< Marko 16 >
1 Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene, Maria mama yake Yakobo, na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.
Sa: bade eso aligili, amogalu, Meli Ma: gadala, Ya: mese ea ame Meli amola Saloumi, ilia da manoma Yesu Ea da: i hodo legemusa: bidi lai.
2 Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini.
Ilia da Sada: i hahabedafa Yesu Ea gele gelaboga doaga: musa: asi.
3 Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”
Asili, ilia da amane sia: dasu, “Nowa da nini fidili, logo ga: su bebesole doasima: bela: ?” (Bai gele da bagadedafa ba: i.)
4 Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi.
Be ilia ba: le gadole, logo ga: su bagade da bebesole fasili, logo da doasi dagoi ba: i.
5 Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.
Amalalu, ilia da gele gelabo ganodini golili sa: i. Ilia da beda: ga fofogadigi galu, ayeligi dunu ahea: ya: i abula amoga idiniginisi, gele gelabo lobodafa la: ididili esalebe ba: i.
6 Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu. Mnamtafuta Yesu, Mnazareti, aliyesulubiwa. Amefufuka! Hayuko hapa. Tazameni mahali walipomlaza.
E da ilima amane sia: i, “Mae beda: ma! Na dawa: dilia da Na: salede dunu Yesu bulufalegeiga medoi, amo hogosa. E da guiguda: hame. E da uhini wa: legadoi. Ba: ma! Sogebi amoga ilia da E ligisi da goea!
7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’”
Be wali dilia Ea ado ba: su dunu amola Bida ilima amo hou olelela masa! ‘Yesu da Ga: lili sogega dilima bisili masunu. Amo sogega dilia da Ea musa: sia: i defele, Yesu ba: mu.’ Amo sia: olelela masa!”
8 Hivyo wakatoka, wakakimbia kutoka mle kaburini wakiwa na hofu kuu na mshangao. Nao hawakumwambia mtu yeyote neno lolote, kwa sababu waliogopa.
Amalalu, uda ilia beda: ga fofogadigili yaguguiba: le, gele gelabo yolesili, hobea: i dagoi. Ilia da beda: iba: le, eno dunuma hame sia: i. (Maga 16:9-20 da musa: dafa meloa dedei amo ganodini hame dedene legei. Amabela: ? Eno dunu da fa: no amo meloa dedebela: ?)
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya kwanza ya juma alimtokea kwanza Maria Magdalene, yule ambaye alikuwa amemtoa pepo wachafu saba.
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Yesu da Sada: i hahabedafa uhini wa: legadoloba, Meli Ma: gadala da Ea da: i hidadea ba: i. Musa: , Yesu da Fio a: silibu fesuale gala, Meli ea dogo ganodini aligila sa: i, amo fadegale fasi dagoi.
10 Maria akaenda, naye akawaambia wale waliokuwa wamefuatana na Yesu, waliokuwa wanaomboleza na kulia.
Meli da asili, Yesu Ea sigi ahoasu dunu disa esalu, ilima Yesu da wa: legadoi dagoi, amo olelei.
11 Lakini waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.
Be Meli da Yesu da esalebe amola e da Ea da: i ba: i dagoi, amo oleleiba: le, ilia da ea sia: dafawaneyale hame dawa: i.
12 Baadaye Yesu akawatokea wawili miongoni mwa wanafunzi wake walipokuwa wakienda shambani akiwa katika sura nyingine.
Fa: no, Yesu da da: i hisuwane hamone, misini, Ea ado ba: su dunu aduna soge enoga lalebe, elama misi dagoi.
13 Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.
Ela da bu sinidigili, eno ado ba: su dunuma adole i. Be ilia da amo sia: dafawaneyale hame dawa: i.
14 Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa wakila chakula. Akawakemea kwa kutoamini kwao na kwa ugumu wa mioyo yao kwa kutosadiki wale waliomwona baada yake kufufuka.
Fa: nodafa, Yesu da Ea ado ba: su dunu gidayale gala ilima misi. Ilia da ha: i nanebe ba: i. Eno dunu da Ea da: i hodo bu esalebe ba: i dagoi. Be amo gilisi ado ba: su dunu ilia da dafawaneyale hame dawa: beba: le, Yesu da ilima gagabole sia: i.
15 Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
E da ilima amane sia: i, “Dilia! Osobo bagade soge huluane amoma asili, fifi asi gala dunu huluane nabima: ne, Na sia: ida: iwane olelema!
16 Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini yeyote asiyeamini atahukumiwa.
Nowa dunu da dafawaneyale dawa: sea: , hanoga fane salasisia, e da eso huluane Fifi Ahoanusu ba: mu. Be nowa da dafawaneyale hame dawa: sea, e da gugunufinisima: ne fofada: su ba: mu.
17 Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya;
Na hou lalegagui dunu da musa: hame ba: su gasa bagade hou hamomu. Ilia da Na Dioba: le sia: sea, wadela: i a: silibu eno dunu ilia dogoga aligila sa: i, amo da fadegale fasimu. Ilia gona: suga sia: hisu hisu sia: mu.
18 watashika nyoka kwa mikono yao; na hata wakinywa kitu chochote cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
Ilia da medosu sania gaguia gadosea, o bogosu hano nasea, hame bogomu. Ilia da oloi dunu amoga ilia lobo ligisia, oloi da uhimu.”
19 Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu.
Yesu da Ea fa: no bobogesu dunuma sia: nanu, Gode da E Hebene sogega lale gadoi. E da Gode Ea gasa bagade lobodafadili fi dagoi.
20 Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]
Amalalu, Ea fa: no bobogesu dunu da asili, soge huluane amo ganodini Ea sia: olelelalu. Hina Yesu Gelesu da ilia hawa: hamonanu fidisu. Amola ilia sia: da dafawane amo olelema: ne, E da ilia sia: fa: no amo gasa bagade musa: hame ba: su hou hamosu. Sia: Ama Dagoi