< Marko 15 >
1 Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani, pamoja na wazee, walimu wa sheria na Baraza lote, wakafikia uamuzi. Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kwa Pilato.
Mpobwalaca mumene beshimilumbo bamakulene, ne bamakulene ne beshikwiyisha milawo ya Mose ne Nkuta inene yaba Yuda bonse balabungana mwabwangu bwangu, balamusunga Yesu ne kuya nendi kuli Pilato.
2 Pilato akamuuliza, “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe umesema.”
Pilato walepusha “Sena njobe Mwami waba Bayuda?” Yesu walakumbuleti, “Ee, encomulamba”
3 Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.
Nomba beshimilumbo bamakulene balamubepesha bintu bingi.
4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”
Kayi Pilato walepusha Yesu, “Sena paliya ncowela kukumbulapo? Bona kufula milandu njobalakubeshenga”
5 Lakini Yesu hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.
Nomba Yesu uliya kumukumbulapo, neco Pilato walakankamana.
6 Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.
Cindi conse pa kusekelela Pasika, Pilato walikukute cinga ca kupulisha mujele kaili umo uyo bantu ngobalamusenge.
7 Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.
Pacindici kwalikuba muntu walikukwiweti Balaba walasungwa mujele pamo ne nabambi balashina muntu pakulwanisha mfulumende.
8 Ule umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.
Neco likoto lya bantu lyalesa kuli Pilato ne kumusenga kwambeti ainsepo cimo kwelana ne cinga ncakute kwinsa.
9 Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie huyu Mfalme wa Wayahudi?”
Pilato walabakumbuleti, “Mulayandanga ndimusungulwile Mwami wa Bayuda?”
10 Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Yesu mikononi mwake kwa ajili ya wivu.
Pakwinga Pilato walaboneshesha kwambeti nipacebo caminyono yabo ecalapesheti beshimilumbo bamakulene bamulete Yesu kulyendiye.
11 Lakini viongozi wa makuhani wakauchochea ule umati wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.
Nomba beshimilumbo bamakulene balayungaula bantu kwambeti basenge Pilato abasungulwile Balaba.
12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
Nendi Pilato kayi walabepusheti, “Inga ndimwinseconi uyu ngomulambangeti eMwami wa Bayuda?”
13 Wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe!”
Balo balabilikisheti “Apopwe!”
14 Pilato akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, wakisema, “Msulubishe!”
Nomba kayi Pilato walapitilisha kubepusheti, “Inga nipacebo cini? Inga lenshi mulandu cini,” Nomba nabo empobalolobesheti, “Apopwe?”
15 Pilato, akitaka kuuridhisha ule umati wa watu, akawafungulia Baraba. Naye baada ya kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.
Pilato pakuyanda kubakondwelesha, walabasungulwila Balaba, ne kwambeti Yesu bamukwapule, kayi bamutwale kuya kumupopa.
16 Askari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani wa jumba la kifalme, ndio Praitorio, wakakusanya kikosi kizima cha askari.
Bashilikali balamumanta Yesu kuya nendi mukati mulubuwa lwa ng'anda ya mwendeleshi, ne kubunganya bashilikali bonse.
17 Wakamvalisha Yesu joho la zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani.
Balamufwalika Yesu mwinjila ufubeluka, balapomba cishoti cabwami ca myunga ne kumufwalika.
18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
Balatatika kumupa mitende mwalisongwe kabambeti, “Mwikale ne buyumi butali amwe Mwami wa Bayuda!”
19 Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.
Kayi balabamuma pamutwi neluntele nekumusankila mata ne kumusuntamina kabamukambilila.
20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.
Mpobalapwisha kumutakausha, balamufulula mwinjila ufubeluka ne kumufwalika mwinjila wakendi, balamutangunya kuya kumupopa.
21 Mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, baba yao Aleksanda na Rufo, alikuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shamba, nao wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
Kayi mpobalikuya balakumanya Shimoni, waku Kulene walikupita kafuma kumunshi, baishi Alekisandulo ne Lufu, balamukakatisha kwambeti amante lusanda lwa Yesu.
22 Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha (maana yake ni Mahali pa Fuvu la Kichwa).
Balashika nendi pa musena walikukwiweti, Gologota, ekwambeti musena wacifupa ca mutwi.
23 Nao wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini hakuinywa.
Balamupa waini wasankanishiwa ne mule, nomba nendi Yesu walakana kunwa.
24 Basi wakamsulubisha, nazo nguo zake wakagawana miongoni mwao kwa kuzipigia kura ili kuamua ni gani kila mtu ataichukua.
Panyuma pakumupopa, balauma nsolo kwambeti babone umo ne umo ngaumantapo cani pa byakufwala byakendi.
25 Ilikuwa yapata saa tatu asubuhi walipomsulubisha.
Yesu balamupopa pa lusanda ne cindi ca 9 koloko mumenemene.
26 Tangazo likaandikwa la mashtaka dhidi yake lenye maneno haya: “Mfalme wa Wayahudi.”
Malembo alambanga sha mulandu ngobalamupa alikubelengweti, “Mwami wa Bayuda.”
27 Pamoja naye walisulubiwa wanyangʼanyi wawili, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto. [
Kayi kopeloko kwalikuba kwapopwa kapondo babili umo kucikasa cakululyo ca Yesu, naumbi kucikasa ca kucipiko ca Yesu.
28 Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]”
Mabala alakwanilishiwa akwambeti, walabelengelwa pamo ne bamilandu.
29 Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao na kusema, “Aha! Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu,
Bantu balikupita pepi balikwamba maswi akumutukana Yesu kabapukumuna mitwi yabo kabambeti, “Ba! Obe shikuwisha Ng'anda ya Lesa, kayi ne kuyibaka mumasuba atatu,
30 basi shuka kutoka msalabani na ujiokoe mwenyewe!”
kolipulusha wenka, selukapo palusandapo!”
31 Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!
Nabo beshimilumbo ba makulene, pamo ne beshikwiyisha milawo ya Mose balikumuwela Yesu, nekwamba palwabo beneti, “Walikupulusha bantu bambi, nkela kulipulusha mwine.
32 Basi huyu Kristo, huyu Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale waliosulubiwa pamoja naye pia wakamtukana.
Klistu Mwami wa Baislayeli lino koselukapo pa lusanda, kwambeti afwe tubone kayi tushome” Nabo balikuba bapopwa pamo ne Yesu balikumutukana.
33 Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.
Cindi mpocalashika muma 12 koloko munshi, mucishico mwalaba mushinshe mpaka cindi ca 3 koloko mansailo.
34 Mnamo saa tisa, Yesu akapaza sauti, akalia, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?” (maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”)
Pacindi ca muma 3 koloko Yesu walabilikisha ne liswi lyangofu “Eloi Eloi Lama sabakatani!” Uku ekwambeti, “Lesa wakame, Lesa wakame, mulanshiyi aconi ndenka!”
35 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni, anamwita Eliya.”
Abo balikubapo mpobalanyumfwa ncalikwamba balambeti “Kamubonani! Lakunga Eliya.”
36 Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Yesu ili anywe, akisema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka hapo msalabani.”
Popelapo naumbi walamanta cisambo nekufwamba kuya kucisabika mu waini wasasa, ne kucisungilila ku lutele nekumupa kwambeti anwe, kambeti, “Katupembelelani, tubone na Eliya nese amuselushe palusanda.”
37 Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Pacindici Yesu walakuluma cangofu ne kutaya moyo.
38 Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.
Naco cikwisa ca mu Ng'anda ya Lesa, calikucala pakati pa cipinda Caswepa ne cipinda Caswepeshesha calatwamuka pakati kutatikila pelu mpaka panshi.
39 Basi yule jemadari aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba wa Yesu aliposikia ile sauti yake na kuona jinsi alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
Lino mushilikali mukulene walikuba wemane pepi kali walangana ne Yesu, mpwalabona kwambeti Yesu lataya moyo, walambeti, “Cakubinga muntuyu wanga mwanendi Lesa!”
40 Walikuwepo pia wanawake waliokuwa wakiangalia kwa mbali. Miongoni mwao walikuwepo Maria Magdalene, na Maria mama yao Yakobo mdogo na Yose, pia na Salome.
Palikuba kayi batukashi balikuba bemana capataliko kabebelela, pakati pabo palikuba Maliya waku magadala ne Maliya banyina Jemusi kanike wakonka Yose, kayi ne Salome,
41 Hawa walifuatana na Yesu na kushughulikia mahitaji yake alipokuwa Galilaya. Pia walikuwepo wanawake wengine wengi waliokuwa wamekuja pamoja naye Yerusalemu.
abo ebalikwenda pamo nendiye nekumusebensela cindi ncalikuba ku Galileya. Palikuba kayi batukashi bangi balesa pamo nendiye ku Yelusalemu.
42 Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya Maandalizi, yaani siku moja kabla ya Sabato,
Cindi camansailo pabusuba bwakulibambila kwambeti lilo bwakaca nibusuba bwa Sabata,
43 Yosefu wa Arimathaya, mtu aliyeheshimiwa katika Baraza, na ambaye alikuwa anautarajia Ufalme wa Mungu, akamwendea Pilato kwa ujasiri na kumwomba mwili wa Yesu.
Yosefe waku Alimateya umo wa mu Nkuta inene ya Bayuda weshibikwa ne bonse, uyo neye walikupembelela Bwami bwa Lesa, walayumisha moyo nekuya kusenga mubili wa Yesu kuli Pilato.
44 Pilato alikuwa akijiuliza kama Yesu alikuwa amekwisha kufa. Hivyo akamwita yule jemadari, akamuuliza iwapo Yesu alikuwa amekwisha kufa.
Nomba Pilato walakankamana kunyumfweti Yesu lafu kendi. Walakuwa mushilikali mukulene, nekumwipusha kwambeti ashininkishe na nicakubinga Yesu lafu kendi
45 Baada ya kupata habari kutoka kwa yule jemadari kwamba kweli amekwisha kufa, Pilato akampa Yosefu ruhusa ya kuuchukua huo mwili.
Mpwalamwambila Pilato kwambeti nicakubinga Yesu lafu kendi, walamusuminisha Yosefe kumanta mubili wa Yesu.
46 Hivyo Yosefu akanunua kitambaa cha kitani safi, akaushusha mwili kutoka msalabani, akaufunga katika kile kitambaa cha kitani, na kuuweka ndani ya kaburi lililochongwa kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kwenye ingilio la kaburi.
Yosefe walaula cikwisa, mpwalaselusha mubili panshi, walaufungaila mu cikwisa, walamanta mubili nekuya kubika mumanda abeswa mulibwe, ne kukunkulushilapo cilibwe pa cishinga ca manda.
47 Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.
Maliya Magadala, ne Maliya banyina Yose, balikabebelela ne kubonapo mpwalabikwa.