< Marko 15 >

1 Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani, pamoja na wazee, walimu wa sheria na Baraza lote, wakafikia uamuzi. Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kwa Pilato.
Idi bumigaten, nagsasarak dagiti panguloen a papadi agraman dagiti panglakayen, dagiti eskriba, ken ti entero a Sanhedrin. Kalpasanna, ginalutanda ni Jesus ket impanawda. Impaimada isuna kenni Pilato.
2 Pilato akamuuliza, “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe umesema.”
Sinaludsod ni Pilato kenkuana, “Sika kadi ti Ari dagiti Judio?” Insungbatna kenkuana, “Nakunamon.”
3 Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.
Agibagbaga dagiti panguloen a papadi iti adu a pammabasol a maibusor kenni Jesus.
4 Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”
Sinaludsod manen ni Pilato kenkuana, “Awan kadi ti maisungbatmo? Kitaem ti kaadu dagiti pammabasol nga ipabpabasolda kenka!
5 Lakini Yesu hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.
Ngem saan a simmungbat ni Jesus kenkuana, ket dayta ti nagsiddaawanna.
6 Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.
Ita, iti tiempo ti fiesta, masansan a mangwayawaya ni Pilato iti maysa a balud, maysa a balud a kiniddawda.
7 Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.
Kadagiti rebelde nga adda iti pagbaludan, kadua dagiti mammapatay a nakipaset iti panagrebelde ti maysa a lalaki a managan Barrabas.
8 Ule umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.
Immay kenni Pilato dagiti adu a tattao ket inrugida a dawaten kenkuana nga aramidenna para kadakuada ti kas iti inaramidna iti napalabas.
9 Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie huyu Mfalme wa Wayahudi?”
Simmungbat ni Pilato kadakuada a kinunana, “Kayatyo kadi a wayawayaak kadakayo ti Ari dagiti Judio?”
10 Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Yesu mikononi mwake kwa ajili ya wivu.
Ta ammona a gapu iti apal nga impaima dagiti panguloen a papadi ni Jesus kenkuana.
11 Lakini viongozi wa makuhani wakauchochea ule umati wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.
Ngem sinugsogan dagiti panguloen a papadi dagiti adu a tattao tapno ipukkawda a ni Barrabas ketdi ti mawayawayaan.
12 Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
Simmungbat manen ni Pilato kadakuada a kinunana, “Ania ngarud ti aramidek iti Ari dagiti Judio?”
13 Wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe!”
Impukkawda manen, “Ilansam isuna iti krus!”
14 Pilato akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, wakisema, “Msulubishe!”
Kinuna ni Pilato kadakuada, “Ania ti biddut a naaramidna?” Ngem inyad-addada pay nga impukkaw, “Ilansam isuna iti krus.”
15 Pilato, akitaka kuuridhisha ule umati wa watu, akawafungulia Baraba. Naye baada ya kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.
Kayat ni Pilato a penneken dagiti adu a tattao, isu a winayawayaanna ni Barrabas kadakuada. Sinaplitna ni Jesus sana inyawat tapno mailansa iti krus.
16 Askari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani wa jumba la kifalme, ndio Praitorio, wakakusanya kikosi kizima cha askari.
Inturong dagiti soldado isuna idiay uneg ti paraangan (nga ayan ti kuartel), ken inayabanda nga agtitipon ti sibubukel a bunggoy dagiti soldado.
17 Wakamvalisha Yesu joho la zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani.
Kinagayanda ni Jesus iti kawes a lila, ken nangsallapidda iti balangat a sisiitan ket imbalangatda kenkuana.
18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
Rinugianda a sinaludoan isuna ket kinunada, “Agbiagka, Ari dagiti Judio!”
19 Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.
Pinang-urda ti ulona iti runo ken tinupraanda isuna. Imparintumengda dagiti tumengda iti sangoananna kas panangpadayaw.
20 Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.
Idi pinagang-angawanda isuna, inikkatda kenkuana ti lila a kawes ket inkawesda kenkuana ti bukodna a kawes, sada-inruar isuna tapno ilansada iti krus.
21 Mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, baba yao Aleksanda na Rufo, alikuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shamba, nao wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
Pinilitda nga agserbi ti maysa a lumabas, immay a naggapu iti away, maysa a lalaki a managan Simon ti Cirene (ti ama ni Alejandro ken ni Rufo); pinilitda isuna a mangbaklay iti krus ni Jesus.
22 Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha (maana yake ni Mahali pa Fuvu la Kichwa).
Impan dagiti soldado ni Jesus iti lugar a maawagan Golgota (a ti kayatna a sawen no maipatarus, Lugar dagiti Banga-banga).
23 Nao wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini hakuinywa.
Nangidiayada kenkuana iti arak a nalaukan iti mira, ngem saanna nga ininum.
24 Basi wakamsulubisha, nazo nguo zake wakagawana miongoni mwao kwa kuzipigia kura ili kuamua ni gani kila mtu ataichukua.
Inlansada isuna iti krus ket biningaybingayda dagiti kawesna babaen iti panagbibinnunotda tapno maammoan no ania a piraso ti alaen ti tunggal soldado.
25 Ilikuwa yapata saa tatu asubuhi walipomsulubisha.
Maikatlo nga oras idi inlansada isuna iti krus.
26 Tangazo likaandikwa la mashtaka dhidi yake lenye maneno haya: “Mfalme wa Wayahudi.”
Insuratda iti pagilasinan ti impabasolda kenkuana, “TI ARI DAGITI JUDIO.”
27 Pamoja naye walisulubiwa wanyangʼanyi wawili, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto. [
Kaduana a nailansa dagiti dua nga agtatakaw, maysa iti kannawanna ken maysa iti kannigidna.
28 Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]”
29 Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao na kusema, “Aha! Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu,
Inuyaw dagiti aglabas isuna, agwingwingiwingda ket ibagbagada, “Aha! Sika a mangdadael iti templo ken mangbangon met laeng iti maikatlo nga aldaw,
30 basi shuka kutoka msalabani na ujiokoe mwenyewe!”
isalakanmo ta bagim ket bumabaka manipud iti krus!”
31 Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!
Iti isu met laeng a wagas, pinagang-angawan isuna dagiti panguloen a papadi, kasta met dagiti eskriba, a kinunada, “Insalakanna dagiti dadduma, ngem saanna a maisalakan ti bagina.
32 Basi huyu Kristo, huyu Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale waliosulubiwa pamoja naye pia wakamtukana.
Bumaba koma ngarud ti Cristo, ti Ari ti israel, manipud iti krus, tapno makitatayo ket mamatitayo.” Ken linalais met isuna dagiti kaduana a nailansa iti krus.
33 Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.
Iti maikainnem nga oras, immay ti sipnget iti entero a daga aginggana iti maikasiam nga oras.
34 Mnamo saa tisa, Yesu akapaza sauti, akalia, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?” (maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”)
Iti maikasiam nga oras nagpukkaw ni Jesus iti napigsa, “Eloi, Eloi, lama sabaktani?” a kayatna a sawen, Diosko, Diosko, apay a binaybay-annak?”
35 Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni, anamwita Eliya.”
Nangngeg daytoy dagiti dadduma nga agtaktakder iti asideg ket kinunada, “Kitaenyo, ay-ayabanna ni Elias.”
36 Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Yesu ili anywe, akisema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka hapo msalabani.”
Adda nagtaray, nangikabil iti naalsem nga arak iti espongha, inkabilna iti sarukod a runo, ket itedna kenkuana tapno uminom. Kinuna ti lalaki, “Kitaentayo man no umay ni Elias a mangibaba kenkuana.”
37 Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Ket nagpukkaw ni Jesus iti napigsa a timek ket natay.
38 Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.
Napigis iti dua manipud iti ngato agingga iti baba ti kurtina iti templo.
39 Basi yule jemadari aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba wa Yesu aliposikia ile sauti yake na kuona jinsi alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
Ket idi nakita ti senturion a nakatakder ken nakasango kenni Jesus a natayen isuna iti kastoy a wagas, kinunana, “Pudno a daytoy a tao ti Anak ti Dios.”
40 Walikuwepo pia wanawake waliokuwa wakiangalia kwa mbali. Miongoni mwao walikuwepo Maria Magdalene, na Maria mama yao Yakobo mdogo na Yose, pia na Salome.
Adda met dagiti babbai a kumitkita manipud iti adayo. Karaman kadakuada da Maria a Magdalena, Maria (ti ina da Jose ken ni Santiago nga ub-ubing), ken ni Salome.
41 Hawa walifuatana na Yesu na kushughulikia mahitaji yake alipokuwa Galilaya. Pia walikuwepo wanawake wengine wengi waliokuwa wamekuja pamoja naye Yerusalemu.
Idi adda isuna idiay Galilea, simmursurotda ken nagserserbida kenkuana. Adu met dagiti dadduma a babbai a kimmuyog kenkuana a simmang-at idiay Jerusalem.
42 Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya Maandalizi, yaani siku moja kabla ya Sabato,
Idi rumabiin, gapu ta aldaw daytoy ti Panagsagana, dayta ket, ti aldaw sakbay ti Aldaw a Panaginana,
43 Yosefu wa Arimathaya, mtu aliyeheshimiwa katika Baraza, na ambaye alikuwa anautarajia Ufalme wa Mungu, akamwendea Pilato kwa ujasiri na kumwomba mwili wa Yesu.
napan ni Jose a taga Arimatea sadiay. Maysa isuna a mararaem a kameng ti Sanhedrin, a mangur-uray iti pagarian ti Dios. Situtured a napan kenni Pilato ket dinawatna ti bagi ni Jesus.
44 Pilato alikuwa akijiuliza kama Yesu alikuwa amekwisha kufa. Hivyo akamwita yule jemadari, akamuuliza iwapo Yesu alikuwa amekwisha kufa.
Nasdaaw ni Pilato ta natayen ni Jesus; inayabanna ti senturion ket dinamagna kenkuana no natayen ni Jesus.
45 Baada ya kupata habari kutoka kwa yule jemadari kwamba kweli amekwisha kufa, Pilato akampa Yosefu ruhusa ya kuuchukua huo mwili.
Idi naammoanna iti senturion a natayen ni Jesus, impalubosna nga alaen ni Jose ti bagina.
46 Hivyo Yosefu akanunua kitambaa cha kitani safi, akaushusha mwili kutoka msalabani, akaufunga katika kile kitambaa cha kitani, na kuuweka ndani ya kaburi lililochongwa kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kwenye ingilio la kaburi.
Gimmatang ni Jose iti lino a lupot. Imbabana isuna manipud iti krus, binungonna iti lino a lupot, ken inkabilna iti tanem a nakungkongan a dakkel a bato. Kalpasanna, nangitulidda iti bato a serra ti ruangan ti tanem.
47 Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.
Nakita da Maria a Magdalena ken ni Maria nga ina ni Jose ti lugar a nakaitaneman ni Jesus.

< Marko 15 >