelele kwa sauti kubwa.
Mi luhuho lusajololi nilwamu sohela hansi ni lwazwa kwali ni lwabubokolola chaliinzwi ikando.
27 Watu wote wakashangaa, hata wakaulizana wao kwa wao, “Haya ni mambo gani? Ni mafundisho mapya, tena yenye mamlaka! Anaamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!”
Mi bantu bonse babakomoketwe, ni kulibuza abobeene, “Chintunzi ichi? Murutilo munhya wina maata? U wola nanga kulayela luhuho lusajololi mi lumuzuwa!”
28 Sifa zake zikaanza kuenea haraka katika eneo lote la karibu na Galilaya.
Mi indaba kuamana naye haho nizayenda konsekonse muchilalo cha Galileya.
29 Mara walipotoka katika sinagogi, walikwenda pamoja na Yakobo na Yohana hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea.
Mi mukuzwa mwisinagoge, nibeza munzubo ya Simoni ni Andulu, ni Jakobo ni Johani.
30 Mama mkwe wa Simoni alikuwa kitandani, ana homa, nao wakamweleza Yesu habari zake.
Lyahanu mukwenyani wa Simoni wo mwanakazi abalele u lwalite ifibele, mi niba wambila Jesu chakwe.
31 Hivyo Yesu akamwendea, akamshika mkono na kumwinua. Kisha homa ikamwacha, naye akaanza kuwahudumia.
Linu nakeza, kumuhinda cheyanza, ni kumuzimika mwiwulu; Ifivere niyamusiya, mi chatanga kubasebeleza.
32 Jioni ile baada ya jua kutua, watu wakamletea Yesu wagonjwa wote na waliopagawa na pepo wachafu.
Icho chitengu, izuba halimana kwiimina, chibamuletela bonse babalikulwala kapa bena madimona.
33 Mji wote ukakusanyika mbele ya nyumba hiyo.
Muleneñi wonse chiwakopenela hamulyango.
34 Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa ya aina mbalimbali. Akawatoa pepo wachafu wengi, lakini hakuwaacha hao pepo wachafu waseme, kwa sababu walimjua yeye ni nani.
Abahozi bangi babena malwalila asiyenesiyene ni kuhindika madimona mangi, kono kanabazuminini madimona kuwamba mukuti abamwizi.
35 Alfajiri na mapema sana kulipokuwa bado kuna giza, Yesu akaamka, akaondoka, akaenda mahali pa faragha ili kuomba.
Abalitahaneli kubuka kakasasani, ni kusisiha; abanyamuki ni kuyenda kuchibaka chitontwele mi uko abakalapeli.
36 Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta,
Simoni ni babena nabo babali kumusakasaka.
37 nao walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta!”
Babamuwani ni kumuwambila, “Zumwi ni zumwi bakwete kukulolalola.”
38 Yesu akawajibu, “Twendeni mahali pengine kwenye vijiji jirani, ili niweze kuhubiri huko pia, kwa sababu hicho ndicho nilichokuja kukifanya.”
Nati, “Tuyende kumwi ni kumwi, kuzwa mumatoropo azimbulukite, kokuma nikakutaze ko naako. Chobulyo nakeza kunu.”
39 Kwa hiyo akazunguka Galilaya kote, akihubiri katika masinagogi yao na kutoa pepo wachafu.
Nayenda konsekonse mwaGalileya, nakabukutaza mumaSinangonge abo ni kuya buhindika madimona.
40 Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia Yesu, akamwomba akipiga magoti, akamwambia, “Ukitaka, waweza kunitakasa.”
Sichisenda abakezi kwali. Abali kumukumbila; nakubama hansi imi namucho, “Chikuti usuni, uwola kunijoloza.”
41 Yesu, akiwa amejawa na huruma, akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Nataka. Takasika!”
Chokuba ni inse, Jesu chawolola iyanza lyakwe ni kumukwata, kumuwambila, “Ni suni, Jolole.”
42 Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika.
Hohwaho chisenda nichamusiya, mi natendwa yojolola.
43 Baada ya Yesu kumwonya vikali, akamruhusu aende zake
Jesu namukalimela chobukando mi namutumina kuti ayende.
44 akimwambia, “Hakikisha humwambii mtu yeyote habari hizi, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na ukatoe sadaka alizoagiza Mose kwa utakaso wako, ili kuwa ushuhuda kwao.”
Chati kwali, “utokomele kanji uwambi chimwi kumuntu, kono ukwiya, ukalitondeze kumuprisita, mi ukaneule chokujolozwa chabalayeli Mushe, bube bupaki kubali.”
45 Lakini yule mtu akaenda akaanza kutangaza habari za kuponywa kwake waziwazi. Kwa hiyo, Yesu hakuweza tena kuingia katika miji waziwazi lakini alikaa sehemu zisizo na watu. Hata hivyo watu wakamfuata huko kutoka kila upande.
Kono nayenda ni kukatanga kulwila zumwi ni zumwi ni kuhasanya liinzwi chabukando kuti Jesu kena abali kusiwola kuyenda nasumunikite mwitoropo. Linu nekala muchibaka chintontwele mi bantu babezi kwali kuzwila muzibaka zisiyenesiyene.

< Marko 1 >