< Marko 3 >

1 Yesu akaingia tena ndani ya sinagogi, na huko palikuwa na mtu aliyepooza mkono.
Eno Jehudi rangsoomnok ni Jisu ngaakwangta adi, erah ni lakkoong wasiit angta.
2 Wakawa wanamwangalia waone kama atamponya siku ya Sabato, ili wapate sababu ya kumshtaki.
Erah di mararah mina ih Jisu tumjih lasah thetreela ih bansokte eje angta, erah thoidi naangtongsa adoh mina maamok deesiit jaaoh ih ban sok rumta.
3 Yesu akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, “Njoo hapa mbele ya watu wote.”
Jisu ih erah mih asuh baatta, “Nga ngah ko ih chap raaho.”
4 Kisha Yesu akawauliza, “Je, ni lipi lililo halali siku ya Sabato: Ni kutenda mema au kutenda mabaya? Ni kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao wakanyamaza kimya.
Erah lilih Jisu ih miloong asuh chengta, “Seng Hootthe ih naangtongsa doh tumjih ettheng ih baat hali? Ese re theng tam ethih re theng ah? Mih roidong ah pang tam etheng ah tam ah tek haat etheng ah?” Miloong ah tumjih uh tajengta.
5 Yesu akawatazama pande zote kwa hasira, akahuzunika sana kwa ajili ya ugumu wa mioyo yao. Akamwambia yule mtu mwenye mkono uliopooza, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa kabisa!
Miloong ah sok ano Jisu ah ekhat eta, thako adi neng thung ah jong ajaan likhiik ih thih rum kano heh tenthet dongta. Eno lakkoong wah asuh liita, “An lak ah janghaat uh.” Heh lak ah janghaat kah no ese we ih ngaak hoonta.
6 Kisha Mafarisayo wakatoka nje, nao wakaanza kufanya shauri la kumuua Yesu wakiwa na Maherode.
Erah thoidi Pharisi loong ah Jehudi rangsomnok nawa dokkhoom rum ano Hirod mina loong damdi, neng ih Jisu tek haat suh kaankoong karumta.
7 Yesu pamoja na wanafunzi wake wakaondoka huko wakaenda baharini, nao umati mkubwa wa watu kutoka Galilaya ukamfuata.
Jisu nyia heliphante loong ah Galili juungsitum ko ih dokkhoom karumta, eno Galili nawa miloong ah hantek neng lilih ih roong karumta. Miloong ah Judia nawa,
8 Waliposikia mambo yote aliyokuwa akiyafanya, umati mkubwa wa watu ukamjia kutoka Uyahudi, Yerusalemu, Idumaya, na ngʼambo ya Yordani, pamoja na wale wa sehemu za karibu na Tiro na Sidoni.
Jerusalem nawa, Idumia hadaang nawa, Jordan juung saadongko hah nawa, erah damdi Tairi nyia Sidoon hah noongrep nawa lomkhoomta. Erah mina loongtang Jisu jiinni thokrum taha tumeah neng ih Jisu reeta ruurang ah japchaat et rumta.
9 Kwa sababu ya umati mkubwa wa watu, aliwaambia wanafunzi wake waweke tayari mashua ndogo kwa ajili yake, ili kuwazuia watu kumsonga.
Miloong ah hantek ang thoidi Jisu ih heliphante loong asuh khoonkhuung heh duungchap suh jamthiin thuk rumta, miloong rah ih phojap nak rumhang eah.
10 Kwa kuwa alikuwa amewaponya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa wanasukumana ili wapate kumgusa.
Heh ih mih hantek deesiitta, erah damdi uh khoisatte ephoop ih Jisu jap taajoh suh rapne ih tuutmui rumta.
11 Kila mara pepo wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kupiga kelele wakisema, “Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.”
Chiithih laakhah pan miloong ah Jisu ah japtup rum leh loongdat emeleh riinghuung ih rumta, “An juuba Rangte sah ah!”
12 Lakini aliwaonya wasimseme yeye ni nani.
Jisu ih chiithih laakhah loong asuh heh tiit ah o suh uh latumbaat theng ih dangdang et baat rumta.
13 Yesu akapanda mlimani na kuwaita wale aliowataka, nao wakamjia.
Eno Jisu kong ni duung wang ano heh ih jamta mina loong heh damdoh wak wangsuh poon rumta eno neng loong ah heh reeni ra rum taha, erah lih adi
14 Akawachagua kumi na wawili, ambao aliwaita mitume, ili wapate kuwa pamoja naye, na awatume kwenda kuhubiri
asih wanyi ah danje ano Kaamwah et men rumta. “Ngah ih sen loong ah nga damdoh ang raang ih danje rumhala,” neng suh baat rumta. “Ngah ih sen loong ah Rangte tiitkhaap tumbaat raangtaan ih nep kaatthuk rumha,
15 na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo wachafu.
eno sen suh chiithih laakhah loong dok phanjih chaan uh eje ang ah.”
16 Hawa ndio wale kumi na wawili aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro);
Jisu ih danjeeta asih wanyi loong ah arah: Simoon (Jisu ih Pitar et menta),
17 Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye (ambao aliwaita Boanerge, maana yake Wana wa Ngurumo);
Jebedi sah soophoh nyi, Jeems nyia Joon, (Jisu ih Boonergis et menta, erah langla “Rangphah mih”);
18 Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
Endriu, Philip, Batholomi, Mathiu, Thomas, Alphias sah Jeems, Thadias, Simoon deek akaan raangtaan ih laatte wah
19 na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.
nyia Judas Iskerot, Jisu khumtante wah ah.
20 Kisha Yesu aliporudi nyumbani, umati wa watu ukakusanyika tena, kiasi kwamba yeye na wanafunzi wake hawakuweza kula chakula.
Eno Jisu ah nok ni wangta. Erah di uh mina loong hantek ih lom thutthi rumta, Jisu nyia heliphante loong chamsat saapoot uh lachoh thang ah.
21 Ndugu zake walipopata habari wakaja ili kumchukua kwa maana watu walikuwa wakisema, “Amerukwa na akili.”
Jisu suh, “Emok ih hoonla” ih li rum kano, heh jaatang ah heh toonsiit ra rum taha.
22 Walimu wa sheria walioteremka kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli! Anatoa pepo wachafu kwa kutumia mkuu wa pepo wachafu!”
Mararah Jerusalem nawa Hootthe nyootte loong ra taha loong ah ih li rumta, “Arah mih abah Benjibul pan boh ah! Chiithih laakhah loong jen dokphan theng chaan kotte luungwang ah boh ah.”
23 Basi Yesu akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?
Erah thoidi Jisu ih heh reeni poon rum ano tiitthaak di toobaat rumta. “Soitaan ih Soitaan ah mamah mi et phanhaat ah?”
24 Kama ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.
Deek esiit ah neng laktung nah phe ano rookmui abah, erah deek ah phaangjaang eah.
25 Nayo nyumba kama ikigawanyika dhidi yake yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.
Changka siit laktung nah rookmui jengmui abah, erah changka ah phaangjaang eah.
26 Naye Shetani kama akijipinga mwenyewe na awe amegawanyika, hawezi kusimama bali mwisho wake umewadia.
Erah thoidoh Soitaan hasong adoh neng laktung nah pheehoom mui abah, erah roitang tatongka, erah nang ih bah phaangjaang rum ano ethoon ba eah.
27 Hakuna mtu yeyote awezaye kuingia kwenye nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuteka nyara mali zake asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu. Ndipo ataweza kuteka nyara mali zake.
“Tathat mina nok ah long suh heh teewah ah lachaak tangkhakka bah heh hukkhaak ah tajen longka.
28 Amin, nawaambia, dhambi zote na makufuru yote ya wanadamu watasamehewa.
“Ngah ih ami tiit baat rumhala, mina rangdah loong nyia neng ethih jengkhaap jengla loong ah biin anaan jenhoon mok et ah.
29 Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Enoothong o ih Esa Chiiala asuh ethih jengkhaap jeng abah, babah uh biin anaan tachoka, tumeah heh ih mabah uh lathoonjih rangdah ah mola.” ( (aiōn g165, aiōnios g166)
30 Yesu alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”
Jisu ih arah baatta ah langla, mararah mih ih amet li rumta, “Heh sak ni chiithih laakhah pan eah.”)
31 Kisha wakaja ndugu zake Yesu pamoja na mama yake. Wakasimama nje, wakamtuma mtu kumwita.
Eno Jisu nuh nyia heh no loong ah thok rumta. Nokka ni chap rum ano, Jisu ah poonwang thuk rumta
32 Umati wa watu ulikuwa umeketi kumzunguka, nao wakamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanakutafuta.”
Jisu ah miloong hantek ih kooktong rum adi baat rumta, “Sok uh, an nuh nyi an no loong ih nokka ni chap rum ano, an jam rum halu.”
33 Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”
Jisu ih ngaakbaatta, “Seng nuh o ah? Nga no loong o ah?”
34 Kisha akawatazama wale watu waliokuwa wameketi kumzunguka pande zote, akasema, “Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
Heh reeni kooktongta miloong ah sok ano liita, “Sok an! Ngah di bah arah loong ah seng nuh nyia ngaaphoh ngaano loong ah!
35 Mtu yeyote anayetenda mapenzi ya Mungu, huyo ndiye ndugu yangu, na dada yangu na mama yangu.”
O ih Rangte jeng chaat ha erah loong abah seng nuh, seng nah nyia ngaapho ngaano ang ah.”

< Marko 3 >