< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitoka Hekaluni, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu! Tazama jinsi mawe haya yalivyo makubwa, na majengo haya yalivyo mazuri!”
Yesu mpwalafuma mu Ng'anda ya Lesa, umo wabeshikwiya bakendi walambeti, “Bashikwiyisha kamubonani kukonempa ne kubekema kwa mabwe ne manda awa?”
2 Ndipo Yesu akajibu akasema, “Je, unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali yote yatabomolewa.”
Nomba nendi Yesu walamukumbuleti, “Nte ulabono manda anene anene awa onse? Paliya libwe nambi limo lyeti likashale pelu pa libwe linendi, lyeti likabule kumwaiwa.”
3 Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni mkabala na Hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamuuliza faraghani,
Yesu mpwalekala panshi pamulundu wamaolifi, nkabali balangana ne Ng'anda ya Lesa, Petulo ne Jemusi, ne Yohane kayi ne Ndileya balamwipusha mpobalikuba bonka nendiye kwambeti
4 “Tafadhali tuambie, mambo haya yatatukia lini? Nayo dalili ya kuwa hayo yote yanakaribia kutimia itakuwa gani?”
“Kamutwambilani, inga bintu ibi nibikenshikelilyoni? Inga nicishibisho cini nceti tukaboneneko kwambeti byonsebi bilipepi kukwanilishiwa?”
5 Yesu akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwadanganye.
Yesu walabambileti “Cetukani, muntu uliyense katakamubepa.
6 Wengi watakuja kwa Jina langu wakidai, ‘Mimi ndiye,’ nao watawadanganya wengi.
Pakwinga bantu bangi nibakese lina lyakame, ne kwambeti ‘njame Klistu!’ Bantu bangi nibakabepwe.
7 Msikiapo habari za vita na uvumi wa vita, msiwe na hofu. Mambo haya hayana budi kutukia, lakini ule mwisho bado.
Mwakatatika kunyumfwa sha nkondo ne mbili shankondo kamutakayakamwa sobwe. ibi byelela kwinshika, nomba ntewo mapwililisho sobwe.
8 Taifa litainuka dhidi ya taifa na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na mitetemeko sehemu mbalimbali na njaa. Haya yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.
Mishobo ya bantu nikabukilane, bishi nibikabukilane, Nikukabe mikunkumo mumibibela byapusana pusana, kayi nikukabe nsala. Lino byonse ibi ekutatika kwa mapensho.”
9 “Lakini ninyi jihadharini. Kwa maana watawapeleka katika mabaraza yao na kupigwa mijeledi katika masinagogi. Mtashtakiwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushuhuda kwao.
“Nomba amwe cetukani, pakwinga bantu nibakamutwale kunkuta ne kumukwapula mumanda akupaililamo. Nimukamane pamenso pa bendeleshi ba mfulumende ne bami, pacebo ca njame, kwambeti mukabe bakamboni bakame.
10 Nayo habari njema lazima ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote kabla ule mwisho haujawadia.
Nomba kulayandikinga nanshi kwambeti Mulumbe Waina ukambaukwe kubantu ba mishobo yonse.
11 Mtakapokamatwa na kushtakiwa, msisumbuke awali kuhusu mtakalosema. Semeni tu lolote mtakalopewa wakati huo, kwa kuwa si ninyi mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho Mtakatifu.
Nomba bakamwikata ne kumutawala kuya komboloshewa, kamutakalibilika nekwambeti, netwambe cani, Lesa nakamupe cakwamba pacindi copeleco pakwinga shikwamba ntamwe sobwe, nsombi ni Mushimu Uswepa.
12 “Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, naye baba atamsaliti mtoto wake. Watoto nao wataasi dhidi ya wazazi wao na kusababisha wauawe.
Mukwabo nakashinishe mukwabo, bamashali nibakashinishe bana babo. Nabo bana nibakabukile bamashali babo ne kubashinisha
13 Watu wote watawachukia kwa ajili ya Jina langu. Lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.
Kayi muntu uliyense nakamupele, pacebo ca Lina lyakame, nomba uyo eti akalishishibishe mpaka kumapwililisho endiye esha akapuluke.”
14 “Mtakapoona ‘chukizo la uharibifu’ limesimama mahali pasipolipasa (asomaye na afahamu), basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
Mwakabona cintu cishikusesemya kayi cishikononga, balacimaniki pamusena ngocabula kwelela, uyo labelengenga enshibe, abo bali mu Yudeya bafwambile ku milundu.
15 Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke au kuingia ndani ili kuchukua chochote.
Uyo uli pelu pa ciluli kataseluka nekuya kwingila mung'anda yakendi kwambeti amantemo ciliconse.
16 Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
Uyo muntu uli mulibala katabwelela ku munshi kuya kumanta byakufwala mbyalashiyi
17 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo!
Ha! Akonempa mapensho kubatukashi bakute mabunda, ne beti bakayamwishenga bana mu masubayo!
18 Ombeni mambo haya yasitokee wakati wa baridi.
Kamupailani kwambeti kacitakaba mucindi camupewo.
19 Kwa maana siku hizo zitakuwa za dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo, hapo Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka leo, na wala haitakuwako tena kamwe.
Pakwinga mumasubayo bantu nibakapenge ncebatana bapengapo kufuma kucindi Lesa ncalalenga cishi mpaka kushika cindi cino, kayi nteti bakapengepo cilico sobwe.
20 Kama Bwana asingelifupisha siku hizo, kamwe asingeliokoka mtu yeyote. Lakini kwa ajili ya wateule, wale aliowachagua, amezifupisha siku hizo.
Lesa nalabula kwafumfwipishilalimo masubayo, nshinga ne palakabulu muntu naba umo shikupuluka, nomba pacebo ca bantu basalwa bakendi, masubayo walafumfwipishilalimo.
21 Wakati huo mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazama, Kristohuyu hapa!’ au, ‘Tazama, yuko kule,’ msisadiki.
Nomba pacindi copeleco, na muntu akamwambileti, “Kamubonani Klistu ulikuno, Nambi wambeti, ‘Klistu uli uko!’ Kamutakashoma.
22 Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, nao watafanya ishara na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale wateule.
Pakwinga nikukaboneke ba klistu bangi bandemi shibili ne bashinshimi bandemi shibili. Nibakensenga bingashilo ne bintu bishikukankamanisha, ne kubepa uliyense kayi na kacikonsheka, nabo basalwa, bashome bwepeshi.
23 Hivyo jihadharini. Nimekwisha kuwaambia mambo haya yote mapema kabla hayajatukia.
Neco amwe cetukani! Ndamwambilili limo bintu byeti bikenshike.”
24 “Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki, “‘jua litatiwa giza nao mwezi hautatoa nuru yake;
Mumasubayo, cindi camapensho cakapita lisuba nilikasanduke mushinshe ne mwenshi nukaleke kubala.
25 nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’
Nyenyenshi nishikatatike kulaka kufuma kwilu, ne ngofu sha bwendeleshi bwa mwilu nibukatenkane
26 “Ndipo watu wote watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na utukufu.
Lino, bantu nibakamubone Mwana Muntu kesa mumakumbi ne ngofu shinene ne bulemeneno.
27 Naye atawatuma malaika wake wawakusanye wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka miisho ya dunia hadi miisho ya mbingu.
Pacindico Yesu nakatume bangelo bakendi kuya kubunganya bantu basalwa mumbasu shonse, kufumina kwakuma cinshi ne kuya kwakuma cishi.
28 “Basi jifunzeni somo hili kutokana na mtini: Matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
Kamwiyakoni mukoshanyo kucitondo camukuyu. Misampi yatatika kusonsa matewu mukute kwinshibeti mainsa alipepi.
29 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba wakati u karibu, hata malangoni.
Nenjamwe mwakabona bintu ibi kabinshika nimukenshibeti Mwana Muntu ulipepi, uli pacishinga.
30 Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
Cakubinga ndamwambilishingeti uwu musemano nteti ukapite sobwe mpaka ibi bintu bikenshike.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Kwilu ne cishi capanshi nibikapite, nsombi ciyisho cakame nteti cikapite sobwe.
32 “Kwa habari ya siku ile na saa hakuna yeyote ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
“Nomba kwamba sha cindi nambi busuba, paliya naba umo ubwinshi, nambi bangelo ba kwilu nkabacinshi, nambi mwana nkabwinshi nsombi Bata bonka.”
33 Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.
Cetukani, pembelelani, pakwinga nkamucishi na nililyoni cindi ncoti cikashike.
34 Ni kama mtu anayesafiri. Anaiacha nyumba yake na kuwaachia watumishi wake kuiangalia, kila mtu na kazi yake, kisha akamwamuru yule bawabu aliye mlangoni akeshe.
Ici cili mbuli cikutekwinshika muntu aya pabulwendo, ukute ushiya mukowa nekupa ngofu basebenseshi bakendi, uliyense incito yakendi. Ne kumukonkomesha mulonda kwambeti katashinshilanga.
35 “Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko.
Nenjamwe cetukani, pakwinga nkamucishi cindi ncoti akese mwine ng'anda, mpani ni mansailo, mpani ni paka pa mashiku, mpani pacindi ca malililo abakombwe mpani nimumenemene,
36 Kama akija ghafula, asije akawakuta mmelala.
kwambeti mwine ng'anda esa mwakutengashila, katesamucane kamuli monatulo.
37 Lile ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote: ‘Kesheni!’”
Neco ncondamwambilinga amwe ndambilinga bonse. Weco cetukani.

< Marko 13 >