< Malaki 4 >

1 “Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao.
Nebo aj, den ten přichází hořící jako pec, v němž budou všickni pyšní, a všickni pášící bezbožnost jako strniště. I zažhne je ten den, kterýž přijíti má, praví Hospodin zástupů, tak že neostaví jim ani kořene ani ratolesti.
2 Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini.
Vám pak, kteříž se bojíte jména mého, vzejde slunce spravedlnosti, a zdraví bude na paprslcích jeho. Tedy vycházeti budete, a porostete jako telata vykrmená.
3 Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
A pošlapáte bezbožné, tak že budou jako popel pod nohami vašimi v den, kterýž já učiním, praví Hospodin zástupů.
4 “Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.
Pamatujtež na zákon Mojžíše služebníka mého, jemuž jsem přikázal na Orébě přednesti všemu Izraeli ustanovení a soudy.
5 “Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana.
Aj, já pošli vám Eliáše proroka, prvé nežli přijde den Hospodinův veliký a hrozný,
6 Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”
Aby obrátil srdce otců k synům, a srdce synů k otcům jejich, abych přijda, neranil země prokletím.

< Malaki 4 >