< Marko 6 >

1 Yesu akaondoka huko na kwenda mji wa kwao, akiwa amefuatana na wanafunzi wake.
Amo soge yolesili, Yesu amola ea fa: no bobogesu dunu, Yesu Ea moilaidafa amoga bu hagi.
2 Ilipofika siku ya Sabato, akaanza kufundisha katika sinagogi, na wengi waliomsikia wakashangaa. Nao wakauliza, “Mtu huyu ameyapata wapi mambo haya yote? Tazama ni hekima ya namna gani hii aliyopewa? Tazama matendo ya miujiza ayafanyayo kwa mikono yake!
Sa: bade helefisu esoga, Yesu da sinagoge diasu ganodini ea sia: olelei. Dunu bagohame gilisibi ba: i. Ilia da Ea sia: nababeba: le, fofogadigili amane sia: i “Amo dunu ea gasa hou da habidili labala? Ea asigi dawa: su da habodane bagade hamobela: ? Hou gasa bagadedafa musa: hame ba: su hou, E gasawane hamosa.
3 Huyu si yule seremala, mwana wa Maria? Na ndugu zake si Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Dada zake wote si tuko nao hapa kwetu?” Nao wakachukizwa sana kwa ajili yake, wakakataa kumwamini.
E da ifa hahamosu dunu. Ea ame da Meli amola eya da Ya: mese, Yousefe, Yudase amola Saimone. Ea dalusi huluane da ninia moilai ganodini esala.” Amaiba: le, ilia da Yesu higa: i.
4 Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima isipokuwa katika mji wake mwenyewe, na miongoni mwa jamaa na ndugu zake, na nyumbani kwake.”
Yesu da ilima amane sia: i, “Dunu fi huluane da balofede dunu ea sia: naba. Be hi moilaidafa fi dunu fawane da ea sia: hame naba.”
5 Hakufanya miujiza yoyote huko isipokuwa kuweka mikono yake juu ya wagonjwa wachache na kuwaponya.
Amaiba: le, amo moilaiga, E gasa bagade hou hamomusa: hamedei ba: i. Oloi dunu afae afae fawane, E da Ea lobo ilima ligisiba: le, uhinisi.
6 Naye akashangazwa sana kwa jinsi wasivyokuwa na imani. Kisha Yesu akawa anakwenda kutoka kijiji kimoja hadi kingine akifundisha.
Ilia dafawaneyale hame dawa: su hou ba: beba: le, Yesu E fofogadigi. Amalalu, E Na: salede moilai yolesili, eno moilaiga olelela lalu.
7 Akawaita wale kumi na wawili, akawatuma wawili wawili, na kuwapa mamlaka kutoa pepo wachafu.
E da Ea ado ba: su dunu ilima Ema misa: ne sia: i. E da ili aduna aduna, asunasi. Fio a: silibu dunu ilia dogo ganodini aligila sa: i, amo fadegale fasima: ne, E da Ea ado ba: su dunuma gasa sagoi.
8 Akawaagiza akisema, “Msichukue chochote kwa ajili ya safari isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kwenye mikanda yenu.
E da ilima amane sia: i, “Agi ga: gi, daba, amola muni bulu ganodini sali, amo liligi huluane mae aguni masa! Dagulu fawane gaguli masa!
9 Vaeni viatu, lakini msivae nguo ya ziada.”
Emo salasu salima. Be da: i salasu aduna hame, afadafa fawane salima.”
10 Akawaambia, “Mkiingia kwenye nyumba yoyote, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
E da eno ilima amane sia: i, “Moilaiga doaga: sea, nowa dunu dilima yosia: sea, amo dunu ea diasuga dilia golale, eno sogega masunusa: dawa: sea fawane yolesima!
11 Kama mahali popote hawatawakaribisha wala kuwasikiliza, mtakapoondoka huko, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu ili kuwa ushuhuda dhidi yao.”
Be moilai dunu da dilima hame yosia: sea amola dilia sia: ilia higasea, bu asili, ilima sisasu olelema: ne, osobo dilia emo gafe dialebe doga: lesima!”
12 Kwa hiyo wakatoka na kuhubiri kwamba inawapasa watu kutubu na kuacha dhambi.
Amaiba: le, Ea fa: no bobogesu dunu da asili, dunu huluane ilia wadela: i hou yolesili Godema sinidigima: ne, amo sia: olelei.
13 Wakatoa pepo wachafu wengi, wakawapaka wagonjwa wengi mafuta na kuwaponya.
Ilia da Fio a: silibu bagohame ilia sia: ga fadegale fasi. Ilia da oloi dunu bagohame uhima: ne, ilima susuligi sogadigi.
14 Mfalme Herode akasikia habari hizi, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana sana. Watu wengine walikuwa wakisema, “Yohana Mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, ndiyo sababu nguvu za kutenda miujiza zinafanya kazi ndani yake.”
Gamane hina dunu Helode da amo hou nabi. Bai dunu huluane da Yesu Ea gasa bagade hou sia: dasu. Dunu mogili ilia amane sia: dasu, “Amo dunu da Yone Ba: bodaise bogole, bu uhini wa: legadoi. Amaiba: le E da gasa bagade hawa: hamonana!”
15 Wengine wakasema, “Yeye ni Eliya.” Nao wengine wakasema, “Yeye ni nabii, kama mmojawapo wa wale manabii wa zamani.”
Be eno dunu, “E da Elaidia.” sia: i. Eno ilia amane sia: i, “E da balofede dunu, ninia aowalalia balofede dunu agoane.”
16 Lakini Herode aliposikia habari hizi, akasema, “Huyo ni Yohana Mbatizaji, niliyemkata kichwa, amefufuliwa kutoka kwa wafu!”
Be Helode, amo hou nababeba: le, amane sia: i, “Na da Yone ea dialuma damuni fasima: ne sia: i. E da bogole bu wa: legadoi.”
17 Kwa kuwa Herode alikuwa ameagiza kwamba Yohana Mbatizaji akamatwe, afungwe na kutiwa gerezani. Alifanya hivi kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake, ambaye Herode alikuwa amemwoa.
Musa: , Helode da hamoma: ne sia: beba: le, ilia da Yone afugili, la: gili, se iasu diasu ganodini sali. Helode da ea ola Filibe idua e dio amo Heloudiase, lai dagoi. Amo uda ea sia: nababeba: le, Helode da Yone lale, se iasu ganodini sali.
18 Yohana alikuwa amemwambia Herode, “Si halali kwako kuwa na mke wa ndugu yako.”
Bai Yone da Helodema amane sia: nanu, “Dia ola idua wamolamu da sema bagade!”
19 Kwa hiyo Herodia alikuwa amemwekea Yohana kinyongo akataka kumuua. Lakini hakuweza,
Amaiba: le, Heloudiase da Yonema mi hanaiba: le, e fuga: musa: dawa: i galu. Be Helode da e fuga: musa: logo hame fodoi.
20 kwa sababu Herode alimwogopa Yohana akijua kwamba ni mtu mwenye haki na mtakatifu, hivyo akamlinda. Herode alifadhaika sana alipomsikia Yohana, lakini bado alipenda kumsikiliza.
Helode da Yonema beda: i galu. Bai Yone ea hou da hadigi amola ida: iwane e dawa: beba: le, Helode da e gaga: i. Helode da Yone ea sia: nabimu hanai, be ea sia: nababeba: le, gogolelebe galu.
21 Mfalme Herode alifanya karamu kubwa wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake. Akawaalika maafisa wake wakuu, majemadari wa jeshi na watu mashuhuri wa Galilaya. Hatimaye Herodia alipata wasaa aliokuwa akiutafuta.
Be Heloudiase ea eso da doaga: i dagoi. Helode e lalelegesu esoga, ea eagene ouligisu dunu, dadi gagui ouligisu dunu, amola Ga: lili mimogo dunu huluane, Helode da Lolo nabe amoga misa: ne hiougi.
22 Binti yake Herodia alipoingia na kucheza, akamfurahisha Herode pamoja na wageni wake walioalikwa chakulani. Mfalme Herode akamwambia yule binti, “Niombe kitu chochote utakacho, nami nitakupa.”
Heloudiase idiwi misini, dunu huluane ba: ma: ne, siogoi. Helode amola lolo Nasu misi dunu huluane da hahawane ba: i. Amalalu, Helode da a: finima gasa bagade ilegele amane sia: i, “Dia hanai liligi nama adole ba: sea, na da imunu.”
23 Tena akamwahidi kwa kiapo, akamwambia, “Chochote utakachoomba nitakupa, hata kama ni nusu ya ufalme wangu.”
E da gasa bagade ilegele amane sia: nanu, “Di da na ouligibi fi dogoa mogili, la: idi afae dima imunusa: sia: sea, na da amo dima imunu.”
24 Yule binti akatoka nje, akaenda kumuuliza mama yake, “Niombe nini?” Mama yake akamjibu, “Omba kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
Amalalu, a:fini asili, ea amema amane adole ba: i, “Na adi liligi lamusa: adole ba: ma: bela: ?” Eme da bu adole i, “Yone hanoga fane salasu dunu, amo ea dialuma damuni lamusa: adole ba: ma.”
25 Yule binti akarudi haraka kwa mfalme, akamwambia, “Nataka unipe sasa hivi kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sinia.”
Amalalu, e hedolo Helode ea diasu ganodini bu golili sa: ili, amane sia: i, “Wahadafa Yone Ba: bodaise ea dialuma damuni, yaeya da: iya ligisili, amo nagili ima.”
26 Mfalme akasikitika sana, lakini kwa sababu alikuwa ameapa viapo mbele ya wageni wake, hakutaka kumkatalia.
Amo sia: nababeba: le, Helode da se bagade nabi. Be e musa: gasa bagade sia: beba: le, amola ea lolo Nasu misi dunu ba: ma: ne gogosiamu higa: iba: le, ea musa: adoi yolesimu hamedei ba: i.
27 Mara mfalme akatuma askari mmojawapo wa walinzi wake kukileta kichwa cha Yohana. Akaenda na kumkata Yohana kichwa humo gerezani,
Amalalu, e da dadi gagui afae asunasili, Yone ea dialuma damuni gaguli misa: ne sia: i. Dadi gagui dunu da asili, se iasu diasu ganodini Yone Ba: bodaise ea dialuma gobiheiga damuni fasi.
28 akakileta kichwa chake kwenye sinia na kumpa yule msichana, naye yule msichana akampa mama yake.
Amo dialuma yaeya da: iya ligisili gaguli misini, a:finima i dagoi. Amalalu, a:fini da ea amema bu i.
29 Wanafunzi wa Yohana walipopata habari hizi, wakaja na kuuchukua mwili wake, wakauzika kaburini.
Amo hou nababeba: le, Yone ea fa: no bobogesu dunu misini, ea da: i hodo lale, uli dogone sali.
30 Wale mitume wakakusanyika kwa Yesu na kumpa taarifa ya mambo yote waliyokuwa wamefanya na kufundisha.
Yesu Ea asunasi dunu, Yesuma bu doaga: le, ilia hawa: hamoi Ema olelei.
31 Basi kwa kuwa watu wengi mno walikuwa wakija na kutoka, hata wakawa hawana nafasi ya kula, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Twendeni peke yetu mahali pa faragha, mpate kupumzika.”
Dunu bagohame misini, sia: dabeba: le, ha: i manu logo amola helefimu logo hedofaiba: le, Yesu E amane sia: i, “Ninia da dunu hamedei sogea helefila masunu. Amogai da helefisu ba: mu.”
32 Hivyo wakaondoka kwa mashua peke yao, wakaenda mahali pasipo na watu.
Amalalu, ilia da dusagaiga fila heda: le, dunu hame holoi sogebi amoga ilisu asi.
33 Lakini watu wengi waliowaona wakiondoka, wakawatambua, nao wakaenda haraka kwa miguu kutoka miji yote, nao wakatangulia kufika.
Be dunu bagohame ilia asi nababeba: le, moilai yolesili, emoga hehenane, ilia sogebia doaga: musa: asili, hidadea doaga: i.
34 Yesu alipofika kando ya bahari, aliona makutano makubwa ya watu, akawahurumia kwa maana walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji. Kwa hiyo akaanza kuwafundisha mambo mengi.
Amaiba: le, bega: doaga: le, moiga aligila sa: ili, Yesu da dunu bagohame gilisibi ba: i. Dunu ilia da sibi amo da sibi ouligisu hame gala, amo defele ba: i. Yesu da ilima asigi galu. E da liligi bagohame ilima olelei.
35 Mchana ulipokuwa umeendelea sana, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, nazo saa zimekwenda sana.
Daeya, Yesu Ea ado ba: su dunu da Ema misini, amane sia: i, “Goe soge da dunu hame holoi soge. Gasimu gadenei galebe.
36 Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”
Dunu huluane da moilai enoga ha: i manu bidilama: ne masa: ne asunasima!”
37 Lakini Yesu akawajibu, “Ninyi wapeni chakula.” Wakamwambia, “Je, twende tukanunue mikate ya dinari 200 ili tuwape watu hawa wale?”
Be Yesu E bu adole i, “Dilisu ha: i manu ilima ima!” Ilia bu sia: i, “Ninia silifa fage 200 agoane iabeba: le, agi lale, ilima ima: bela: ?”
38 Akawauliza, “Kuna mikate mingapi? Nendeni mkaangalie.” Walipokwisha kujua wakarudi, wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wawili.”
E da ilima bu adole ba: i, “Agi ga: gi da habodayane ganabela: ? Ba: la masa!” Ba: lalu, ilia amane bu adole i, “Agi ga: gi biyale amola menabo aduna fawane.”
39 Kisha Yesu akawaamuru wawaketishe watu makundi makundi kwenye majani,
Amalalu, Yesu da Ea ado ba: su dunuma ilia da dunu huluane momogili, gilisisu afae afae, mola: ya: i gisi da: iya fima: ne sia: ma: ne, sia: i.
40 nao wakaketi kwenye makundi ya watu mia mia na wengine hamsini hamsini.
Ilia da gilisisu, eno da 100 agoane, eno da 50 agoane, agoaiwane dada: lei.
41 Yesu akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akainua macho yake akatazama mbinguni, akavibariki na kuimega ile mikate. Kisha akawapa wanafunzi wake ili wawagawie wale watu wote. Pia akawagawia wote wale samaki wawili.
Amalalu, Yesu da agi ga: gi biyale gala amola menabo aduna lale, Ea si ba: le gadole, Godema nodone sia: ne gadoi. Amalalu, E da amo agi ga: gi fifili, Ea fa: no bobogesu dunuma sagoi. Ilia dunu eno ilima bu sagoi. Menabo aduna amola, Yesu da dunu huluane moma: ne fifili sagoi.
42 Watu wote wakala, wakashiba.
Ilia huluane sadi ba: i.
43 Nao wanafunzi wake wakakusanya vipande vilivyosalia vya mikate na samaki, wakajaza vikapu kumi na viwili.
Hame mai dialu agi ga: gi fifi amola menabo lale, daba fagoyale amo nabale ligisi.
44 Idadi ya wanaume waliokula walikuwa 5,000.
Dunu 5000 agoane amola eno uda amola mano bagohame da sadi dagoi.
45 Mara Yesu akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda Bethsaida, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano.
Amalalu, Yesu Ea sia: be nabalu, ea ado ba: su dunu da dusagaiga fila heda: le, Ga: lili Hano Wayabo na: iyado bega: doaga: musa: asi. E da dunu eno huluane ilima masa: ne sia: i.
46 Baada ya kuwaaga wale watu, akaenda mlimani kuomba.
Huluanema “Asigibio” sia: nanu, Yesu hisu sia: ne gadomusa: , goumiba: le heda: i.
47 Ilipofika jioni, ile mashua ilikuwa imefika katikati ya bahari, na Yesu alikuwa peke yake katika nchi kavu.
Daeya, Ea ado ba: su dunu da dusagai ganodini hano dogoa ahoanu, Yesu hisu moiga lelu.
48 Akawaona wanafunzi wake wanahangaika na kupiga makasia kwa nguvu, kwa sababu upepo ulikuwa wa mbisho. Wakati wa zamu ya nne ya usiku, Yesu akawaendea wanafunzi wake, akiwa anatembea juu ya maji. Alikuwa karibu kuwapita,
Fo bagade da ilia odagiga mabeba: le, Ea ado ba: su dunu se nabawane susugane sua: lalebe, amo Yesu E ba: i. Amalalu, hahabedafa, eso mae misini, hadigi gadenene, Yesu da Ea fa: no bobogesu dunuma doaga: musa: , hano da: iya mae magufale asi. Ilima baligimusa: manebe ba: i.
49 lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe,
Be ilia da Yesu mae magufale manebe ba: beba: le, E da bogoi a: silibuyale dawa: iba: le, bagade beda: i.
50 kwa sababu wote walipomwona waliogopa. Mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope!”
Ea manebe huluane ba: beba: le, ilia beda: ga bogomu agoai dawa: i. Be Yesu E ilima hedolo amane sia: i, “Mae beda: ma! Amo da Na!”
51 Akapanda ndani ya mashua nao, na ule upepo ukakoma! Wakashangaa kabisa,
Amalalu, E da dusagaiga fila heda: loba, fo da yolesi. Ilia bagadewane fofogadigi.
52 kwa kuwa walikuwa hawajaelewa kuhusu ile mikate. Mioyo yao ilikuwa migumu.
Bai ilia da Yesu E agi ga: gi afadenene bagade hamoi, amo musa: hame ba: su gasa bagade hou dawa: mu hamedeiwane ba: i.
53 Walipokwisha kuvuka, wakafika nchi ya Genesareti, wakatia nanga.
Amalalu, ilia da hano wayabo degele, Genesalede soge bega: doaga: le, dusagai la: gilisi.
54 Mara waliposhuka kutoka mashua yao, watu wakamtambua Yesu.
Ilia moiga aligila sa: ili, dunu eno huluane da amo doaga: i dunu da Yesu ilia dawa: i.
55 Wakaenda katika vijiji vyote upesi, wakawabeba wagonjwa kwenye mikeka ili kuwapeleka mahali popote waliposikia kuwa Yesu yupo.
Amalalu, moilai enoga moilai enoga hehenane asili, oloi dunu ilia debea da: iya dialu amo ilia Yesuma gisa misi. Dunu ilia, “Yesu da amo sogebi esala!” ilia nababeba: le, amo sogebiga oloi dunu gigisa misi.
56 Kila mahali Yesu alipokwenda, iwe vijijini, mijini au mashambani, watu waliwaweka wagonjwa wao masokoni. Wakamwomba awaruhusu hao wagonjwa waguse japo upindo wa vazi lake. Nao wote waliomgusa waliponywa.
Yesu da asili, Ea doaga: i soge huluane, moilai fonobahadi amola moilai bagade amola iwilaga amo sogebi huluane amoga ilia oloi dunu oule misini, bidiga lasu diasuga ligisili, Ea abula fe digili ba: ma: ne, Yesuma edegei. Nowa da Ea abula fe digili ba: loba, e da bu uhi dagoi ba: i.

< Marko 6 >