< Marko 16 >
1 Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene, Maria mama yake Yakobo, na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
Sabbathni avun suole chu Mary Magdalene, Jacob nû Mary, le Salome ngei han Jisua ruok sariek va pol rangin mirimhoi an rochôka.
2 Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini.
Pathienni jînga nisa suok chakin thâna an va sea.
3 Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”
Lampuia han, “Thân kotbâia lung hah tumo mi muluoi pai pe rang hi?” tiin annin kereng inlôma.
4 Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi.
Maha lung lienpa ani sikin. Hanchu an hong ena, lung hah lei muluoi saiin an mua.
5 Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.
Masikin thân sûnga han an lûta, ruotharte inkhat puonchek insilin chang tienga insungin an mua, male an inlâiraka.
6 Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu. Mnamtafuta Yesu, Mnazareti, aliyesulubiwa. Amefufuka! Hayuko hapa. Tazameni mahali walipomlaza.
Ama'n an kôm, “Inlâirak no roi,” Nazareth Jisua an jêmdelpu hah nin rok ani ti ki riet. Ama hah mahin om khâi maka, ânthoinôk zoi! En ta u, an min jâlna hi.
7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’”
Atûn, se ungla, hi thurchi hih a ruoisingei le Peter kôm han: “Galilee rama nin motona se a ta; ‘nangni a lei ril sai anghan mason mu nin tih’ tiin va ril ngei roi” a tipe ngeia.
8 Hivyo wakatoka, wakakimbia kutoka mle kaburini wakiwa na hofu kuu na mshangao. Nao hawakumwambia mtu yeyote neno lolote, kwa sababu waliogopa.
Masikin an jôk paia, beidong le rathatâk pumin thân renga an tânna. An chi rai sikin, tute kôm ite ti mak ngei. [
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya kwanza ya juma alimtokea kwanza Maria Magdalene, yule ambaye alikuwa amemtoa pepo wachafu saba.
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Masuole chu Pathienni jînga thina renga ânthoinôka Mary Magdalene, a sûng renga ramkhoringei sari a rujûlpai pe nu kôm han amotontaka Jisua ânlâra.
10 Maria akaenda, naye akawaambia wale waliokuwa wamefuatana na Yesu, waliokuwa wanaomboleza na kulia.
Amanu hah a sea, a champuingei ava ril ngeia. Anni ngei hah ngâisie le chapin an lei oma;
11 Lakini waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.
male amanu han Jisua chu aring nôk zoia, male mu khom ku mu khet, a tipe ngei lâihan anni ngei han amanu hah iem mak ngei.
12 Baadaye Yesu akawatokea wawili miongoni mwa wanafunzi wake walipokuwa wakienda shambani akiwa katika sura nyingine.
Masuole han an lâia mi inik ram tieng panin an sea, lampuia mêl dang uolin an kôm ânlâra.
13 Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.
Anni hah an hongkîra, ruoisi dangngei an hong rila, aniatachu maha khom anni ngei han iem uol mak ngei.
14 Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa wakila chakula. Akawakemea kwa kutoamini kwao na kwa ugumu wa mioyo yao kwa kutosadiki wale waliomwona baada yake kufufuka.
Anûktaka chu, Jisua'n ruoisi sômleikhat ngei bu an nêk lâitakin an kôm ânlâr nôka. Ânthoinôk suole amu ngei chong taksôn loiin an mulung angar sabak sika le iemna reng an dôn loi sikin a ngo ngeia.
15 Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Ama'n an kôm, “Rammuol pumpuia se ungla, mi murdi kôm Thurchisa hih va misîr roi a tipe ngeia.
16 Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini yeyote asiyeamini atahukumiwa.
Tukhom ama iema Baptisma chang ngei chu sanminjôkin om an ta; tukhom a iem loi ngei chu theiloi intumin om an tih.
17 Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya;
Iempungei chu sininkhêlngei sintheina ranak pêk nîng an ta: ki rimingin ramkhoringei rujûlpai an ta; chong tharin chong an tih;
18 watashika nyoka kwa mikono yao; na hata wakinywa kitu chochote cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
an kutngei leh murûlngei an sûr khomin, aninônchu tûr an nêk khomin itên minna ngei thei no nia; mi damloi ngei chunga an kutngei minngam an ta, male dam kelen an tih” a tia.
19 Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu.
Pumapa Jisua'n a chongpui ngei suole chu, invâna khin lâkpaiin aoma, Pathien chang tieng a hong insung zoia.
20 Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]
Ruoisingei hah an sea male muntina thurchi an va misîr zoia, male Pumapa khomin anni ngei lehan sin a thopui ngeia, an thurchi misîr hah adik ti rietnân sininkhêlngeiin a mindet tir zoi.]
[Nuvengtengei hah Peter le a malngei kôm an sea, male rila an om murdi hah abongkikin an misîr pe ngeia.
Masuole han, Jisua nanâkin a ruoisingei ha kumtuong Sanminringna aringtit chongbe inthieng hah nisuo renga nitâk dênin misîr rangin a tîr ngei zoi.]