< Malaki 3 >

1 “Angalieni, nitamtuma mjumbe wangu, atakayeiandaa njia mbele yangu. Ndipo ghafula Bwana mnayemtafuta atakuja hekaluni mwake. Mjumbe wa Agano, ambaye mnamwonea shauku, atakuja,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Redzi, Es sūtu Savu eņģeli, lai tas Manā priekšā sataisa ceļu. Un drīz nāks uz Savu namu Tas Kungs, ko jūs meklējat un tas derības eņģelis, pie kā jums labs prāts. Redzi, Viņš nāk, saka Tas Kungs Cebaot.
2 Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo siku ya kuja kwake? Ni nani awezaye kusimama atakapotokea? Kwa kuwa atakuwa kama moto wa mfua fedha au kama sabuni ya afuaye nguo.
Bet kas panesīs Viņa atnākšanas dienu, un kas pastāvēs, kad Viņš rādīsies? Jo Viņš būs kā kausētāja uguns un kā mazgātāju sārms.
3 Ataketi kama mfuaji na asafishaye fedha. Atawatakasa Walawi, naye atawasafisha kama dhahabu na fedha. Kisha Bwana atakuwa na watu watakaoleta sadaka katika haki,
Un Viņš sēdēs, sudrabu kausēt un šķīstīt, un šķīstīs Levja bērnus un tos iztīrīs kā zeltu un sudrabu; tad tie Tam Kungam upuri nesīs taisnībā.
4 nazo sadaka za Yuda na Yerusalemu zitakubalika kwa Bwana, kama katika siku zilizopita, kama katika miaka ya zamani.
Tad Jūda un Jeruzālemes upuris Tam Kungam būs salds, kā vecos laikos un senajos gados.
5 “Basi nitakuja karibu nanyi ili kuhukumu. Nami nitakuwa mwepesi kushuhudia dhidi ya wachawi, wazinzi, waapao kwa uongo, wanaopunja vibarua malipo yao, wanaowaonea wajane na yatima, na wanaowanyima wageni haki, lakini hawaniogopi mimi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Es pie jums nākšu uz tiesu un būšu ātrs liecinieks pret burvjiem un laulības parkāpējiem un pret tiem, kas nepatiesi zvēr, un pret tiem, kas nospiež algādža algu, atraitni un bāriņu, un kas spaida svešinieku un Mani nebīstas, saka Tas Kungs Cebaot.
6 “Mimi Bwana sibadiliki. Kwa hiyo ninyi, enyi uzao wa Yakobo, hamjaangamizwa.
Jo Es Tas Kungs citāds nepalieku, tāpēc jums, Jēkaba bērni, gals vēl nav darīts.
7 Tangu wakati wa baba zenu mmegeukia mbali na amri zangu nanyi hamkuzishika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Lakini mnauliza, ‘Tutarudi kwa namna gani?’
No savu tēvu laika jūs esiet atkāpušies no Maniem likumiem un tos neesat turējuši. Atgriežaties atkal pie Manis, tad Es atgriezīšos pie jums, saka Tas Kungs Cebaot. Bet jūs sakāt: kā lai atgriežamies?
8 “Je, mwanadamu atamwibia Mungu? Hata hivyo mnaniibia mimi. “Lakini mnauliza, ‘Tunakuibia kwa namna gani?’ “Mnaniibia zaka na dhabihu.
Vai gan cilvēks Dievu var apkrāpt, kā jūs Mani apkrāpjat? Un jūs sakāt: kā mēs Tevi apkrāpjam? Ar desmito(tiesu) un ar cilājamo upuri.
9 Mko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.
Tāpēc jūs esat ar lāstu nolādēti, ka jūs Mani apkrāpjat, visi ļaudis kopā.
10 Leteni zaka kamili ghalani, ili kuwe na chakula katika nyumba yangu. Nijaribuni katika hili,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “nanyi mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha.
Nesiet pilnu desmito(tiesu) mantu namā, ka barība ir Manā namā, un pārbaudiet jel Mani tā, saka Tas Kungs Cebaot: vai Es jums neatvēršu debess logus un jums nedošu svētības pārpārēm?
11 Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu, wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Un jūsu dēļ Es rāšu ēdēju, lai tas jums nemaitā zemes augļus, un lai vīna koks tīrumā jums nav neauglīgs, saka Tas Kungs Cebaot.
12 “Ndipo mataifa yote yatawaita mliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa ya kupendeza sana,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Un visas tautas jūs teiks laimīgus, jo jūs būsiet jauka zeme, saka Tas Kungs Cebaot. -
13 “Mmesema vitu vigumu dhidi yangu,” asema Bwana. “Hata hivyo mnauliza, ‘Tumesema nini dhidi yako?’
Jūsu vārdi ir cieti pret Mani, saka Tas Kungs. Un jūs sakāt: ko mēs pret Tevi runājam?
14 “Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu. Tumepata faida gani kwa kushika maagizo yake na kwenda kama waombolezaji mbele za Bwana Mwenye Nguvu Zote?
Jūs sakāt: tas ir velti, Dievam kalpot, jo kāds labums atlec, kad turam Viņa bausli, un ka bēdās staigājam priekš Tā Kunga Cebaot?
15 Lakini sasa wenye kiburi wanabarikiwa. Hakika watenda mabaya wanastawi, pia hata wale wanaoshindana na Mungu ndio wanaosalimika.’”
Bet nu mēs teicam laimīgus tos pārgalvīgos, jo bezdievības darītāji pieaug, tie Dievu kārdina un taču izsprūk.
16 Ndipo wale waliomcha Bwana wakasemezana wao kwa wao, naye Bwana akasikiliza na akasikia. Kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa mbele yake kuhusu wale ambao walimcha Bwana na kuliheshimu jina lake.
Tad tie, kas To Kungu bīstas, runāja cits ar citu, un Tas Kungs nomanīja un ieklausījās, un piemiņas grāmata ir rakstīta Viņa priekšā tiem, kas To Kungu bīstas, un tiem, kas Viņa vārdu piemin.
17 “Nao watakuwa watu wangu,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “katika siku ile nitakapowafanya watu kuwa hazina yangu. Nitawahurumia, kama vile kwa huruma mtu amhurumiavyo mwanawe anayemtumikia.
Un tai dienā, ko Es darīšu, saka Tas Kungs Cebaot, tie Man būs par īpašumu, un Es tos žēlošu, kā vīrs savu dēlu žēlo, kas viņam kalpo.
18 Kwa mara nyingine tena utaona tofauti kati ya wenye haki na waovu, kati ya wale wanaomtumikia Mungu na wale wasiomtumikia.
Tad jūs atkal redzēsiet to starpību starp taisnu un bezdievīgu, starp to, kas Dievam kalpo, un to, kas Viņam nekalpo.

< Malaki 3 >