< Marko 16 >

1 Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene, Maria mama yake Yakobo, na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
Sabbath a bäih üng, Marih Makdalin, Jakuka nu Marih la Salome naw Jesuh ami hluknak vaia ngsi’ui khyei u lü,
2 Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini.
ngpum mhmüp ngawi, khawnghngia luh law üng ng’uhnüna citki he.
3 Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”
Ami ceh k’um üng amimät he, “U naw ng’uhnün mkawt üngka lungnu a jah ktän pet vai aw?” tia ngthähki he. (Acuna lungnu cun aktäa ngbaüki.)
4 Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi.
Acunüng ami jeng mang üng acuna lungnu cun a na ngtängin päng se ami hmuh.
5 Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.
Ng’uhnün ami va luh üng suisak abawk suisakia cawngpyang mat kpat lam da ngaw se ami hmuh üng cäiki he.
6 Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu. Mnamtafuta Yesu, Mnazareti, aliyesulubiwa. Amefufuka! Hayuko hapa. Tazameni mahali walipomlaza.
Acunüng ani naw, “Ä cäi ua, kutlamktung üng ami taiha Nazaret Jesuh nami sui hüki ti ka ksingki, ani cun tho be pängki ni, hia am ve, ami msännak pi teng ua.
7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’”
Atuh cit u lü axüisaw he la Pita üng, ‘nami maa Kalile khawa ana cit hlü ve,’ tia jah va mtheh ua, amäta pyena kba acuia nami hmu khai ni,” a ti.
8 Hivyo wakatoka, wakakimbia kutoka mle kaburini wakiwa na hofu kuu na mshangao. Nao hawakumwambia mtu yeyote neno lolote, kwa sababu waliogopa.
Acunüng aktäa kyüh u lü ng’uhnün üngka naw dawngkie. Kyüh ngen u lü u üng ipi am mtheh u. [
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya kwanza ya juma alimtokea kwanza Maria Magdalene, yule ambaye alikuwa amemtoa pepo wachafu saba.
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Ngpum mhmüp ngawi lam üng Jesuh tho law be lü, akcüka khawyai khyüh a puk k’um üngka a ksät peta Marih Makdalina veia ngdangki.
10 Maria akaenda, naye akawaambia wale waliokuwa wamefuatana na Yesu, waliokuwa wanaomboleza na kulia.
Ani naw cit lü Jesuha awmpüi khawie üng a jah va mtheh. A na mbawikyapki he,
11 Lakini waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.
ani naw Jesuh xüngki a hmuh pyen se ami ngjak üng, am kcang na u.
12 Baadaye Yesu akawatokea wawili miongoni mwa wanafunzi wake walipokuwa wakienda shambani akiwa katika sura nyingine.
Acun käna nghngih xawi mlüha ani ceh k’um üng, Jesuh ani veia khyang kcea kba va ngdangki.
13 Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.
Acun xawi naw law be ni lü akce he üng jah mtheh law ni se, acun he naw pi am jah kcang na u.
14 Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa wakila chakula. Akawakemea kwa kutoamini kwao na kwa ugumu wa mioyo yao kwa kutosadiki wale waliomwona baada yake kufufuka.
Anghnua Jesuh axüisaw xaleiat he ami ei ana ei k’um u se ami veia ngdangki. Jesuh a thawh be käna hmukia khyang he am ami jah kcangnak la ami mlunga nghlanga phäha a jah ksenak.
15 Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Jesuh naw, “Khawmdek avan üng cit u lü thangkdaw khyang avana veia sang hü ua.
16 Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini yeyote asiyeamini atahukumiwa.
Upi jum lü baptican khanki cun küikyana kya khai; upi am jumki avan cun mkatnak yah khai.
17 Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya;
Jumeiki he üng müncankse he ami pawhnak thei vaia johit jah peta kya khai. Ka ngming am khawyai he jah ksät khai he; ngthu kthai he am ngthuhei law khai he;
18 watashika nyoka kwa mikono yao; na hata wakinywa kitu chochote cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
Kphyu ami kut am kpang u lü thihnak vaia tui ami awk üng pi ia am kya u; am phetki hea khana ami kut mtaih u se yai be khai he,” a ti.
19 Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu.
Bawipa Jesuh ami veia ngthuhei päng lü khankhawa kai be lü Pamhnama kpat lama ngawki.
20 Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]
Axüisaw he pung naküt üng cit hü u lü ngthu sang hüki he. Bawipa naw jah khüipüi lü, ami ngthu sang hü cun cangki tia müncankse he jah pawhnak am ngdangsaki.] [{9} Nghnumi he naw Pita la a püi hea veia cit u lü ami ngjak avan aktawia ami jah va mtheh. {10} Acun käna Jesuh amät naw axüisaw he am nghngilaw lam üngka naw khawkyak lam düta ngcimcaihki la, anglät küikyanaka kyakia, anglät xünnaka ngthu cun a jah sang hüsak.]

< Marko 16 >