< Marko 2 >

1 Baada ya siku kadhaa Yesu alirudi Kapernaumu, watu wakasikia kwamba amerudi nyumbani.
Khaw mhmüp asäng ngsawk se Jesuh Kapenawma cit be lü ima awmki tia mawng cun ngthang hüki.
2 Hivyo watu wengi wakakusanyika kiasi kwamba hapakubaki nafasi yoyote hata mlangoni! Naye akawahubiria Neno.
Ami luhnak vai khuiim am nghäng lü, mkawt peia pi thetkia, khyang khawjah ngcun lawki he. Acunüng Jesuh naw ngthu pyenki.
3 Ndipo baadhi ya watu wakaja wakamletea Yesu mtu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne.
Acunüng, akxo cun khyang kphyü naw kawt u lü, Jesuha veia ami lawpüi.
4 Kwa kuwa walikuwa hawawezi kumfikisha kwa Yesu kwa ajili ya umati wa watu, walitoboa tundu kwenye paa mahali pale alipokuwa Yesu, wakamshusha yule aliyepooza kwa kitanda alichokuwa amelalia.
Khuiima khyang be se, Jesuha veia am ami cehpüi thei. Acunakyase Jesuha ngdanga mkyung ami kpäk. Acunüng mkyung kpäk lawpäng u lü akxo cun a ihnak phak mah maha ami ju khyak.
5 Yesu alipoiona imani yao, alimwambia yule mtu aliyepooza, “Mwanangu, dhambi zako zimesamehewa.”
Jesuh naw ihlawka ami jumeinak dämki ti hmu lü, akxo üng, “Ka capa aw, na katnak he cun jah mhlät pänga kya ve,” a ti.
6 Basi baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa wameketi huko wakawaza mioyoni mwao,
Acunüng thum jah mtheiki avang ngawki he naw ami mlungmthin k’uma ngai kyu u lü,
7 “Kwa nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
“I vaia hina khyang naw Mhnam ksekhanaka ngthu a pyen ni? Mhnama thea ta u naw katnak he jah mhlät thei khai ni?” ami ti.
8 Mara moja Yesu akatambua rohoni mwake kile walichokuwa wanawaza mioyoni mwao, naye akawaambia, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
Jesuh naw acunkba ami ngaihkyu cun angxita ksing lü, “I vai acunkba nami ngaikyuki ni?
9 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia huyu aliyepooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uchukue mkeka wako, uende’?
“Ini akxoa veia pyen a jäi bawk kawm? Na katnak he jah mhlät pänga kya ve ti la; tho law lü na ihphak lo lü cita ti aw a jäi bawk?
10 Lakini ili mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Yesu akamwambia yule aliyepooza,
Khyanga Capa naw khawmdek khana katnak he jah mhlät theinaka ana taki ti nami ksingnak vaia ka mdang khai,” ti lü, akxo üng,
11 “Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
“Ka ning mthehki, tho law, na ihphak lo lü, na ima cit bea,” a ti.
12 Yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama, akachukua mkeka wake, akatembea machoni pao wote! Jambo hili likawashangaza wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, “Hatujapata kuona jambo kama hili kamwe!”
Avan naw ami teng k’um üng tho law lü, a ihphak lo lü, cit se aktäa cäi u lü, Mhnam mhlünmtai u lü, “Hina mäih am mi hmu khawi naw!” tia ng’yüngki he.
13 Yesu akaenda tena kandokando ya Bahari ya Galilaya. Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akaanza kuwafundisha.
Jesuh Kalile tuili kama cit beki. A veia khyang he law u se, Jesuh naw a jah mthei.
14 Alipokuwa akitembea, akamwona Lawi mwana wa Alfayo ameketi forodhani mahali pa kutoza ushuru, akamwambia, “Nifuate.” Lawi akaondoka, akamfuata Yesu.
A ceh lama, Levih naki Alphaha capa ngcawnklawk junga ngaw se hmu lü, “Na läk lawa,” ti se, Levih naw ngdüi law lü a läk.
15 Yesu alipokuwa akila chakula nyumbani mwa Lawi, watoza ushuru wengi pamoja na “wenye dhambi” walikuwa wakila pamoja naye na wanafunzi wake, kwa maana kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakimfuata.
Acun käna Jesuh cun Leviha ima ei eiki. Ngcawnklawk he la akxawi he am Jesuh la axüisaw he ei ei khaia atänga ngaw hmaihki he. Isetiakyaüng, acuia awmki he cun khawjah law u lü, ami van naw Jesuh ami läka phäha kyaki.
16 Baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa Mafarisayo walipomwona akila pamoja na watoza ushuru na “wenye dhambi,” wakawauliza wanafunzi wake: “Mbona Yesu anakula pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
Acukba Jesuh ngcawnklawk he la khyangka he am ei aw hmaih u se Mosia Thum jah mtheikia pharise he naw ami hmu üng, axüisaw he üng, “Ise hin naw ngcawnklawk he la khyangka hea veia ei aw hngaki ni? ti u se,
17 Yesu aliposikia haya akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa. Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
Acunüng Jesuh naw ngja lü, “Khyang kphetyai he naw Seibawi am hlü u, am phetyaikie naw ni Seibawi ami hlü, kei hin khyang ngsungpyune jah khü khaia am law lü khyangka he ngjutnaka jah khü khaia ni ka law,” a ti.
18 Basi wanafunzi wa Yohana pamoja na Mafarisayo walikuwa wakifunga. Baadhi ya watu wakamjia Yesu na kumuuliza, “Mbona wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo hufunga lakini wanafunzi wako hawafungi?”
Johana axüisaw he la pharise he naw ei jeihki he. Mhmüp mat üng khyang avang Jesuha veia law u lü, “Johana axüisaw he la pharise he naw ami ei jeihki he, ise nanga xüisaw he naw ami ei am jeihki he ni?” tia ami kthäh.
19 Yesu akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kufunga wakati angali pamoja nao? Wakati bwana arusi bado yuko pamoja nao, hawawezi kufunga.
Acunüng Jesuh naw, “Khin he cun cambumkia cangpyang ami veia a awma küt üng ami ei ka cit be khai he aw? Cangpyang ami junga a awma küt üng ami ei am jeih u.
20 Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Siku hiyo ndipo watakapofunga.
“Cunsepi cangpyang ami vei üngka naw, ami lakin lawnaka kcün pha law khai. Acunüng acuna mhmüp he üng ami ei jeih law khai he.
21 “Hakuna mtu ashoneaye kiraka cha nguo mpya kwenye nguo iliyochakaa. Akifanya hivyo, kile kiraka kipya kitachanika kutoka ile nguo iliyochakaa, nayo itachanika zaidi.
“U naw suisak akthai kpyawn akphyüm am am kbun khawi naw, ami kbun üng akthai naw eitek se, acun käna ateknak ksehlen law khai.
22 Wala hakuna mtu awekaye divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, ile divai mpya itavipasua hivyo viriba, nayo hiyo divai itamwagika na viriba vitaharibika. Lakini divai mpya huwekwa kwenye viriba vipya.”
“U naw capyittui asü capyit um akphyüm üng am than khawi naw, acunkba ami than üng capyittui asü naw capyit um eipäk se, capyittui ngsawi lü capyit um pi se khai. Acunakyase capyittui asü cun capyit um akthai üng than khawiki he,” ti lü a pyen.
23 Siku moja ya Sabato, Yesu pamoja na wanafunzi wake walikuwa wakipita katikati ya mashamba ya nafaka. Walipokuwa wakitembea, wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke.
Jesuh axüisaw he am loma lama Sabbath mhmüp üng ami ceh üng, axüisaw he naw cangvui he ami jah kpyat.
24 Mafarisayo wakamwambia, “Tazama, mbona wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato?”
Acun Pharise he naw hmu u lü Jesuh üng, “Tenga, Sabbath mhmüp üng na xüisaw he naw hinkba ami pawh hin mi thum üng am nglawiki ni!” tia ami pyen.
25 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma kamwe alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa, wakahitaji chakula?
Jesuh naw jah msang lü, “Davit naw acuna mhmüp üng a khyang he am ami ei ngai law u lü ami pawh am nami kheh khawiki aw?
26 Daudi aliingia katika nyumba ya Mungu, wakati Abiathari alikuwa kuhani mkuu, akaila ile mikate iliyowekwa wakfu, ambayo ni halali kuliwa na makuhani peke yao. Naye pia akawapa wenzake.”
Acuna Pamhnama im üng lut lü Pamhnam üng peta muk eiki. Ktaiyü ktung Abithaa kcün pät üng kyaki. Mi thum üng ktaiyü ktung he däng naw ami ei theia muk Davit naw ei lü a khyang he üng pi a jah pet cen,” ami ti.
27 Kisha Yesu akawaambia, “Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, lakini si mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
Jesuh naw, “Sabbath cun khyanga dawnak vaia pyana kyaki; khyang cun Sabbatha phäha pyana am kya.
28 Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Acunakyase Khyanga Capa cun Sabbatha Bawia pi kyaki ni,” a ti.

< Marko 2 >