< Marko 7 >
1 Mafarisayo na baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu wakakusanyika mbele ya Yesu.
Ferisawino eteetswotsnat Iyerusalemn waats Muse nemo danif ik ikwots Iyesusmaants waat bín gúúrdek't kakwebowtsi.
2 Wakawaona baadhi ya wanafunzi wake wakila chakula kwa mikono iliyo najisi, yaani, bila kunawa kama ilivyotakiwa na sheria ya dini ya Wayahudi.
Iyesus b́ danifwotsitse niwon bo s'aynawo man etonwere kisho bo masherawon misho bomaafere bobek'i.
3 (Kwa kuwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali chakula pasipo kunawa kwa kufuata desturi za wazee wao.
Ferisawino eteetswotsnat ayhudi eenashwotsn bo niwo koton sheengsh bo kisho bo masherawo marakno bo tesh.
4 Wanapotoka sokoni hawawezi kula pasipo kunawa. Pia kuna desturi nyingine nyingi wanazofuata kama vile jinsi ya kuosha vikombe, vyungu na vyombo vya shaba.)
Mank'o gawiyon bo aanoro bo masherawo marakno, wanc'ono, korono, k'áázon dozets kac'onat es'on mashok'o wotts ayo bo nemo bokotfo.
5 Kwa hiyo wale Mafarisayo na walimu wa sheria wakamuuliza Yesu, “Mbona wanafunzi wako hawafuati desturi za wazee, na badala yake wanakula kwa mikono najisi?”
Hank'o b́wottsotse ferisawino eteetswotsnat Muse nemo danirwots, «N danifwots eenash eenashwots nemo tiitst, eegishe kisho bomasherawo misho bomeyiri?» ett Iyesusi bo aati.
6 Yesu akawajibu, “Nabii Isaya alisema ukweli alipotabiri juu yenu, ninyi wanafiki. Kama ilivyoandikwa: “‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
Bímó hank'o ett boosh bíaani, «It git alberetswotso! Isayas it jangosh, ‹Ash ashaaniye bo noon mec'rone taan bomangiri bako Bo nibo tiyatse woke!
7 Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’
Ash niwo Ik'i nemok'o woshdek't danifetst k'awntsalosh taan bomangiyiri!› ett b́ keewts bek'o aree.
8 Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”
«Mansh it Ik'i alo k'azat ash nema it kotiri.»
9 Naye akawaambia, “Ninyi mnayo njia nzuri ya kukataa amri za Mungu ili mpate kuyashika mapokeo yenu!
Maniye hakon Iyesus hank'owa boosh bí et, «It nemo kotosha etaat Ik'i nemo it tiitsiri,
10 Kwa mfano, Mose alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’
Muse, ‹N nihnat nindn mangiwe, aaninu b́ nihsh wee b́ indsh gondo keewit asho úd'ewe, › etre.
11 Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia ni Korbani’ (yaani kimewekwa wakfu kwa Mungu),
Itmó hank'owa it etfoni, ‹Ash iko b́ nihnat bíndsh k'alo bín geyits keew jamoniye K'urbani wotere› man etonwere ‹Ik'osh imk'rekee› boosh bí'etal,
12 basi hawajibiki tena kumsaidia baba yake au mama yake.
B́ indnat b́ nihi tep'o k'azo falfe etetute.
13 Kwa njia hiyo ninyi mnabatilisha neno la Mungu kwa mapokeo yenu mliyojiwekea. Nanyi mnafanya mambo mengi ya aina hiyo.”
Hank'onowere it took nemo k'otosha etaat Ik' aap'tso it gaakiri. Mank'onowere han artso ay keewe it k'aliri.»
14 Yesu akaita tena ule umati wa watu, akawaambia, “Nisikilizeni, kila mmoja wenu na mwelewe jambo hili.
Ash ashonowere aani b́ maants s'eegdek't, boosh hank'o bí eti, «It únets t'iwintsde taan k'ewere,
15 Hakuna kitu kinachomwingia mtu kimtiacho unajisi, lakini kile kimtokacho ndicho kimtiacho unajisi. [
Ash kimshfoniye, ash gitsotse keshetwoniye bako, uratse ash gitsomaants kindirwoniye asho kimshrake!
16 Kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia na asikie.]”
Eshe k'ebet waaz detstso k'ewe!»
17 Akiisha kuuacha ule umati wa watu na kuingia ndani, wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano ule.
Iyesus ash asho k'azk'rat moots b́ kindtsok'on b́ danifwots aridek' b́ keewtsman biitso bín bo aati.
18 Akawajibu, “Je, hata nanyi hamwelewi? Je, hamfahamu kwamba kitu kimwingiacho mtu hakimtii unajisi?
Bíwere hank'o ett boosh bíaani, «Itwere han t'iwintsratsteya? Uratse ash atsi gitsomaants kindit keewo ash kimsho b́falawok'o itsh galeratsa?
19 Mtu akila kitu hakiingii moyoni mwake bali tumboni, na baadaye hutolewa nje ya mwili wake.” (Kwa kusema hivi, Yesu alivihalalisha vyakula vyote kuwa ni “safi.”)
Maac' weeron beshar uromaantsa b́ kesheti bako nibomand amatse». Hannowere Iyesus meetu jamo s'ayin b́wottsok'o b́ daniyi.
20 Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
Manats dabt hank'owa bíet, «Ash kimishfwots ashnibotse keshf keewwotsi.
21 Kwa maana kutoka ndani ya moyo wa mtu hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi,
Bowere, gond tewno, wido, úmp'o, ash úd'o,
22 tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, matukano, kiburi na upumbavu.
gobo, jaalo, weeri gondo, ash dirsho, shiraats jintsi woto, okooro, onoo, b́ tooko dambaan danbaan detso, kis' deshawo wotonat hanotsiye.
23 Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”
Gond keew jaman ash nibotsne b́ keshfoniye, ashono b́ kimshfoni.»
24 Ndipo Yesu akaondoka hapo akaenda sehemu za Tiro. Akaingia katika nyumba moja, naye hakutaka mtu yeyote ajue kwamba yuko humo. Lakini hakuweza kujificha.
Iyesus manoke tuut T'iros kitu ganoke fa'a galots bíami, maa ikots kindit manoke b́ beyirwok'o konwor b́ danawok'o b́ geyi, wotowa bako ááshosh falratse.
25 Mara mwanamke mmoja, ambaye binti yake mdogo alikuwa na pepo mchafu, akaja na kumpigia magoti miguuni pake.
B na'ú kim shayiron detsets mááts iku Iyesus jango shishat manóór waat b́ tufi shishirots b dihi.
26 Basi huyo mwanamke alikuwa Myunani, aliyezaliwa Foinike ya Siria. Akamsihi Yesu amtoe binti yake huyo pepo mchafu.
Máátsunwe Sirofinik'e dats ashu wotat Griki noon keewf ashi b tesh, biwere bna'ú atsotse fo'erawo b́kishish Iyesusi b́k'oni,
27 Yesu akamwambia, “Waache watoto washibe kwanza, kwa maana si vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.”
Iyesusmó, «Nana'i misho de'er kanwotssh imo woteratse aab shin nana'uwots worune, » bí eti.
28 Lakini yule mwanamke akamjibu, “Bwana, hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya chakula cha watoto.”
Bi were «Aree tdoonzo, b́ woteferor kanwotswor mari shirotse wotde nana'o b́ mafere fed'ts mishi fed'o mafnale, » etaat biaani.
29 Ndipo Yesu akamjibu, “Kwa sababu ya jibu lako, nenda zako nyumbani; yule pepo mchafu amemtoka binti yako.”
Mansh Iyesus, «N keewanatse tuutson fo'erawo n na'ú aatsótse keshre, éshe n gál amee!» bí et.
30 Akaenda zake nyumbani akamkuta binti yake amelala kitandani, yule pepo mchafu akiwa amemtoka.
Biwere b galomaants bi aanór b na'ú fo'erawo fakshb́k'erere es' abaatse jeenon b k'eefere datsbdek'i.
31 Kisha Yesu akaondoka sehemu za Tiro, akapita katikati ya Sidoni, hadi Bahari ya Galilaya na kuingia eneo la Dekapoli.
Iyesus T'iros datsatse kesht k'az bíami, Sidon weeron amt Tats kita eteef datson Galil aats k'aromaants b́ weyi.
32 Huko, watu wakamletea Yesu mtu mmoja kiziwi, ambaye pia alikuwa na kigugumizi, wakamwomba aweke mkono wake juu ya huyo mtu na amponye.
Manoke gidik' wotat, aani dutso b́ maants dek't boweyi, b́ kishono bí ats b́ gedetwok'o bok'oni.
33 Baadaye Yesu akampeleka yule kiziwi kando mbali na watu, Yesu akatia vidole vyake masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na kuugusa ulimi wa yule mtu.
Iyesuswere ashman ashotse k'aldek't bí aali dek' amt b́ jaabo ash man waazots gedt, s'udono tuf ett asho alberono b́ shuu'í,
34 Ndipo Yesu akatazama mbinguni, akavuta hewa ndani kwa nguvu akamwambia, “Efatha!” (yaani, “Funguka!”)
Daromaand kááw dek't s'iilt ah ett kasho wosht ashmansh «Eeftah!» bí et. B́ biitsonwere «K'eshewe!» etee.
35 Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukaachiliwa, akaanza kuongea sawasawa.
Manóró b́ waazo k'eshe b́wutsi, bíalberonwere bish b́ wutsi, ik kic'alono s'ayintsdek't keewo dek' b́ tuwi.
36 Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hizi. Lakini kadiri alivyowazuia, ndivyo walivyozidi kutangaza kwa bidii.
Iyesus keewan konshor bokeewrawok'o ashuwotsi bí azazi, wotowa bako bokeewrawok'o bíazaztsoniye bogshdek't ay dek'tni bokewfo bo teshi.
37 Walistaajabu mno. Wakasema, “Amefanya mambo yote vizuri mno! Amewawezesha viziwi wasikie na bubu waseme!”
Shishts jamwotswere ay dek't adt, «Jam keewo sheengonee b́fiini! gidik'wotsu boshishetwok'o, dutswotswere bo keewitwok'owe b́ k'aliri!» bo et.