< Marko 14 >
1 Zilikuwa zimebaki siku mbili tu kabla ya Sikukuu ya Pasaka, na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa hila na kumuua.
Chiikhale isikhu ivili vubadu uluhekholo lwa pasakha va visyesye ifisafi lahiwe eikhei luve. Avanchungaji avavaha na vasimbi valikhulonda einjilaya khumwibata u Yesu nukhumbuda.
2 Lakini walisema, “Tusilifanye jambo hili wakati wa Sikukuu, maana watu wanaweza wakafanya ghasia.”
Pakhuva vanchovile ukhuta yei site ukhuva usikhe gwa luhekhelo avanu vasiya ukhuvomba amatata (iluyo).”
3 Yesu alikuwa Bethania nyumbani kwa Simoni aliyekuwa na ukoma. Wakati alipokuwa ameketi mezani akila chakula cha jioni, mwanamke mmoja aliingia akiwa na chupa ya marhamu yenye manukato ya nardo safi ya thamani kubwa. Akaivunja hiyo chupa, akamiminia hayo manukato kichwani mwa Yesu.
Vuu u Yesu alikhu Bethania munyumba ya Simoni ukoma, vu chuta pa mesa, udala yumo akheincha khumuene akhava nei chupa ya mono inonu incha galama eimbaha, akhafungula eichupa nu khududilila inonu pantuwe gwa mwene. Pu
4 Baadhi ya watu waliokuwepo pale walikuwa wakisemezana wao kwa wao, “Upotevu huu wote ni wa nini?
vale na vanu avavavipile (avakolile) vakhavulana vavo khu vavo kheikhi uvuvivi nduvu?
5 Mafuta haya yangeweza kuuzwa kwa zaidi ya dinari 300, na fedha hizo wakapewa maskini.” Wakamkemea vikali huyo mwanamke.
Imono nchikhale nchigunchiwa ihela cnhuu nyingi tu khuva pa avaganchu.
6 Lakini Yesu akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Mwacheni! Yeye amenitendea jambo zuri sana.
Pu u Yesu akhata, “Mundekhe mwene. Msite ukhugatancha avombile inonu khuli une.
7 Maskini mtakuwa nao siku zote na mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaotaka. Lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.
Isikhu nchooni mulinavo, avaganchu pakhuva une samwiva nune eimisikhe guioni.
8 Huyu mwanamke amenitendea lile aliloweza. Ameumiminia mwili wangu manukato ili kuniandaa kwa maziko yangu.
Avombile khila eikhyu lulesa: apakhile umbiligwango imono khuujili ya khusila.
9 Amin, nawaambia, mahali popote ulimwenguni ambapo Injili itahubiriwa, jambo hili alilolitenda huyu mwanamke litatajwa pia kwa ukumbusho wake.”
Luleli ni khuvavula, khila ponu upulilumbileluwa elimenyu, mukhilunga kyoni khila eikhiei avombile umama uyu khiikumbukhiwagwa.
10 Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Yesu kwao.
Pu u Yuda sikalioti, vumo mugati mu vakongi khei nchigo na vavile akhaluta khuvachungaji avavaha alikhunogwa ambikhe mavokho ga vene.
11 Walifurahi sana kusikia jambo hili na wakaahidi kumpa fedha. Hivyo yeye akawa anatafuta wakati uliofaa wa kumsaliti.
Vu avava va vachungaji vapulikhe nchii vaho, wikhe nukhwahidi ukhumpa ihela. Pu alikhulonda enjila ya khukabusi khu vene.
12 Siku ya kwanza ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, siku ambayo kwa desturi mwana-kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wa Yesu wakamuuliza, “Unataka twende wapi ili tukuandalie mahali pa kula Pasaka?”
Isikhu ya lutanchi ya fisyesye ifisafi, vikhiwe eikhei luve usikhe uguvahuminche ing'osi ya pasakha (luhekhelo) avakongi va mwene vakhambula, “Winogwa ndakhu tukhandale ulya eipasakha paninie nufye?”
13 Basi akawatuma wawili miongoni mwa wanafunzi wake, akawaambia, “Nendeni mjini. Huko mtakutana na mwanaume amebeba mtungi wa maji. Mfuateni.
Akhasuha avakongi vavile nukhuvavula, “Mulutage khujini, mukhumbona ugosi agegile eikhi vya ikhwagana numwe. Mukongage.
14 Mwambieni mwenye nyumba ile atakayoingia, ‘Mwalimu anauliza: Kiko wapi chumba changu cha wageni, ambamo mimi na wanafunzi wangu tutakula Pasaka?’
Munyumba eyakhuva ikhwingila, mukongage na mumbule unyanyumba ukhula umanyisi atile, “Khei lindakhu eikhei yumba kya vageni alile eipasakha na vakongi va mwene?”
15 Atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani, kilichopambwa tena kilicho tayari. Tuandalieni humo.”
IKhuvavonesya ikhiyumba khukianya ikhiei vaha kheikyo kheilei tayali. Pu muvombe amandalasi khujili yuito pala”
16 Wale wanafunzi wakaondoka na kwenda mjini, nao wakakuta kila kitu kama Yesu alivyowaambia. Hivyo wakaiandaa Pasaka.
Avakongi vakhahega ukhuta khuujini; vakhavona kheila khanu nduvaa nchovile navakhandala eikyakyuya kya pasakha.
17 Ilipofika jioni, Yesu akaja pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Vuyifikhe lilya kheimihe akhiincha navala kheinchigona vavili.
18 Walipoketi mezani wakila, Yesu akawaambia, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti, mmoja anayekula pamoja nami.”
Vuvale pipi nei mesa nu khulya, u Yesu akhata, “Lakhanchova, yumo mugati ndiomwe uvei ilya paninie nune ikhumbuda.
19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”
“Voni vakhasikhi tekha yumo yumo vakhambula luleli syoo nene?”
20 Akawajibu, “Ni mmoja miongoni mwenu ninyi kumi na wawili, yule anayechovya mkate kwenye bakuli pamoja nami.
U Yesu akhanchova akhavavula, “Yumo mugati mu kheinchigo na vavilii yumo, uviuyu ilaha ikhei vokho mubakhuli paninie nune.
21 Mwana wa Adamu anaenda zake kama vile alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule amsalitiye Mwana wa Adamu! Ingekuwa heri kwake mtu huyo kama hangezaliwa.”
Pakhuva umwana va Adamu iluta induvu eilemenyu leinchovile pakianya pamwene. Pu lwa mwene umunu ula ukhugendela khu mwene umwana va Adamu ibudiwa yekhele huba umunu uywa asite ukhuhouwa.”
22 Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema, “Twaeni mle; huu ndio mwili wangu.”
Vuvalei pakhuli, u Yesu akhalola ukata leikhasyesye, akhasaya nukhumenyula akha vapa akhata lakhanchova. Mtole ugu gumbili gwago.”
23 Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.
Akhalola eikheilovo, akheisaya akhavapa voni vakhanywa.
24 Akawaambia, “Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.
Akhavavula akhata, “Ugu guukisa gwago gwa luleidehano, ukisa ugugududeikha khuujili ya vongi.
25 Amin, nawaambia, sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya katika Ufalme wa Mungu.”
Luleli nukhuvavula, saniinywa khavile eikheinyalelo kya nsabibu impakha neilavaninywa upya nchu cheva lwa Nguluve.”
26 Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.
Voueimbile ulwembo, vakhahuma panji pa khiamba kya miseituni.
27 Yesu akawaambia, “Ninyi nyote mtaniacha, kwa maana imeandikwa: “‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo watatawanyika.’
U Yesu akhavavula akhata, “Umwee mulee voni mukhei kwega khutali nune pakhuva levegilwe (lesimbiule) Nikhuntova unchungaji va ngosi na ngosi nchinyila.'
28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Pavu nchukha khwango nikhu valongola ukhuluta khuu Galilaya.”
29 Petro akasema, “Hata kama wengine wote watakuacha, mimi sitakuacha.”
Ndingave voni vikhukhulekha une sani khukhulekha.”
30 Yesu akamwambia, “Amin, nakuambia; leo, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, wewe mwenyewe utanikana mara tatu.”
U Yesu akhata, “Luleli nukhukhuvula, eikhilo eiye, vusale vikhile eiakongove mala khavili, uve vukhumbela mara khadatu.”
31 Lakini Petro akasisitiza zaidi, “Hata kama itabidi kufa pamoja nawe, sitakukana kamwe.” Nao wale wengine wote wakasema vivyo hivyo.
Pu u Peteli akhanchova, “Puulino vinogiwa ukhufya paninie nuve sanikhukhulekha.” Voni vakhahumya enjovele yilayila.
32 Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa, nami niende nikaombe.”
Vakhiincha khuli eneo eleli khuieilangilwa Gethsemene, nu Yesu akhavavula, “Avahongi va mulene tama apavunikhei saya.”
33 Kisha akawachukua pamoja naye Petro, Yakobo na Yohana. Akaanza kuhuzunika sana na kutaabika.
UYesu akhatu pavutali padebe akhagwa pasi akhadova yengive yenogile akhasikha akha khandekhe.
34 Akawaambia, “Moyo wangu umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe.”
Ee numbula, “Yango yelinulususuvalo nukhufya sigala apa muve miho.
35 Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba kwamba kama ingewezekana saa hiyo ya mateso imwondokee.
Akhanchova akhata ee daada imbombo nchoni khuliuve nchii wesekhana uhenche eikheitova eikhei syoondu vuninogwa une ila ulunogwe wakho.
36 Akasema, “Abba, Baba, mambo yote yawezekana kwako. Niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nipendavyo mimi, bali vile upendavyo wewe.”
Akhakilivukha akhavona vagonelile. Akhambula u Peteli Simoni yee ugonelile savoulesya ukhukina nune ningave eisaa yimo.”
37 Akarudi kwa wanafunzi wake, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, “Simoni, umelala? Je, hukuweza kukesha hata kwa saa moja?
Akhakilivukha akhavona vagonelile, akhammbula u Peteli, “Simoni, ye ugonelile? Savoulesya ukhukina nune ndingave eisaa yimo?
38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”
Muvemiho mudovage musite ukhuuingila mungelo. Lweli enumbula yeletayari, umbilii gubela.” (intamu)
39 Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.
Akhaluta kha vilii khudova akhanchova amamenyu gala gala.
40 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito. Nao hawakujua la kumwambia.
Akhincha khavili akhavona vagonelile amiho gavene gale machitu savakhalumanya kheikhii ekyakhumbula.
41 Akaja mara ya tatu, akawaambia, “Bado mmelala na kupumzika? Imetosha! Saa imewadia. Tazameni, Mwana wa Adamu anasalitiwa na kutiwa mikononi mwa wenye dhambi.
Akhiin'cha ulwadatu nukhuvavula, “Badu mugonile nunkhugalalukha? Yekhwelile! Usikhe gufikhe. Lola! Umwana va Adamu vikhumbikha mumavokho gavatula nongwa.
42 Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”
Sisimukha, tuvukhe. Lola, ula uviinogwa ukhumbuda aleipipi.”
43 Yesu alipokuwa bado anazungumza, Yuda, mmoja wa wale wanafunzi Kumi na Wawili, akatokea. Alikuwa amefuatana na umati wa watu wenye panga na marungu, waliokuwa wametumwa na viongozi wa makuhani, walimu wa sheria, na wazee.
Vu badu ipin'chova uYuda, vumo vavala khenchingo na vavili, akhafikha nelipuga elivaha ukhuhuma khuvavaha va vachungaji avasimbi navagogalo nimundu ni mbunda.
44 Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara, kwamba: “Yule nitakayembusu ndiye. Mkamateni, mkamchukue chini ya ulinzi.”
Usikhe ughwa umbivi va mwena akhava avapile eikhimanjilo ukhuta uviyakheiva nukhumwanga vi uyu. Mumwubatage nukhumbeikha pasi pavuloleli.”
45 Mara Yuda akamjia Yesu na kusema, “Rabi.” Akambusu.
Usiekhei uYuda vuafikhee moja khwa moja akhaluta khwa Yesu nukhunchova, “Imanyisye!” Nu khumwanga.
46 Wale watu wakamkamata Yesu, wakamweka chini ya ulinzi.
Pu vakhambeekha pasi pa vuloleli nukhumubata.
47 Ndipo mmoja wa wale waliokuwa wamesimama karibu aliuchomoa upanga wake na kumpiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
Yumo aemile pagati pavene akhahoma ne mundu ya mwene akhatova umbombi va vatekhenchi nukhugeda eembulukhutu.
48 Kisha Yesu akawaambia, “Mmekuja na panga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyangʼanyi?
U Yesu akhavavula akhata, “Mwin'chile khukhunyibata ni mundu ni mbunda nduu ndiasi?
49 Siku kwa siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni, wala hamkunikamata. Lakini Maandiko sharti yatimie.”
Useikhee gwooni nekhale numwe pelikhumanyeisya mutembile samulikhunyibata eele levombikhe eelimenyu letimile.
50 Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.
Vla voni avavale nu Yesu vakhanyila vakhandekha.
51 Kijana mmoja, ambaye hakuwa amevaa kitu isipokuwa alijitanda nguo ya kitani, alikuwa akimfuata Yesu. Walipomkamata,
Ukheejana yumo alikhukonga uveafualile umwenda ee fekhile ukhunchungula; vakha mwibata pakhuva
52 alikimbia uchi, akaliacha vazi lake.
akhatolokha akhatilekha emasindikha ya mwene akhanyila vufula.
53 Wakampeleka Yesu kwa kuhani mkuu, nao viongozi wa makuhani wote, na wazee na walimu wa sheria wote wakakusanyika pamoja.
Vakhandongon'cha uYesu khutekhen'chi umbaha pala upuva eevanganinche paninie nave, avatekhen'chi avavaha voni navagogolo, na vasimbi.
54 Petro akamfuata kwa mbali, hadi uani kwa kuhani mkuu. Huko akaketi pamoja na walinzi, akiota moto.
U Peteli vope alikhukonga uYesu khuvutali ukhuluta khuluvanja lwa ntekhenchi umbaha. Akhatama paninie navalolenchi, avavali pipi nu mwoto valie khuota vakhave amafukhe.
55 Viongozi wa makuhani na Baraza la Wayahudi lote wakatafuta ushahidi dhidi ya Yesu ili wapate kumuua. Lakini hawakupata jambo lolote.
Usikhe ugwa avatekhen'chi avavaha voni nili Balasa lyooni valikhulonda uvusaidi vakhave apa khumbudila savakhave.
56 Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.
Pakhuva avanu vingi vagegile uvusuhuda wa vudesi khuu mulene vakhanchova vakhata.
57 Ndipo wengine wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo dhidi yake, wakisema:
Pakhuva avanu vingi vagegile khuu mwene; vakhan'chova vakhata,
58 “Sisi tulimsikia akisema, ‘Mimi nitalibomoa Hekalu hili lililojengwa na wanadamu, na katika siku tatu nitajenga jingine ambalo halikujengwa na wanadamu.’”
'Tukhapulikhe ita ninanganwa etembile eieyein'chengiwe na mavokho, mugati musikhu idatu nin'chenga eeyenge iyesayinhengiwa na mavokho.”
59 Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukukubaliana.
Pakhuva uvusaidi wa vene savuhuanine.
60 Basi kuhani mkuu akasimama mbele yao, akamuuliza Yesu, “Je, wewe hutajibu? Ni ushahidi gani hawa watu wanauleta dhidi yako?”
Untekhen'chi umbaha akhima pagati pavene akhambun'cha uYesu, “Ye, ulien'chila kyakhunchova avavisudila kheekhii khuliuve?”
61 Lakini Yesu akakaa kimya, hakusema neno lolote. Kuhani mkuu akamuuliza tena, “Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Aliyebarikiwa?”
Akhan'chiga myee sakhanchova kheinu. Puuntekhenchii tembaha akhambuncha khavili, “Uve veve Kelisiti, Usayiwa?”
62 Yesu akajibu, “Mimi ndimi. Nanyi mtamwona Mwana wa Adamu akiwa ameketi mkono wa kuume wa Mwenye Nguvu, na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”
U Yesu akhan'chova akhata, “Une nene. Mukhombona Umwana va Adamu atamile eikhieivokho kyandwo eikyamakha ikhwin'cha na mavingo ga khukianya.”
63 Kuhani mkuu akararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi?
Utekhen'chii umbaha akhalalavula emienda gwaa mwene nukhuta, “Badu vapi nogwa avasaidi?
64 Ninyi mmesikia hayo makufuru. Uamuzi wenu ni gani?” Wote wakamhukumu kwamba anastahili kifo.
Mupulikhe ulubado lwa mwene umwe mwita kheekhii?” Voni vakhang'eega ukhuva vakhubudiwa.
65 Kisha baadhi ya watu wakaanza kumtemea mate; wakamfunga kitambaa machoni, wakampiga kwa ngumi na kumwambia, “Tabiri!” Walinzi wakamchukua na kumpiga makofi.
Avange vakhatengula ukhubehela amati nukhugombekhiila khumiho nukhuntova nukhumbula, “Temage!” Avavaha vakhantola nukhuntova.
66 Petro alipokuwa bado yuko chini kwenye ua wa jumba la kifalme, tazama akaja mmoja wa watumishi wa kike wa kuhani mkuu.
U Peteli vubadu alieipasi ung'ein'cha yumo umbombi va va tekhen'chii avavaha akhiin'cha khumwene.
67 Alipomwona Petro akiota moto, akamtazama sana, akamwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu, Mnazareti.”
Vuambwene uPeteli amile ikyota umwoto akhandola pavupipi akhata nayuve uukhale nu Yesu vakhu Nazaleti, Yesu”.
68 Lakini Petro akakana, akasema, “Sijui wala sielewi unalosema.” Naye akaondoka kuelekea kwenye njia ya kuingilia.
Pu akhalola akhata, “Saneimanyile umunu uywa!” Akhahega akhaluta khunji. (Zingatia; Mstari huu, “Na jogoo akawika” haumo kwenye nakala za kale).
69 Yule mtumishi wa kike alipomwona mahali pale, akawaambia tena wale waliokuwa wamesimama hapo, “Huyu mtu ni mmoja wao.”
Pu umbombi udala pala vuambweneakhatengula ukhuvavula vala avava eimula pala, “Umunu uyu viininile!”
70 Lakini Petro akakana tena. Baada ya muda kidogo wale waliokuwa wamesimama hapo karibu na Petro wakamwambia, “Hakika wewe ni mmoja wao, kwa maana wewe pia ni Mgalilaya!”
Pu akhabuda khavili pu vala vuakinile vadebe vakhata Peteli, “Lweli uve ulei ninwe va uyu pakhuva nayuve ulei Galilaya.”
71 Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”
Pu akhatengula ukhweivikha yuywa mulukoto nukweiei lapa(jiega), “Sanimanyile umunu uyu uvimwin'chova.”
72 Papo hapo jogoo akawika mara ya pili. Ndipo Petro akakumbuka lile neno Yesu alikuwa amemwambia: “Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.” Akavunjika moyo, akalia sana.
Eelikongove leikha vikha ulwa vile. Pu uPeteli akhakumbukha amamenyu aga ambulile uYesu vusayivekhile ehukhu vukhumbela mala khadatu.” Akhagwa pasi akhatengula ukhulila.