< Marko 14 >

1 Zilikuwa zimebaki siku mbili tu kabla ya Sikukuu ya Pasaka, na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa hila na kumuua.
Ayhudi fazigi baaliyonat tushmeyi baaliyo mangiyosh git aawo oorat b́ befere, kahni naashwotsnat Muse Nemo danifwotsn, Iyesusi malon deshde'er boúd'it málo bo geyiri.
2 Lakini walisema, “Tusilifanye jambo hili wakati wa Sikukuu, maana watu wanaweza wakafanya ghasia.”
Ernomó ash ashuwots fayo tuzitune ett «Baaliyi aawon han k'alratsone, » bo eti.
3 Yesu alikuwa Bethania nyumbani kwa Simoni aliyekuwa na ukoma. Wakati alipokuwa ameketi mezani akila chakula cha jioni, mwanamke mmoja aliingia akiwa na chupa ya marhamu yenye manukato ya nardo safi ya thamani kubwa. Akaivunja hiyo chupa, akamiminia hayo manukato kichwani mwa Yesu.
Iyesus Bitaniya eteets datsatse een shodon detseyat teshtso Simon mootsna b́ tesh. Mishimaratsnó t'int b́befere, mááts iku b́ k'awntso ayidek't shaaw wottsonat mangts Nardosi shitúwo biitse s'eentso, Albast'rosiya eteets shútson dozets blk'at'iyo dek'at bweyi, blk'at'iyo titsat shitúwo Iyesus tookats kuut'bk'ri.
4 Baadhi ya watu waliokuwepo pale walikuwa wakisemezana wao kwa wao, “Upotevu huu wote ni wa nini?
Manoke fa'úotsitse ik ikwots wotts keewmaanatse tuutson fayat, «Shitúwan dats mec'ro eegoshe bíawashiti?
5 Mafuta haya yangeweza kuuzwa kwa zaidi ya dinari 300, na fedha hizo wakapewa maskini.” Wakamkemea vikali huyo mwanamke.
Shitúwan kemeyink'ere ik asho ik nato fiinar b́ daatsit k'awntsoniyere bogosh kemde'er gizman t'owwotssh ímo faleyank'e b́teshi!» et bo atsatsewo bo keeweyi, máátsno bo bak'ni.
6 Lakini Yesu akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Mwacheni! Yeye amenitendea jambo zuri sana.
Ernmó Iyesus hank'owa bí et, «K'ayere Biina! eegoshe bin itkic'iri? Biye taash sheeng keewo k'alraniye,
7 Maskini mtakuwa nao siku zote na mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaotaka. Lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.
T'owwots jam aawo itnton bo wottsosh it geyor boosh sheengo k'alosh falitute, ernmó jam aawo taan itoke daatsratste,
8 Huyu mwanamke amenitendea lile aliloweza. Ameumiminia mwili wangu manukato ili kuniandaa kwa maziko yangu.
Máátsaniye bfaltso k'alrane, t meetso b́ dukeftsre shini k'aniyosh shitúwo futrane.
9 Amin, nawaambia, mahali popote ulimwenguni ambapo Injili itahubiriwa, jambo hili alilolitenda huyu mwanamke litatajwa pia kwa ukumbusho wake.”
Aro itsh keewirwe, dats jik' jamatse doo shishyetsoki beyok jamoke, taash bk'altsann bin gawetwok'o bish keewetwe.»
10 Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Yesu kwao.
Tatse gitwotsitse iko, Ask'rot datstso Yihud Iyesusi beshide imosh kahni naashwots maants bí ami.
11 Walifurahi sana kusikia jambo hili na wakaahidi kumpa fedha. Hivyo yeye akawa anatafuta wakati uliofaa wa kumsaliti.
Bowere man dan bodek'ortsok'on gene'úbowtsi, gizono bísh ímetwone bo eti. Bíwere Iyesusi beshide ímosh k'ants aawo b́ kotfera b́tesh.
12 Siku ya kwanza ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, siku ambayo kwa desturi mwana-kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wa Yesu wakamuuliza, “Unataka twende wapi ili tukuandalie mahali pa kula Pasaka?”
Fazig mereero bo shukeet tushmeyi baaliyi aaw shintsots, b́ danifwots Iyesusok t'int, «Fazigi kooc' misho móósh aawok amr neesh nok'aniyishe n geyeyi?» et bín bo aati.
13 Basi akawatuma wawili miongoni mwa wanafunzi wake, akawaambia, “Nendeni mjini. Huko mtakutana na mwanaume amebeba mtungi wa maji. Mfuateni.
Iyesuswere b́ danifwotsitse gitwotsi hank'o et b́ woshi, «Kito maants ameree, manokno aats koro kuriru asho daatsitute, b́ jafrats ameree,
14 Mwambieni mwenye nyumba ile atakayoingia, ‘Mwalimu anauliza: Kiko wapi chumba changu cha wageni, ambamo mimi na wanafunzi wangu tutakula Pasaka?’
B́ kindit moots amr moo doonzosh, ‹Danyfo, t danifwotsnton fazigi kooc'i misho tmeetwok'o taash wotitwo ibi kaashitwoki moo aawne?› etfe erere.
15 Atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani, kilichopambwa tena kilicho tayari. Tuandalieni humo.”
Bíwere dadri abaatse fa'o k'aniyetsonat es'k'rets maa gawno itsh kitsitwe, manoke taash k'aniwere.»
16 Wale wanafunzi wakaondoka na kwenda mjini, nao wakakuta kila kitu kama Yesu alivyowaambia. Hivyo wakaiandaa Pasaka.
B́ danif gitwots manoke kesht kitu maants bo ami, arikon Iyesus ettsok'on daatsbodek'i. Fazigi kooc' mishono manoke bok'aniyi.
17 Ilipofika jioni, Yesu akaja pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Datso b́ ílere tatse gitwotsnton towat b́weyi,
18 Walipoketi mezani wakila, Yesu akawaambia, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti, mmoja anayekula pamoja nami.”
Marats t'int bo maafe Iyesus «Aroniye itsh tietiri, itítsi ikoniye taan beshide imetwe, bíwere and taanton kooc'misho mooke b́ fa'oniye, » bí et.
19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”
Bowere keewanatse tuutson shiyanat «Taan wotifa nietirwoni?» Etfetst tar taron boaati.
20 Akawajibu, “Ni mmoja miongoni mwenu ninyi kumi na wawili, yule anayechovya mkate kwenye bakuli pamoja nami.
Iyesusu hank'owa boosh bí et, «Ashmaniye it tatse gitwotsitse wottso iko and taanton s'awotse ito itdek'irwoniye,
21 Mwana wa Adamu anaenda zake kama vile alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule amsalitiye Mwana wa Adamu! Ingekuwa heri kwake mtu huyo kama hangezaliwa.”
Ash Na'o shin shin b́ jango guut'etsok'on k'iromaand bí amo oreratse, ernmó Ash Na'o beshide imetú ashmansh indowe bísha! ashmaniye balor shin shuweraniyere b́ oorink'e k'anefe!»
22 Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema, “Twaeni mle; huu ndio mwili wangu.”
Bo móóke bo befere Iyesus misho k'aawdek't b́ deeri, tiitsdek'tnwere b́ danifwotssh «Nahere, han t meetsoniye» et boosh b́ ími.
23 Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.
Úshi wanc'ono k'a'ú dek't Ik'o údt boosh b́ ími, jamwotsu úshets waanc'otse bo úshi.
24 Akawaambia, “Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.
Hank'owere boosh bíeti, «Han aywotssh kuud'it handron taareyosh wotitwo t s'atsoniye.
25 Amin, nawaambia, sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya katika Ufalme wa Mungu.”
Arikoniye itsh ti'etirii, Ik'i mengitotse k'osh aron aani handr weyinyo túshfetso weyiniyi shuwatse fis'etsan aani úyatse.»
26 Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.
Maniyere il Ik'i duubo duubt Debrezeyt guro maants bo keshi.
27 Yesu akawaambia, “Ninyi nyote mtaniacha, kwa maana imeandikwa: “‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo watatawanyika.’
Iyesus b́ danifwotssh hank'owa bí et « ‹Jinirwono jod'de úd'itwe, mererwotswere bad'itúúne, › et guut'etsotse it únetswor taash bín danatsone etetute, tiyatsnowere shuuts aanitute, taan k'ayr wos'etute,
28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Ernmó k'irotse t twiyakon Gelil maants shino beshar ametuwe.»
29 Petro akasema, “Hata kama wengine wote watakuacha, mimi sitakuacha.”
Manoor P'et'ros «K'oshwots bo jamets neen bohaliyalor, taa b́jamon neen haaleratse!» bí eti.
30 Yesu akamwambia, “Amin, nakuambia; leo, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, wewe mwenyewe utanikana mara tatu.”
Iyesuswere «Ariko neesh etirwe, hambets t'úwaanitse baako gitoto b́k'adfetsere shino nee keezoto tjangosh, jamere taa bíndanatse etetune, » bí eti.
31 Lakini Petro akasisitiza zaidi, “Hata kama itabidi kufa pamoja nawe, sitakukana kamwe.” Nao wale wengine wote wakasema vivyo hivyo.
P'et'rosmó «K'ir b́wotiyal dab́ neentoni tk'iriti bako jamon neen danatse eraatse!» et kup'i dek't b́ keewi. B́ danif k'oshwotsu mank'o bo etfera botesh.
32 Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa, nami niende nikaombe.”
Maniyere hakon Getesemaneyi eteets beyokok boami, Iyesus b́ danifwotssh, «Taa ekewoke Ik'o tk'onfere it hanok betere, » bí eti.
33 Kisha akawachukua pamoja naye Petro, Yakobo na Yohana. Akaanza kuhuzunika sana na kutaabika.
B́ shutsats P'et'rosna, Yak'obnat Yohansno dek't bí ami, manokno ayidek't shiyanefetst kic'o dek'b́tuwi.
34 Akawaambia, “Moyo wangu umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe.”
Hank'owo boosh bí eti, «T kashu k'írosh bborfetso shiyanwtsere, hanoke be teere, err kup'arr korere.»
35 Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba kwamba kama ingewezekana saa hiyo ya mateso imwondokee.
Boyere muk'i okaan wokdek't k'azbiami, datsats b́baron gup'gup'dek't faleetk b́wotiyal sa'at man b́beshitwok'o Ik'o b́ k'oni.
36 Akasema, “Abba, Baba, mambo yote yawezekana kwako. Niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nipendavyo mimi, bali vile upendavyo wewe.”
Hank'o bí eti, «Nihono, keew jamo neesh falefe, gond bek' úshi wanc'ani tiatse wokiwe, ernmó nee n shuntsok'owa bako taa t shuntsok'o wotk'aye.»
37 Akarudi kwa wanafunzi wake, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, “Simoni, umelala? Je, hukuweza kukesha hata kwa saa moja?
B́ danif keezwotsok aanat b́waatsok'on, k'eewwtsat bobefere b́ daatsi, mansh P'et'rossh «Simo'ono, k'eeniya nwtsi? Dab ik sa'atune beyo nmaawi?» bí eti.
38 Kesheni na mwombe, msije mkaingia majaribuni. Roho iko radhi, lakini mwili ni mdhaifu.”
«Fadeyi kic'ots it kindrawok'owe kup'ar Ik'o k'onwere, Shayironiye k'anke, meetsonmó maawke, » bí eti.
39 Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.
Aaninu amt, enéé bí ettsmank'o et aani Ik'o b́ k'oni.
40 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito. Nao hawakujua la kumwambia.
Ando aanat b́ woor, bo aawotse tokro mangt b́ teshtsosh tokrat bobefere, b́ daatsi, bísh bokeewirwono danatsno bo tesh.
41 Akaja mara ya tatu, akawaambia, “Bado mmelala na kupumzika? Imetosha! Saa imewadia. Tazameni, Mwana wa Adamu anasalitiwa na kutiwa mikononi mwa wenye dhambi.
Keezlo aanat bomaand waat hank'o boosh bí eti, «Andoor it k'eetsok'oonya it fa'oni? Andoor kashdek'oke it fa'o? Ando bodre! sa'ato bodwtsree! hambe! Ash Na'o morretswots kishats beshide'er imetwe.
42 Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”
Eshe tuuwere! amone! taan beshide imetwo hamb t'inre!»
43 Yesu alipokuwa bado anazungumza, Yuda, mmoja wa wale wanafunzi Kumi na Wawili, akatokea. Alikuwa amefuatana na umati wa watu wenye panga na marungu, waliokuwa wametumwa na viongozi wa makuhani, walimu wa sheria, na wazee.
Manóór Iyesus man b́keewfere tatsegitwotsitsi iko wottso Yhud waa b́keshi, bíntonu gumbonat shiki goradon detsdek'ts ash aywots fa'ano bo tesh, boowere kahni naashwotsitse, Muse nemo danifwotsitse, eenashwotsokno woshekno bo teshi.
44 Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara, kwamba: “Yule nitakayembusu ndiye. Mkamateni, mkamchukue chini ya ulinzi.”
Bín beshi de'er imetwo Yihud, «It it detsetiye taa jamó aatr t joobitwoniye, bíne t'iwintsde deshde ameree, » et boosh milikito ímtni b́tesh.
45 Mara Yuda akamjia Yesu na kusema, “Rabi.” Akambusu.
Yihud manoor wáát Iyesusok t'índek't «Danifono!» et bín b́ joobi.
46 Wale watu wakamkamata Yesu, wakamweka chini ya ulinzi.
Maniyere il ash ashuwots Iyesusi detsbodek'i.
47 Ndipo mmoja wa wale waliokuwa wamesimama karibu aliuchomoa upanga wake na kumpiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
Manoke ned'irwotsitse Iyesus shuuts sha'efwotsitse iko b́ shiki gorado kishdek't kahnyi naasho guutso waazo k'ut'b́k'ri.
48 Kisha Yesu akawaambia, “Mmekuja na panga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyangʼanyi?
Iyesus hank'owa boosh bí et, «Shiki goradonat gumbon dek'at it wáá taan wonbadewok'o detsoshe?
49 Siku kwa siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni, wala hamkunikamata. Lakini Maandiko sharti yatimie.”
Aaw aawon Ik'i mootse itn danifetsat itnton tbewor taan deshatste b́ teshi, ernmó han b́wotiye S'ayin mas'afwotsitsi keewetso b́s'eenetwok'owe.»
50 Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.
B́danifwots bojamets bín k'azt bowos'i.
51 Kijana mmoja, ambaye hakuwa amevaa kitu isipokuwa alijitanda nguo ya kitani, alikuwa akimfuata Yesu. Walipomkamata,
Ket'i mitoon wozets nat'al mec'r tahtso jawets na'a iko s'uz Iyesus shuutso shoydek't amiruwe b́tesh, ashuwots bín dets bodek'or
52 alikimbia uchi, akaliacha vazi lake.
B́nat'alu juuk'rat araatson wos'fere k'az bíami.
53 Wakampeleka Yesu kwa kuhani mkuu, nao viongozi wa makuhani wote, na wazee na walimu wa sheria wote wakakusanyika pamoja.
Iyesusmó kahni naasho gal dekt boami, manoke kahni naashwots, eenashwotsnat Muse Nemo danif jamwots kakwe bowtsi.
54 Petro akamfuata kwa mbali, hadi uani kwa kuhani mkuu. Huko akaketi pamoja na walinzi, akiota moto.
P'et'roswere kahnyi naasho mook b́ bodfetso wokdek't Iyesus shuutso bí amfera b́teshi. Manoknowere guuts guutswotsnton bedek't tawo b́ kashfere b́ teshi.
55 Viongozi wa makuhani na Baraza la Wayahudi lote wakatafuta ushahidi dhidi ya Yesu ili wapate kumuua. Lakini hawakupata jambo lolote.
Kahniwots naash naashwotsna, moosh moshyf jamwots, Iyesusi úd'iyosh gaw wotitwo bogefere botesh, ernmó daatsratsno.
56 Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.
Aaywotsu kooton bíats gawerno, b́woteferor bo gawor bo keewo ik woteraniyere b́ oori.
57 Ndipo wengine wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo dhidi yake, wakisema:
Ik ikwots tuut hank'o et kooto bí ats bogawi,
58 “Sisi tulimsikia akisema, ‘Mimi nitalibomoa Hekalu hili lililojengwa na wanadamu, na katika siku tatu nitajenga jingine ambalo halikujengwa na wanadamu.’”
«Taa ash kishon ageets Ik'i maa han gaahde keez aawotse k'osho ash kishon finerawo agetwe ett b́keewfre shishrone.»
59 Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukukubaliana.
Manbwotiyalor bo gawts gawo ik woteratse.
60 Basi kuhani mkuu akasimama mbele yao, akamuuliza Yesu, “Je, wewe hutajibu? Ni ushahidi gani hawa watu wanauleta dhidi yako?”
Kahni naashonúwre bo taalotse need'dek't, «Eegor aaniyalkneneya? Ashaanots ni'ats bo t'intsiru s'aamiyo eebi b́ naaroni?» ett Iyesusi bí aati.
61 Lakini Yesu akakaa kimya, hakusema neno lolote. Kuhani mkuu akamuuliza tena, “Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Aliyebarikiwa?”
Iyesusmó s'k eta bí eti bako eegor aaniratse. Kahni naashmanwere «Deerets Ik'o Na'o Krstos neeneya?» ett aani bí aati.
62 Yesu akajibu, “Mimi ndimi. Nanyi mtamwona Mwana wa Adamu akiwa ameketi mkono wa kuume wa Mwenye Nguvu, na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”
Iyesuswere «Ee, taane, ash Na'o Ik'o k'ani aaro maantse b́befere bek'etute! ando aani daaratse daawnon aanar b́woor bek'etute»
63 Kuhani mkuu akararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi?
Kahni naashonwere nibk'unon b́ taho gaat't «K'osh gawo eegoshe b́geyiti?
64 Ninyi mmesikia hayo makufuru. Uamuzi wenu ni gani?” Wote wakamhukumu kwamba anastahili kifo.
Hambe! Ik'o b́c'ashirwok'onoor shishrte, eshe eege itsh bíari?» bí eti. Jametswots ik wotdek't «K'iro bísh wotitwe!» et bí ats boangshi.
65 Kisha baadhi ya watu wakaanza kumtemea mate; wakamfunga kitambaa machoni, wakampiga kwa ngumi na kumwambia, “Tabiri!” Walinzi wakamchukua na kumpiga makofi.
Ik ikwotswere bo s'udo bí ats s'udo dek't bo tuwi, bí aawono shemoon p'uuridek't «Nee nebiyi nwotiyal aab neen kon b́ jot'tsok'ó dane!» etfetst kishi t'umon bo jot'fere botesh. K'oshwotswere jabefere dek't bo ami.
66 Petro alipokuwa bado yuko chini kwenye ua wa jumba la kifalme, tazama akaja mmoja wa watumishi wa kike wa kuhani mkuu.
P'et'ros kahni naasho mooniye dashe b́ kas'otse b́befere kahniwotsitsi k'aabo gon iku waa b́ keshi,
67 Alipomwona Petro akiota moto, akamtazama sana, akamwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu, Mnazareti.”
Bi P'et'ros tawo b́kashefere bek'aat t'iwintsdek' s'iilat «Neewor Nazrettso Iyesusntonye n teshi, » bísh bi et.
68 Lakini Petro akakana, akasema, “Sijui wala sielewi unalosema.” Naye akaondoka kuelekea kwenye njia ya kuingilia.
Bímo «Taa danatse, eebi ni'eetirwoni, » ett bíhaali. Manówere et fengesho maants b́ keshtsok'on baako b́ k'adi.
69 Yule mtumishi wa kike alipomwona mahali pale, akawaambia tena wale waliokuwa wamesimama hapo, “Huyu mtu ni mmoja wao.”
Gonunwere P'et'rosi bek'aat manoke ned'irwotssh «Hanwor bo jirotsitske!» etaat aani keewo dek' btwi,
70 Lakini Petro akakana tena. Baada ya muda kidogo wale waliokuwa wamesimama hapo karibu na Petro wakamwambia, “Hakika wewe ni mmoja wao, kwa maana wewe pia ni Mgalilaya!”
Bímó aani jamere taa bín danatse bí eti. Muk'i boteshiyakon manoke need'iru ashuwots P'et'rossh «Gelil dats ash n wottsok'o n noon keew keewo kitsirwe, manshe arikon neehe bo jirwotsits neene» bo et.
71 Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”
Bímó «It etiru ash han taa danatse!» etfetst taart bí atso b́c'ashi.
72 Papo hapo jogoo akawika mara ya pili. Ndipo Petro akakumbuka lile neno Yesu alikuwa amemwambia: “Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.” Akavunjika moyo, akalia sana.
Manoor baako gitlo b́ k'adi, P'et'roswere «Baako gitoto b́k'adfetsere, keezoto taan jamere bín danatse etetune, » et Iyesus b́ keewtso keewo bísh gawe b́wtsere ay dek't bí'eepi.

< Marko 14 >