< Marko 7 >

1 Mafarisayo na baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu wakakusanyika mbele ya Yesu.
ཨནནྟརཾ ཡིརཱུཤཱལམ ཨཱགཏཱཿ ཕིརཱུཤིནོ྅དྷྱཱཔཀཱཤྩ ཡཱིཤོཿ སམཱིཔམ྄ ཨཱགཏཱཿ།
2 Wakawaona baadhi ya wanafunzi wake wakila chakula kwa mikono iliyo najisi, yaani, bila kunawa kama ilivyotakiwa na sheria ya dini ya Wayahudi.
ཏེ ཏསྱ ཀིཡཏཿ ཤིཥྱཱན྄ ཨཤུཙིཀརཻརརྠཱད ཨཔྲཀྵཱལིཏཧསྟཻ རྦྷུཉྫཏོ དྲྀཥྚྭཱ ཏཱནདཱུཥཡན྄།
3 (Kwa kuwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali chakula pasipo kunawa kwa kufuata desturi za wazee wao.
ཡཏཿ ཕིརཱུཤིནཿ སཪྻྭཡིཧཱུདཱིཡཱཤྩ པྲཱཙཱཾ པརམྤརཱགཏཝཱཀྱཾ སམྨནྱ པྲཏལེན ཧསྟཱན྄ ཨཔྲཀྵཱལྱ ན བྷུཉྫཏེ།
4 Wanapotoka sokoni hawawezi kula pasipo kunawa. Pia kuna desturi nyingine nyingi wanazofuata kama vile jinsi ya kuosha vikombe, vyungu na vyombo vya shaba.)
ཨཱཔནཱདཱགཏྱ མཛྫནཾ ཝིནཱ ན ཁཱདནྟི; ཏཐཱ པཱནཔཱཏྲཱཎཱཾ ཛལཔཱཏྲཱཎཱཾ པིཏྟལཔཱཏྲཱཎཱམ྄ ཨཱསནཱནཱཉྩ ཛལེ མཛྫནམ྄ ཨིཏྱཱདཡོནྱེཔི བཧཝསྟེཥཱམཱཙཱརཱཿ སནྟི།
5 Kwa hiyo wale Mafarisayo na walimu wa sheria wakamuuliza Yesu, “Mbona wanafunzi wako hawafuati desturi za wazee, na badala yake wanakula kwa mikono najisi?”
ཏེ ཕིརཱུཤིནོ྅དྷྱཱཔཀཱཤྩ ཡཱིཤུཾ པཔྲཙྪུཿ, ཏཝ ཤིཥྱཱཿ པྲཱཙཱཾ པརམྤརཱགཏཝཱཀྱཱནུསཱརེཎ ནཱཙརནྟོ྅པྲཀྵཱལིཏཀརཻཿ ཀུཏོ བྷུཛཾཏེ?
6 Yesu akawajibu, “Nabii Isaya alisema ukweli alipotabiri juu yenu, ninyi wanafiki. Kama ilivyoandikwa: “‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
ཏཏཿ ས པྲཏྱུཝཱཙ ཀཔཊིནོ ཡུཥྨཱན྄ ཨུདྡིཤྱ ཡིཤཡིཡབྷཝིཥྱདྭཱདཱི ཡུཀྟམཝཱདཱིཏ྄། ཡཐཱ སྭཀཱིཡཻརདྷརཻརེཏེ སམྨནྱནཏེ སདཻཝ མཱཾ། ཀིནྟུ མཏྟོ ཝིཔྲཀརྵེ སནྟི ཏེཥཱཾ མནཱཾསི ཙ།
7 Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’
ཤིཀྵཡནྟོ བིདྷཱིན྄ ནྣཱཛྙཱ བྷཛནྟེ མཱཾ མུདྷཻཝ ཏེ།
8 Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”
ཡཱུཡཾ ཛལཔཱཏྲཔཱནཔཱཏྲཱདཱིནི མཛྫཡནྟོ མནུཛཔརམྤརཱགཏཝཱཀྱཾ རཀྵཐ ཀིནྟུ ཨཱིཤྭརཱཛྙཱཾ ལཾགྷདྷྭེ; ཨཔརཱ ཨཱིདྲྀཤྱོནེཀཱཿ ཀྲིཡཱ ཨཔི ཀུརུདྷྭེ།
9 Naye akawaambia, “Ninyi mnayo njia nzuri ya kukataa amri za Mungu ili mpate kuyashika mapokeo yenu!
ཨནྱཉྩཱཀཐཡཏ྄ ཡཱུཡཾ སྭཔརམྤརཱགཏཝཱཀྱསྱ རཀྵཱརྠཾ སྤཥྚརཱུཔེཎ ཨཱིཤྭརཱཛྙཱཾ ལོཔཡཐ།
10 Kwa mfano, Mose alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’
ཡཏོ མཱུསཱདྭཱརཱ པྲོཀྟམསྟི སྭཔིཏརཽ སམྨནྱདྷྭཾ ཡསྟུ མཱཏརཾ པིཏརཾ ཝཱ དུཪྻྭཱཀྱཾ ཝཀྟི ས ནིཏཱནྟཾ ཧནྱཏཱཾ།
11 Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia ni Korbani’ (yaani kimewekwa wakfu kwa Mungu),
ཀིནྟུ མདཱིཡེན ཡེན དྲཝྱེཎ ཏཝོཔཀཱརོབྷཝཏ྄ ཏཏ྄ ཀརྦྦཱཎམརྠཱད྄ ཨཱིཤྭརཱཡ ནིཝེདིཏམ྄ ཨིདཾ ཝཱཀྱཾ ཡདི ཀོཔི པིཏརཾ མཱཏརཾ ཝཱ ཝཀྟི
12 basi hawajibiki tena kumsaidia baba yake au mama yake.
ཏརྷི ཡཱུཡཾ མཱཏུཿ པིཏུ ཪྻོཔཀཱརཾ ཀརྟྟཱཾ ཏཾ ཝཱརཡཐ།
13 Kwa njia hiyo ninyi mnabatilisha neno la Mungu kwa mapokeo yenu mliyojiwekea. Nanyi mnafanya mambo mengi ya aina hiyo.”
ཨིཏྠཾ སྭཔྲཙཱརིཏཔརམྤརཱགཏཝཱཀྱེན ཡཱུཡམ྄ ཨཱིཤྭརཱཛྙཱཾ མུདྷཱ ཝིདྷདྭྭེ, ཨཱིདྲྀཤཱནྱནྱཱནྱནེཀཱནི ཀརྨྨཱཎི ཀུརུདྷྭེ།
14 Yesu akaita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni, kila mmoja wenu na mwelewe jambo hili.
ཨཐ ས ལོཀཱནཱཧཱུཡ བབྷཱཥེ ཡཱུཡཾ སཪྻྭེ མདྭཱཀྱཾ ཤྲྀཎུཏ བུདྷྱདྷྭཉྩ།
15 Hakuna kitu kinachomwingia mtu kimtiacho unajisi, lakini kile kimtokacho ndicho kimtiacho unajisi. [
བཱཧྱཱདནྟརཾ པྲཝིཤྱ ནརམམེདྷྱཾ ཀརྟྟཱཾ ཤཀྣོཏི ཨཱིདྲྀཤཾ ཀིམཔི ཝསྟུ ནཱསྟི, ཝརམ྄ ཨནྟརཱད྄ བཧིརྒཏཾ ཡདྭསྟུ ཏནྨནུཛམ྄ ཨམེདྷྱཾ ཀརོཏི།
16 Kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia na asikie.]”
ཡསྱ ཤྲོཏུཾ ཤྲོཏྲེ སྟཿ ས ཤྲྀཎོཏུ།
17 Akiisha kuuacha ule umati wa watu na kuingia ndani, wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano ule.
ཏཏཿ ས ལོཀཱན྄ ཧིཏྭཱ གྲྀཧམདྷྱཾ པྲཝིཥྚསྟདཱ ཤིཥྱཱསྟདྲྀཥྚཱནྟཝཱཀྱཱརྠཾ པཔྲཙྪུཿ།
18 Akawajibu, “Je, hata nanyi hamwelewi? Je, hamfahamu kwamba kitu kimwingiacho mtu hakimtii unajisi?
ཏསྨཱཏ྄ ས ཏཱན྄ ཛགཱད ཡཱུཡམཔི ཀིམེཏཱདྲྀགབོདྷཱཿ? ཀིམཔི དྲཝྱཾ བཱཧྱཱདནྟརཾ པྲཝིཤྱ ནརམམེདྷྱཾ ཀརྟྟཱཾ ན ཤཀྣོཏི ཀཐཱམིམཱཾ ཀིཾ ན བུདྷྱདྷྭེ?
19 Mtu akila kitu hakiingii moyoni mwake bali tumboni, na baadaye hutolewa nje ya mwili wake.” (Kwa kusema hivi, Yesu alivihalalisha vyakula vyote kuwa ni “safi.”)
ཏཏ྄ ཏདནྟརྣ པྲཝིཤཏི ཀིནྟུ ཀུཀྵིམདྷྱཾ པྲཝིཤཏི ཤེཥེ སཪྻྭབྷུཀྟཝསྟུགྲཱཧིཎི བཧིརྡེཤེ ནིཪྻཱཏི།
20 Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
ཨཔརམཔྱཝཱདཱིད྄ ཡནྣརཱནྣིརེཏི ཏདེཝ ནརམམེདྷྱཾ ཀརོཏི།
21 Kwa maana kutoka ndani ya moyo wa mtu hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi,
ཡཏོ྅ནྟརཱད྄ ཨརྠཱན྄ མཱནཝཱནཱཾ མནོབྷྱཿ ཀུཙིནྟཱ པརསྟྲཱིཝེཤྱཱགམནཾ
22 tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, matukano, kiburi na upumbavu.
ནརཝདྷཤྩཽཪྻྱཾ ལོབྷོ དུཥྚཏཱ པྲཝཉྩནཱ ཀཱམུཀཏཱ ཀུདྲྀཥྚིརཱིཤྭརནིནྡཱ གཪྻྭསྟམ ཨིཏྱཱདཱིནི ནིརྒཙྪནྟི།
23 Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”
ཨེཏཱནི སཪྻྭཱཎི དུརིཏཱནྱནྟརཱདེཏྱ ནརམམེདྷྱཾ ཀུཪྻྭནྟི།
24 Ndipo Yesu akaondoka hapo akaenda sehemu za Tiro. Akaingia katika nyumba moja, naye hakutaka mtu yeyote ajue kwamba yuko humo. Lakini hakuweza kujificha.
ཨཐ ས ཨུཏྠཱཡ ཏཏྶྠཱནཱཏ྄ སོརསཱིདོནྤུརཔྲདེཤཾ ཛགཱམ ཏཏྲ ཀིམཔི ནིཝེཤནཾ པྲཝིཤྱ སཪྻྭཻརཛྙཱཏཿ སྠཱཏུཾ མཏིཉྩཀྲེ ཀིནྟུ གུཔྟཿ སྠཱཏུཾ ན ཤཤཱཀ།
25 Mara mwanamke mmoja, ambaye binti yake mdogo alikuwa na pepo mchafu, akaja na kumpigia magoti miguuni pake.
ཡཏཿ སུརཕཻནིཀཱིདེཤཱིཡཡཱུནཱནཱིཝཾཤོདྦྷཝསྟྲིཡཱཿ ཀནྱཱ བྷཱུཏགྲསྟཱསཱིཏ྄། སཱ སྟྲཱི ཏདྭཱརྟྟཱཾ པྲཱཔྱ ཏཏྶམཱིཔམཱགཏྱ ཏཙྩརཎཡོཿ པཏིཏྭཱ
26 Basi huyo mwanamke alikuwa Myunani, aliyezaliwa Foinike ya Siria. Akamsihi Yesu amtoe binti yake huyo pepo mchafu.
སྭཀནྱཱཏོ བྷཱུཏཾ ནིརཱཀརྟྟཱཾ ཏསྨིན྄ ཝིནཡཾ ཀྲྀཏཝཏཱི།
27 Yesu akamwambia, “Waache watoto washibe kwanza, kwa maana si vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
ཀིནྟུ ཡཱིཤུསྟཱམཝདཏ྄ པྲཐམཾ བཱལཀཱསྟྲྀཔྱནྟུ ཡཏོ བཱལཀཱནཱཾ ཁཱདྱཾ གྲྀཧཱིཏྭཱ ཀུཀྐུརེབྷྱོ ནིཀྵེཔོ྅ནུཙིཏཿ།
28 Lakini yule mwanamke akamjibu, “Bwana, hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya chakula cha watoto.”
ཏདཱ སཱ སྟྲཱི ཏམཝཱདཱིཏ྄ བྷོཿ པྲབྷོ ཏཏ྄ སཏྱཾ ཏཐཱཔི མཉྩཱདྷཿསྠཱཿ ཀུཀྐུརཱ བཱལཱནཱཾ ཀརཔཏིཏཱནི ཁཱདྱཁཎྜཱནི ཁཱདནྟི།
29 Ndipo Yesu akamjibu, “Kwa sababu ya jibu lako, nenda zako nyumbani; yule pepo mchafu amemtoka binti yako.”
ཏཏཿ སོ྅ཀཐཡད྄ ཨེཏཏྐཐཱཧེཏོཿ སཀུཤལཱ ཡཱཧི ཏཝ ཀནྱཱཾ ཏྱཀྟྭཱ བྷཱུཏོ གཏཿ།
30 Akaenda zake nyumbani akamkuta binti yake amelala kitandani, yule pepo mchafu akiwa amemtoka.
ཨཐ སཱ སྟྲཱི གྲྀཧཾ གཏྭཱ ཀནྱཱཾ བྷཱུཏཏྱཀྟཱཾ ཤཡྻཱསྠིཏཱཾ དདརྴ།
31 Kisha Yesu akaondoka sehemu za Tiro, akapita katikati ya Sidoni, hadi Bahari ya Galilaya na kuingia eneo la Dekapoli.
པུནཤྩ ས སོརསཱིདོནྤུརཔྲདེཤཱཏ྄ པྲསྠཱཡ དིཀཱཔལིདེཤསྱ པྲཱནྟརབྷཱགེན གཱལཱིལྫལདྷེཿ སམཱིཔཾ གཏཝཱན྄།
32 Huko, watu wakamletea Yesu mtu mmoja kiziwi, ambaye pia alikuwa na kigugumizi, wakamwomba aweke mkono wake juu ya huyo mtu na amponye.
ཏདཱ ལོཀཻརེཀཾ བདྷིརཾ ཀདྭདཉྩ ནརཾ ཏནྣིཀཊམཱནཱིཡ ཏསྱ གཱཏྲེ ཧསྟམརྤཡིཏུཾ ཝིནཡཿ ཀྲྀཏཿ།
33 Baadaye Yesu akampeleka yule kiziwi kando mbali na watu, Yesu akatia vidole vyake masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na kuugusa ulimi wa yule mtu.
ཏཏོ ཡཱིཤུ རློཀཱརཎྱཱཏ྄ ཏཾ ནིརྫནམཱནཱིཡ ཏསྱ ཀརྞཡོངྒུལཱི རྡདཽ ནིཥྛཱིཝཾ དཏྟྭཱ ཙ ཏཛྫིཧྭཱཾ པསྤརྴ།
34 Ndipo Yesu akatazama mbinguni, akavuta hewa ndani kwa nguvu akamwambia, “Efatha!” (yaani, “Funguka!”)
ཨནནྟརཾ སྭརྒཾ ནིརཱིཀྵྱ དཱིརྒྷཾ ནིཤྭསྱ ཏམཝདཏ྄ ཨིཏཕཏཿ ཨརྠཱན྄ མུཀྟོ བྷཱུཡཱཏ྄།
35 Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukaachiliwa, akaanza kuongea sawasawa.
ཏཏསྟཏྐྵཎཾ ཏསྱ ཀརྞཽ མུཀྟཽ ཛིཧྭཱཡཱཤྩ ཛཱཌྱཱཔགམཱཏ྄ ས སུསྤཥྚཝཱཀྱམཀཐཡཏ྄།
36 Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hizi. Lakini kadiri alivyowazuia, ndivyo walivyozidi kutangaza kwa bidii.
ཨཐ ས ཏཱན྄ ཝཱཌྷམིཏྱཱདིདེཤ ཡཱུཡམིམཱཾ ཀཐཱཾ ཀསྨཻཙིདཔི མཱ ཀཐཡཏ, ཀིནྟུ ས ཡཏི ནྱཥེདྷཏ྄ ཏེ ཏཏི བཱཧུལྱེན པྲཱཙཱརཡན྄;
37 Walistaajabu mno. Wakasema, “Amefanya mambo yote vizuri mno! Amewawezesha viziwi wasikie na bubu waseme!”
ཏེ྅ཏིཙམཏྐྲྀཏྱ པརསྤརཾ ཀཐཡཱམཱསུཿ ས བདྷིརཱཡ ཤྲཝཎཤཀྟིཾ མཱུཀཱཡ ཙ ཀཐནཤཀྟིཾ དཏྟྭཱ སཪྻྭཾ ཀརྨྨོཏྟམརཱུཔེཎ ཙཀཱར།

< Marko 7 >