< Marko 15 >

1 Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani, pamoja na wazee, walimu wa sheria na Baraza lote, wakafikia uamuzi. Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kwa Pilato.
Jînga inmânin innottakin, ochaisingei ha upangei le Balam minchupungei, le Roijêkpungei murdi leh an intônga male mintuonangei an sina. Jisua ha zingjirûi leh an khita an tuong paia, male Pilat kuta an bânga.
2 Pilato akamuuliza, “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe umesema.”
Pilat'n chong a rekela, a kôm, “Judangei rêngpa ni ni mo?” a tia. Jisua'n, “Nangman ke mi ni ti duo” tiin a thuona.
3 Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.
Ochaisingei han abi tamtakin Jisua an nônna,
4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”
masikin Pilat'n Jisua kôm chong a rekel nôka, “Nangman nu thuonloi rang mo? nang an nônnangei nâm hih rangâi roh!” a tia.
5 Lakini Yesu hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.
Avêlin Jisua'n chongbâi khat luo ti rang nuom maka, male Pilat'n a kamâm sabak zoia.
6 Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.
Pilat'n chu Kalkân Kût zora zeta mi intâng ina aom inkhat mingeiin an ngên tak ha a mojôk pe ngei ngâi a baisi ani.
7 Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.
Ma zora han mi inkhat a riming Barabbas hah, mi ânhelngei pâla mi, le loko injêlna kâra mi that sika intâng ina a oma.
8 Ule umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.
Lokongei an intûpa male anni ranga a lei tho pe ngei ngâi anghan tho rangin an ngên lâihan,
9 Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie huyu Mfalme wa Wayahudi?”
Pilat'n an kôm, “Judangei rêngpa hih nangni mojôk pe inlang nin jôt mo?” tiin a rekel ngeia.
10 Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Yesu mikononi mwake kwa ajili ya wivu.
Ochaisingei han an narsa sika Jisua hah a kut chunga an hong bâng ani ti a riet minthâra.
11 Lakini viongozi wa makuhani wakauchochea ule umati wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.
Aninâkachu Ochaisingei han mipuingei hah Barabbas a mojôk pe ngei ranga ngên rangin an misiet ngeia.
12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
Hanchu Pilat'n an kôm, “Aninte, Judangei rêngpa nin tipu hih imo ko lo rang ani zoi?” tiin a rekel ngei nôka.
13 Wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe!”
Anni han, “Khrosa jêmdel roh!” tiin an iniek nôka.
14 Pilato akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, wakisema, “Msulubishe!”
Hannirese Pilat'n an kôm, “Imo a tho minchâi?” tiin a rekel ngei nôka. Anni ngei han, “Khrosa jêmdel roh!” tiin ânring uolin an inieka.
15 Pilato, akitaka kuuridhisha ule umati wa watu, akawafungulia Baraba. Naye baada ya kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.
Pilat'n lokongei râiminsân a nuoma, masikin Barabbas hah a mojôk pe ngeia. Hanchu Jisua hah a vîka male Khrosa jêmdel rangin an kuta a bâng zoia.
16 Askari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani wa jumba la kifalme, ndio Praitorio, wakakusanya kikosi kizima cha askari.
Râlmingei han Jisua hah râiôt inmâi khalâidunga an tuong lûta, an champui ngei murdi an koi mintûpa.
17 Wakamvalisha Yesu joho la zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani.
Jisua hah puon senduk an minsila, riling amachangngei hah tapor an phana, male a lua an minkhuma.
18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
Hanchu ama chibai an pêka: “Judangei Rêngpa, ringsôt roh!” an tia.
19 Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.
A lua tôkmol leh an jêma, an michila, khûkinbilin chibai an mûka.
20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.
Munuiinjanân an sin suole chu puon senduk hah an lîka, male a puonngei nanâk hah an minsil nôka. Hanchu khrosa jêmdel rangin an tuong zoi.
21 Mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, baba yao Aleksanda na Rufo, alikuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shamba, nao wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
Hanchu lampuia mi inkhat ram renga khopuilien hongpan a riming Simon an intôngpuia, male râlmingeiin Jisua khros ruput rangin an dânderita. (Simon hah Cyrene Kurini mi, Alexander le Rufus ngei an pa ani.)
22 Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha (maana yake ni Mahali pa Fuvu la Kichwa).
Jisua hah Golgotha an ti muna han an tuonga maha aomtie chu “Luru Mun” tina ani.
23 Nao wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini hakuinywa.
Ha muna han a pang ânhipna rangin uain murra loi leh ânpol pêk rangin an pûta, aninâkachu Jisua'n nêk jôt mâka.
24 Basi wakamsulubisha, nazo nguo zake wakagawana miongoni mwao kwa kuzipigia kura ili kuamua ni gani kila mtu ataichukua.
Hanchu khrosa an jêmdela, male a puonsilngei hah an insema, kho ahâr ha mo an chang rang chit rietna rangin taruo an sânna.
25 Ilikuwa yapata saa tatu asubuhi walipomsulubisha.
Jisua an jêmdel zora hah jîng dâr kuo inringa ani.
26 Tangazo likaandikwa la mashtaka dhidi yake lenye maneno haya: “Mfalme wa Wayahudi.”
Ama doia an nônna minrietna chong hah “Judangei Rêngpa” tiin a lu chunga an târra.
27 Pamoja naye walisulubiwa wanyangʼanyi wawili, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto. [
Jisua leh munkhatin mi inru inik a changtieng inkhat, male a voitieng inkhat an jêmdel sa.
28 Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]”
Ma angdên han, Pathien lekhabu'n, “Ama khom mi puoloingei lâia telsân aom zoi” ati hah ahong tung zoi ani.
29 Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao na kusema, “Aha! Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu,
Hataka mingei ânloi murdi'n an lu an thuka Jisua an êroa, “Ohoi! Biekin set na ta, sûnthumin ni minding nôk rang na!
30 basi shuka kutoka msalabani na ujiokoe mwenyewe!”
Atûn khros renga juong chum inla, nethenin insan mojôk roh ba!” an tia.
31 Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!
Ha angdênin ochaisingei le Balam minchupungei khomin Jisua an phengsana, “Midangngei chu a mojôk thei ngâia, hannirese ama le ama chu insan mojôk thei mak!
32 Basi huyu Kristo, huyu Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale waliosulubiwa pamoja naye pia wakamtukana.
Tho atûn chu Messiah, Israelngei rêngpa hih khros lêr renga a juong chum lei en rei u, male ama ei iem rang ani!” an tia. Ama leh an jêmdel sa mi inik ngei khomin Jisua an êro sa zoi.
33 Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.
Sûnchima konta inthum sûng chu rammuol ajîng khapa.
34 Mnamo saa tisa, Yesu akapaza sauti, akalia, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?” (maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”)
Chonûk dâr inthum inring han chu Jisua rôl inringtakin ân-ieka, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?” a tia, maha, “Ka Pathien, ka Pathien, Ithomo mi ni mâksana?” tina ani.
35 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni, anamwita Eliya.”
Ha muna omngei senkhatin a he an rieta, male “Rangâi ta u, Elijah a koi ke!” an tia.
36 Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Yesu ili anywe, akisema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka hapo msalabani.”
An lâia mi inkhat a tânna, patjôn, uain thûra a michiejûta, tôkmol monga a târra. Hanchu Jisua ner a hong min tônna, male “La ôt rei u! Khros renga ama musum rangin Elijah mo a juong pe lei en rei u!” a tia.
37 Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Jisua'n rôl inringtakin ân-ieka, a rangachat zoi.
38 Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.
Hanchu, Biekina puondal dûnga om hah inikin achung renga among dênin akêr phata.
39 Basi yule jemadari aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba wa Yesu aliposikia ile sauti yake na kuona jinsi alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
Râlmi ulien khros motona ândingpu hah Jisua a rangachat tie hah a mua “Hi mi hih Pathien Nâipasal ani khet!” a tia.
40 Walikuwepo pia wanawake waliokuwa wakiangalia kwa mbali. Miongoni mwao walikuwepo Maria Magdalene, na Maria mama yao Yakobo mdogo na Yose, pia na Salome.
Ha muna, nupang senkhat ngei khom alazanna renga thîrin an oma; ma ngei hah Mary Magdalene, Mary Jacob nâipang le Joseph ngei an nû, le Salome ngei an ni.
41 Hawa walifuatana na Yesu na kushughulikia mahitaji yake alipokuwa Galilaya. Pia walikuwepo wanawake wengine wengi waliokuwa wamekuja pamoja naye Yerusalemu.
Ma ngei hah Jisua Galilee rama a om lâihan an jûi ngâia, male an san ngâi ani. Nupang tamtak Jerusalema ama leh a se ngei khom hah an om sa.
42 Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya Maandalizi, yaani siku moja kabla ya Sabato,
Kholoi ahongnin chu Arimathea mi Joseph a hongtunga. Ama hah Roijêkpungei lâia jâ omtak ania, Pathien Rêngram juong tung rang lei ngâkpu ani. Maha Incherêlni (maha, Sabbathni motona sûn hah ani), masikin Joseph'n hâitakin Pilat kôm a va sea Jisua ruok ha ava zonga.
43 Yosefu wa Arimathaya, mtu aliyeheshimiwa katika Baraza, na ambaye alikuwa anautarajia Ufalme wa Mungu, akamwendea Pilato kwa ujasiri na kumwomba mwili wa Yesu.
44 Pilato alikuwa akijiuliza kama Yesu alikuwa amekwisha kufa. Hivyo akamwita yule jemadari, akamuuliza iwapo Yesu alikuwa amekwisha kufa.
Pilat'n Jisua chu a thi zoi tiin a riet lehan a kamâm tataka, râlmi ulien inkhat a koia, Jisua thina asôt zoi mo? tiin a rekela.
45 Baada ya kupata habari kutoka kwa yule jemadari kwamba kweli amekwisha kufa, Pilato akampa Yosefu ruhusa ya kuuchukua huo mwili.
Râlmi ulien bâi renga chong ânthârin a riet suole chu a ruok hah Joseph chôi rangin a phal pe zoia.
46 Hivyo Yosefu akanunua kitambaa cha kitani safi, akaushusha mwili kutoka msalabani, akaufunga katika kile kitambaa cha kitani, na kuuweka ndani ya kaburi lililochongwa kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kwenye ingilio la kaburi.
Joseph'n rosompuon a rochôka, ruok hah a musuma, rosompuon lehan a tuoma, lungpuia hel thânkhura han a min jâla. Hanchu thân kotbâi hah lung lienpa muluoiin a hîpa.
47 Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.
Mary Magdalene le Joseph nû Mary han Jisua ruok an min jâlna hah an ena, an mu chien zoi ani.

< Marko 15 >