< Marko 11 >
1 Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage na Bethania katika Mlima wa Mizeituni. Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake,
Bunu Jerusalem vngchi dase rilo, Betpej gv okv Betani gv banggu nvchilo, bunu Olib Moodwlo aatoku. Jisu ninyigv lvbwlaksu anyigo kanamla vngcho moto
2 akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na hapo mtakapoingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.
Svkvnv gaam milwkto: “Nonugv vnglwkjiku nampum alo vngnyilaka. Nonu alo vngchi sopikda, siak ako takpvla lvkoka riokw manamgo nonu kaapare. Um paksoklaila okv um soka aagv teka.
3 Kama mtu yeyote akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji, na atamrudisha hapa baada ya muda mfupi.’”
Okv nyi gonv nonua ogubv vbv ridunv vla tvvka bolo, so gv Ahtuv sum naanwngdu okv sum baapubv jikur reku vla ninyia minpa laka.”
4 Wakaenda, wakamkuta mwana-punda amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango wa nyumba.
Vkvlvgabv bunu vngto okv lamtv vngtunglo siak ako naam ako gv agi lo rvngpv dubv kaapa toku. Bunu um taasok rilo,
5 Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana-punda?”
nyi mego hoka daknv vdwv bunua tvvkato, “Nonu ogubv rila, siak a taasok dunv?”
6 Wakawajibu kama vile Yesu alivyokuwa amewaagiza, nao wale watu wakawaruhusu.
Bunu Jisu gv milwknam jvbv mirwkto, okv nyi vdwv bunua boomu toku.
7 Kisha wakamleta huyo mwana-punda kwa Yesu na kutandika mavazi yao juu yake, naye akampanda.
Bunu siak a Jisu gvlo boolwk jito bunugv vji laklwk a siak aolo pujito, okv Jisu aolo gecha toku.
8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani.
Nyi mvnwngngv bunugv vji laklwk a lamtvlo pupvjito, kvgonv rongo lokv svngming pala okv um bunu lamtvlo pipv jito.
9 Kisha wale waliokuwa wametangulia mbele na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti, wakisema, “Hosana!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”
Koching okv habobv vngming gvnv nyi vdwv gokrap nyato, “Pwknvyarnvnyi hartvto! Pwknvyarnv boktalwkji laka Atugv amin bv aanvnga!
10 “Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”
Pwknvyarnv boktalwkji laka aainv ngonugv Dvbv Dabid gv Karv nga! Pwknvyarnvnyi hartvdu!”
11 Yesu akaingia Yerusalemu na kwenda Hekaluni. Akaangalia kila kitu kilichokuwamo, lakini kwa kuwa ilishakuwa jioni, akaenda zake Bethania pamoja na wale kumi na wawili.
Jisu Jerusalem lo aalwk toku, kumkunaam arwnglo aatoku, okv ogumvnwng nga kaitkarto. Vbvritola alu v loodwng kunam lvgabv, nw lvbwlaksu vring gola anyi lvkobv vnglingvla Betani bv vngtoku.
12 Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa.
Logo nvnga, bunu Betani lokv vngkurla vngrilo, Jisu kano toku.
13 Akauona mtini kwa mbali, naye akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini.
Nw adu bv koksitkokrik singnv go anv ngv harbum dubv kaapato, vkvlvgabv nw koksitkokrik apw doopv bvri vla aala kaato. Vbvritola vdwlo nw aatokudw, nw anv mvngchik a kaapa toku, ogulvgavbolo hoka koksitkokrik apw svvdw madvto.
14 Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn )
Jisu hoka koksitkokrik singnv nga mintoku, “Yvvka lvkodv noogvlo koksitkokrik dvlwk kumare!” Okv ninyigv lvbwlaksu vdwv um tvvpato. (aiōn )
15 Walipofika Yerusalemu, Yesu akaingia katika eneo la Hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakinunua na kuuza humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha, na pia viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa,
Vdwlo bunu Jerusalem lo vngchi tokudw, Jisu Pwknvyarnvnaam lo vngtoku okv pyoknv okv rvvnv mvnwngnga mvyakmvchak rirap toku. Nw morko lwkkolwkpik nvgv tvbul okv taakw pyoknv dooging okv pyokgingnvnv nga duyakduchak toku,
16 wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.
Okv nw yvvnyika Pwknvyarnvnaam agum bv ogugoka gvvpik momato.
17 Naye alipokuwa akiwafundisha, akasema, “Je, haikuandikwa kuwa: “‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote’? Lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la wanyangʼanyi.’”
Vbvrikunamv nw nyi vdwa tamsarto: “So si Darwknv Kitaplo lvkpvdu ho Pwknvyarnv minto, mooku mvnwng gv nyi mvnwng lvgabv ‘Ngoogv Pwknvyarnvnaam hv diringmooku nyi mvnwng gv kumgingjoging naam vla mindunv.’ Vbvritola um dvchochonv vdwgvbv tosi siging kobv nonuno kokda pvjiduku!”
18 Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria wakapata habari hizi, nao wakaanza kutafuta njia ya kumuua, kwa kuwa walikuwa wakimwogopa, kwa sababu umati wote ulikuwa unashangazwa na mafundisho yake.
So sum nyibu butvnv vdwv okv Pvbv tamsarnv vdwv tvvpato, vkvlvgabv bunu Jisunyi ogolo mvki sogobvri vla agi kaarap toku. Bunu ninyia busu toku, ogulvgavbolo ninyigv tamsar nama nyitwng mvnwngngv lamngak nyatoku.
19 Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.
Vdwlo arium tukudw, Jisu okv ninyigv lvbwlaksu vdwv pamtv nga vngyu toku.
20 Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.
Logonvgv arukamchi lo, bunu lamtvlo vngying dula, bunu koksitkokrik singnv go kaato. Hv singmwng lokv miami mvnwng lobv sintoku.
21 Petro akakumbuka na kumwambia Yesu, “Rabi, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!”
Pitar mvngpa toku ogugo ripvdw okv Jisunyi minto, “Kaato, Tamsarnv, noogv beenam koksitkokrik singnv ngv sinpvku!”
22 Yesu akawajibu, “Mwaminini Mungu.
Jisu bunua mirwk toku, “Pwknvyarnvnyi mvngjwngtvka.
23 Amin, nawaambia, mtu yeyote atakayeuambia mlima huu, ‘Ngʼoka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yametukia, atatimiziwa.
Ngo nonua jvjvklv bv mindunv ho yvvdw so moodw sum gudungla okv atu v svmasa bolo orlwksuto vla okv ninyigv haapoklo mvngngvm manam kamabv, vbvritola ogugo ninyigv minam v rirungre vla, mvngjwng bolo v nw gvbv rijire.
24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote mtakayoyaomba mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea, nayo yatakuwa yenu.
Svkv lvgabv ngo nonua mindunv: vdwlo nonu kumredw okv ogugonyi kooridw, mvngjwngtvka ung nonu paapvku, okv ogugonyi nonu koobolo nonua jirung reku.
25 Nanyi kila msimamapo kusali, sameheni mkiwa na neno na mtu, ili naye Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu. [
Okv vdwlo nonu dakla okv kumbolo, mvngnga laka yvvdw nam rinying pvdw, vkvlvgabv ho nyidomooku aogv doonv Abu noogv rimur a mvngnga jireku.
26 Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”
No kvvbi haka mvngnga mabolo, noogv Abu nyidomooku aogv doonv tvka noogv rimur rinam vdwa mvngnga mare.”
27 Wakafika tena Yerusalemu, na Yesu alipokuwa akitembea Hekaluni, viongozi wa makuhani, walimu wa sheria pamoja na wazee wa watu wakamjia.
Bunu lvkodv Jerusalem lo aachitoku. Jisu Pwknvyarnvnaam lo vngkarto, nyibu butvnv vdwv, Pvbv tamsarnv vdwv, okv nyiga vdwv ninyigvlo aato
28 Wakamuuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya hayo?”
okv nw ha tvvkato, “No so vdwsum ridubv ogu rilanvnv go doopv? Yvv nam so rilanvnv nga jipvnv?”
29 Yesu akawajibu, “Nitawauliza swali moja. Nijibuni, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
Jisu bunua mirwkto, “Ngo nonua vjak gamgo tvkare, okv nonuno nga mirwksito, ngo nonua minpare ogu rilanvnv go ngo doopvdw so vdwa ridubv.
30 Niambieni, je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”
Ngam minpalabv, ogolokv Jon gv Baptisma jilanvnv ngv aapvnv: v Pwknvyarnv gvlore vmalo nyi gvlore?”
31 Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’
Bunugv pinkolo bunu larrap minsuto: “Ngonu ogugo mindubv? Ngonu Pwknvyarnv gvlokv vla mirwk sibolo, nw minre, ‘Ogulvgabv, vbvrinamv, nonu Jonnyi mvngjwng mapvnv?’
32 Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’…” (Waliwaogopa watu, kwa sababu kila mtu aliamini kwamba Yohana alikuwa nabii wa kweli.)
Vbvritola ngonu ‘Nyi lokv vla minbolo...’” (Bunu nyi vdwa busunyato, ogulvgavbolo nyi mvnwngngv Jonnyi nyijwk akobv mvngjwng nyato.)
33 Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Hatujui.” Naye Yesu akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”
Vkvlvgabv Jisunyi bunugv mirwknamv, “Ngonu chimado.” Vbvrikunamv Jisu bunua minto, “Ngooka nonua minjimare, ogu rilanvnv lokv ngo so vdw sum ridunvdw.”