< Marko 9 >

1 Yesu akaendelea kuwaambia, “Amin, nawaambia, kuna watu waliosimama hapa ambao hawataonja mauti kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu.”
Yesu E eno amane sia: i, “Na da dilima sia: sa! Mogili waha guiguda: lela dunu, ilia da mae bogole, Gode Ea gasa bagade Hinadafa Hou doaga: i dagoi ba: mu.”
2 Baada ya siku sita, Yesu akawachukua Petro, Yakobo na Yohana, akawapeleka juu ya mlima mrefu, mahali walipokuwa faraghani. Huko, Yesu akageuka sura mbele yao.
Eso gafeyale aligili, Yesu da Bida, Ya: mese amola Yone oule asili, ilisu goumiba: le heda: i. Amalalu, ilia ba: lalu, Yesu Ea da: i da afadenei dagoi.
3 Mavazi yake yakawa na weupe wa kuzima macho, meupe kuliko ambavyo mtu yeyote duniani angaliweza kuyangʼarisha.
Ea abula da hadigidafa, ahea: ya: i agoane hamoi. Abula dodofesu dunu da agoaiwane ahea: ya: i hamosu hame dawa: Hadigi hamoiba: le agoai da siga ba: mu gogolei.
4 Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wanazungumza na Yesu.
Amalalu, ilia da Elaidia amola Mousese ela amola Yesuma sia: dalebe ba: i.
5 Petro akamwambia Yesu, “Rabi, ni vyema sisi tukae hapa. Turuhusu tujenge vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose na kingine cha Eliya.”
Bida da Yesuma amane sia: i, “Olelesu! Ninia guiguda: esalebeba: le, hahawane bagade. Ninia guiguda: abula diasu udiana, afae da Di, eno da Mousese amola eno da Elaidia, dili golama: ne hiougimu.”
6 Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.
Ado ba: su dunu ilia da bagadewane beda: i. Amaiba: le, Bida da gogoleiwane sia: i.
7 Ndipo pakatokea wingu, likawafunika, nayo sauti kutoka lile wingu ikasema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Msikieni yeye.”
Amalalu, mumobi sa: ili, ilia huluane uligi dagoi. Mumobi ganodini, sia: bagade ilia nabi amo, “Amo da na dogolegei Manodafa. Ea sia: nabima!”
8 Mara walipotazama huku na huku, hawakuona tena mtu mwingine yeyote pamoja nao isipokuwa Yesu.
Amalalu, ilia da bu ba: le gaba, Yesu Hi fawane ba: i.
9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote mambo waliyoona, mpaka Mwana wa Adamu atakapokuwa amefufuka kutoka kwa wafu.
Ilia da goumiba: le bu daloba ahoana, Yesu da ilima amane sia: i, “Dilia amo waha ba: i liligi, amo eno dunuma mae adoma! Dunu Egefe bogole, bu wa: legadole, amo eso doaga: beba: le fawane olelema.”
10 Wakalihifadhi jambo hilo wao wenyewe, lakini wakawa wanajiuliza, “Huku kufufuka kwa wafu maana yake nini?”
Ilia da amo sia: nababeba: le, eno dunuma hame olelei. Be wamowane, ilia da bogoi uhini wa: legadosu sia: ea bai hogomusa: sia: dasu.
11 Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa sheria husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?”
Amola ilia da Yesuma amane adole ba: i, “Elaidia da hidadea misunu, amo sema olelesu dunu da abuliba: le olelebela: ?”
12 Yesu akawajibu, “Ni kweli, Eliya yuaja kwanza ili kutengeneza mambo yote. Mbona basi imeandikwa kwamba Mwana wa Adamu ni lazima ateseke sana na kudharauliwa?
Yesu E bu adole i, “Dafawane! Elaidia da hidadea liligi huluane momagemusa: misunu galu. Be eno sia: dedei, `Dunu Egefe da se bagade nabimu. Ilia da E higamu.’ Amo sia: da abuliba: le dedebela: ?
13 Lakini ninawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyopenda, kama ilivyoandikwa kumhusu yeye.”
Be Na da dilima sia: sa! Elaidia da doaga: i dagoi. Sia: dedei defele, eno dunu da ilia hanai hou ema hamoi dagoi.”
14 Walipowafikia wale wanafunzi wengine, wakawakuta wamezungukwa na umati mkubwa wa watu na baadhi ya walimu wa sheria wakibishana nao.
Ilia da eno ado ba: su dunuma bu doaga: le, ilia amola eno dunu bagohame amola sema olelesu dunu sia: ga gegenanebe ba: i.
15 Mara wale watu walipomwona Yesu, wakastaajabu sana, wakamkimbilia ili kumsalimu.
Amalalu, amo dunu da Yesu ba: sea, hahawane fofogadigili, Yesuma gousa: musa: misi.
16 Akawauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao kuhusu nini?”
Yesu da ilima amane adole ba: i, “Dilia da ilima adiga sia: ga gegebala: ?”
17 Mtu mmoja miongoni mwa ule umati wa watu akajibu, “Mwalimu, nilimleta kwako mwanangu ambaye ana pepo mchafu anayemfanya asiweze kuongea.
Dunu afae amo gilisisu ganodini da bu adole i, “Olelesu! Na da na mano ea sia: Fio a: silibu da hedofai dagoi, amo na da Dima oule misi.
18 Kila mara huyo pepo mchafu ampagaapo mwanangu, humwangusha chini na kumfanya atokwe povu mdomoni na kusaga meno, kisha mwili wake hukauka. Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
Amo wadela: i a: silibu da bagadewane ludubiba: le, na mano da osoboga gisalugala: sa. Amasea, ea defo hano agoane sasiasa, amola e bogomusa: agoane hamosa. Na da Dia fa: no bobogesu dunuma amo Fio liligi fadegale fasima: ne sia: noba, ilia sia: ne ba: loba hamedei galu.”
19 Yesu akawaambia, “Enyi kizazi kisicho na imani! Nitakuwa pamoja nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni mvulana kwangu.”
Yesu E bu adole i, “Dafawaneyale hame dawa: su dunu fi! Dilia fidima: ne, Na da eso habodayane esaloma: bala: ? Dilia wadela: i hou Na da habodane ba: ma: bala: ? Amo mano Nama oule misa!”
20 Nao wakamleta yule mvulana. Yule pepo mchafu alipomwona Yesu, mara akamtia yule mvulana kifafa, akaanguka, akagaagaa chini huku akitokwa na povu kinywani.
Amalalu, ilia da amo goi Ema oule misi. Wadela: i a: silibu goi ea dogo ganodini esalu da Yesu ba: beba: le, e da ea da: i amo ganodini ludubiba: le, goi ea da: i gadelale, e da osoboga diasa: ili soyalale, ea lafidili dubu bagadewane sasialalu.
21 Yesu akamuuliza baba yake, “Mwanao amekuwa katika hali hii tangu lini?” Akamjibu, “Tangu utoto wake.
Yesu da amo goi ea adama amane adole ba: i, “Ea olo da habogala mubala: ?” Eda bu adole i, “E mano dudubuga mui galu.
22 Mara kwa mara huyo pepo mchafu amekuwa akimwangusha kwenye moto au kwenye maji ili kumwangamiza. Lakini kama unaweza kufanya jambo lolote, tafadhali tuhurumie utusaidie.”
Eso enoga, wadela: i a: silibu bagadewane ludubiba: le, e laluga nesa. Enoga e da hanoga bogoma: ne dafasa. Be di da e hahamomu defele esalea, ninima asigiba: le fidima.”
23 Yesu akamwambia, “Kama ukiweza kuamini, yote yawezekana kwake yeye aaminiye.”
Yesu E bu adole i, “Abuliba: le na da defele hahamomusa: galea hamoma: ne sia: bala: ? Nowa da dafawaneyale dawa: sea, e da huludafa hamomusa: defele gala.”
24 Mara baba yake yule mvulana akapiga kelele akisema, “Ninaamini. Nisaidie kutokuamini kwangu!”
Goi ea ada da se bagade nabawane bagade wele sia: i, “Na dafawaneyale dawa: be! Be na dafawaneyale dawa: su hou da defele hameba: le, Dia na dafawaneyale dawa: su hou bu bagama!”
25 Yesu alipoona kwamba umati wa watu unakusanyika pamoja mbio, akamkemea yule pepo mchafu, akimwambia, “Wewe pepo bubu na kiziwi, nakuamuru umtoke, wala usimwingie tena!”
Amalalu, dunu huluane hehenane gilisibi ba: loba, amo wadela: i a: silibuma Yesu E gagabole amane sia: i, “Di! Sia: hamedei amola hame naba amo hou hamosu wadela: i a: silibu! Bu mae aligila sa: ima: ne fadegale fasima!”
26 Yule pepo mchafu akiisha kupiga kelele, akamtia kifafa kwa nguvu, na akamtoka. Yule mvulana alikuwa kama maiti, hivyo watu wengi wakasema, “Amekufa.”
Amalalu, wadela: i a: silibu, bagadewane “a: a:i” ea gusa: ne, goi ea da: i gadelale, ea dogoga fadegale fasi. Goi da bogoiwane ba: loba, dunu huluane amane sia: i, “E da bogoi dagoi!”
27 Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.
Be Yesu Ea lobolele, gaguia gadoiba: le, e da wa: legadoi.
28 Baada ya Yesu kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza wakiwa peke yao, “Mbona sisi hatukuweza kumtoa huyo pepo mchafu?”
Fa: nowane, Yesu da diasuga golili sa: ili, Ea fa: no bobogesu dunu da wamowane Ema adole ba: i, “Ninia amo wadela: i a: silibu fadegale fasimu, abuliba: le hamedebela: ?”
29 Yesu akawajibu, “Hali hii haiwezi kutoka isipokuwa kwa kuomba na kufunga.”
Yesu E bu adole i, “Gowai liligi, dunu ilia bagadewane sia: ne gadobeba: le fawane fadegale fasimu dawa:”
30 Wakaondoka huko, wakapitia Galilaya. Yesu hakutaka mtu yeyote afahamu mahali walipo,
Amo soge yolesili, Yesu amola Ea ado ba: su dunu Ga: lili soge ganodini lalu. Dunu eno da ilia esalebe soge dawa: mu, E da higa: i galu.
31 kwa maana alikuwa anawafundisha wanafunzi wake. Akawaambia, “Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu. Nao watamuua, lakini siku tatu baada ya kuuawa atafufuka.”
Bai E da ea ado ba: su dunu ilima fawane olelemusa: dawa: i galu. E amane sia: i, “Eno osobo bagade dunu da Dunu Egefe gasawane gagulaligili, medole legemu. Be eso udiana aligili, E da uhini bu wa: legadomu.”
32 Lakini wao hawakuelewa kile alimaanisha, nao waliogopa kumuuliza maana yake.
Be amo sia: nabaloba, ilia da bai noga: le hame dawa: i. Amola ilia da Ema bai eno adole ba: mu beda: i galu.
33 Basi wakafika Kapernaumu na baada ya kuingia nyumbani akawauliza, “Mlikuwa mnabishana nini kule njiani?”
Ilia da Gabena: iame moilaiga doaga: le, diasu afae gelabo ganodini golili sa: i. Amalalu, Yesu da Ea fa: no bobogesu dunuma amane adole ba: i, “Dilia logoga ahoanoba, adi sia: ga gegeila: ?”
34 Lakini hawakumjibu, kwa sababu njiani walikuwa wakibishana kuhusu nani miongoni mwao alikuwa mkuu zaidi ya wote.
Be ilia da nowa ea hou da baligili ahoabe, amo sia: gegenana ahoanuba: le, gogosiabeba: le, Ema hame adole i.
35 Akaketi chini, akawaita wote kumi na wawili, akawaambia: “Kama mtu yeyote akitaka kuwa wa kwanza, hana budi kuwa wa mwisho na mtumishi wa wote.”
Amalalu, Yesu da fili, ado ba: su dunu fagoyale gala Ema misa: ne sia: i. E da ilima amane sia: i, “Nowa dunu da bisili masusa: dawa: sea, e da sinidigili, dunu huluane ilia hawa: hamosu dunu agoane ba: mu.”
36 Kisha akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha katikati yao. Akamkumbatia, akawaambia,
Yesu da mano fonobahadi lale, ilia aligi dogoa oule misi. Amalalu, amo mano ouga: ne, E da ilima amane sia: i,
37 “Mtu yeyote amkaribishaye mmoja wa hawa watoto wadogo kwa Jina langu, anikaribisha mimi. Naye anikaribishaye mimi, amkaribisha Baba yangu aliyenituma.”
“Nowa dunu da Nama asigiba: le, agoaiwane mano hahawane yosia: sea, e da Na amola yosia: sa. Nowa da Nama hahawane yosia: sea, e da Na Asuna Asisu dunuma yosia: sa.”
38 Yohana akamwambia, “Mwalimu, tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa jina lako, nasi tukamkataza, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”
Yone da Yesuma amane sia: i, “Olelesu! Dunu afae da Dia dioba: le wadela: i a: silibu fadegale fasisa, amo ninia ba: i. Be e da ninia baligiga hame aligiba: le, Ninia da ema yolema: ne sia: i.”
39 Yesu akasema, “Msimkataze, kwa kuwa hakuna yeyote atendaye miujiza kwa Jina langu ambaye baada ya kitambo kidogo aweza kunena lolote baya dhidi yangu.
Be Yesu E bu adole i, “Ea logo mae hedofama! Nowa dunu, Na dioba: le musa: hame ba: i gasa bagade hou hamosea, e da hobea Na Dio lasogole hame sia: mu.
40 Kwa maana yeyote asiye kinyume chetu, yuko upande wetu.
Bai nowa da ninima ha lai hame esalea, e da ninimagai esala.
41 Amin, nawaambia, yeyote awapaye ninyi kikombe cha maji kwa Jina langu kwa sababu ninyi ni mali ya Kristo, hakika hataikosa thawabu yake.”
Na dilima dafawane sia: sa! Nowa da dilima, dilia da Na hou lalegaguiba: le, dilima hano dili iasea, amo dunu da bidi ida: iwane ba: mu.
42 “Kama mtu yeyote akimsababisha mmojawapo wa wadogo hawa wanaoniamini kutenda dhambi, ingekuwa bora kwake afungiwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa baharini.
Nowa dunu da mano fonobahadi ea dafawaneyale dawa: su hou wadela: sea, amo dunu da ea galogoaga igi bagadedafa la: gili, hanoga galadigili, amo dunu ea dabe lamu da goe se iasu bagadewane baligimu.
43 Kama mkono wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili lakini ukaingia jehanamu, mahali ambako moto hauzimiki. [ (Geenna g1067)
Amaiba: le, dia lobo ea hamobe amo dia hou wadela: sa: besa: le, defea, dia lobo damuni fasima. Di da lobo afaewane Fifi Ahoanusu lamu da defea. Be lobo adunawane Helo sogega lalu mae haba: dole nenanebe amoga sa: imu da defea hame galebe. (Geenna g1067)
44 Mahali ambako funza wake hawafi wala moto wake hauzimiki.]
Helo soge fi ilia ifidi amoga nanebe hame bogosa. Lalu da mae haba: dole nenana.
45 Kama mguu wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili lakini ukaingia jehanamu. [ (Geenna g1067)
Dia emo ea hamobe da dia hou wadela: musa: dawa: sea, defea, dia emo damuni fasima. Di gasuga: igiwane Fifi Ahoanusu lamu da defea. Be di emo aduna ida: iwane gala Helo sogega sa: imu da defea hame galebe. (Geenna g1067)
46 Mahali ambako funza wake hawafi wala moto hauzimiki.]
Amo sogega fi ilia da ifidiga nanebe be hame bogosa. Lalu da mae haba: dole nenana.
47 Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe. Ni afadhali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa jehanamu, (Geenna g1067)
Dia si da dia hou wadela: mu ba: sea, amo duga: le fasima. Di da si afaewane Gode Ea Hinadafa Hou heda: mu da defea. Be di si adunawane Helo sogega sa: imu da defea hame galebe. (Geenna g1067)
48 mahali ambako “‘funza wake hawafi, wala moto wake hauzimiki.’
Amo soge fi ilia ifidi amoga nanebe hame bogosa. Lalu da mae haba: dole nenana.
49 Kila mmoja atatiwa chumvi kwa moto.
Sali da gobele salimu liligi huluane ledo mae dialoma: ne fofolosa. Amo defele, lalu da dunu huluane fofolomu.
50 “Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake utaifanyaje ili iweze kukolea tena? Mwe na chumvi ndani yenu, mkaishi kwa amani, kila mmoja na mwenzake.”
Sali da noga: i gala. Be dasaiba: le, ea hedai fisi ba: sea, ha: i manu amo saliga da habodane hahamobela: ? Dilia dogo ganodini olofosu hou sali agoane dialumu da defea. Dilia fi ganodini olofoiwane esaloma!”

< Marko 9 >