< Marko 5 >

1 Wakafika upande wa pili wa ziwa wakaingia katika nchi ya Wagerasi.
Bhakahidili hadi lubhafu l'ongi lwa bahari mu mkoa ghwa Gerasi
2 Yesu alipotoka kwenye mashua, mara mtu mmoja mwenye pepo mchafu akatoka makaburini akakutana naye.
Ni ghafla bhwakati Yesu ipita mugati mu bhuatu, munu jhaajhele ni roho chafu akahida kwa muene kuhomela kumakaburi.
3 Mtu huyu aliishi makaburini, wala hakuna aliyeweza kumzuia hata kwa kumfunga minyororo.
Munu ojhu atameghe ku makaburi. Ajhelepi jhaabhwesili kunsifila, ajhelepi hata ku minyororo.
4 Kwa kuwa mara kwa mara alikuwa amefungwa minyororo mikononi na miguuni, lakini akaikata hiyo minyororo na kuzivunja zile pingu miguuni mwake. Hapakuwa na mtu yeyote aliyekuwa na nguvu za kumzuia.
Akongibhu bhwakati bhwingi ni p'engu ni minyororo. Ahidumuili minyororo ni p'engu syake syadumuiki. Ajhelepi hata mmonga jha ajhe ni nghofu sya kun'shinda.
5 Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.
Pakilu ni pamusi ajhele kumakaburi ni kufidonda alelili ni kwidumula muene kwa maganga makali.
6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.
Bho ambwene Yesu kwa patali ojumbili kwa muene ni kujhinama mbele jha muene.
7 Akapiga kelele kwa nguvu akisema, “Una nini nami, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Sana? Ninakusihi kwa jina la Mungu, usinitese!”
Al'elili kwa sauti mbaha, “Ghwilonda nikubhombilayi kiki, Yesu, Mwana ghwa K'yara j'haajhele kunani Sana? Nikus'okha kwa K'yara muene usin'tesi.”
8 Kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”
Kwa kujha amali kun'jobhela, “Umbokajhi bhebhe roho n'chafu.”
9 Yesu akamuuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tuko wengi.”
Nu muene akan'kota, “Lihina lya bhebhe niani?” Nu muene akan'jibu, “Lihina lya nene ni Legion, kwa kujha tujhe twebhingi.”
10 Akamsihi Yesu sana asiwapeleke nje ya nchi ile.
Akan'sihi kabhele asibhap'eleki kwibhala ku mkoa.
11 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe lililokuwa likilisha karibu kando ya kilima.
Henu likundi libhaha lya maghorobhi likajhele lilasibhwa panani pa kid'onda,
12 Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu wakisema, “Tuamuru twende kwenye wale nguruwe. Turuhusu tuwaingie.”
naghu ghakan'sihi ni kujobha, “Tutumajhi ku maghorobhi; tujhingilayi mugati mwa bhene.”
13 Basi Yesu akawaruhusu, nao wale pepo wachafu wakatoka, wakawaingia hao nguruwe. Lile kundi lilikuwa na nguruwe wapatao 2,000, nao wote wakateremkia gengeni kwa kasi, nao wakatumbukia ziwani na kuzama.
Efyo akagharuhusu; roho bhachafu bhakabhoka kulota ku maghorobhi, naghu ghakajumba pasi pa kid'onda mpaka mu masi ni karibila maghorobhi elfu mbili ghajiembili mu bahari.
14 Wale watu waliokuwa wakichunga hao nguruwe wakakimbilia mjini na vijijini kueleza yaliyotukia. Watu wakatoka kwenda kuona hayo yaliyokuwa yametukia.
Nibhala bhabhajhele bhikaghalesya maghorobhi bhakajumba ni kupisya taarifa jha kyah'omili mu mji ni mundu. Ndipo bhanu bhingi bhakahoma kulota kulola kya kutokili.
15 Walipofika kwa Yesu, wakamwona yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu legioni akiwa ameketi hapo, amevaa nguo na mwenye akili timamu. Wakaogopa.
Ndipo bhakahida kwa Yesu na bhambwene munu jha apagewe ni pepo— ajhele ni jeshi — atamili pasi, afwekibhu, na ajhele ni luhala lwa muene timamu, na bhakatila.
16 Wale walioyaona mambo hayo wakawaeleza watu wengine yaliyomtokea yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu, na habari za lile kundi la nguruwe pia.
Bhala bhabhabhuene kya kyah'omili kwa jha apagewe ni pepo bhabhajobhili Kya kih'omili kwa bhene ni pia kuhusu maghorobhi.
17 Basi watu wakaanza kumwomba Yesu aondoke katika nchi yao.
Nabhu bhakajhanda kun'sihi abhokayi mu mkoa ghwa bhene.
18 Yesu alipokuwa anaingia kwenye mashua, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu akamsihi Yesu waende pamoja.
Na bhoijhingila mubhwatu, munu jha apagewe ni mapepo an'sokili bhalotayi pamonga ni muene.
19 Yesu hakumruhusu, bali alimwambia, “Nenda nyumbani kwa jamaa yako ukawaeleze mambo makuu aliyokutendea Bwana, na jinsi alivyokuhurumia.”
Lakini ambelekelili, lakini an'jobhili, “Lotajhi kunyumba jha jhobhi ni kwa bhanu bha j'hobhi, na ubhajobhilayi akibhombili Bwana, ni rehema jha akup'elili.”
20 Yule mtu akaenda zake, akaanza kutangaza katika Dekapoli mambo makuu Yesu aliyomtendea. Nao watu wote wakastaajabu.
Efyu akalota ni kujhanda kutangasya mambo mabhaha ambagho Yesu aghabhombili kwa muene mu Dekapoli, na khila mmonga ashangele.
21 Yesu alipokwisha kuvuka tena na kufika ngʼambo, umati mkubwa wa watu ukamzunguka yeye akiwa hapo kando ya bahari.
Na bhwakati Yesu ilobhoka kabhele lubhafu lwa bhubhele, mugati mu bhuatu, bhumati mbaha bhwa syonguiki kumbonganila, bho ajhele kando jha bahari.
22 Kisha mmoja wa viongozi wa sinagogi aliyeitwa Yairo akafika pale. Naye alipomwona Yesu, akapiga magoti miguuni pake,
Na mmonga ndongosi ghwa sinagogi jhaakutibhweghe Yairo, ahidili, na bho ambwene, abinili mu magolo gha muene.
23 akamsihi akisema, “Binti yangu mdogo ni mgonjwa mahututi. Tafadhali nakusihi, njoo uweke mikono yako juu yake ili apate kupona, naye atakuwa hai.”
Akan'soka zaidi ni zaidi, akajobha, “Mwalibhangu n'debe mkaribishaji kufwa. Nikus'oka uhidayi na ubhekayi mabhokho gha jhobhi panani pa muene ili abhwesiayi afya jha kutama au kuishi.”
24 Hivyo Yesu akaenda pamoja naye. Umati mkubwa wa watu ukamfuata, nao watu wakawa wanamsonga.
Efyo akalota pamonga naku, ni bhumati mbaha bhwan'kesisi nabhu bhandondamili karibu bhakajha bhan'syonguiki
25 Hapo palikuwa na mwanamke aliyekuwa amesumbuliwa na tatizo la kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili.
Kwa jhele ni n'dala ambajhe lilopa lya muene kyah'omili kwa miaka kumi na mibhele.
26 Mwanamke huyu alikuwa ameteseka sana kwa mikono ya matabibu wengi, na kutumia kila kitu alichokuwa nacho. Lakini badala ya kupona, hali yake ilizidi kuwa mbaya.
Atesiki fya kutosha kwa matibabu mingi na atumili khila khenu kya ajhele nakhu. Hata efyu asaidiki lepi kwa kyokyoha khela, lakini badala jhiake ajhongesiki kujha ni hali jhibhibhi.
27 Alikuwa amesikia habari za Yesu, naye akaja kwa nyuma yake kwenye umati wa watu, akaligusa vazi lake,
Ap'eliki habari kuhusu Yesu. Hivyo akahida kunyuma jha muene bhwakati igenda mu bhumati, nu muene aligusili liguanda lya muene.
28 kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikiweza kuligusa vazi lake tu, nitaponywa.”
Kwa kujha ajobhili, “kama nighakamuili maguanda gha muene tu, nibetakujha n'sima.”
29 Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.
Bho arikamuili kuh'oma lilopa kabhele kwa lekili, na akip'eliki mu mb'ele ghwa muene kujha aponisibhu kuh'omela mu malombosi gha muene.
30 Ghafula Yesu akatambua kuwa nguvu zimemtoka. Akaugeukia ule umati wa watu na kuuliza, “Ni nani aliyegusa mavazi yangu?”
Ni ghafla Yesu agunduili mu mb'ele ghwa muene kujha nghofu lip'onguiki. Na ageuke khoni ni khoni ni mu bhumati bhwa bhanu ni kukhota, “Niani jha akamuili liguanda lya nene?”
31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi umati wa watu unavyokusonga. Wawezaje kuuliza, ‘Ni nani aliyenigusa?’”
Bhanafunzi bha muene bhakan'jobhela, “Ulolili bhumati obho bhukulundamili, bhukulundamili, ni bhabhe ghwi jobha, Niani akukamuili?”'
32 Lakini Yesu akaangalia pande zote ili aone ni nani aliyemgusa.
Lakini Yesu akalenga khoni ni khoni ili ambonayi jha abhombili ele.
33 Yule mwanamke, akijua kilichomtokea, akaja, akaanguka miguuni pake akitetemeka kwa hofu, akamweleza ukweli wote.
N'dala, amanyili kya kih'omili kwa muene atilili ni kutetemeka. Ahidili ni kubina chini mbele jha muene ni kun'jobhela bhukweli bhuoha.
34 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”
Akajobha kwa muene “Mwalibhangu, imani jha jhobhi jhikubhombili ujhiaghe ghwa n'sima. Ujhendelelayi kujha ni imani na uponyisibhwayi matamu gha jhobhi ghoha”
35 Alipokuwa bado anaongea, watu wakafika kutoka nyumbani kwa Yairo. Wakamwambia, “Binti yako amekufa. Kwa nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?”
Bho ilongela, baadhi jha jha bhanu bhahidili kuh'oma kwa te ndongosi ghwa sinagogi, bhakajha bhijobha “Mwalibhu afuili. Kwandabha jhakiki ghwijhendelela ku ndombosya mwalimu?”
36 Aliposikia hayo waliyosema, Yesu akamwambia huyo kiongozi wa sinagogi, “Usiogope. Amini tu.”
Lakini Yesu bho ap'eliki kya bhilongela, akan'jobhela ndo ngosi ghwa sinagogi, “Usitili. Aminiayi tu”
37 Hakumruhusu mtu mwingine yeyote amfuate isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, nduguye Yakobo.
Anduhuswili lepi j'hejhioha jhola kulongosana naku, isipokujha Petro, Yakobo, ni Yohana, ndongu munu Yakobo.
38 Walipofika nyumbani kwa yule kiongozi wa sinagogi, Yesu akaona ghasia, watu wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa.
Bhakahida kunyumba kwa kiongozi ghwa sinagogi nu muene akabhona fuju, kulela kwingi ni kuombolesya.
39 Alipokwisha kuingia ndani, akawaambia, “Kwa nini mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hajafa, bali amelala tu.”
Bho ajhingili mugati munyumba, akabhajobhela “Kwandabha jha kiki mwisikitika na kwandabha jha kiki mwilela? Muana afuili lepi bali agonili.”
40 Wale watu wakamcheka kwa dharau. Lakini yeye akawatoa wote nje, akawachukua baba na mama wa yule mtoto, pamoja na wale wanafunzi aliokuwa nao. Wakaingia ndani mpaka pale alipokuwa yule mtoto.
Bhakan'heka, lakini muene, akabhahomesya bhoha kwibhala, akan'tola dadi ghwa muene ni mabhu ni bhala bhabhajhe pamonga nakhu, ni kujhingila mugati mwa ajhele muana.
41 Akamshika mtoto mkono, akamwambia, “Talitha koum!” (maana yake ni, “Msichana, nakuambia: amka!”)
Aukamuili kibhoko kya muana ni kun'jobhela, “Talitha koum,” ambayo ni kujobha, “Mmenja n'debe, nikujobhela, jhumukai.”
42 Mara yule msichana akasimama, akaanza kutembea (alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili). Walipoona haya, wakastaajabu sana.
Ghafla muana akajhumuka ni kugenda (kwandabha ajhele ni miaka kumi ni mibhele). Ni ghafla bhakamuliki ni mshangao mbaha.
43 Yesu akawaagiza kwa ukali wasimweleze mtu yeyote jambo hilo, naye akawaambia wampe yule msichana chakula.
Akabhaamuru kwa nghofo kujha ajhelepi jhejhioha jhailondeka kumanya kuhusu ele. Na abhajbhili bhampelayi m'meja yola kyakulya.

< Marko 5 >