< Marko 2 >

1 Baada ya siku kadhaa Yesu alirudi Kapernaumu, watu wakasikia kwamba amerudi nyumbani.
Múk' aawwotsiyere il Iyesus K'frnahom maants aanat b́weyi, manoke mootse b́beyirwok'o shisheb́wtsi.
2 Hivyo watu wengi wakakusanyika kiasi kwamba hapakubaki nafasi yoyote hata mlangoni! Naye akawahubiria Neno.
Moonwere bodo b́k'aye maa úronwere b́t'ebefetsosh ay asho kakwe b́wtsi. B́ doo shishiyi keewonowere boosh b́danifoni.
3 Ndipo baadhi ya watu wakaja wakamletea Yesu mtu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne.
Manoor awd ashuwots ash dur iko kurdek't bíyok boweyi.
4 Kwa kuwa walikuwa hawawezi kumfikisha kwa Yesu kwa ajili ya umati wa watu, walitoboa tundu kwenye paa mahali pale alipokuwa Yesu, wakamshusha yule aliyepooza kwa kitanda alichokuwa amelalia.
Ash aytsatse tuutson duro Iyesusok de'et'ino maawt Iyesus kááwon maa tooko wogdek't duro bí ees'onton orshbok'ri.
5 Yesu alipoiona imani yao, alimwambia yule mtu aliyepooza, “Mwanangu, dhambi zako zimesamehewa.”
Iyesuswere bo aman amano bek't durosh «T naayo n morro neesh orowa eteere» bí et.
6 Basi baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa wameketi huko wakawaza mioyoni mwao,
Manoke bedek't teshts Muse nemo danifwotsitse ik ikewots bonibotse hank'o bo et.
7 “Kwa nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
«Ash han eegoshe hank'o c'asho Ik'ats b́ keewiri? Ik' ikoniye okoon morro orowe eto falitwo kone?»
8 Mara moja Yesu akatambua rohoni mwake kile walichokuwa wanawaza mioyoni mwao, naye akawaambia, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
Muk'i b́teyawo Iyesus bonibotse bogawirwo hank'on dandek't boosh hank'o bí et, «Eegishe it nibotse man it gawiri?
9 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia huyu aliyepooza, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uchukue mkeka wako, uende’?
Durosh ‹N morro neesh orowe eteere› etonat ‹Tuur ni es'o kur de'er amee!› etotse aaw ketefa?
10 Lakini ili mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Yesu akamwambia yule aliyepooza,
Ernmó Ash na'o datsatsi morro orowe etosh alo b́detstsok'o it danetwok'owa!» ett durosh,
11 “Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
«Tuwi, ni es'o kuurder ngalomand amee etirwe neesha» bí et.
12 Yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama, akachukua mkeka wake, akatembea machoni pao wote! Jambo hili likawashangaza wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, “Hatujapata kuona jambo kama hili kamwe!”
Duronú manoor tuut bí es'o kurdek't ash jami shinatse b́ keshi. Mansh ash jamo adt «Hank'o b́jamon be'e danaknona» ett Ik'o bo údi.
13 Yesu akaenda tena kandokando ya Bahari ya Galilaya. Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akaanza kuwafundisha.
Iyesuswere aani Galil aats k'aro ganok bíami, ash jamonúwere kakweyat b́maand boware boon b́danyi.
14 Alipokuwa akitembea, akamwona Lawi mwana wa Alfayo ameketi forodhani mahali pa kutoza ushuru, akamwambia, “Nifuate.” Lawi akaondoka, akamfuata Yesu.
Man weeron b́beshefere t'ilish dek'eefoke beyirwo Ilfyos naay Lewi bek't, «T jafrats wowe» bí et. Bíwere tuut b́jafrats bí'ami.
15 Yesu alipokuwa akila chakula nyumbani mwa Lawi, watoza ushuru wengi pamoja na “wenye dhambi” walikuwa wakila pamoja naye na wanafunzi wake, kwa maana kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakimfuata.
Maniye il Iyesus Lewi mootse mishi maratse bedek'tni b́tesh. Ay asho b́ shuutso shoy dek' b́sha'iirwotse bínton t'ilish ko'iru aywotsnat morretswots, Iyesusnat b́ danifwotsnton mishi marats t'indek'tni botesh.
16 Baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa Mafarisayo walipomwona akila pamoja na watoza ushuru na “wenye dhambi,” wakawauliza wanafunzi wake: “Mbona Yesu anakula pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
Ferisawino eteef jirwotsits wottswots Muse nemo danifwots, Iyesus t'ilish ko'ifwotsnat morretswotsnton b́maafere bek't «T'ilish ko'ifwotsntonat morretswotsnton eegoshe maat b́ úshiri?» ett b́ danifwotsi bo aati.
17 Yesu aliposikia haya akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa. Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
Iyesuswere man shisht, «Shodtswotssha bako jeen wotssh atetso geyirakee, taawere tweyiye kááw finirwotssh b́woterawo morretswots bo naandosh oorowe eto bodaatsitwok'o s'eegoshe» bí et.
18 Basi wanafunzi wa Yohana pamoja na Mafarisayo walikuwa wakifunga. Baadhi ya watu wakamjia Yesu na kumuuliza, “Mbona wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo hufunga lakini wanafunzi wako hawafungi?”
Yohans danifwotsnat ferisawino eteefwots s'ooma bos'oomefo. Ik ik ashuwots Iyesus maants waat «Yohansnat ferisawino eteyrwots danifwotswo s'oomere bo s'oomefoni n danifwots s'oomo bok'az eegoshe?» bo et.
19 Yesu akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kufunga wakati angali pamoja nao? Wakati bwana arusi bado yuko pamoja nao, hawawezi kufunga.
Iyesuswere «Guuyo bonton b́befere guuy deentswots s'oomo boosh geyituwaa? Mank'oyaliye! guuyo bonton b́befere s'oomo boon geyiratse.
20 Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Siku hiyo ndipo watakapofunga.
Ernmó guuyo booke b́ dek'et aawo weetwe. Manoor s'oomitúne.
21 “Hakuna mtu ashoneaye kiraka cha nguo mpya kwenye nguo iliyochakaa. Akifanya hivyo, kile kiraka kipya kitachanika kutoka ile nguo iliyochakaa, nayo itachanika zaidi.
Tah nataats but'i handro shipfo aaliye, mank'o k'aleyalmó handr bút'onúwre taahdoro geets de'e gad'ni b́k'riti, b́gad'manwere baltsoniyere ikini b́gonditiye.
22 Wala hakuna mtu awekaye divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, ile divai mpya itavipasua hivyo viriba, nayo hiyo divai itamwagika na viriba vitaharibika. Lakini divai mpya huwekwa kwenye viriba vipya.”
Mank'o weyiniyon dutsets biro bíts gas'ef arwi natoots handr weyniy biro gas'fo aaliye, mank'o k'aleyalmó weyiniyon dutsets birmań arwi natman t'up'ini b́k'riti. Woyniyon dutsets birmanwere kud'ni b́wtsiti. Arumanwere k'awntsalke b́wotiti. Mansha handr woyniyon dutsets birosh handir arwe b́geyiti» bí'et.
23 Siku moja ya Sabato, Yesu pamoja na wanafunzi wake walikuwa wakipita katikati ya mashamba ya nafaka. Walipokuwa wakitembea, wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke.
Sanbati aawots Iyesus sndeyi tari taalon b́beshefera b́tesh. B́ danifwots amfets sendeyi motso k'ut'dek'o botwi.
24 Mafarisayo wakamwambia, “Tazama, mbona wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato?”
Ferisawino eteyirwotswere «Hambe, n danifwots sanbati aawots fink'ayere eteesto eegishe bok'aliri?» ett bo'aati.
25 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma kamwe alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa, wakahitaji chakula?
Iyesuswere hank'o ett boosh bí'aani, «Dawit bínton sha'irwotsnton k'ak'at b́kic'or egb́k'altsok'oo nababeratsteya?
26 Daudi aliingia katika nyumba ya Mungu, wakati Abiathari alikuwa kuhani mkuu, akaila ile mikate iliyowekwa wakfu, ambayo ni halali kuliwa na makuhani peke yao. Naye pia akawapa wenzake.”
Abyatar kaheniyots naash b́tesho dúr, bí Ik'i moots kindt, kahniwotsi bako konwor b́marawok'o baziyetso, Ik'osh imets misho b́meyi bínton teshts ashuwotssh b́ími.»
27 Kisha Yesu akawaambia, “Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, lakini si mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
Aaninwere Iyesus boosh hank'o bí et, «Sanbati aawu ashosha bi azeyi bako asho sanbati aawosh azeratse.
28 Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Mank'owa Ash na'o sanbati aawush bdonziye.»

< Marko 2 >