< Marko 5 >

1 Wakafika upande wa pili wa ziwa wakaingia katika nchi ya Wagerasi.
and to come/go toward the/this/who other side the/this/who sea toward the/this/who country the/this/who (Gerasene *N(K)O*)
2 Yesu alipotoka kwenye mashua, mara mtu mmoja mwenye pepo mchafu akatoka makaburini akakutana naye.
and (to go out it/s/he *N(k)O*) out from the/this/who boat immediately (to go meet *N(k)O*) it/s/he out from the/this/who grave a human in/on/among spirit/breath: spirit unclean
3 Mtu huyu aliishi makaburini, wala hakuna aliyeweza kumzuia hata kwa kumfunga minyororo.
which the/this/who dwelling to have/be in/on/among the/this/who (tomb *N(k)O*) and (nor *N(k)O*) (chain *N(K)O*) (no still *NO*) none be able it/s/he to bind
4 Kwa kuwa mara kwa mara alikuwa amefungwa minyororo mikononi na miguuni, lakini akaikata hiyo minyororo na kuzivunja zile pingu miguuni mwake. Hapakuwa na mtu yeyote aliyekuwa na nguvu za kumzuia.
through/because of the/this/who it/s/he often fetter and chain to bind and to tear apart by/under: by it/s/he the/this/who chain and the/this/who fetter to break and none be strong it/s/he to tame
5 Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.
and (through/because of *N(K)O*) (all *N(k)O*) night and day in/on/among the/this/who tomb and in/on/among the/this/who mountain to be to cry and to cut themself stone
6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.
(and *no*) to perceive: see (then *k*) the/this/who Jesus away from from afar to run and to worship (it/s/he *NK(o)*)
7 Akapiga kelele kwa nguvu akisema, “Una nini nami, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Sana? Ninakusihi kwa jina la Mungu, usinitese!”
and to cry voice/sound: voice great (to say *N(k)O*) which? I/we and you Jesus son the/this/who God the/this/who Highest to adjure you the/this/who God not me to torture: torture
8 Kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”
to say for it/s/he to go out the/this/who spirit/breath: spirit the/this/who unclean out from the/this/who a human
9 Yesu akamuuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tuko wengi.”
and to question it/s/he which? name you and (to answer *k*) (to say *N(k)O*) (it/s/he *no*) (Legion *N(k)O*) name me that/since: since much to be
10 Akamsihi Yesu sana asiwapeleke nje ya nchi ile.
and to plead/comfort it/s/he much in order that/to not (it/s/he *N(k)O*) to send out/outside(r) the/this/who country
11 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe lililokuwa likilisha karibu kando ya kilima.
to be then there to/with (the/this/who *N(k)O*) (mountain *N(K)O*) herd pig great to feed
12 Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu wakisema, “Tuamuru twende kwenye wale nguruwe. Turuhusu tuwaingie.”
and to plead/comfort it/s/he (all the/this/who demon *K*) to say to send me toward the/this/who pig in order that/to toward it/s/he to enter
13 Basi Yesu akawaruhusu, nao wale pepo wachafu wakatoka, wakawaingia hao nguruwe. Lile kundi lilikuwa na nguruwe wapatao 2,000, nao wote wakateremkia gengeni kwa kasi, nao wakatumbukia ziwani na kuzama.
and to permit it/s/he (immediately *K*) (the/this/who Jesus *k*) and to go out the/this/who spirit/breath: spirit the/this/who unclean to enter toward the/this/who pig and to stampede the/this/who herd according to the/this/who cliff toward the/this/who sea (to be then *k*) as/when two thousand and to choke in/on/among the/this/who sea
14 Wale watu waliokuwa wakichunga hao nguruwe wakakimbilia mjini na vijijini kueleza yaliyotukia. Watu wakatoka kwenda kuona hayo yaliyokuwa yametukia.
(and *no*) the/this/who (then *k*) to feed (it/s/he *N(k)O*) (pig *k*) to flee and (to announce *N(k)O*) toward the/this/who city and toward the/this/who field and (to come/go *N(k)O*) to perceive: see which? to be the/this/who to be
15 Walipofika kwa Yesu, wakamwona yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu legioni akiwa ameketi hapo, amevaa nguo na mwenye akili timamu. Wakaogopa.
and to come/go to/with the/this/who Jesus and to see/experience the/this/who be demonised to sit (and *k*) to dress and be of sound mind the/this/who to have/be the/this/who (Legion *N(k)O*) and to fear
16 Wale walioyaona mambo hayo wakawaeleza watu wengine yaliyomtokea yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu, na habari za lile kundi la nguruwe pia.
and to relate fully (then *o*) it/s/he the/this/who to perceive: see how! to be the/this/who be demonised and about the/this/who pig
17 Basi watu wakaanza kumwomba Yesu aondoke katika nchi yao.
and be first to plead/comfort it/s/he to go away away from the/this/who region it/s/he
18 Yesu alipokuwa anaingia kwenye mashua, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu akamsihi Yesu waende pamoja.
and (to climb *N(k)O*) it/s/he toward the/this/who boat to plead/comfort it/s/he the/this/who be demonised in order that/to with/after it/s/he to be
19 Yesu hakumruhusu, bali alimwambia, “Nenda nyumbani kwa jamaa yako ukawaeleze mambo makuu aliyokutendea Bwana, na jinsi alivyokuhurumia.”
(and *no*) (the/this/who then Jesus *k*) no to release: permit it/s/he but to say it/s/he to go toward the/this/who house: home you to/with the/this/who you and (to announce *N(k)O*) it/s/he just as/how much the/this/who lord: God you (to do/make: do *N(k)O*) and to have mercy you
20 Yule mtu akaenda zake, akaanza kutangaza katika Dekapoli mambo makuu Yesu aliyomtendea. Nao watu wote wakastaajabu.
and to go away and be first to preach in/on/among the/this/who Decapolis just as/how much to do/make: do it/s/he the/this/who Jesus and all to marvel
21 Yesu alipokwisha kuvuka tena na kufika ngʼambo, umati mkubwa wa watu ukamzunguka yeye akiwa hapo kando ya bahari.
and to cross the/this/who Jesus in/on/among the/this/who boat again toward the/this/who other side to assemble crowd much upon/to/against it/s/he and to be from/with/beside the/this/who sea
22 Kisha mmoja wa viongozi wa sinagogi aliyeitwa Yairo akafika pale. Naye alipomwona Yesu, akapiga magoti miguuni pake,
and (look! *k*) to come/go one the/this/who synagogue leader name Jairus and to perceive: see it/s/he to collapse to/with the/this/who foot it/s/he
23 akamsihi akisema, “Binti yangu mdogo ni mgonjwa mahututi. Tafadhali nakusihi, njoo uweke mikono yako juu yake ili apate kupona, naye atakuwa hai.”
and (to plead/comfort *N(k)O*) it/s/he much to say that/since: that the/this/who little daughter me extremely to have/be in order that/to to come/go to put/lay on the/this/who hand it/s/he (in order that/to *N(k)O*) to save and (to live *N(k)O*)
24 Hivyo Yesu akaenda pamoja naye. Umati mkubwa wa watu ukamfuata, nao watu wakawa wanamsonga.
and to go away with/after it/s/he and to follow it/s/he crowd much and to push against it/s/he
25 Hapo palikuwa na mwanamke aliyekuwa amesumbuliwa na tatizo la kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili.
and woman (one *k*) to be in/on/among discharge blood twelve year
26 Mwanamke huyu alikuwa ameteseka sana kwa mikono ya matabibu wengi, na kutumia kila kitu alichokuwa nacho. Lakini badala ya kupona, hali yake ilizidi kuwa mbaya.
and much to suffer by/under: under much physician and to spend the/this/who from/with/beside (it/s/he *N(k)O*) all and nothing to help but more: rather toward the/this/who worse than to come/go
27 Alikuwa amesikia habari za Yesu, naye akaja kwa nyuma yake kwenye umati wa watu, akaligusa vazi lake,
to hear (the/this/who *o*) about the/this/who Jesus to come/go in/on/among the/this/who crowd after to touch the/this/who clothing it/s/he
28 kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikiweza kuligusa vazi lake tu, nitaponywa.”
to say for that/since: that if to touch and if the/this/who clothing it/s/he to save
29 Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.
and immediately to dry the/this/who flow the/this/who blood it/s/he and to know the/this/who body that/since: that to heal away from the/this/who whip
30 Ghafula Yesu akatambua kuwa nguvu zimemtoka. Akaugeukia ule umati wa watu na kuuliza, “Ni nani aliyegusa mavazi yangu?”
and immediately the/this/who Jesus to come to know in/on/among themself the/this/who out from it/s/he power to go out to turn in/on/among the/this/who crowd to say which? me to touch the/this/who clothing
31 Wanafunzi wake wakamjibu, “Unaona jinsi umati wa watu unavyokusonga. Wawezaje kuuliza, ‘Ni nani aliyenigusa?’”
and to say it/s/he the/this/who disciple it/s/he to see the/this/who crowd to push against you and to say which? me to touch
32 Lakini Yesu akaangalia pande zote ili aone ni nani aliyemgusa.
and to look around to perceive: see the/this/who this/he/she/it to do/make: do
33 Yule mwanamke, akijua kilichomtokea, akaja, akaanguka miguuni pake akitetemeka kwa hofu, akamweleza ukweli wote.
the/this/who then woman to fear and to tremble to know which to be (upon/to/against *k*) it/s/he to come/go and to fall/beat it/s/he and to say it/s/he all the/this/who truth
34 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”
the/this/who then to say it/s/he (daughter *N(k)O*) the/this/who faith you to save you to go toward peace and to be healthy away from the/this/who whip you
35 Alipokuwa bado anaongea, watu wakafika kutoka nyumbani kwa Yairo. Wakamwambia, “Binti yako amekufa. Kwa nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?”
still it/s/he to speak to come/go away from the/this/who synagogue leader to say that/since: that the/this/who daughter you to die which? still to trouble the/this/who teacher
36 Aliposikia hayo waliyosema, Yesu akamwambia huyo kiongozi wa sinagogi, “Usiogope. Amini tu.”
the/this/who then Jesus (immediately *K*) (to ignore *N(K)O*) the/this/who word to speak to say the/this/who synagogue leader not to fear alone to trust (in)
37 Hakumruhusu mtu mwingine yeyote amfuate isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, nduguye Yakobo.
and no to release: permit none (with/after *no*) (it/s/he *N(k)O*) to accompany if: not not (the/this/who *no*) Peter and James and John the/this/who brother James
38 Walipofika nyumbani kwa yule kiongozi wa sinagogi, Yesu akaona ghasia, watu wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa.
and (to come/go *N(K)O*) toward the/this/who house: home the/this/who synagogue leader and to see/experience commotion (and *no*) to weep and to wail much
39 Alipokwisha kuingia ndani, akawaambia, “Kwa nini mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hajafa, bali amelala tu.”
and to enter to say it/s/he which? to make commotion and to weep the/this/who child no to die but to sleep
40 Wale watu wakamcheka kwa dharau. Lakini yeye akawatoa wote nje, akawachukua baba na mama wa yule mtoto, pamoja na wale wanafunzi aliokuwa nao. Wakaingia ndani mpaka pale alipokuwa yule mtoto.
and to mock it/s/he (it/s/he *N(k)O*) then to expel (all *N(k)O*) to take the/this/who father the/this/who child and the/this/who mother and the/this/who with/after it/s/he and to enter where(-ever) to be the/this/who child (to recline *K*)
41 Akamshika mtoto mkono, akamwambia, “Talitha koum!” (maana yake ni, “Msichana, nakuambia: amka!”)
and to grasp/seize the/this/who hand the/this/who child to say it/s/he girl stand up! which to be to mean the/this/who girl you to say (to arise *N(k)O*)
42 Mara yule msichana akasimama, akaanza kutembea (alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili). Walipoona haya, wakastaajabu sana.
and immediately to arise the/this/who girl and to walk to be for year twelve and to amaze (immediately *NO*) amazement great
43 Yesu akawaagiza kwa ukali wasimweleze mtu yeyote jambo hilo, naye akawaambia wampe yule msichana chakula.
and to give orders it/s/he much in order that/to nothing to know this/he/she/it and to say to give it/s/he to eat

< Marko 5 >