< Marko 6 >
1 Yesu akaondoka huko na kwenda mji wa kwao, akiwa amefuatana na wanafunzi wake.
Jisua'n ha mun hah a mâka, a omna ngâi khopui tieng a se nôka, a ruoisingei khomin an jûi tita.
2 Ilipofika siku ya Sabato, akaanza kufundisha katika sinagogi, na wengi waliomsikia wakashangaa. Nao wakauliza, “Mtu huyu ameyapata wapi mambo haya yote? Tazama ni hekima ya namna gani hii aliyopewa? Tazama matendo ya miujiza ayafanyayo kwa mikono yake!
Sabbathnin chu Synagog taka mi a minchua. Mahan mi tamtak an oma; male a chongril hah an riet lehan anrêngin kamâm aom tatak an tia, “Hi mi hin hi ngei nâm hih kho renga mo a man hi?” an tia. “A kôm, khoi vârna mo pêkin aom hih? Kho angin mo sininkhêlngei a sin thei hi?
3 Huyu si yule seremala, mwana wa Maria? Na ndugu zake si Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Dada zake wote si tuko nao hapa kwetu?” Nao wakachukizwa sana kwa ajili yake, wakakataa kumwamini.
Mary nâipasal, mistri sin ngâi, a lâibungngei khom Jacob, Joseph, Juda le Simon ngei nimak mo? A sarnungei khom ei kôma an om ngâi nimak ngei mo?” an tia. Male chu ama hah an hengpai zoia.
4 Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima isipokuwa katika mji wake mwenyewe, na miongoni mwa jamaa na ndugu zake, na nyumbani kwake.”
Jisua'n an kôm, “Dêipungei chu an omna ngâi khopui le a sûngsuokngei le a insûngmingei lâia tiloiin chu muntina an jâ ngei ngâi a tia.”
5 Hakufanya miujiza yoyote huko isipokuwa kuweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache na kuwaponya.
Ha muna han chu mi damloi ngei tômte chunga a kutngei minngamin a mindam tiloiin chu ite sininkhêlngei sin thei khâi mak.
6 Naye akashangazwa sana kwa jinsi wasivyokuwa na imani. Kisha Yesu akawa anakwenda kutoka kijiji kimoja hadi kingine akifundisha.
Mingei han taksônna an dôn loi sikin a jâmminzal sabaka. Hanchu Jisua'n ha revêla khuongei han a chai titira, mingei ha a minchu tira.
7 Akawaita wale kumi na wawili, akawatuma wawili wawili, na kuwapa mamlaka kutoa pepo wachafu.
Ruoisi sômleinik ngei hah a koi mintûp ngeia inik, inikin a tîrsuoka. Ratha saloingei chunga rachamneina a pêk ngeia,
8 Akawaagiza akisema, “Msichukue chochote kwa ajili ya safari isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kwenye mikanda yenu.
male an kôm, “Nin khuolchaina khiengrol tiloiin chu ite vâipôl khom, kutdo choli khom, nin pepngeia sum khom chôi no roi.
9 Vaeni viatu, lakini msivae nguo ya ziada.”
Kebunngei chu bun ungla, hannirese, kâncholi inshak chu chôi no roi” tiin chong a pêk ngeia.
10 Akawaambia, “Mkiingia kwenye nyumba yoyote, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
Amananâkin an kôm, “Nangni an lei modômna ina han om ungla ma mun hah nin mâk, mâka chu madên han om tit roi.
11 Kama mahali popote hawatawakaribisha wala kuwasikiliza, mtakapoondoka huko, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu ili kuwa ushuhuda dhidi yao.”
Hanchu tu khopui khom mingeiin nangni an modôm noa, nin chong an rangâi nônchu mâkrak ungla, nin ke rabab akop ngei hah không liei roi. Maha anni rangin inning roi tina nîng atih.”
12 Kwa hiyo wakatoka na kuhubiri kwamba inawapasa watu kutubu na kuacha dhambi.
Masikin an sea, male mingeiin an sietnangei renga an insîr theina rangin thurchi an misîra.
13 Wakatoa pepo wachafu wengi, wakawapaka wagonjwa wengi mafuta na kuwaponya.
Ramkhoringei tamtak an rujûl pâia, male damloi tamtak ngei olive sariek an pola an mindam ngei zoi.
14 Mfalme Herode akasikia habari hizi, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana sana. Watu wengine walikuwa wakisema, “Yohana Mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, ndiyo sababu nguvu za kutenda miujiza zinafanya kazi ndani yake.”
Hanchu Jisua riming muntina ânthang zit zoi sikin Rêng Herod'n a lei rieta. Mingei senkhatin chu, “Baptispu John hah a hong ring nôk zoi! Masika han hi sininkhêlngei sin theina ranak hi a dôn ani,” an tia.
15 Wengine wakasema, “Yeye ni Eliya.” Nao wengine wakasema, “Yeye ni nabii, kama mmojawapo wa wale manabii wa zamani.”
Nikhomrese, adangngeiin chu, “Ama hih Elijah ani” an tia. Midangngei an ti nôk chu “Tiena dêipungei angin, ama hih dêipu inkhat ani” an tia.
16 Lakini Herode aliposikia habari hizi, akasema, “Huyo ni Yohana Mbatizaji, niliyemkata kichwa, amefufuliwa kutoka kwa wafu!”
Mahah a lei rieta, Herod'n chu, Baptispu John ani! “A lu ka tana nikhomrese, a hong ring nôk ani!” a tia.
17 Kwa kuwa Herode alikuwa ameagiza kwamba Yohana Mbatizaji akamatwe, afungwe na kutiwa gerezani. Alifanya hivi kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake, ambaye Herode alikuwa amemwoa.
Herod lelên John hah a minsûra, khitbelin jêl ina a lei khum ani. Herod'n ma anga a thona chu, Herodias hi a nâipa Philip lômnu nikhomsenla a lômnu a minchang sika ani.
18 Yohana alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuwa na mke wa ndugu yako.”
John'n Herod kôm, “Na nâipa lômnu in ne neipui nôk hih Balam nimak!” tiin a lei ril tit ngâia.
19 Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yohana kinyongo akataka kumuua. Lakini hakuweza,
Masikin Herodias han John a mumâka that ngêt rang a bôka hannirese, Herod sikin that thei maka.
20 kwa sababu Herode alimwogopa Yohana akijua kwamba ni mtu mwenye haki na mtakatifu, hivyo akamlinda. Herode alifadhaika sana alipomsikia Yohana, lakini bado alipenda kumsikiliza.
Herod'n John hah mi sa le mi inthieng ani ti a riet sikin a chia, masikin a mojôk ngâi ani. John chongril a riet racham asân injêlpui ngâi khomsenla, a chongril rangâi rang a nuom ngâi ani.
21 Mfalme Herode alifanya karamu kubwa wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake. Akawaalika maafisa wake wakuu, majemadari wa jeshi na watu mashuhuri wa Galilaya. Hatimaye Herodia alipata wasaa aliokuwa akiutafuta.
Azoinataka chu Herod suokni ahong tungin chu, sorkar ulienngei, râlmi ulienngei le Galilee rama mi lienngei rangin bukhalâi otna a minsûka, ha ni han chu Herodias'n chuminrên a mana.
22 Binti yake Herodia alipoingia na kucheza, akamfurahisha Herode pamoja na wageni wake walioalikwa chakulani. Mfalme Herode akamwambia yule binti, “Niombe kitu chochote utakacho, nami nitakupa.”
Herodias nâinupang a hong lûta, a lâma, Herod le a khuolmingei râiaminsân pe ngei oka. Masikin rêngpa han nupangte kôm han, “Imo dôn rang nu nuom? Nu nuom tak nang pêk ki tih” a tia.
23 Tena akamwahidi kwa kiapo, akamwambia, “Chochote utakachoomba nitakupa, hata kama ni nusu ya ufalme wangu.”
Chonginkhâm tamtak dônin a kôm, “Kho khoi khom mi ni zong kai chu ke rêngram phalkhat tena khom nang pêk rangin chong kên khâm!” a tia.
24 Yule binti akatoka nje, akaenda kumuuliza mama yake, “Niombe nini?” Mama yake akamjibu, “Omba kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
Masikin nupangte hah a jôka, a nû kôm, “Imo mo ko zong rang?” tiin a va rekela. A nu'n, “Baptispu John lu” tiin a thuona.
25 Yule binti akarudi haraka kwa mfalme, akamwambia, “Nataka unipe sasa hivi kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sinia.”
Nupangte hah innottakin a kîra, rêngpa kôm han, “Atûn Baptispu John a lu mâirânga mi ni pêk rangin ku nuom” tiin a zonga.
26 Mfalme akasikitika sana, lakini kwa sababu alikuwa ameapa viapo mbele ya wageni wake, hakutaka kumkatalia.
Masikin rêngpa hah ân ngûikhak zoia, aniatachu a khuolmingei makunga inkhâmnangei a lei tho sika han mângti thei khâi maka.
27 Mara mfalme akatuma askari mmojawapo wa walinzi wake kukileta kichwa cha Yohana. Akaenda na kumkata Yohana kichwa humo gerezani,
Masikin rêngpa han a rungpu inkhat a tîr kelena, John lu hong lâk rangin chong a pêka. Rungpu han ânphêt kelena, male jêl ina a sea. John lu ava tana;
28 akakileta kichwa chake kwenye sinia na kumpa yule msichana, naye yule msichana akampa mama yake.
hanchu mâirânga a hong chôia, nupangte kôm a pêka, nupangte han a nû kôm ava pêk zoia.
29 Wanafunzi wa Yohana walipopata habari hizi, wakaja na kuuchukua mwili wake, wakauzika kaburini.
Ma roi hah a ruoisingeiin an riet lehan an honga, John ruok hah an chôia, male an phûm zoi.
30 Wale mitume wakakusanyika kwa Yesu na kumpa taarifa ya mambo yote waliyokuwa wamefanya na kufundisha.
Tîrtonngei hah an kîr nôka male Jisua an intongpuia, male an sintho murdi le an minchu sai murdi Jisua kôm an rila.
31 Basi kwa kuwa watu wengi mno walikuwa wakija na kutoka, hata wakawa hawana nafasi ya kula, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Twendeni peke yetu mahali pa faragha, mpate kupumzika.”
Mingei ha ase le ahong an tam rai sikin Jisua le a ruoisingei chu bunêk zora luo man mak ngeia. Masikin an kôm, “Tho ei theivaia ei om theina rangin mun senkhata chomola nin inngam theina rang muna se rei u” a tia.
32 Hivyo wakaondoka kwa mashua peke yao, wakaenda mahali pasipo na watu.
Masikin mun inthimngangna panin an theiviekin rukuonga an se zoia.
33 Lakini watu wengi waliowaona wakiondoka, wakawatambua, nao wakaenda haraka kwa miguu kutoka miji yote, nao wakatangulia kufika.
Nikhomrese, mingei tamtakin an selâi an mua, anni ngei ti an riet kelena; masikin khopuingei murdi renga mingei hah tâng tieng renga an tânna, Jisua le a ruoisingei hah an lei chomtan ngeia.
34 Yesu alipofika kando ya bahari, aliona makutano makubwa ya watu, akawahurumia kwa maana walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji. Kwa hiyo akaanza kuwafundisha mambo mengi.
Jisua hah rukuong renga a juong chum lehan, loko tamtak a mu ngeia, male belri a hôlpu boi angin an ni sikin, anni ngei rangin a mulungrîla inriengmuna leh asipa. Masikin neinun tamtak ngei a minchu ngei phut zoi.
35 Mchana ulipokuwa umeendelea sana, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, nazo saa zimekwenda sana.
Kholoi ahongni lehan, a ruoisingei hah Jisua kôm an honga, male a kôm, “Mahi mun inthimngang ke ania, nisa khom ase ok zoia.
36 Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”
Mingei hih tîr pai ngei inla, male akôl kienga loingeia mo, khuongeia mo, anninanâkin an sâkruo imakhat an rochôk theina rangin” an tia.
37 Lakini Yesu akawajibu, “Ninyi wapeni chakula.” Wakamwambia, “Je, twende tukanunue mikate ya dinari 200 ili tuwape watu hawa wale?”
Jisua'n an kôm, “Nangnin sâkruo imakhat pêk ngei roi,” tiin a thuon ngeia. Annin a kôm, “Anni ngei vâi theina rangin vâipôl chunga duli razannik kin va thâm rangin nu nuom mo?” tiin an rekela.
38 Akawauliza, “Kuna mikate mingapi? Nendeni mkaangalie.” Walipokwisha kujua wakarudi, wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wawili.”
Masikin Jisua'n an kôm, “Vâipôl kho dôr mo nin dôn? Se ungla, va en roi” tiin a rekel ngeia. An dôn dôr hah an riet lehan, “Vâipôl rangnga le nga inik” tiin an rila.
39 Kisha Yesu akawaamuru wawaketishe watu makundi makundi kwenye majani,
Hanchu Jisua'n mingei nâm hah apâl apâlin sensâi ungla, durba chunga min sung ngei rangin ruoisingei a ril ngeia.
40 nao wakaketi kwenye makundi ya watu mia mia na wengine hamsini hamsini.
Masikin mingei hah apâl apâlin, raza khat pâlin le sômrangnga pâlin an min sung ngeia.
41 Yesu akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akainua macho yake akatazama mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate. Kisha akawapa wanafunzi wake ili wawagawie wale watu wote. Pia akawagawia wote wale samaki wawili.
Hanchu Jisua'n vâipôl rangnga ngei le nga inik hah a lâka, invân tieng tangin Pathien kôm râisânchong a rila. Vâipôl hah a khoia, mingei hah sem pe ngei rangin a ruoisingei kuta a pêk ngeia. Nga khom hah anrêngin sem ngei rangin a pêk ngei sa zoi.
42 Watu wote wakala, wakashiba.
Mitinin an sâka male an khop chita.
43 Nao wanafunzi wake wakakusanya vipande vilivyosalia vya mikate na samaki, wakajaza vikapu kumi na viwili.
Hanchu an sâk minieng vâipôl hâr le nga ronôi hah tabong sômleinik ruoisingeiin an rût min sipa.
44 Idadi ya wanaume waliokula walikuwa 5,000.
A vâi ngei mijôn hah mi ulien kai isâng rangnga an ni.
45 Mara Yesu akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda Bethsaida, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano.
Lokongei a minchîn suole harenghan varâl tienga Bethsaida khuoa, a motona lei se rangin a ruoisingei rukuonga a min chuong ngeia.
46 Baada ya kuwaaga wale watu, akaenda mlimani kuomba.
Mingei hah chonghoiin a mathân suole chu chubaitho rangin muol chunga a se zoia.
47 Ilipofika jioni, ile mashua ilikuwa imefika katikati ya bahari, na Yesu alikuwa peke yake katika nchi kavu.
Kholoi ahongni lehan, rukuong hah dîl ânlâina taka aoma, Jisua chu atheivaiin tânga han aoma.
48 Akawaona wanafunzi wake wanahangaika na kupiga makasia kwa nguvu, kwa sababu upepo ulikuwa wa mbisho. Wakati wa zamu ya nne ya usiku, Yesu akawaendea wanafunzi wake, akiwa anatembea juu ya maji. Alikuwa karibu kuwapita,
Phâivuo hah anôk tieng asêm sikin, a ruoisingeiin an rukuong jâp hah an mulungjîng okin a mua; masikin jîng kôlinsaluom rangtôn dîl chunga lônin an tieng a hong pana, anni ngei khêlpai rang angin aoma,
49 lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe,
hannirese anni han tui chunga a lôn an mua. “Mirluoi kêng ani!” tiin an mindonna, male an iniek raka.
50 kwa sababu wote walipomwona waliogopa. Mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope!”
Ama an mu lehan an rêngin an rathatâka. Harenghan Jisua'n an kôm, “Hâitakin om roi!” ama'n, “Keima ke ki ni, chi no roi!” a tipe ngeia.
51 Akapanda ndani ya mashua nao, na ule upepo ukakoma! Wakashangaa kabisa,
Hanchu an kôm rukuonga han a chuong sa zoia, male phâivuo hah amonga. Ruoisingei chu an kamâm sabaka,
52 kwa kuwa walikuwa hawajaelewa kuhusu ile mikate. Mioyo yao ilikuwa migumu.
mi isâng rangnga a vâina roi aomtie diktak hah an rietthei loi sikin; an mulungbôkngei han amanphâk loi ani.
53 Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti, wakatia nanga.
Dîl râl an inkânna, Genesaret rama an tunga, mahan an rukuong an thunga.
54 Mara waliposhuka kutoka mashua yao, watu wakamtambua Yesu.
Rukuong renga an chuma, mingeiin harenghan Jisua ani ti an riet kelena.
55 Wakaenda katika vijiji vyote upesi, wakawabeba wagonjwa kwenye mikeka ili kuwapeleka mahali popote waliposikia kuwa Yesu yupo.
Ha ram pumpuia mingei hah an hong tân leta; a omna an rietna tena a kôm damloingei an jâmphera jâl pumin an hong rojôna.
56 Kila mahali Yesu alipokwenda, iwe vijijini, mijini au mashambani, watu waliwaweka wagonjwa wao masokoni. Wakamwomba awaruhusu hao wagonjwa waguse japo upindo wa vazi lake. Nao wote waliomgusa waliponywa.
Male Jisua a sena muntina, khuongeia mo, khopuingeia mo, loingeia mo, bazar munngeia khom damloingei an hong tuonga, a puonmor luo tôn thei rangin phalna an ngênna. Male a tôn ngei murdi chu an dam pak ani.